SALLAM SK: ZARI ATAKUWA JINI, LAZIMA DIAMOND AENDE / ALIKIBA ALIOMBA NA KUSAMBAZA MWENYEWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
    Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com

Комментарии • 152

  • @sshaby52
    @sshaby52 4 года назад +12

    Kama bado unacheki iyi interview ya kizazi hadi 2019 Nov. ngonga like twende sote

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 лет назад +22

    Yani anajielewa huyu manager na hataki mchezoo aya kama unamkubali sallam na wcb wote gonga like hapa..+254 Mombasa

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 4 года назад +1

    love that simzindikizi mtu kwenye utajiri money talk alright!?
    Got nothing for free nimependa hiyo.. We love u SK xxx London

  • @juanitaokech4136
    @juanitaokech4136 6 лет назад +7

    Such a good interview. I rarely sit up through an interview but I did. Brains at work, I see y WCB is doing so fine

  • @kancelarmnyolow6766
    @kancelarmnyolow6766 6 лет назад +3

    ommy kudos Kati ya interview zako huwa umefanya utafit WA Hali ya juu.. Kazi njema nzuri bro

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 6 лет назад +3

    Baila..mil 4..iyena 8.9 kama sikosei tambwe kizazi xana...mzee..salute kwako ...mvp

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 6 лет назад +5

    Akili kubwa sana big up salam sk

  • @noelmangoma6197
    @noelmangoma6197 6 лет назад

    mjomba lil omy nashukuru kwa energy na insparation unayonipa siku nitakutana na ww

  • @timothyjackson2961
    @timothyjackson2961 6 лет назад +11

    Nachomkubl lilommy uwa anachimba xana v2 thats how presenters are supposed to be👊👊👊

  • @jrwizzy1883
    @jrwizzy1883 6 лет назад +10

    Li ommy huwaa ukoseii interview zako hatariii 👏👏👏👏

  • @soljtv4123
    @soljtv4123 6 лет назад +3

    Mature answers from salam sk 🔥 🔥

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 6 лет назад +32

    Yani wwe lil ommy akuna kama wwe interview zako ziko juu nikiwa 🇰🇪🇰🇪🙏🏽

    • @6tv908
      @6tv908 6 лет назад +1

      ruclips.net/video/U5sTJPOcGDo/видео.html
      hiyo link moja kat ya intervie ya smba

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  5 лет назад +1

      Pamoja sana. Asante kwa luv na sapoti

  • @omarngala396
    @omarngala396 6 лет назад +8

    sallam SK wewe nimkweli broo

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 6 лет назад +3

    Jaman naomben namba ya huyu Kaka,nampenda jaman(Ommy)

  • @gideonkabyemela3744
    @gideonkabyemela3744 6 лет назад +4

    kizazi sana Ommy...such a very conc (Fcu 25) questions..

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +67

    Yaan kama unawakubali WCB kwa ujumla acha ubishi acha majungu gonga like yako hapa

    • @6tv908
      @6tv908 6 лет назад

      ruclips.net/video/U5sTJPOcGDo/видео.html
      hiyo link moja kat ya intervie ya smba

  • @عزامشيخ
    @عزامشيخ 6 лет назад +5

    Kazi nzuri sana kaka

  • @morgan0016
    @morgan0016 4 года назад +1

    My fav from 254 cessbeauty kwa fb. Love saalam 2 death.

  • @yohanakedimon990
    @yohanakedimon990 6 лет назад +6

    pamoja sana liliomy kizazii sana man

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +38

    MANAGER MWENYE AKILI, ANAJUA INTERTAMENT, ANASWAGGAZ, ANAJUA KIPI CHA KUONGEA NN,NA NN SIO CHA KUONGEA!!! WENGINE TUJIFUNZE HAPA AISEH!!

    • @6tv908
      @6tv908 6 лет назад +1

      ruclips.net/video/U5sTJPOcGDo/видео.html
      hiyo link moja kat ya intervie ya smba

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 6 лет назад +2

      Benson Frank kweli sana bro

  • @hababoytv788
    @hababoytv788 6 лет назад +10

    Sallam SK🔥🔥🔥

  • @zuriathkajwangya1724
    @zuriathkajwangya1724 6 лет назад +4

    Actually×100 amejibu vizuri sana

  • @davidseleman5060
    @davidseleman5060 6 лет назад +3

    sallam.......he is so brave aiseeee

  • @yusuphomary5464
    @yusuphomary5464 6 лет назад +7

    Jamani mmeona T-shirt ya salam imeandikwa BUMBU

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 6 лет назад +5

    Wcb for life 🔥🔥

  • @wawukweliaisha8414
    @wawukweliaisha8414 6 лет назад +5

    kizazi sana🙌🙌

  • @jumambuto8980
    @jumambuto8980 6 лет назад +8

    kizazi sana hiyo Tambweeeee ✊✊✊

    • @maryamoman1631
      @maryamoman1631 6 лет назад

      JUMA MBUTO sana ningeipata ningeweka ring tone

  • @shechow_tz6827
    @shechow_tz6827 6 лет назад +2

    my role model #LilOmmy

  • @salmamohamed4678
    @salmamohamed4678 6 лет назад +2

    mtu mwenye akili big up kaka

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 6 лет назад +3

    Kizazi sana in #lilommy voice

  • @williamuzale4578
    @williamuzale4578 6 лет назад +4

    Duuuh sk nomaaaaa♨

  • @hashimmahdi4101
    @hashimmahdi4101 6 лет назад +6

    Dah,Tambweee first view,first comment.....

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu1 6 лет назад +10

    Tabweeeee show kali sana

  • @amosmsafi3528
    @amosmsafi3528 6 лет назад +11

    Salam malza gogoro na mavoko bro tunataka music 🎶 malumbano si kitu poa kwa hatua mliyopo wcb forever

  • @maryamammar1702
    @maryamammar1702 6 лет назад +2

    Manager mwenyewe 😍😍😍

  • @happinessmdaki3367
    @happinessmdaki3367 6 лет назад +7

    Aliposema zari atakuwa jini mbna sijaona

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 6 лет назад +5

    ya kizazi sana kama k +254 nawakilisha

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki7664 6 лет назад +13

    **Lil ommy interview zako ni za kibabe yaani ziko vizuli

  • @hadijagere1411
    @hadijagere1411 6 лет назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Ron_cita
    @Ron_cita 6 лет назад +5

    is like actually your favourite word. actually, actually actually

  • @sarahmukangura7154
    @sarahmukangura7154 6 лет назад +13

    Too much actually my God

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 6 лет назад +4

    Manager mkali saana

  • @irenelucy6349
    @irenelucy6349 6 лет назад +3

    W.c.b. forever

  • @salimsiri5735
    @salimsiri5735 6 лет назад +2

    nice bro lilommy

  • @mrskenny905
    @mrskenny905 6 лет назад +2

    Nakuamini san LilyOmmi TV

  • @moestunnertv2582
    @moestunnertv2582 6 лет назад +2

    Lil ommy interview zako kali aisee

  • @zahoorzozo2241
    @zahoorzozo2241 6 лет назад +3

    Pa 1 Lilly Ommy 😙😙

  • @kakuhassan4734
    @kakuhassan4734 4 года назад

    uko safi,nlitaka kujua iyo kofia utavaa adi njee au ndani tu apo studio.

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 6 лет назад +4

    Big up

  • @bothinabothina3603
    @bothinabothina3603 6 лет назад +3

    9689 nakupenda bure unauliza swali za maana omani tunakupenda lil omy

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +4

    Kizazi sana

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 6 лет назад +1

    Siku hizi unayumba sana na hizo heading zako. Sasa hapo zari na ujini uko wapi?! Au na wewe ni walewale wanaoandika heading Za diamond ft alikiba halafu ndani ni msondongoma!
    You are great now mzee. Hizo ni vitu vya youtube beginers. Jifunze kwa waliotangulia. Achana na hawa mawaki wa siku hizi. Weka title inayoweza kuwa observed na inayoreflwect yaliyomo. Usituunganishie maneno ya interview ukatoa sentensi ambayo hata haina uhalisia.

  • @munnymunny7299
    @munnymunny7299 6 лет назад

    My best presenter

  • @godfreyakyoo5359
    @godfreyakyoo5359 6 лет назад +3

    kizazi sana tambweeee

  • @hawashabani6150
    @hawashabani6150 6 лет назад +4

    Penda.sana simba

  • @bukaone7507
    @bukaone7507 6 лет назад +1

    Lil Ommy & Salam mko vizur sana.

  • @edwinm.masong1729
    @edwinm.masong1729 6 лет назад +5

    yah walau kinaeleweka wakubwa kama hawa wakizungumza.

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 6 лет назад +2

    Nice Show I Have EVER Love
    This Guy Is Genius #TAMBWEE
    Leo Umewakaa mzee🙌🏽♥️🙌🏽♥️🔥

  • @munnymunny7299
    @munnymunny7299 6 лет назад

    We jamaaa unajua sanaaaaaaa

  • @boasmbwaga8362
    @boasmbwaga8362 6 лет назад +1

    bg Up lili omy

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 6 лет назад +40

    simsindikizi mtu kwenye utajir

  • @alexkush9385
    @alexkush9385 6 лет назад +4

    Jamaa anajielew kinomaaa

  • @kingsimbahh8458
    @kingsimbahh8458 6 лет назад

    Aiseee

  • @sarahalfani3124
    @sarahalfani3124 4 года назад +1

    Nilifikir interview mpya 😃😃

  • @iddafr7171
    @iddafr7171 6 лет назад +2

    tuletee seven umfanyie interview

  • @halimambwego7706
    @halimambwego7706 6 лет назад

    Nice boss

  • @MibobaBaha
    @MibobaBaha 6 лет назад +1

    iyena 8.7M views brother

  • @abibumlotwa2722
    @abibumlotwa2722 6 лет назад +2

    Sana Mzee baba

  • @baimbaramadhan424
    @baimbaramadhan424 6 лет назад +9

    Actually 😂😂😂😂😂

  • @brightonvalentino9024
    @brightonvalentino9024 6 лет назад +3

    TAAAMBWEEEE UMENILETEA MTU MUHIMU SANA WCB KAZI NZURY BILA HUYU NA BABU TALE WCB TUSINGE TOFAUTISHA NA WEUSI

  • @wilymsumary6263
    @wilymsumary6263 6 лет назад +5

    Mtu mwenyeakil xake timamu simbaaaaaaaaaàaåāäääääääää

  • @adamwaziry2253
    @adamwaziry2253 6 лет назад +2

    We here.2 tambweeee

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi6893 6 лет назад +3

    Hehe pitia account yangu uone Zari alivomjibu sallam

    • @daudijuma9093
      @daudijuma9093 5 лет назад

      Mbn skuon kit ebuu pig screenshoot nione

  • @CLASSICTVONLINE1969
    @CLASSICTVONLINE1969 6 лет назад +2

    Gonga like nakukubali

  • @semendonatusi1071
    @semendonatusi1071 6 лет назад +3

    dar nimependa hiii

  • @omarmwalile543
    @omarmwalile543 4 года назад

    Kweli siovyema kumsindikiza mtu kwenye utajir.

  • @arnoldkimbory4193
    @arnoldkimbory4193 6 лет назад +4

    Show ya kizazi

  • @aimanabwedu7047
    @aimanabwedu7047 5 лет назад

    Mr actually......

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад

    Kumbe Salaam aitwa Mende?

  • @nzwallahprince2616
    @nzwallahprince2616 6 лет назад +4

    mambo

  • @bachirncadebachir7099
    @bachirncadebachir7099 5 лет назад

    mozambiki colours ilifanyika na Liza jems in portuguese

  • @fadhiljnr2686
    @fadhiljnr2686 6 лет назад +3

    Kijana wa kiislamu ana advertise #Bumbu mungu atuongoze sote inshaAllah

  • @ithurttolovesomeone
    @ithurttolovesomeone 6 лет назад +2

    JIUNGE NA GROUP LA WHATSAPP LA GIGOLO NA STRIPER 0710609844 UPATE HUDUMA ZURI NA UINGIZE PESA NYINGI

  • @jamboproductsjambo1452
    @jamboproductsjambo1452 6 лет назад +4

    Tambwee mmnyemaa

  • @innocentisakala6179
    @innocentisakala6179 6 лет назад +4

    Viewer wa 5 💪💪💪😂

  • @dontusethis481
    @dontusethis481 6 лет назад +3

    Ajira shida kweli bofya hapa
    ruclips.net/video/PmIISWHAK0o/видео.html

  • @devicedodo9781
    @devicedodo9781 6 лет назад

    #Liomy Noumaa san

  • @ibrahimgreyson7829
    @ibrahimgreyson7829 6 лет назад +5

    Amann sindioo

  • @salmamassoud9863
    @salmamassoud9863 6 лет назад +4

    maswali yako pambe

  • @lyeesanchez3725
    @lyeesanchez3725 6 лет назад +2

    Tambweeeeeeeeee

  • @mussansoleziplutnumz2097
    @mussansoleziplutnumz2097 6 лет назад +2

    Iyena ina views m8 bhana

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 лет назад +3

    Tambwe

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад

    Tambweee!!!

  • @fatumabhallo8518
    @fatumabhallo8518 4 года назад

    Kwa nn mnapenda kutafunatafuna mkihojiwa huo ni ujinga

  • @rahmar4728
    @rahmar4728 6 лет назад +5

    Meneja acha porojo kama wahana ugomvi wafanye colabo ili kutuminishia mashabiki kuwa alliy na daimondi hawana beef

    • @ibrahimdaffa1208
      @ibrahimdaffa1208 6 лет назад

      Rahma R hasindikizwi mtu kwenye utajiri, wimbo utakuwa wa nani na nani amlipe mwenzake?

    • @mikehjackson6185
      @mikehjackson6185 6 лет назад

      Rahma R una upeo mdogo sana wa kufikir kwaiyo collabo ndo kiashilia cha kutokua na ugomvi ?

    • @issasalimu6532
      @issasalimu6532 6 лет назад

      Rahma R Rahma hahahaaa naona kakithembe hakajawai kukuacha salama mamaaa wahanaaa=hawana

    • @rahmar4728
      @rahmar4728 6 лет назад

      Mbna mapovu jaman

  • @masoudzanzibarali9994
    @masoudzanzibarali9994 6 лет назад +1

    Nikusaidie kitu kimoja tu Omy ulivosema kama Daimond angekua msanii wa kwanza kutoka Africa kuimba kwenye World Cup sio kweli Jose chameleon na Yule jamaa kutoka Ghana na walifanya collaboration na Keri Hilton wa US na wengine wingi kutoka Africa waliimba WorldCup 2010 SouthAfrican Sema angekua MTZ wa mwanzo

  • @hamzadimpoz391
    @hamzadimpoz391 6 лет назад +3

    Mbona akija alikiba humuulizi ayo maswali

  • @tariqissa5083
    @tariqissa5083 6 лет назад +4

    Kama umemuona whozu katika laptop gonga like

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 6 лет назад +2

    washa moto kenge wakimbieee sn

  • @rongemwibe1873
    @rongemwibe1873 6 лет назад +2

    Unamaswali mazuri sana