FID Q - DIAMOND UMEISHIWA SIKU HIZI / SIO KAMA KIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
    Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com

Комментарии • 187

  • @eustacemajura2596
    @eustacemajura2596 6 лет назад +5

    big up bro Fid Q kama unamkubaree Fid Q gonga like twende pamoja

  • @ltlmedia8480
    @ltlmedia8480 5 лет назад +3

    Ngosha the swagga don....Talented uyu jamaa anabakia kuwa legend wa hiphop tanzania....Show iko hot sana #theplaylist ndani ya #timesfm ma men duh #lilommy love u brother be blessed

  • @assanitz1449
    @assanitz1449 6 лет назад +65

    Kama unamkubali Fd Q gonga like Twende sawa

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 6 лет назад +5

    OMG! FID Q! That's my man, yaani huu ndo unaitwa wosia! Wakongwe wa Bongo Flava ambao wakifungua mdomo, #IListen
    Just missed Lady Jay Dee, Ferouz, Matonya, Prof Jay, TID, AY...them days!
    *#AWellSpokenArtist*

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 6 лет назад +3

    ngosha de father of HIP HOP 🎶bongo...l do appreciates your work ov art..stay blessed more en more

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu90 6 лет назад +4

    lakin mond alikataa kufanya na Karol..your the icon to rise our music

  • @lawrancejosephat7387
    @lawrancejosephat7387 6 лет назад +3

    Blessed mingi kwako bro Fareed 🙏🙏💯

  • @evanceurio7926
    @evanceurio7926 6 лет назад +15

    Fid Q Namkubal Xana Napokuja Kumalizia Na Ngoma Yake Ya Bongo HipHop Aixee Aendelee Kuwepo Muda Mefu BLESS FID Q

    • @theminutestv
      @theminutestv 6 лет назад

      ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 6 лет назад +1

    Happy birthday Ngosha...watu wanaoni inspire...uko kwa hio list mzee baba..

  • @devothamedia5177
    @devothamedia5177 6 лет назад +3

    Namkubali sana mzee baba . Big up nawe lil omy

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu90 6 лет назад +3

    well..Fid I think our music is growing up...and we it ll'never drop...I think time is factor and we gonna reach to higher level

  • @paulsylvester7877
    @paulsylvester7877 6 лет назад +3

    Daaaaa tumezaliwa sawa na fid QTeam 13/08 daaaaa nafurah sana hii show ilinipita daaaaa

  • @bakaribakari_
    @bakaribakari_ 6 лет назад +8

    Ngooooooosha the Don.

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 6 лет назад +2

    👑 of Hip-hop

  • @emmanuelmurisa8717
    @emmanuelmurisa8717 5 лет назад +1

    Fresh sana lil ommy nahapa Rwanda tunakupenda naitwa innocent

  • @aboubacarkillo5140
    @aboubacarkillo5140 6 лет назад +5

    Huyu mtu safi sana since day 1on the game Happy Birthday massive

  • @kashikimaro8919
    @kashikimaro8919 6 лет назад +9

    Mwambie Fid ...Cloud ya nje ya town sio ya kiwack...ila watu wanakuwa wanamzuka wa kumshangaa msanii wanaompenda na huwa hawaamini kama kweli yule wanaomsikiaga ndio yupo live before them...ni mapenzi tu.

  • @kingbidder
    @kingbidder 6 лет назад +3

    Happy Big day fid Q. .bonge la interview lilommy

  • @jilugalamarco9308
    @jilugalamarco9308 6 лет назад +5

    much respect

  • @michaelnjau5001
    @michaelnjau5001 6 лет назад +18

    Great Ngosha umetisha mzeiya....

  • @eliusmwajeka5287
    @eliusmwajeka5287 5 лет назад +1

    Big ngosha naikubali sana ngoma yako ya ILEWE MITAA

  • @eliudeliakayela9598
    @eliudeliakayela9598 6 лет назад +5

    Nakupata @therealfidq

  • @clementseje132
    @clementseje132 6 лет назад +2

    god blesss fid q

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 5 лет назад +3

    The Real Fid.

  • @gadsonmanchester475
    @gadsonmanchester475 6 лет назад +7

    Dah nilikua nimemis sana mastory yako mkbwa

  • @aizohimself8537
    @aizohimself8537 5 лет назад +3

    Mr Pure Hip Hop nakukubaleee bro endelea kukaza shabiki zako tupo tunakusurppot

  • @abdulrahmanmohd4064
    @abdulrahmanmohd4064 5 лет назад +1

    Fid q wewe ni noma sana brooo@abdul_fast.pilot2019 like hapo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +4

    Nakukubali sana Bro *Fareed*

  • @mwarasiali6162
    @mwarasiali6162 Год назад

    Bro farid i like the way you reason

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 6 лет назад +2

    Big up yaself Mr Kubanda

  • @macochblog
    @macochblog 6 лет назад +3

    HBD Fid Q

  • @jacksonsawan9606
    @jacksonsawan9606 3 года назад

    fresh rmx imekuhalibiakwel pole ilitakiwa ujue hilo kabla king anapendwa mashabikiwake wasingekuacha salama yule wanamwita kipenz chawatu pole bro

  • @badqwakusini2380
    @badqwakusini2380 6 лет назад +2

    Nakubaree boy fdq we ni kioo

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 6 лет назад +2

    Ngosha the swagger Don!

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 5 лет назад +1

    Yeah man!! Kitabu usichokielewa hukuandikiwa we we!! Good Fid

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 6 лет назад +4

    Happy bday big bro @fidQ

    • @theminutestv
      @theminutestv 6 лет назад

      ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 6 лет назад +2

    safi sana by dash combo

  • @manenomseku4982
    @manenomseku4982 4 года назад

    Nakubari mzazi fidq amanikwako braza

  • @ommymvp884
    @ommymvp884 6 лет назад +7

    Ommy unapenda sana kutia jina la diamond ama kiba kwenye caption zako

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 6 лет назад +2

    Happy bday legendary

  • @chitrixxke850
    @chitrixxke850 6 лет назад +1

    From +254 who is watching

  • @ngwarutomohammed
    @ngwarutomohammed 5 лет назад +1

    Speaking truth

  • @salimsiri5735
    @salimsiri5735 6 лет назад +2

    nice bro lilommy

  • @sililonhandula1634
    @sililonhandula1634 6 лет назад +2

    Nakuelew xsan fid Q we sio wa kisport sport kweny Kaz yk

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 лет назад +1

    hayakuhusu kama raha p##nakuja zaidi ya sister p,fid q hajachuja wala kuvuja vizur tukimwita mwanza, mwanza

  • @jumakhalid9352
    @jumakhalid9352 6 лет назад +3

    Respect

  • @mussamchinjo68
    @mussamchinjo68 6 лет назад +1

    Uko juu kaka

  • @mohamedali4347
    @mohamedali4347 6 лет назад +2

    Ngosha ze sawaga done

  • @mgabejames6365
    @mgabejames6365 6 лет назад +1

    OK sawa fDQ

  • @wistonymoses3571
    @wistonymoses3571 5 лет назад +1

    Nakukubali mpaka kufa ndio maana kila nyimbo yako haikosekani kwenye phone yng

  • @daudimamba926
    @daudimamba926 5 лет назад +1

    Pamoja sana mzazi

  • @dzekomadiba8245
    @dzekomadiba8245 5 лет назад +2

    Lil Ommy uko vzr bro maana unakuga na Feed back ya msaa heshima kwako KAKA

  • @sagutangumsangu4974
    @sagutangumsangu4974 5 лет назад +1

    Pamoja sana

  • @user-el1vw3tt1i
    @user-el1vw3tt1i Год назад

    Fidq ni power

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +4

    NGOSHAA...!!!! 🙌

  • @tunguizengo5996
    @tunguizengo5996 6 лет назад +2

    fid q mtu mbaya nakukubari sana

  • @khamismtupa4080
    @khamismtupa4080 6 лет назад +1

    nakukubali ngosha

  • @sebastianjuma8386
    @sebastianjuma8386 4 года назад

    Nakuelewa sana fid

  • @nyankongomakori4999
    @nyankongomakori4999 6 лет назад +1

    Genius

  • @shabanyassin1473
    @shabanyassin1473 6 лет назад +1

    woraaa!!!woraaa!!!!.gooda mazee.

  • @bussaidally9471
    @bussaidally9471 6 лет назад +3

    Bigup

  • @mandaicontz2721
    @mandaicontz2721 5 лет назад

    Safi sana kaka farid

  • @robbykaizer4281
    @robbykaizer4281 6 лет назад +1

    Guud

  • @talentpowertvnews7168
    @talentpowertvnews7168 6 лет назад +2

    Imefunguliwa Akron it’s called I PROMISE

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 5 лет назад +1

    TANZANIA one for hip hop

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 6 лет назад +1

    safi sanaa fid

  • @nassoromussa1159
    @nassoromussa1159 6 лет назад +2

    Unajua nn Ommy fid q mwisho kabisa

  • @enockkassomo7769
    @enockkassomo7769 6 лет назад +24

    "mpaka sasa hv fid q umesoma vitabu vngap" ubongo wako ni library tosha!!!!

  • @wemakalam3233
    @wemakalam3233 5 лет назад +1

    Fid q big up.

  • @omykenzo7622
    @omykenzo7622 6 лет назад +2

    omy kenzo tz tupendane

  • @mussayusuphu5436
    @mussayusuphu5436 6 лет назад +2

    Fid we noma

  • @enock7271
    @enock7271 6 лет назад +2

    Stuff

  • @fredricksangelesa3536
    @fredricksangelesa3536 6 лет назад +2

    Genius ngosha

  • @patrickmeela9297
    @patrickmeela9297 6 лет назад +2

    noma fdq

  • @frankfidels6868
    @frankfidels6868 6 лет назад +2

    Ngosha ni noma

  • @allyandro2702
    @allyandro2702 6 лет назад +2

    Fid 😂😂😂 uyu jamaa ikiwa anaongea uwa anavitu vingi sana unajifunza 🙌

  • @aboubakarimasiku7780
    @aboubakarimasiku7780 6 лет назад +1

    Ngosha #thedon

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 6 лет назад +6

    ya kizazi sana kama k +254kenya tunakubali

  • @selemanishame1273
    @selemanishame1273 6 лет назад +1

    Dah! ukikaa kumskiliza ngosha ni darasa la maisha tosha haihtaj shule

  • @saadmgendi8537
    @saadmgendi8537 6 лет назад +6

    I like that,Ngosha

    • @theminutestv
      @theminutestv 6 лет назад

      ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya

  • @njaunestory761
    @njaunestory761 6 лет назад +2

    Umenifanyaa niplay huu wimbo wa juhud za wasiojiwezaaa mara mbili aseee mana nimiongon mwa nyimbo zangu bora za hip pop

  • @neckaphotostudio728
    @neckaphotostudio728 6 лет назад +8

    For real namuelewaga sana huyu jamaaa toka nko shule ya msingi

  • @mrishodulle6121
    @mrishodulle6121 5 лет назад

    Nakubar sana ommy mzee mzee pafande fran tumekuma makpu toking

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 5 лет назад

    Kuna ukweli kwenye hii dunia unachokipenda kinakutokea kwa namna Fulani. Fid Q nilimpenda sana sana sana na nimekuwa nikiimba nyimbo zake nyingi sana, kilichotokea mtoto wangu wa kwanza akazaliwa August 13/ 2016. Ilikuwa siku ya ijumamosi

  • @robertkellybergakifuvwesha3335
    @robertkellybergakifuvwesha3335 6 лет назад +3

    Fid q akili unayo 🤘👌

  • @bernardobernardo262
    @bernardobernardo262 6 лет назад +3

    You tolk fact the done

    • @theminutestv
      @theminutestv 6 лет назад

      ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya

  • @young-bk6978
    @young-bk6978 6 лет назад

    Good

  • @vanessajames1567
    @vanessajames1567 4 года назад

    Nampenda Diamond kwasabab nimegundua watu wanamchukia bila sababu mfano ni huyu Fid Q kataka collabo Mond kakubali kaimba nae katukanwa na mashabiki lakin kumchukia Mond mpaka kwenda kumuimba sasa Diamond kahusikaje hapo au Kiba kaingiaje hapo? Diamond Mungu atakutetea kwasabab moja tu hizi chuki zinampa sababu ya kukulinda hatakuacha

  • @tnftz1461
    @tnftz1461 6 лет назад +1

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🌟✊🏼

  • @man-kereborbocrew8528
    @man-kereborbocrew8528 5 лет назад

    Nakubali mziki wa unaishi

  • @fadhilahussein9332
    @fadhilahussein9332 6 лет назад +7

    Tatizo wabongo tuna roho mbaya...mtu mwenye access ya kutoka hataki kumpa connection mwenzie anaona atafunikwa au anataka awe yeye tu anaeng'ara ili tz nzima tumsifu yeye

    • @theminutestv
      @theminutestv 6 лет назад

      ruclips.net/video/Wby9ncZ7oX8/видео.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya

  • @cojicode4206
    @cojicode4206 6 лет назад

    Jinsii alivyo ichambua kiberitii maaan thats concious for alife time hatariii sanaaaa

  • @asallymbwego5906
    @asallymbwego5906 6 лет назад +5

    Kuwa na msimamo ww unakuwa km demu,,Q vp Maneno yakuambiwa.

  • @mwinyimussaawesu1502
    @mwinyimussaawesu1502 6 лет назад +2

    Dah yani nimechelewa kicheki hii interview kiukweli nakukubli sna fid q tena kikubwa zaidi najivunia zaidi kuzaliwa mwaka 1 na ww ngosha kiukweli ww ni zaidi ya msanii maana maneno yko ni zaidi somo mwenye akili ndy anayaelewa maneno yko

  • @bernard-deuly
    @bernard-deuly 6 лет назад +1

    Ngosha

  • @mbogomia5737
    @mbogomia5737 5 лет назад +1

    Nakukubal sana fid

  • @erickpaschaljr8667
    @erickpaschaljr8667 6 лет назад +1

    hatari MR kubandaaa

  • @fatumamachemba9887
    @fatumamachemba9887 6 лет назад +14

    mwalimu wa hiphop bongo

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 5 лет назад

    Nakupnda sana brother faridi

  • @phil_kioko_
    @phil_kioko_ 6 лет назад +1

    Huyu jamaa Fid Q ni noma