DIAMOND Afunguka "HARMONIZE ni Mwanangu/Nimefurahi KUPATANA nae/Tuliondoka Wote"
HTML-код
- Опубликовано: 10 апр 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamondplatnumz #Harmonize Развлечения
Safi Sana napenda Sana daimond na Harmonize kuhelewana mungu awazidishie
Wanangu kutoka Kenya nipeni likes tukisonga
Wanangu simba ameludi tena mimi diamond maneno yako nayakubali nimeanza kukufatilia toka nenda kamwambie umesemwa sanaaa ila bado upo nasasa ndio one on on Top Tanzania ❤❤❤❤❤❤❤
Presenter uko vzuri sana kwenye Maswali Keep shining 🌟
Nimefurahia sana kuona Diamond na Homonize wamepatana.🌹
Eu gosto muito de ti Desmond es o homem simpatico
DAIMOND MY BEST EVER ARTIST ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa KWANZA NIPENI LIKE ZANGU JMN
Harmonize aombe Radhi Watanzania kwa kumukosea Diamond Platnumz hiyi myaka yote...May God bless Diamond Platnumz 🙏🙏🙏
Acha ubayo ww fanya mambo yako
Fact
Well said
Simba ni msanii alieingiza mabadiliko makubwa sana kwenye hii game na kuonekana inahadhi,,huyu sio tu msanii ni mwanamageuzi,, akili kubwa sana akili za kibepali always zinawaza maendeleo katika soko la ushindani,, huyu jamaa ndo anaamua bongo fleva iende wapi,kabeba vision nzima ya mziki wa bongo, watatamba akina Qchilla,,cjui nani bila mond babu hakuna impact kwenye mziki wa bongo
Sure kaka
Uo ndo ukweli hata wao wanajua bac tu wachache wanajizima data
Watu ni Wana sema eti diamond 💎 atakuja kisahaulika nooo sio rahisi
Uyu ni jamaa ni game changer
Huyu jamaa nikweli hakibu kitu kwenye mtandao. Jamaa anajielewa sana.
Kwa niaba yake H Baba, Baba levo huongea juu ya wanaoshindana naye
@@denismigayi8513msanii mkubwa yupi ambae hana wa kumsemea?
Mbona wanashindwa kukaa kimya kama Mond?
Nipe like zangu apa
🎉
Kama wampenda modi leta likes zako
🎉🎉🎉❤❤❤
Nakubali kaka
Ni founder wa RICK MEDIA???
Maa shaa Allah Diamond
Harmonies aombe msamaha hadharani kama alivyokuchafua hadharani,kujidai kurudi ni kiki tu,mzee wakiki huyo uwemakini nae diamonda,😊
😂😂😂😂 wewe unahusika vipi na chuki zao
rick media ni yake
Diamond amebobea Sana saikolojia anapoongea utamuona mwema saaaana lakn moyon mwake po tofauti (Nyoka uyo)
Mulizen kuhusu mavoko
Mavoko anamuhusu Nini wkt alidanganywa na washenzi wa clouds kwa nn usiwaulize clouds chanzo Cha kumtoa Mavoko wasafi
Ndioo craud wali mponza mavoko. Na lile kampuni la mubi pilipili ndilo lime mpoteza mavokoo kaka
Kumbe
kweli naona wanamsahau kumtaj!!
Ahahaha au basiii
Wezombi haujui Simba wamasimba dangote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu ndo simba
Hiyo kofia navalia nguo nyingi 😂
Huo ni unafki tu toka kwa diamond