Toka Canada ninashukuru kwa swali hilo ndugu mtangazaji kuusu Take One, kwakweli binafsi nimei miss sana. Zamaradi I can't wait to see it again, please and thank you.
I can't get Enough to watching you Zamaradi Everywhere... unautofauti mkubwa ,akili nyingi natamani dunia nzima ijue kuna watu watofauti wenye karama kama Zamaradi wewe Dada you are too blessed and special !!!🙌🙌🙏😘
yani katika wanawake nao wakubali wanao ni inspire wewe ni my number one, nakupenda sana zama, ni vitu vingi sana najifunza kutoka kwako, nimekua nikikufuatilia kwa kipindi kirefu sana huwa naenjoy sana najifunza vingi sanaktk maisha yangu .....Lve u uuu zamaradi...💞💞💞💞💞
Hongera sana mwenye kuhoji, lakini pia muhojiwaji(Zamaradi) nafikiri kwa kuwa mmesoma chuo kimoja..... Nice interview. Hongera Zama kwa nidhamu ktk mambo yako ya mahusiano.
@zamaradi Wewe ni mtu wa kipekee ktk tasinia uliyopo umepevuka kwa kiasi cha hali ya juu sana. Moyo wako na kinywa chako kina FILTER una nidhamu ya maisha unajua mipaka kati ya maisha ya kikazi kitaasisi. Biashara binafsi na maisha binafsi kifamilia. HONGERA SANA
Toka Canada ninashukuru kwa swali hilo ndugu mtangazaji kuusu Take One, kwakweli binafsi nimei miss sana. Zamaradi I can't wait to see it again, please and thank you.
nilikua nasubiria kw hamu kumckia zamarad baada ya kuolewa,angalau ht shavu linaonekana mama,umenawir mashaallah
nakupenda sn dada ang,ww n mwanamke jasir na unajiamin,ww n role model wng,I'm proud of u mummy!
She's so inspiring. I love her Account even with her long captions l read them all through. ..Beautiful interview.
I can't get Enough to watching you Zamaradi Everywhere... unautofauti mkubwa ,akili nyingi natamani dunia nzima ijue kuna watu watofauti wenye karama kama Zamaradi wewe Dada you are too blessed and special !!!🙌🙌🙏😘
You are nice, kind, respectful .....una akili kubwa dada angu, no matharau, heshima na adabu kibao, Stay Blessed ...!
okay ukopoa
Noel Stewart
You are the best Zama! Greatly appreciated
I do love sky, he is very mastering in his work
she is Smart!?I salute Zama
My zama i love this lady to the foolest..asee😍😍😍
TWO TALENTS IN MEDIA.. ✊ Wakali wamekutana
sky wewe ni zaidi ya presenter.
Unauliza maswali ya akili sana, yanayoendana na hali halisi na muda uliopo!
uko very talented same like Millard Ayo
Syliakus P ngeze Yeah huyu Jamaa na Millard ni the best presenters
Kamaliza vipodozi vyote angalau anaonekana kiasi Fulani hivi
Syliakus P ngeze ni ww hpo kwa pp au ni kkko?🤣🤣🤣
@@zaitunimrisho6222 sio kosa lako '
I realy lv Zamaradi!!! Unajielewa dada kiukweli wewe ni mfano mzuri wa kuigwa natamani kukufaham.
Nakupenda sana zamaradi unajitambua Sana mungu akutunze my
Nakupenda sana wewe dada. You really are insipiring me everyday.
"Soo professional interview" ....... Perfect
good interview
perfect questions
perfect answers ... thumbs up 👍
i like the way u you talk your confident enough
KUNA WATU WAMEJALIWA KUPATA WAKE WEMA, ALIYEMUOA ZAMARADI HAKIKA AMEPATA MKE MWEMA.
Hongera sana my dear Zamaradi, love you mamy, wewe Jasir sana, love you jamani, unani inspire sana.
Good woman, very smart kichwani.
Masha Allah nimejifunza kitu kutoka kwa Zama.
masha ALLAH
MashaAllah Mungu amekupa uelewa mkubwa sana unautumia ipasavyo
Zama am so proud of you!big up Allah bless you always!
I love this woman..Maasha'Allah very intelligent..well said about Instagram Zamaradi
One of the best interviews. Mtangazaji na Mtangazwaji wote mmfefanya vizuri sana.
I low u Zama,ur strong woman, God bless u.
Kuolewa munaHaki wala msihite bahati, pia Kuolewa siolazima japo inaongeza Heshima...
Mungu hakubariki zama your the hero ukipata nafasi your well come to swiss hongera unafanya kazi nzuri Mungu hakuongoze wewe na FAMILY yako ubarikiwe
nakupend sana dada zamaradi
Interested ZAMA uko vzuri na hongera sana Mungu akuongoze na akulindie family yako 👉🇰🇪😙 love zamaradi
Fredrick bundala,,, nice bro
Zamaradi muda mwengine huwa nakudharau kwann ulizaa bila ya ndoa ila kwa leo nimezidi kukuelewa uko vizur sana Allah akusimamie ktk ndoa yako
mashaallah Zama nakupenda sana mwanamke unaejielewa
i love zamaradi.......ur the my superwoman
This interview have sense. Keep it up girl.
Beautiful Woman with Brain.. Nakupenda sana Zamaradi.
She is too smart
nampenda sana zamaradi.jamani huyu dada anajitambua
yani katika wanawake nao wakubali wanao ni inspire wewe ni my number one, nakupenda sana zama, ni vitu vingi sana najifunza kutoka kwako, nimekua nikikufuatilia kwa kipindi kirefu sana huwa naenjoy sana najifunza vingi sanaktk maisha yangu .....Lve u uuu zamaradi...💞💞💞💞💞
Mungu akujaalie maisha marefu sana Zama
This lady is gorgeous, great voice, beautiful and smart! The only Tanzanian star that our daughters could emulate her example!
Big up Zamaradi!
Chanel hii nzuri kinyamaaaa
zamaradi uko vizuri sana love you somuch
big up sky.
hongera #endelea kupambana siku moja utakua sehemu nyingine zama
Nikimfikiria huyu dada simpatii majibu ni mwanamke jasiri na anajitambua sana ndiyo mana aliamua kumoveon na maisha yake
safi sana Zama na Dizzim.
Hongera sana mwenye kuhoji, lakini pia muhojiwaji(Zamaradi) nafikiri kwa kuwa mmesoma chuo kimoja..... Nice interview. Hongera Zama kwa nidhamu ktk mambo yako ya mahusiano.
Alihamndulillah zamaradi nimekuelewa
l
saf xaaaan zamarad u inspire me!love u xo much
Wow!kumbe we ndo sky nimezoe kusikia sauti yako SNS kweli saut yako inashawish kukusikiliza hongera kwa hilo bro.
mungu akuzidishie
Such a woman!👌
Unaakilli sana zama kipindi kizuri sana sky big up
Hongera Dada uko vizuri unakitu kikubwa ndani yako na mungu azidi kuongeza Mara dufu
Zama wewe ni mwanamke unaejielewa Sana your my real model.keep it up
Sijawahi kuchoka kusikiliza sauti yko, cjawahi kuchoka kukupenda, lkn kubwa zaidi unanifurahishaga zaidi kwenye matumizi ya R na L, hongera
Great zamarad....I DO GREEE WITH YOU
zamaradi you have really changed be blessed
Like it soo much
Una akiri nyingi sana zama
kichwa chako Zama, kipo vizuri, hongera sana.
I love zamaradi so much...mm pia namiss Take one..asnten kwa kumleta zama
I do like this woman
Huyu dada yuko vizuri... ...nimempenda sana...
Ndio maana nampenda huyu Dada she's always real😍😍
Love you mama
this lady is brilliant the sky is the limit
Napenda sana Sauti Ya Zamaradi....katulia sana yani
@zamaradi
Wewe ni mtu wa kipekee ktk tasinia uliyopo umepevuka kwa kiasi cha hali ya juu sana. Moyo wako na kinywa chako kina FILTER una nidhamu ya maisha unajua mipaka kati ya maisha ya kikazi kitaasisi. Biashara binafsi na maisha binafsi kifamilia. HONGERA SANA
I really love u!coz najitunza mengi kupitia ww kiukweli unanibariki
So woww good job zamaa
Love ure voice.
hongera my
Sisy Zama nakupenda saana,kiukweli huwa najifunza kupitia ww,keep it up!!!
Jmn nakupenda acha tu
Jomba We ni Bonge la Presenter... Much respect
nakupenda zama
Kwanza wewe Dada unaakili saaana hicho Mungu amekujalia ,napenda saaana unavojibu maswali,yaaani huna pupa,safi saaaana
Mashaa Allah. Umevuka mama wewe ni mwanamke jasiri. Ila rudi sana kwa mola wko jistiri wewe mtoto wa kiislam itapendeza Zaidi
Nimekupenda zama
I like the Dada, I love you ZAMAR
hongera sn zama uko vzr dada
Safi sana umeongea vema Zamaradi uzidi kubarikiwa
#zama unaakili sana🙌🙌
Unajielewa sana zama
Nakuoenda sanaa zamaradi ww nishuja sanaa♥️😚
Brilliant Beauty❤❤
my inspirational woman
Umenenepa my shavu dodo ndoa tamu sana
huyu Dada ananifurahisha
hongera Dada uko vizuri
Amenenepa mashallah
u look so smart in every thing much love to you sweet voice
Well done move on...... Wanaume wengi Hongera Sana tusitoane nyongooo....good mommy
I'm big fun wa zamaradi na sky..... Hii interview Ni Kama Vyuma vimegongana i like it
Kilimanjaro Tv Online yes
Godfrey Mushi that's nice
Big up zamaradi 👍🏾👏🏾👏🏾
Niheri mego kavu kukiliko nyumba ya sherehe na maumivu.. Hongera Zama.
U know how to make a conversation. Nic conv mama shubby
Zamaradi got brains....2021