Diamond platnumz - Times Fm interview (Part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 172

  • @bobomsafi7450
    @bobomsafi7450 6 лет назад +18

    Wajua maadui wengi kwenye muziki,Hawataki Niendelee ...Hivyo ukipata nafasi tafadhali niombee!

  • @amanijulius8398
    @amanijulius8398 6 лет назад +17

    Platnumz
    Now it's viral everywhere that you are a True Legend..Major Moves my Artist @diamondplatnumz

  • @msodokitv2855
    @msodokitv2855 6 лет назад +10

    tutapambana kwa ajili yako na bongofleva yetu @diamondplatnumz lazima waumbuke mwaka huu.wamewaumiza wengi lakin kwako clouds wameangukia pabaya
    wcb 4 life

  • @rashidmasoud6939
    @rashidmasoud6939 6 лет назад +10

    It's nice Mr simbaaaaa wakupe unaibu waziri kwasababu unajua Sanaa kushinda naibu wazir na basata kwa ujumla bro I real respect you

  • @patricalton3940
    @patricalton3940 6 лет назад +10

    Sijawah kukukubal Mond lakn Leo nimekukubal big up

  • @meddodoma5235
    @meddodoma5235 6 лет назад +1

    Nimefurahi sana kuipata interview ya Diamond; hongera sana kwa kazi nzuri. I wish one day kukutana na wewe kujadili masuala mbalimbali ya vijana nchini. WCB hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 лет назад +4

    Big up lil Ommy nakukubali sana kichwa kama chako ndio vinafaa kufanyia interview mtu kama MONDI sio vipresenter uchwara go go #LilOmmy 👏👏

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 6 лет назад +16

    Diamond platinum mungu akujaaliye

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 6 лет назад +28

    Hongera Daimond UMEHUTUBIA taifa leoo

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 6 лет назад +5

    huu jamaa namkubal leo hadi kexho 🔥🔥🔥#cmbaaaa

  • @bobomsafi7450
    @bobomsafi7450 6 лет назад +8

    King Of Africa.

  • @sophianyoni2533
    @sophianyoni2533 6 лет назад +1

    Tambweee Thank you for the fast upload, you work very hard. 👏

  • @khamisingowo6412
    @khamisingowo6412 6 лет назад +14

    diamond is a legend.🔥🔥🔥💣

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene 6 лет назад +3

    CLOUDS MEDIA CHALIIIIIIIIII. Wanajifanya wameshika funguo za mziki...wazid kuwaonea akina ruby tu....kwa mond watasubiliiiii

  • @emmanuelfeli7392
    @emmanuelfeli7392 6 лет назад +11

    basata kweli wasikurupuke wakae nao wasanini wajue changamoto zao wakubaliane walidhiane maauzi ndo yafatwe nyimbo za mbele zilinapigwa kwenye media na watu wanacheza uchi waanze na media pia unapo mfungia mzanii yupo mazingira gani je familia inayomtegemea

  • @audifasorest8598
    @audifasorest8598 6 лет назад +6

    Mungu azidi kukubariki Kaka Tukonyumayako bro

  • @abdillahimohamedsaid9943
    @abdillahimohamedsaid9943 6 лет назад +14

    The emperor of Tanzania Music Chibudi Chibudee

  • @Yegon254
    @Yegon254 6 лет назад +4

    I love this man Lil Ommy

  • @mariamkimwaga943
    @mariamkimwaga943 6 лет назад +4

    Mie nakupenda unavyojiamini tu uko powa Sana Kaka

  • @angellybaga3604
    @angellybaga3604 6 лет назад +10

    Clouds wanatamani wangekua ni wao wanamuhoji maskini

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 лет назад +1

    Mwenye bongo flava yake SIMBA watakuelewa tu go go Baba Tee👏👏👏

  • @shillaselemani
    @shillaselemani 6 лет назад +5

    MZEE babaa kaongea yamoyoni duuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!

  • @eliasmushi6792
    @eliasmushi6792 6 лет назад

    Diamond umeongea unacho kiamini big up my brother

  • @ibrahimpius893
    @ibrahimpius893 6 лет назад +19

    Usiwaze brother sisi tunaopenda mziki wako tuko nyuma yako ata wabane vipi kamwe huwez kufeli wataanza wao

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 лет назад +10

    I've liked before watching 🤦🤦

  • @annastasiajackson678
    @annastasiajackson678 6 лет назад

    Tunasikiliza muziki wa diamond platinumz from Spain

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 6 лет назад +1

    Mke wangu in future akizaa mapacha watoto watakua
    CHIBUDII CHIBUDEE

  • @hamisnamala8915
    @hamisnamala8915 6 лет назад +63

    sisi kama clouds tunasikitika na kinachoendelea tulijua tunaua kumbe tunatia mbolea😂😂😂😂😂

  • @aliyumakiyu9599
    @aliyumakiyu9599 6 лет назад +1

    Big up bro inatia huruma sanaa lkn usife moyo mzee

  • @masoodedwin8332
    @masoodedwin8332 6 лет назад

    Hongera mungu atakusimamia mond unajuwa

  • @josephdossantos7316
    @josephdossantos7316 6 лет назад +18

    The cries of lion in the jungle must affect other animals💪💪💪

  • @bongowoodtv7327
    @bongowoodtv7327 6 лет назад +25

    sisi kama clouds media tunasikitika sana maana tumemuongezea hatua huyu mtu badala ka kumpoteza😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @ricksamthecrow
      @ricksamthecrow 6 лет назад

      simondyke03 Tz 😂😂😂

    • @ricksamthecrow
      @ricksamthecrow 6 лет назад

      Cjui we nd ah me simind au alam mchovu?😂😂

    • @masaigabriel8332
      @masaigabriel8332 6 лет назад

      simondyke03 Tz unaweza kumuongezea mtu hatua moja,ukamrudisha nyuma hatua kumi,hapo utakuwa umemsaidia? au umempoteza?

    • @abbyabbas213
      @abbyabbas213 6 лет назад

      simondyke03 Tz hahaaaaa aisiii

  • @gastocelestine5525
    @gastocelestine5525 6 лет назад +4

    Lil ommy ndio mtangazaji bora wa kiume ndani ya miaka hii miwili

  • @ricksamthecrow
    @ricksamthecrow 6 лет назад

    Emotion inabadilka badilka nikiona hii video mara sad😖 mara hacra😬 mara proud 😎 mara laugher 😂. Yan kivuruge km ruge ila your👹 wata🏃🏃coz una💪
    Otuba hii ni kulko ya raisi yeyote kuwai kutokea 🇹🇿🙌🙌

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    Hongera sana *Baba Tiffah* umeongea point

  • @Manshyne
    @Manshyne 6 лет назад +14

    Clouds kwamba wanaona haibu kumuomba msamaha mond??????😂😂😂😂

  • @pablojames1587
    @pablojames1587 6 лет назад +19

    Chibu we ni virius ambae ukufutwa kwenye memory unabaki kwenye cm

  • @jadenmsafi
    @jadenmsafi 6 лет назад +10

    wcb4life

  • @greatthinker370
    @greatthinker370 6 лет назад

    Nice creativity You deserve 2 be coped si kila jambo LA kukosoa unastahili kuwa mfano Wa kuigwa..

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 6 лет назад

    Speech. Ipo sawa balaa

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 6 лет назад

    SEMA NINI SIMBAAAAAA TUNAMUHITAJI LILOMMY ATUE WASAFI RADIO MANA JAMAA ANAJUA MPAKA ANABOA ASE YANI NI MORE DAN FIRE-FIRE-FIREeeee BAbyyyyy

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 6 лет назад +1

    God bless him

  • @mohamedykassim4039
    @mohamedykassim4039 6 лет назад +5

    Nakubalii simbaaaa

  • @kingdjuma7160
    @kingdjuma7160 6 лет назад

    wewe mama wewe wee funga ila ku sweden yetu tunaisikiliza tu na full like nyingi saanaa

  • @rehemamwakio7377
    @rehemamwakio7377 6 лет назад

    diamond ni Baba yao kenya tunamkubali sana

  • @sihaininassibu7190
    @sihaininassibu7190 6 лет назад +7

    Safi sana mond

  • @kbkibaibulakabakuli3232
    @kbkibaibulakabakuli3232 6 лет назад +1

    Simbaaaaaaaa🔥

  • @zuhurasuleiman434
    @zuhurasuleiman434 3 года назад

    KAma nasema uwongo harmonaize and mashindano Kenya washindane na diamond Kura itakuwa Kwa diamond tunampenda Sana harmonaize akauze tomato hampendi atajwe basi asitukane mwenziwe kama si diamond Huyo harmonaize angepiga dalala asijisahau

  • @deuslawrance7763
    @deuslawrance7763 6 лет назад

    we're together with you as we started 2gether let us ends 2gether

  • @lydiaomito3253
    @lydiaomito3253 6 лет назад +1

    African finest 🔥🔥🔥

  • @allylibaku5233
    @allylibaku5233 6 лет назад +13

    👊👊👊👊👊👏👏👏

  • @lovepipy4811
    @lovepipy4811 6 лет назад

    SIMBA HUYU NI SIMBA DUME TENA LA MBEGU..
    Mambo ni motoooo..

  • @reignsupreme7741
    @reignsupreme7741 6 лет назад

    Does diamond know that A boy from Tandale the album is now available for free in AudioMack!!

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 лет назад

    Simbaaa leo umefunguka sana nizhidaa

  • @juliusdickson2959
    @juliusdickson2959 6 лет назад

    safi mzee

  • @faustineadult5321
    @faustineadult5321 6 лет назад

    Baba wa taifa la bongo fleva anahutubia 🔥

  • @salmaazard9793
    @salmaazard9793 6 лет назад +1

    Mungu ndio kilakitu jitaidiii iliwaumbuke onyo,, ucbebe watangazaji wake wote nyoka waleeeeee☁☁☁☁☁☁☁☁
    🌟☁😌😌😌☁☁✨
    ☁😌😌☁☁😌☁☁
    😌😌☁✨☁☁☁☁
    😌😌☁☁☁☁☁☁
    😌😌☁Good Night✨
    ☁😌😌☁☁😌☁☁
    ☁☁😌😌😌☁☁☁
    ☁☁☁☁☁☁☁☁

  • @baroamani4420
    @baroamani4420 6 лет назад

    Never stop

  • @viceonlinetv8712
    @viceonlinetv8712 6 лет назад

    Big up sana uncle chibu sis tutaendelea kukusaport ww ucjar tu kwa hilo

  • @maxmilianmariceli6708
    @maxmilianmariceli6708 6 лет назад +4

    Milard ayo nimemkimbia na wengine wengi watafata asipo jirekebisha

  • @pilatowapili1166
    @pilatowapili1166 6 лет назад

    Kaza juhudi diamond platnumz

  • @king_msafi_tz9239
    @king_msafi_tz9239 6 лет назад +7

    2po nyuma yako brooo

  • @dereckmgeni5561
    @dereckmgeni5561 6 лет назад

    duu umetisha simbaaaaaa

  • @othtz4210
    @othtz4210 6 лет назад

    Hongera

  • @kamkezzoisoz2028
    @kamkezzoisoz2028 6 лет назад

    safiiii

  • @AccountantMaurice
    @AccountantMaurice 6 лет назад +5

    Uko juu

  • @Saimonamon
    @Saimonamon 6 лет назад

    Ooh my God cloud tujilaum wenyewe inabidi tukubali tumekosea sana sasa hiyo interview tungeifanya sisi

  • @dicksonjastin5044
    @dicksonjastin5044 6 лет назад +1

    nice interview

  • @Premanbtz
    @Premanbtz 6 лет назад +1

    GUSA hii 👇link kwa kuicheki ngoma Kali kutoka kwangu na usisahau ku subscribe 🙏. ruclips.net/video/v0gH4AZ50KA/видео.html

  • @manykavarkhamesy6952
    @manykavarkhamesy6952 6 лет назад

    Kiukweli uyo wazuli anazingua bola wangeweka faini ya hayo nakosa yaliooneka kwenye hizo kazi walizo fungia wao

  • @sigifridyfranky8984
    @sigifridyfranky8984 6 лет назад +4

    mondi mtu mbaya wauweeeeeeeee

  • @rawofecraju2343
    @rawofecraju2343 6 лет назад

    GOOD

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 6 лет назад +4

    Mondi una akili nyingi mnooooo

  • @lamarmalcom7933
    @lamarmalcom7933 6 лет назад +6

    simbaaaa

  • @jiongezetv6896
    @jiongezetv6896 6 лет назад +2

    hero

  • @JayLuda
    @JayLuda 6 лет назад

    aminia sanaaa waznguaji aibu inawajaaaa

  • @ernestjohn231
    @ernestjohn231 6 лет назад +2

    gud simba 🙏🙏🙏💯💯💯

  • @baroamani4420
    @baroamani4420 6 лет назад +4

    bro ukitaka mke wakuowa mimi nakupa dadaangu bureeee usinipe hata mia 100

  • @michaelthomasabdalah568
    @michaelthomasabdalah568 6 лет назад

    simbaaaaaaa himself

  • @hasnaali3879
    @hasnaali3879 6 лет назад +2

    SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

  • @mumewangu3846
    @mumewangu3846 6 лет назад

    mamaeee Munaosema Amekonda kwan Nyiee mumenenepaa Ah Nimevulugwa

  • @phiniasgewa4449
    @phiniasgewa4449 6 лет назад +5

    nc simba

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 6 лет назад +5

    Simbaaaa kitokaaa mbugaa ya Tandale nawaona swala kama clouds wanafosi kuwa sale sale.

  • @tpkurian6556
    @tpkurian6556 6 лет назад +7

    Chibuuu!!!

  • @SportsExtraYT
    @SportsExtraYT 6 лет назад

    Mondi una roho ngumu kama yangu ya kuzidi kukaza pale nnaporudishwa nyuma

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 6 лет назад +6

    The LEGEND

  • @godsonshoot7438
    @godsonshoot7438 6 лет назад +1

    enterview ya KIBABEE

  • @youngsilver8578
    @youngsilver8578 6 лет назад +2

    wcb 4life #malengo

  • @emmanuelmashauri8949
    @emmanuelmashauri8949 6 лет назад

    Kuna kupiliza ili ipoe na kuna kupuliza ili iwake sa wakt #Mawingu wanapuliza ili ipoe kumbe ndo hapo hapo ndo wanaiwashaaa
    #Simba_Dangote

  • @show_lava_mdudu6433
    @show_lava_mdudu6433 6 лет назад

    Nakubali san mond pend san

  • @Wamikogo
    @Wamikogo 6 лет назад +1

    Mwanang umeongea point kama VP tupande pipa twende mbele watanzania tutaku suport popot ulip maan kula za kukufany uchukue tunz tunapiga sis na sio basata ila penye ukweli sem ukwel

  • @richardsilver1501
    @richardsilver1501 6 лет назад

    Bonge la interview haijawah tokea kama hii asante LiliOmmy

  • @lukelokwame8755
    @lukelokwame8755 6 лет назад +10

    4rth comment

  • @hoseanobocka4533
    @hoseanobocka4533 6 лет назад

    Mond we ni genious

  • @kantebwoy261
    @kantebwoy261 6 лет назад

    Huyu lil ommy anajua

  • @bobomsafi7450
    @bobomsafi7450 6 лет назад +7

    @diamondPlatnumz.

  • @enjobw5954
    @enjobw5954 6 лет назад +2

    😀😀😁😁

  • @tabithajohnny2805
    @tabithajohnny2805 6 лет назад

    Waue..

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene 6 лет назад +1

    Wama golden gloves yao nao chaliiiii.......

  • @winniemack1150
    @winniemack1150 6 лет назад +2

    Mmmh me napita hviiii