DIAMOND: UKINIFUNGIA NYIMBO / NAHAMA NCHI / LABDA UNIUWE / NITAI PERFORM TU
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- (PART1) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
2021-imenibidii nitafute hii clip,jambo la busara sana
Big up Simbaaa Kufungiwa nyimbo sio Mwisho was Muzik Pambana bro wew ni Kioo cha Jamii hata Maadui wanajua. Like nyingi kama upo online
Nan ameangalia na mimi 2019 ...... tupia like apa
Mtu utaachaje kumpa pongezi zake huyu Presenter in Tz, Diamond ur the best that's why we proud of you
Most people just don't understand this Man! THEY HATE HIS PRESENCE BUT RESPECT HIS HUSTLE... Go Diamond goo Broo👌👌 we love and appreciate you
kama unapenda #tanzania na unamkubal diamond #platnumz like hapa hapa uspiteeee 🎸🎧🎹🔊🎤🎵
HAHAAAAA SIMBA THAT'S AMIZING SAAFI SAANA SAAAAANA umeongea yanayitakiwa kuwa mstari wa mbele naamini hatma ipo love it brother najua unajua unachokifanyaa thanks thank you so much dahh!!
haaa moja ya interview nilyowahi kuielewa duniani nii hii hapa salute #diamond na mkali lilommy
cunamuelewa @LILOMMY ...
Ramson GERALD Hatar sana A Boy from Tandale
Ramson GERAL
Ramson GERALD tatzo zngne dunian znakuaga za kidhunguu huwez kuelewa hata ck moja hii ya kiswahl lazma uelewe 😁
Ramson GERALD yani Mimi pc
Lilommy ni best presenter tz yupo unique sana ktk interview zake anafanya research then anakuja ktk show jamaa yuko attentive na kazi yake big mzazi keep it up
pendant San ww
mondi ucpanik labla bado hawajaona thamani yako ila wakae waelewe wewe ni zaidi ya mwimbaji nakubali kaz zako broo
Nuhu Salim unamsahau jonijoo bingwa anakwambia wahuni siyo watu wazur
😁😁😁 mwisho kabisa pamenifurahisha mm so shabiki wa diamond lakini watu kama hawa ndo tunawahitaji mtunyooshee Tz yetu aise mond akihama tukumbuke tunahamisha jina na tunzo za nchi hii big up chibu 💪💪💪
This what we call open mind and how are we suppose to know our products big up diamond... personally am proud of you . I wish you all the best. ...
Wakwanza😂🙌🏻❤️ from kenya diamond ameongea kitu cha maana sanaaa
Mohamedy Hibo kuna story ya zari 🤔🤔🤔🤔🤔🤔ana ntawaste time
Kwa hii part hawajamuongelea bado but i think part 2 itakua nayo
Mohamedy Hibo imeenua kenya sana kwa albam yake jina lime panda sana limetajwa sana kenya
kizaz Sanaa broo mond
I like that diamond et unaifungia nyimbo wkt ishapia miaka minne watu washafanya shoo washaingza pesa kama jux uzur uzur wk chura y snura....Then unaifungia mwk huu👌👌👌👊
diamonde wendo my super star yap big bro vimba simba
That true bro hayo umeyaongea yote wata kubali tu because sio sawa hivo wana wapeleka wasani wetu kwanza hawana shukran kwako umefungua milango mingi sana Tz wajulikana kila kona kwa sababu yako diamond Mungu akulinde na mabaya
Kama bado unacheki mpaka 2020 gonga like hapa
YAANI MI SIO SHABIKI WAKO DIAMOND LAKINI LEO UMEONGEA POINT SANA MZEEE DUUUU... KWELI YULE DEMU KAZINGUA WAHUNI SIO WATU POA
Nan yupo hapa 2020 gonga like tujuane
I'm supporting you 💯 Diamond, this is why Africans we can't go further, they want you to get better but not than them.
Diamond unajielewa Sana na unajua biashara akuna wa kukushusha watashuka wao
Ushasema
Achana na wabongo diamond njoo uku kenya ujenge maisha mazuri
msa boy u
lilOmmy sitakaa niamini kuwa hapa bongo kuna presenter clever na creative kama ww.. I salute u brooh..
vian marcel kweli jamaaa ni noma anauliza maswali ya akili na swaga siyo clouds ya mchomvu mvuta ninnnn sijui
vian marcel nakuunga mkono asee uyu jamaa kwngu mm namb moja ommy
Nasibu bjj mkali wao simbaaaa weka like hapa bila wivu
weee noma
S l
Hii Chanel nakubali kweli haina majungu ingekua zengine hapoungesikia badala yakumuliza habari zake wangemuuliza za Ali kiba alimladi tu kuwachochea wasielewane, hongera mtangazaji hongera Diamond
Kama unamkubali king Diamond Platnumz gonga like hapa
Chibudeeeeee simbaaaaa Wasafi 4life
Nimependa maswali yako omy yako perfect & Mondy nimefurahishwa na kujiamini kwako kuitetea sanaa yetu big up bro Mungu yu pamoja nasi, kazi njeme kwenu.
oyoooo nakukubali sana chibu
Simba kasema atakurupuka nae....😂😂
Napenda sauti ya huyu kaka mtangazaji then anajua,thankx nilikuwa nasubiri sana diamond ahongee
Napenda akili za Diamond ...,ambacho watu hawakifahamu nikuwa alifanyia kenya kwa sababu hela za kenya ugigeuza Tanzania ni mammillion pesa taslim.
chriss cherry Tv kweli kabisa ana jua kutafuta hela
chriss cherry Tv ww👈😂😂😂😂😂👍
💗
mambo mond
J
Mondi kaongea point zoooteeee, kwanza nimependa hajaonesha chuki kwa msanii yeyote....pia anaonyesha anajua challange and archievement za sanaa, safi sana
manSHYNE sana yan
Oooo sina wasiwas na Diamond namkubali tofaut na anavojikubali mwenyewe
baba tiffa
manSHYNE
Imewaza kwenye kuona inatukanya vipi
sawasawa Diamond umeongea kitu cha point sana...wamezidi hao maboya wa kukurupuka...kimbizaaa haooooo...
Diamond wewe uko pow Sana, umeongea kwa umakini Sana, unajua Sanaa
How many waiting for part two..... Mya favorite presenter
Nimekuelewa sana Dimo lakin punguza jazba
diamond ni kweli unayo yaongea true
Ziiiiiimaaaaa
Diamond ni shida hatari mzee baba unaweza mwangu.
Bro tuwekee full interview, icho kipande mm nimeshamaliza nataka niunge maana nimemnunulia mb Leo huyu mfalme Wa Africa
mwita mroni hehehehehhehehehehheehheheheeee
Hahahahhahahahaha My Chibuu
❤️❤️ Don't be Angry 😡 babe
Calm down sweetie
Naibu wa Sanaa Alifaa kuwa
Mh Joseph Mbilinyi au Joseph haule,
Hawa ndio wanajua uchungu halisi na Changamoto za sanaa hii.
Sio hawa wengine mnaowa'download Vyuoni.
Nimeisubilia sana, sema mmechelewa sana kuiweka hadi mb zangu zikawa zinaishia uko kwa hao
umetisha simba
love u so much plutnumZ yani cku zote nlikua nakuona pimbi ila leo nimegundua u a so talent bby mungu akusmamie kwa kweli nakupendaaaaaaa snaaaaaaaaa 😍😍😚😘 wape makavu yao najua watanuna basata
Leo ndo nmeiona sura halisi ya SIMBA,Haki ya Nani akimuona naibu waziri Atamuuma 😂😂😂😂
This is now the brain of an icon.. He has spoken words for that lady to chew. Sometimes government sucks.... Welcome to Kenya Diamond if they chase you away. Hit my like
wallah Daimond Nakukubali sana tena saaaana ❤❤❤ uko vizuli sana pia unaijar sana kz yako tunajivunia kuwa na wasanii wakujielewa kama ww Hapa Tz
2024, he spoke the truth.. wamepita wengi but he’s still grooming!
simbaaaaaa ndo kashasema...... hao clouds wamefulua bro umetisha
Mungu akutanguliee mbele usiogope mtuu
diamond umeongea point za maana
nimekuelewa mzeee baba ujuwe ommy minakukubali
Makavu laivu. Nothing to fear than fear itself. Big up mzazi liliomy kw interview ya kibabe sana. Safi Mond kw kufunguka bila kupepesa macho that's what supposed to be!
🙌simba ata ukifanya nin mie nakukubali Tu Yule dada ajielewi akili zake za kifunza funza eti utamaduni sijui ameishia langapi Yule dada,simba safiii
Mungu atakusadia simba
Huyo mama aliyekufungia nyimbo mpe Mike tuone kama akaweza kuimba yy anadhani ni Kazi rahis rabda
Simbaaaaaa safi sana kaka tetea haki yako kaka mana wamezd hao wanazngua
Nimetokwa na machozi kiukweli kunaviongozi wapo tu😂
Sure Diamond ur correct
Love motivates people to look for solutions to all problems.
Asante boy from Tandale, nikomeshe maboya hao wakupurukaji.
kweli jamaa mm nakukubali sana
Nasseb ametoa ushauri mzuri sana kwa viongozi, nadhani wange Fanya utafiti kwanza kabla ya kukurupuka
Oresta Ngonyani
Oresta Ngonyani nice
Kama unamkubali Diamond Simbaaaa ,
Like hapa kisha Subscribe kwa Chanel yangu na Utapata Comedy nzuriiiii
Simbaaaaaa
Mnazingua bhana, minyimbo yenu ni mitusi, mnazingua sana
Utakulupuka na nani ww mwali
Sio mnakaa uchi nyinyi machoko
Prince Lugome wivu huo
Prince Lugome matusi haya saidii
Lily Ommy unaakili sana ndio maana nakukubali
simbaa nakubali waambie ukweli
point sana hiyo mond kasema bashelejageeee ngaluu
RESPECT! A REAL LION,A KING OF BONGO Fleva........ HUOGOPI NA KUSEMA KWELI....UMESEMA NAKED TRUTH, AND Thats a true Lion...NGURUMA!!!!!ROAR FOR US............. And you can talk, Nimeona uchungu wako na nimependa unajua ku control your words....... Respect all the way from Germany
Tatizo la nchi ya Tanzania ni moja tu....... Na hilo ndo chanzo cha uozo wote huu (ufišadi, uzembe, kutoelewa majukumu na mamlaka ya kiongozi au wizara husika ) kamwe huwezi kumteua waziri ambaye hana profession ya wizara husika..... Tukiweza kutatua tatizo hilo basi shida zote zitaisha.... Waziri wa afya awe daktari by profession, waziri wa elimu awe mwalimu by profession, waziri wa sanaa awe amesomea sanaa na michezo, waziri wa nishati awe na profession hyo
Mzee imeongea kitu muhimu point
Kama kuna mtu anafuatilia interview hii 2024 tujuane kwa like
Hard work pays namkumbuka lil ommy toka voice of tabora ktk extra ordinary show mwaka 2008,right now n mtangazaji mkubwa
Chibu said it all in this,deputy minister the ball is in your court ,how you play it,that will define you as a leader. Buyeeeeeeeeee. Get advice from Makonda,is a smart kid.
Really talked brooo🔥🔥🔥🔥💯🇹🇿
I'm really proud of u diamond being Tanzanian!! Hapa unanifanya nakumbuka nyimbo ya kenny rogers song coward of the country!! yaani watu walikuwa wanakuona mwoga yaani coward but now umeamua kuonesha u are stronger and brave bro!! Big up
jamany napenda sana interview ya Diamond akiwa na Lili ommy, salute to you guyz
Umeongea point Sana.. Sanaa ina changamoto kubwa lakn inaonekana viongozi husika wanakua watoa hukumu kwa kazi za wasanii badala ya kuwasapoti na kuwaondolea changamoto. Nashukur Diamond Umeongea Kwel kwa niaba ya wengine 👏👏
Diamond ni msanii mwenye vision, ambition and creativity kutaka kumshusha ni kazi ngumu mno. Wigo wake wa mashabiki ni mpana sana, sio Tanzania tu bali Afrika na Dunia
U the baddest @lilommy, great interview and big up to Mond as well.
Shonza umeyasikia maneno hayo usikurupuke bibie acha sifa 🤣🤣🤣🤣🤣
Your only one who can xpoz dr TANZANIA worldwide
Yeppie🙌🏼
Now I love you more D.....
I’m your fan ..living in +61 .....but from +254
ebwana heee mondi ni hatar salute bro...ila lilommy pia bonge la mtangazajiiiì......anauliza maswali vzur.....kinoma...bigup lilommy...
Tambwe haupo kama shonza unafanya research mpk kwenye maswali big up bro ✊🏽💪🏾
Doh Ommy let me call u King of interview shikamoo kwako Leo nimegundua mond anataka kuifanya bongofleva kupanda ila kuna watu bado wanaakili za mwaka 2000 ndio wanarudisha mziki nyuma
Kamwendo Online kweliii kabisaaa
simbaaaaaaaaaaa
kizazi zaidi mzazi
Diamond kaza tu Mzee,hakuna safari inayokosa vikwazo..nakubali sana..#SIIIIIIMBAA.
Diamond platnumz ameongea ukweli jaman
LilOmmy mtu mbayaaaaaaaaaaaaaaaa
simbaaaa
Kama BWAI NA IWE
#NDOhivyoYANI
ONE LOVE BLOOD #DIAMOND 🎤💎🇹🇿🌎🌟
diamond sikupend lkn umeonge point sana na nimekuelewa much love kwako baba tipha
we fara tyu
Mkali Wang hapo bongo Diamond
Dogo anaongea kwa machungu tena ya ukweli kabisa upewa shamba na mungu usafishe upande wakati wakuvuna mtu na cheoo chake akukataze usivune kama ni ww ungekubali ukweli utabaki kua ukweli ndio huuuuo amejiaamini big up dogo nakukubali sana sana
Dah anaongea kwahisiaa kama shemejiyangu alimas love u diamond
Salute kijana
Umenichekesha kweli tifa utamnunuliy pempas yani leo ndoo bismillah namuona daimond anachukia
Mbavu zng
haha kawaida sana niwakweke huyo
Yamemfika shingoni ukiona hivo
dah!! mond nakukubari yani hakuna
2020 december here we are
Duh umeongea nasibu
Umeongea point sana kaka
Simbaaaaa😘😘😘
Huyo naibu wazir mjinga Sana nazan anapaswa kupigwa mimba ili apewe likizo YA uzazi hata mwaka akija kuridi kazin bongofleva itakua mbali zaidi respect to lilommy for this best interview √√√
Nice kaka.. Hapo umeongea.. Nimekukubali kidogo..
diamond platnumz u say true ziogozi tumewachakua sisi sio mutubanie tu coz muko na uwezo that gud point i appreciate kwanza kenya ndio imezidi sana
Lil Omy nimekubali intro yako kwa Diamond umeianzia kwa mbali sana mpaka ulipo mtaja jina lake, in short umempa sifa zake zote in one minute. Number one Radio presenter Lil Ommy.