DIAMOND: UKINIFUNGIA NYIMBO / NAHAMA NCHI / LABDA UNIUWE / NITAI PERFORM TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • (PART1) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
    LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
    Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
    Let's Connect
    / lilommy
    / lilommy
    / lilommyfanpage
    lilommy.com/
    Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Комментарии • 699

  • @CalypsoCalvin
    @CalypsoCalvin 3 года назад +10

    2021-imenibidii nitafute hii clip,jambo la busara sana

  • @leonardmgungu5139
    @leonardmgungu5139 6 лет назад +21

    Big up Simbaaa Kufungiwa nyimbo sio Mwisho was Muzik Pambana bro wew ni Kioo cha Jamii hata Maadui wanajua. Like nyingi kama upo online

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 5 лет назад +11

    Nan ameangalia na mimi 2019 ...... tupia like apa

  • @saadmgendi8537
    @saadmgendi8537 6 лет назад +9

    Mtu utaachaje kumpa pongezi zake huyu Presenter in Tz, Diamond ur the best that's why we proud of you

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 лет назад +31

    Most people just don't understand this Man! THEY HATE HIS PRESENCE BUT RESPECT HIS HUSTLE... Go Diamond goo Broo👌👌 we love and appreciate you

  • @sahaplatnum1033
    @sahaplatnum1033 6 лет назад +24

    kama unapenda #tanzania na unamkubal diamond #platnumz like hapa hapa uspiteeee 🎸🎧🎹🔊🎤🎵

  • @jafaryamosi6172
    @jafaryamosi6172 6 лет назад +19

    HAHAAAAA SIMBA THAT'S AMIZING SAAFI SAANA SAAAAANA umeongea yanayitakiwa kuwa mstari wa mbele naamini hatma ipo love it brother najua unajua unachokifanyaa thanks thank you so much dahh!!

  • @ramsongerald7830
    @ramsongerald7830 6 лет назад +109

    haaa moja ya interview nilyowahi kuielewa duniani nii hii hapa salute #diamond na mkali lilommy

    • @swalehsaid9923
      @swalehsaid9923 6 лет назад

      cunamuelewa @LILOMMY ...

    • @saadmgendi8537
      @saadmgendi8537 6 лет назад

      Ramson GERALD Hatar sana A Boy from Tandale

    • @hilalyrajab7618
      @hilalyrajab7618 6 лет назад

      Ramson GERAL

    • @resadaplaiza2604
      @resadaplaiza2604 6 лет назад

      Ramson GERALD tatzo zngne dunian znakuaga za kidhunguu huwez kuelewa hata ck moja hii ya kiswahl lazma uelewe 😁

    • @mazengosophia6137
      @mazengosophia6137 6 лет назад

      Ramson GERALD yani Mimi pc

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 6 лет назад +113

    Lilommy ni best presenter tz yupo unique sana ktk interview zake anafanya research then anakuja ktk show jamaa yuko attentive na kazi yake big mzazi keep it up

    • @latifanasibu2694
      @latifanasibu2694 6 лет назад

      pendant San ww

    • @ridansithomasi3520
      @ridansithomasi3520 6 лет назад

      mondi ucpanik labla bado hawajaona thamani yako ila wakae waelewe wewe ni zaidi ya mwimbaji nakubali kaz zako broo

    • @mohamedsadiki9846
      @mohamedsadiki9846 6 лет назад

      Nuhu Salim unamsahau jonijoo bingwa anakwambia wahuni siyo watu wazur

  • @devothamalugumalugu7593
    @devothamalugumalugu7593 6 лет назад +10

    😁😁😁 mwisho kabisa pamenifurahisha mm so shabiki wa diamond lakini watu kama hawa ndo tunawahitaji mtunyooshee Tz yetu aise mond akihama tukumbuke tunahamisha jina na tunzo za nchi hii big up chibu 💪💪💪

  • @anthonymchangila4228
    @anthonymchangila4228 6 лет назад +3

    This what we call open mind and how are we suppose to know our products big up diamond... personally am proud of you . I wish you all the best. ...

  • @hibogetikali7996
    @hibogetikali7996 6 лет назад +107

    Wakwanza😂🙌🏻❤️ from kenya diamond ameongea kitu cha maana sanaaa

    • @husnafahim4240
      @husnafahim4240 6 лет назад +1

      Mohamedy Hibo kuna story ya zari 🤔🤔🤔🤔🤔🤔ana ntawaste time

    • @hibogetikali7996
      @hibogetikali7996 6 лет назад +2

      Kwa hii part hawajamuongelea bado but i think part 2 itakua nayo

    • @lucyngare8993
      @lucyngare8993 6 лет назад

      Mohamedy Hibo imeenua kenya sana kwa albam yake jina lime panda sana limetajwa sana kenya

    • @happyfantarimo413
      @happyfantarimo413 4 года назад

      kizaz Sanaa broo mond

  • @adijaasham7460
    @adijaasham7460 6 лет назад +6

    I like that diamond et unaifungia nyimbo wkt ishapia miaka minne watu washafanya shoo washaingza pesa kama jux uzur uzur wk chura y snura....Then unaifungia mwk huu👌👌👌👊

  • @ismaeluchoun8099
    @ismaeluchoun8099 6 лет назад +3

    diamonde wendo my super star yap big bro vimba simba

  • @alibinali_
    @alibinali_ 6 лет назад +9

    That true bro hayo umeyaongea yote wata kubali tu because sio sawa hivo wana wapeleka wasani wetu kwanza hawana shukran kwako umefungua milango mingi sana Tz wajulikana kila kona kwa sababu yako diamond Mungu akulinde na mabaya

  • @immajackisoniimmajackison1151
    @immajackisoniimmajackison1151 4 года назад +3

    Kama bado unacheki mpaka 2020 gonga like hapa

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 6 лет назад +11

    YAANI MI SIO SHABIKI WAKO DIAMOND LAKINI LEO UMEONGEA POINT SANA MZEEE DUUUU... KWELI YULE DEMU KAZINGUA WAHUNI SIO WATU POA

  • @kizzobinzelemed6198
    @kizzobinzelemed6198 4 года назад +2

    Nan yupo hapa 2020 gonga like tujuane

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 6 лет назад +2

    I'm supporting you 💯 Diamond, this is why Africans we can't go further, they want you to get better but not than them.

  • @franknyara9498
    @franknyara9498 6 лет назад +16

    Diamond unajielewa Sana na unajua biashara akuna wa kukushusha watashuka wao

  • @shd12m55
    @shd12m55 6 лет назад +9

    Achana na wabongo diamond njoo uku kenya ujenge maisha mazuri

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv 6 лет назад +7

    lilOmmy sitakaa niamini kuwa hapa bongo kuna presenter clever na creative kama ww.. I salute u brooh..

    • @victormseya9391
      @victormseya9391 6 лет назад +1

      vian marcel kweli jamaaa ni noma anauliza maswali ya akili na swaga siyo clouds ya mchomvu mvuta ninnnn sijui

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 лет назад +1

      vian marcel nakuunga mkono asee uyu jamaa kwngu mm namb moja ommy

  • @stanislastv3786
    @stanislastv3786 6 лет назад +222

    Nasibu bjj mkali wao simbaaaa weka like hapa bila wivu

  • @mwasitihatibu9691
    @mwasitihatibu9691 6 лет назад +2

    Hii Chanel nakubali kweli haina majungu ingekua zengine hapoungesikia badala yakumuliza habari zake wangemuuliza za Ali kiba alimladi tu kuwachochea wasielewane, hongera mtangazaji hongera Diamond

  • @mpoleclassic160
    @mpoleclassic160 6 лет назад +8

    Kama unamkubali king Diamond Platnumz gonga like hapa

    • @immalado1631
      @immalado1631 4 года назад

      Chibudeeeeee simbaaaaa Wasafi 4life

  • @pambavederstus592
    @pambavederstus592 6 лет назад +3

    Nimependa maswali yako omy yako perfect & Mondy nimefurahishwa na kujiamini kwako kuitetea sanaa yetu big up bro Mungu yu pamoja nasi, kazi njeme kwenu.

  • @rebecaosiah2869
    @rebecaosiah2869 6 лет назад +2

    oyoooo nakukubali sana chibu

  • @fadhiljnr2686
    @fadhiljnr2686 6 лет назад +39

    Simba kasema atakurupuka nae....😂😂

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 лет назад +1

    Napenda sauti ya huyu kaka mtangazaji then anajua,thankx nilikuwa nasubiri sana diamond ahongee

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 6 лет назад +100

    Napenda akili za Diamond ...,ambacho watu hawakifahamu nikuwa alifanyia kenya kwa sababu hela za kenya ugigeuza Tanzania ni mammillion pesa taslim.

  • @Manshyne
    @Manshyne 6 лет назад +41

    Mondi kaongea point zoooteeee, kwanza nimependa hajaonesha chuki kwa msanii yeyote....pia anaonyesha anajua challange and archievement za sanaa, safi sana

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 6 лет назад +4

    sawasawa Diamond umeongea kitu cha point sana...wamezidi hao maboya wa kukurupuka...kimbizaaa haooooo...

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 6 лет назад +4

    Diamond wewe uko pow Sana, umeongea kwa umakini Sana, unajua Sanaa

  • @andreallymwangomba2094
    @andreallymwangomba2094 6 лет назад +9

    How many waiting for part two..... Mya favorite presenter

  • @gatusogg6978
    @gatusogg6978 6 лет назад +19

    diamond ni kweli unayo yaongea true

  • @jenifamosha1611
    @jenifamosha1611 6 лет назад +6

    Diamond ni shida hatari mzee baba unaweza mwangu.

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 6 лет назад +11

    Bro tuwekee full interview, icho kipande mm nimeshamaliza nataka niunge maana nimemnunulia mb Leo huyu mfalme Wa Africa

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 лет назад +23

    Hahahahhahahahaha My Chibuu
    ❤️❤️ Don't be Angry 😡 babe
    Calm down sweetie

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +2

    Naibu wa Sanaa Alifaa kuwa
    Mh Joseph Mbilinyi au Joseph haule,
    Hawa ndio wanajua uchungu halisi na Changamoto za sanaa hii.
    Sio hawa wengine mnaowa'download Vyuoni.

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 6 лет назад +33

    Nimeisubilia sana, sema mmechelewa sana kuiweka hadi mb zangu zikawa zinaishia uko kwa hao

  • @muzdalifatomar9712
    @muzdalifatomar9712 6 лет назад +2

    love u so much plutnumZ yani cku zote nlikua nakuona pimbi ila leo nimegundua u a so talent bby mungu akusmamie kwa kweli nakupendaaaaaaa snaaaaaaaaa 😍😍😚😘 wape makavu yao najua watanuna basata

  • @theinsider6462
    @theinsider6462 6 лет назад +6

    Leo ndo nmeiona sura halisi ya SIMBA,Haki ya Nani akimuona naibu waziri Atamuuma 😂😂😂😂

  • @aliiphillip
    @aliiphillip 6 лет назад

    This is now the brain of an icon.. He has spoken words for that lady to chew. Sometimes government sucks.... Welcome to Kenya Diamond if they chase you away. Hit my like

  • @sheymahabdulwahidkhalid6355
    @sheymahabdulwahidkhalid6355 6 лет назад +1

    wallah Daimond Nakukubali sana tena saaaana ❤❤❤ uko vizuli sana pia unaijar sana kz yako tunajivunia kuwa na wasanii wakujielewa kama ww Hapa Tz

  • @isaacservacius586
    @isaacservacius586 7 дней назад

    2024, he spoke the truth.. wamepita wengi but he’s still grooming!

  • @henrypodolski3652
    @henrypodolski3652 6 лет назад +7

    simbaaaaaa ndo kashasema...... hao clouds wamefulua bro umetisha

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +7

    Mungu akutanguliee mbele usiogope mtuu

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 5 лет назад +1

    diamond umeongea point za maana

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 лет назад +8

    nimekuelewa mzeee baba ujuwe ommy minakukubali

  • @hakika_tz1564
    @hakika_tz1564 6 лет назад +7

    Makavu laivu. Nothing to fear than fear itself. Big up mzazi liliomy kw interview ya kibabe sana. Safi Mond kw kufunguka bila kupepesa macho that's what supposed to be!

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 лет назад +27

    🙌simba ata ukifanya nin mie nakukubali Tu Yule dada ajielewi akili zake za kifunza funza eti utamaduni sijui ameishia langapi Yule dada,simba safiii

    • @lilianvicente3436
      @lilianvicente3436 6 лет назад

      Mungu atakusadia simba

    • @jacksonwilison2900
      @jacksonwilison2900 6 лет назад

      Huyo mama aliyekufungia nyimbo mpe Mike tuone kama akaweza kuimba yy anadhani ni Kazi rahis rabda

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 6 лет назад +11

    Simbaaaaaa safi sana kaka tetea haki yako kaka mana wamezd hao wanazngua

  • @kaembakaemba6918
    @kaembakaemba6918 6 лет назад +13

    Nimetokwa na machozi kiukweli kunaviongozi wapo tu😂

  • @shinekamatesmusic9960
    @shinekamatesmusic9960 6 лет назад +4

    Sure Diamond ur correct

  • @elishajohn7302
    @elishajohn7302 6 лет назад +3

    Love motivates people to look for solutions to all problems.

  • @richardbenny156
    @richardbenny156 6 лет назад +4

    Asante boy from Tandale, nikomeshe maboya hao wakupurukaji.

  • @jumaseif4322
    @jumaseif4322 6 лет назад +6

    kweli jamaa mm nakukubali sana

  • @orestangonyani9696
    @orestangonyani9696 6 лет назад +17

    Nasseb ametoa ushauri mzuri sana kwa viongozi, nadhani wange Fanya utafiti kwanza kabla ya kukurupuka

  • @stevenwawafishboy
    @stevenwawafishboy 6 лет назад +152

    Kama unamkubali Diamond Simbaaaa ,
    Like hapa kisha Subscribe kwa Chanel yangu na Utapata Comedy nzuriiiii
    Simbaaaaaa

  • @emmanuelnyakatai7311
    @emmanuelnyakatai7311 5 лет назад +2

    Lily Ommy unaakili sana ndio maana nakukubali

  • @benlankoi217
    @benlankoi217 6 лет назад +5

    simbaa nakubali waambie ukweli

  • @madahacostantine7959
    @madahacostantine7959 6 лет назад +4

    point sana hiyo mond kasema bashelejageeee ngaluu

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 6 лет назад

    RESPECT! A REAL LION,A KING OF BONGO Fleva........ HUOGOPI NA KUSEMA KWELI....UMESEMA NAKED TRUTH, AND Thats a true Lion...NGURUMA!!!!!ROAR FOR US............. And you can talk, Nimeona uchungu wako na nimependa unajua ku control your words....... Respect all the way from Germany

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 6 лет назад +1

    Tatizo la nchi ya Tanzania ni moja tu....... Na hilo ndo chanzo cha uozo wote huu (ufišadi, uzembe, kutoelewa majukumu na mamlaka ya kiongozi au wizara husika ) kamwe huwezi kumteua waziri ambaye hana profession ya wizara husika..... Tukiweza kutatua tatizo hilo basi shida zote zitaisha.... Waziri wa afya awe daktari by profession, waziri wa elimu awe mwalimu by profession, waziri wa sanaa awe amesomea sanaa na michezo, waziri wa nishati awe na profession hyo

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 2 месяца назад +1

    Kama kuna mtu anafuatilia interview hii 2024 tujuane kwa like

  • @paulkasunga7722
    @paulkasunga7722 6 лет назад

    Hard work pays namkumbuka lil ommy toka voice of tabora ktk extra ordinary show mwaka 2008,right now n mtangazaji mkubwa

  • @ndmdkemmedmemememe8940
    @ndmdkemmedmemememe8940 6 лет назад +1

    Chibu said it all in this,deputy minister the ball is in your court ,how you play it,that will define you as a leader. Buyeeeeeeeeee. Get advice from Makonda,is a smart kid.

  • @talatashibo
    @talatashibo 6 лет назад +7

    Really talked brooo🔥🔥🔥🔥💯🇹🇿

  • @gilbertmariwa3830
    @gilbertmariwa3830 6 лет назад

    I'm really proud of u diamond being Tanzanian!! Hapa unanifanya nakumbuka nyimbo ya kenny rogers song coward of the country!! yaani watu walikuwa wanakuona mwoga yaani coward but now umeamua kuonesha u are stronger and brave bro!! Big up

  • @preciousjeremia9444
    @preciousjeremia9444 6 лет назад

    jamany napenda sana interview ya Diamond akiwa na Lili ommy, salute to you guyz

  • @michaelkastochannel8054
    @michaelkastochannel8054 6 лет назад

    Umeongea point Sana.. Sanaa ina changamoto kubwa lakn inaonekana viongozi husika wanakua watoa hukumu kwa kazi za wasanii badala ya kuwasapoti na kuwaondolea changamoto. Nashukur Diamond Umeongea Kwel kwa niaba ya wengine 👏👏

  • @ramadhanmasenga8730
    @ramadhanmasenga8730 6 лет назад

    Diamond ni msanii mwenye vision, ambition and creativity kutaka kumshusha ni kazi ngumu mno. Wigo wake wa mashabiki ni mpana sana, sio Tanzania tu bali Afrika na Dunia

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 6 лет назад +1

    U the baddest @lilommy, great interview and big up to Mond as well.

  • @naifathassan2607
    @naifathassan2607 6 лет назад +10

    Shonza umeyasikia maneno hayo usikurupuke bibie acha sifa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mayegaedward3135
    @mayegaedward3135 6 лет назад

    Your only one who can xpoz dr TANZANIA worldwide

  • @kimkimmie3435
    @kimkimmie3435 6 лет назад

    Yeppie🙌🏼
    Now I love you more D.....
    I’m your fan ..living in +61 .....but from +254

  • @petromahava865
    @petromahava865 6 лет назад

    ebwana heee mondi ni hatar salute bro...ila lilommy pia bonge la mtangazajiiiì......anauliza maswali vzur.....kinoma...bigup lilommy...

  • @emmanuelkiondo8560
    @emmanuelkiondo8560 6 лет назад +1

    Tambwe haupo kama shonza unafanya research mpk kwenye maswali big up bro ✊🏽💪🏾

  • @nurunjematv9834
    @nurunjematv9834 6 лет назад +1

    Doh Ommy let me call u King of interview shikamoo kwako Leo nimegundua mond anataka kuifanya bongofleva kupanda ila kuna watu bado wanaakili za mwaka 2000 ndio wanarudisha mziki nyuma

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 6 лет назад +5

    simbaaaaaaaaaaa
    kizazi zaidi mzazi

  • @jeremiasimfukwe243
    @jeremiasimfukwe243 6 лет назад

    Diamond kaza tu Mzee,hakuna safari inayokosa vikwazo..nakubali sana..#SIIIIIIMBAA.

  • @bigboss8912
    @bigboss8912 6 лет назад +12

    Diamond platnumz ameongea ukweli jaman

  • @khbaamirysr3743
    @khbaamirysr3743 6 лет назад +17

    LilOmmy mtu mbayaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @chibudangote5930
    @chibudangote5930 6 лет назад +6

    simbaaaa

  • @yasinimwinyi371
    @yasinimwinyi371 6 лет назад +21

    Kama BWAI NA IWE
    #NDOhivyoYANI

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral 5 лет назад +1

    ONE LOVE BLOOD #DIAMOND 🎤💎🇹🇿🌎🌟

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet2637 5 лет назад +1

    diamond sikupend lkn umeonge point sana na nimekuelewa much love kwako baba tipha

  • @ezapesambili2902
    @ezapesambili2902 6 лет назад +3

    Mkali Wang hapo bongo Diamond

  • @matanofamiliy4434
    @matanofamiliy4434 6 лет назад

    Dogo anaongea kwa machungu tena ya ukweli kabisa upewa shamba na mungu usafishe upande wakati wakuvuna mtu na cheoo chake akukataze usivune kama ni ww ungekubali ukweli utabaki kua ukweli ndio huuuuo amejiaamini big up dogo nakukubali sana sana

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +1

    Dah anaongea kwahisiaa kama shemejiyangu alimas love u diamond

  • @juniorlyatuu710
    @juniorlyatuu710 6 лет назад +9

    Salute kijana

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 лет назад +77

    Umenichekesha kweli tifa utamnunuliy pempas yani leo ndoo bismillah namuona daimond anachukia

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 3 года назад +2

    2020 december here we are

  • @neemadeus6801
    @neemadeus6801 6 лет назад +10

    Duh umeongea nasibu

  • @wamichapotz9530
    @wamichapotz9530 6 лет назад +4

    Umeongea point sana kaka

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 лет назад +8

    Simbaaaaa😘😘😘

  • @amoscharz5606
    @amoscharz5606 6 лет назад

    Huyo naibu wazir mjinga Sana nazan anapaswa kupigwa mimba ili apewe likizo YA uzazi hata mwaka akija kuridi kazin bongofleva itakua mbali zaidi respect to lilommy for this best interview √√√

  • @madona.1537
    @madona.1537 6 лет назад +3

    Nice kaka.. Hapo umeongea.. Nimekukubali kidogo..

  • @dullahplatnumz2044
    @dullahplatnumz2044 6 лет назад

    diamond platnumz u say true ziogozi tumewachakua sisi sio mutubanie tu coz muko na uwezo that gud point i appreciate kwanza kenya ndio imezidi sana

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 6 лет назад

    Lil Omy nimekubali intro yako kwa Diamond umeianzia kwa mbali sana mpaka ulipo mtaja jina lake, in short umempa sifa zake zote in one minute. Number one Radio presenter Lil Ommy.