FID Q - DIAMOND UMEISHIWA SIKU HIZI / SIO KAMA KIBA
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
big up bro Fid Q kama unamkubaree Fid Q gonga like twende pamoja
Ngosha the swagga don....Talented uyu jamaa anabakia kuwa legend wa hiphop tanzania....Show iko hot sana #theplaylist ndani ya #timesfm ma men duh #lilommy love u brother be blessed
Kama unamkubali Fd Q gonga like Twende sawa
OMG! FID Q! That's my man, yaani huu ndo unaitwa wosia! Wakongwe wa Bongo Flava ambao wakifungua mdomo, #IListen
Just missed Lady Jay Dee, Ferouz, Matonya, Prof Jay, TID, AY...them days!
*#AWellSpokenArtist*
ngosha de father of HIP HOP 🎶bongo...l do appreciates your work ov art..stay blessed more en more
lakin mond alikataa kufanya na Karol..your the icon to rise our music
Blessed mingi kwako bro Fareed 🙏🙏💯
Fid Q Namkubal Xana Napokuja Kumalizia Na Ngoma Yake Ya Bongo HipHop Aixee Aendelee Kuwepo Muda Mefu BLESS FID Q
ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Happy birthday Ngosha...watu wanaoni inspire...uko kwa hio list mzee baba..
Namkubali sana mzee baba . Big up nawe lil omy
well..Fid I think our music is growing up...and we it ll'never drop...I think time is factor and we gonna reach to higher level
Daaaaa tumezaliwa sawa na fid QTeam 13/08 daaaaa nafurah sana hii show ilinipita daaaaa
Ngooooooosha the Don.
👑 of Hip-hop
Fresh sana lil ommy nahapa Rwanda tunakupenda naitwa innocent
Huyu mtu safi sana since day 1on the game Happy Birthday massive
Mwambie Fid ...Cloud ya nje ya town sio ya kiwack...ila watu wanakuwa wanamzuka wa kumshangaa msanii wanaompenda na huwa hawaamini kama kweli yule wanaomsikiaga ndio yupo live before them...ni mapenzi tu.
Happy Big day fid Q. .bonge la interview lilommy
much respect
Great Ngosha umetisha mzeiya....
FAQ og
Big ngosha naikubali sana ngoma yako ya ILEWE MITAA
Nakupata @therealfidq
god blesss fid q
The Real Fid.
Dah nilikua nimemis sana mastory yako mkbwa
Mr Pure Hip Hop nakukubaleee bro endelea kukaza shabiki zako tupo tunakusurppot
Fid q wewe ni noma sana brooo@abdul_fast.pilot2019 like hapo
Nakukubali sana Bro *Fareed*
Bro farid i like the way you reason
Big up yaself Mr Kubanda
HBD Fid Q
fresh rmx imekuhalibiakwel pole ilitakiwa ujue hilo kabla king anapendwa mashabikiwake wasingekuacha salama yule wanamwita kipenz chawatu pole bro
Nakubaree boy fdq we ni kioo
Ngosha the swagger Don!
Yeah man!! Kitabu usichokielewa hukuandikiwa we we!! Good Fid
😆😆😆 dat true boy👉👉
Happy bday big bro @fidQ
ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
safi sana by dash combo
Nakubari mzazi fidq amanikwako braza
Ommy unapenda sana kutia jina la diamond ama kiba kwenye caption zako
Happy bday legendary
From +254 who is watching
Speaking truth
nice bro lilommy
Nakuelew xsan fid Q we sio wa kisport sport kweny Kaz yk
hayakuhusu kama raha p##nakuja zaidi ya sister p,fid q hajachuja wala kuvuja vizur tukimwita mwanza, mwanza
Respect
Uko juu kaka
Ngosha ze sawaga done
OK sawa fDQ
Nakukubali mpaka kufa ndio maana kila nyimbo yako haikosekani kwenye phone yng
Pamoja sana mzazi
Lil Ommy uko vzr bro maana unakuga na Feed back ya msaa heshima kwako KAKA
Pamoja sana
Fidq ni power
NGOSHAA...!!!! 🙌
fid q mtu mbaya nakukubari sana
nakukubali ngosha
Nakuelewa sana fid
Genius
woraaa!!!woraaa!!!!.gooda mazee.
Bigup
Safi sana kaka farid
Guud
Imefunguliwa Akron it’s called I PROMISE
TANZANIA one for hip hop
safi sanaa fid
Unajua nn Ommy fid q mwisho kabisa
"mpaka sasa hv fid q umesoma vitabu vngap" ubongo wako ni library tosha!!!!
Fid q big up.
omy kenzo tz tupendane
Fid we noma
Stuff
Genius ngosha
noma fdq
Ngosha ni noma
Fid 😂😂😂 uyu jamaa ikiwa anaongea uwa anavitu vingi sana unajifunza 🙌
Ngosha #thedon
ya kizazi sana kama k +254kenya tunakubali
Dah! ukikaa kumskiliza ngosha ni darasa la maisha tosha haihtaj shule
I like that,Ngosha
ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Umenifanyaa niplay huu wimbo wa juhud za wasiojiwezaaa mara mbili aseee mana nimiongon mwa nyimbo zangu bora za hip pop
For real namuelewaga sana huyu jamaaa toka nko shule ya msingi
Nakubar sana ommy mzee mzee pafande fran tumekuma makpu toking
Kuna ukweli kwenye hii dunia unachokipenda kinakutokea kwa namna Fulani. Fid Q nilimpenda sana sana sana na nimekuwa nikiimba nyimbo zake nyingi sana, kilichotokea mtoto wangu wa kwanza akazaliwa August 13/ 2016. Ilikuwa siku ya ijumamosi
August 13/.... The same
Fid q akili unayo 🤘👌
You tolk fact the done
ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Good
Nampenda Diamond kwasabab nimegundua watu wanamchukia bila sababu mfano ni huyu Fid Q kataka collabo Mond kakubali kaimba nae katukanwa na mashabiki lakin kumchukia Mond mpaka kwenda kumuimba sasa Diamond kahusikaje hapo au Kiba kaingiaje hapo? Diamond Mungu atakutetea kwasabab moja tu hizi chuki zinampa sababu ya kukulinda hatakuacha
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🌟✊🏼
Nakubali mziki wa unaishi
Tatizo wabongo tuna roho mbaya...mtu mwenye access ya kutoka hataki kumpa connection mwenzie anaona atafunikwa au anataka awe yeye tu anaeng'ara ili tz nzima tumsifu yeye
ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Jinsii alivyo ichambua kiberitii maaan thats concious for alife time hatariii sanaaaa
Kuwa na msimamo ww unakuwa km demu,,Q vp Maneno yakuambiwa.
Dah yani nimechelewa kicheki hii interview kiukweli nakukubli sna fid q tena kikubwa zaidi najivunia zaidi kuzaliwa mwaka 1 na ww ngosha kiukweli ww ni zaidi ya msanii maana maneno yko ni zaidi somo mwenye akili ndy anayaelewa maneno yko
Ngosha
Nakukubal sana fid
hatari MR kubandaaa
mwalimu wa hiphop bongo
Nakupnda sana brother faridi
san
Huyu jamaa Fid Q ni noma