Wangapi leo ndio mara yao ya kwanza kuona hii vdeo ya ruge baada ameshafariki, tujuane apa bc kwa kucomment R.I.P ili aendelee kupumzika kwa amani uko.alkoenda.
Ruge one of the most divine souls I've ever met in my life time humble shy honesty a true friend when it counts most authentic talents may God bestow rest your soul in peace tutakukumbuka daima brother
Yani UWAZI WAKO NA MISIMAMO YAKO NDIO INAKUPA HIGHER STANDARDS za UJASIRI And defines you WHO YOU ARE . R.I.P. brother RUGE Daaa eebanaa umenyooka hupindishi just because of somebody who is he or she 🙌🏾🙌🏾 Mungu akupokee peponi kaka Mtu mwenye msimamo Mtu mwenye kuamini asemacho 🙌🏾. RIP the genius
Kweli vizuri havidumu, Ruge kweli ulikua na busara sana, unajua nini cha kuongea na wapi!? Sijui kwanini Mungu hua anachukua watu wazuri na wasio na maana yeyote wanabaki, RIP Ruge
Ruge nafurahi kuona shule yako, hizo degree zinakusaidia. Kweli shule huleta maarifa. Simlaumu Makonda pia, historia ya shule yake inajihiridhisha hapa. Kwa vile umeisha mjua wee piga kazi kama Raisi alivyoomba, mara nyingi watu wenye mapungufu ya kielimu na wakapata madaraka lazima atataka kuonekana muhimu, wewe jishushe, piga kazi, only God can pay for your hardwork.
sifa moja wapo ya mwana habari ni kuchambua mambo ni uweledi au kisomi Ruge wewe mfano wa mambo mengi sana hasa kwa Vijana wa Leo Hapa nyumbani na pili tuache ushabiki Makonda hana sifa ya kuitwa Kiongozi kwa mambo mengi saaana
ruge 1996 ndio anamaliza degree yake huko san diego Calirfonia merikani sasa huyu msukuma makonda sijui alikwua wapi.unalinganisha kichuguu na mlima kilimanjaro?
Ndipo hapo sasa watu kuuona uthamani wake na mengi hujulikana sana baada ya mtu kutoeka ruge alikua na hekima tangu kuishi kwake wala hakuwahi kuwadharau viongozi wa idara yoyote aliyoyafanya yalionekana akiwa hai na hawakuyasifia wenye roho kuntu lakn Leo amefariki ndo yamevumbuka na kuekiti wameumia sana kwa kuziona kazi zake kuweni na utu wote waliofanya kinyume na mapenzi ya mungu wakumbuke jicho la mungu halifichwi lisione maovu rest in peace ruge shujaa uliesimamia haki yako na ulichokifanya kiwe fundisho kwetu sote ni huko tutarejea r.i.p boss
Alionekana kama anaumwa flani hivi..sema yote mipango ya mungu..jamaa amegusa sana maisha ya watu..huo msiba hata watafuta kiki za misiba hawakuweza kuudandia ..wiki nzima anatrend Ruge ..
jeny yusuph ndo maana nimesema mungu na hii ni Mara ya pili nasoma maandishi yako, mungu na Mungu ni vitu viwili tofauti. Mungu hayumo kwenye huo upuuzi. Kasimamishwa na Magu na hakuna Mungu alimsimamisha mzandiki. Mungu hayuko hivyo wewe. Kasome vitabu vya dini. miungu kama ulivyosema ndo imemsimamisha Makonda not Mungu. Ungejua fikra zako zilivyombovu hata husingethubutu kuandika uandikayo. Uwe na siku njema.
tusiyumie digital platform vibaya elimu yako ya habari ndo inakufundisha hvyo? TCRA wanatakiwa kuwachulia hatua watu kam nyie unaandika title tofauti na unahokisema huo ufara dudadeki mtabarika lini kwann usiwe muwazi kwenye habari unayoitoa
ruge una akir unaongea point,,,kwa maongezi ya makonda inadhiilisha waz kuwa hakuna kitu,,,yaan ziro bari ana tumia ubabe,,tumia akili kondo hizo sio ngum
Kumbe makonda na kibri yake yote ndio leo nimegundua kuna mabwana alikuwa anawaifia sana kawamdigo anapoke nukta zamana sana kweli bwa mdogo makonga ameonyesha nidham
This Man is smart, Ruge deserves more than being a CLOUDS MEDIA PROGRAM DIRECTOR....Salute
Wangapi leo ndio mara yao ya kwanza kuona hii vdeo ya ruge baada ameshafariki, tujuane apa bc kwa kucomment R.I.P ili aendelee kupumzika kwa amani uko.alkoenda.
Nafisa Mohamad apumzike kwa amani
Mie pia
Mimi jamani
Maneno kuntu kiongozi mahiri rest in.peace ruge mutahaba genius with brain kifaa cha taifa kimepotea kazi yamungu haina makosa.
hakuna mtanzania kama ruge busara zako mungu pekee anajua
Ruge juu jamani, akili zako siyo za nchi hii. Stay blessed.
Awe mkuu wa mkoa ruge hadi watoto wadogo wauze unga
Bless ruge
Safi sana ruge una busara sana na busara na hekima ndio msingi wa kila jambo
Makonda ameshikwa na aibu amekaa kama lowasa tutakumbuka sana kiongozi wetu pumzika kwa amani.mungu wetu wa mbinguni akulinde
Very smart upstair. Ruge I salute you brother
Hii interview imeniumiza sana...allah akusamehe pale ulipo wahi kumkosea kama binadam na akufanyie wepesi..
mungu ailaze pema roho ya mpambanaji daaah! tutaikumbuka sana mema yako
Ruge one of the most divine souls I've ever met in my life time humble shy honesty a true friend when it counts most authentic talents may God bestow rest your soul in peace tutakukumbuka daima brother
Ruge ukimaliza hapa nyamaza chief...
upo right track brother
Yani UWAZI WAKO NA MISIMAMO YAKO NDIO INAKUPA HIGHER STANDARDS za UJASIRI And defines you WHO YOU ARE . R.I.P. brother RUGE
Daaa eebanaa umenyooka hupindishi just because of somebody who is he or she 🙌🏾🙌🏾 Mungu akupokee peponi kaka Mtu mwenye msimamo Mtu mwenye kuamini asemacho 🙌🏾. RIP the genius
Ruge uko vizuri brother.. tuko nyuma yako cku zote kwasababu unasimamia ukweli.
This guy had sweet mind 4sho.. RIP ma home line❤️
Very smart person...rip brother,you were the best..
Namuamini sana Mungu analipa Duniani hata iweje! Mungu akupe raha ya milele Ruge sitakusahau mafundisho yako. Amen
Wakati wa Mungu ni sahihi sana, watu wanaviburi vya madaraka
Smartest Creature, Professor, Genius Creature, Mastermind, Rest Easy Scorfield of Tanzania Entertainment Industy
Mungu akulaze maali pema peponi
Hongera Ruge, una busara sana, mungu akuzidishie, mengine tumwachie mungu
Bifu siyo kabisa aiseee kwnini kuishi na machuki siyo kabisa
dah tumepoteza kichwa, tulie na nani jamani😭😭😭😭
Ruge for real unafaa kuwa kiongoz unazo busara mnooo Mungu akubariki bro!
Presdent indeed
Daaah Ruge Ana akili sana huyu Jamaa,alafu anaongeaga point sana,yaani unamuelewa sana,ruge kweli kidumeeee,wewe Ndiyo ungekuwa mkuu wa mkoa bhana
Makonda is true definition ya madaraka ya kulevya,,,Ruge was so wise.
Ruge is smarter than everyone inside the room.
Mungu akuzidishie ruge unatumia sana busala
Kweli vizuri havidumu, Ruge kweli ulikua na busara sana, unajua nini cha kuongea na wapi!? Sijui kwanini Mungu hua anachukua watu wazuri na wasio na maana yeyote wanabaki, RIP Ruge
Sure
Yani km angekuwa rais Tanzania ingekuwa mbali sanaa R.IP RUGE
Ruge ulikuwa na busara na hekima sana pumzika kwa amani
Ili wasije haribika
I miss you Ruge 😭😭😭
Mungu ailaze roho ya marehemu ruge peponi ameni
Rest in peace Ruge Mutahaba.
respect kwako kaka ruge nakueshimu kwa hekima zako
Ruge nafurahi kuona shule yako, hizo degree zinakusaidia. Kweli shule huleta maarifa. Simlaumu Makonda pia, historia ya shule yake inajihiridhisha hapa. Kwa vile umeisha mjua wee piga kazi kama Raisi alivyoomba, mara nyingi watu wenye mapungufu ya kielimu na wakapata madaraka lazima atataka kuonekana muhimu, wewe jishushe, piga kazi, only God can pay for your hardwork.
I love Jesus thanks for ur point , Ruge kama anasoma comment za watu nahis atumie ya kwako kuifanyia kazi itamsaidia
RIP kaka Ruge
Jamani si huyu angekuwa tu waziri wa mawasiliani...ai Mungu...such brilliant brain...RIP.
He was a very wise and humble man
Remain In Power Muhaya Mwenzangu
sifa moja wapo ya mwana habari ni kuchambua mambo ni uweledi au kisomi Ruge wewe mfano wa mambo mengi sana hasa kwa Vijana wa Leo Hapa nyumbani na pili tuache ushabiki Makonda hana sifa ya kuitwa Kiongozi kwa mambo mengi saaana
I will remember your legend forever,R.I.P
Pumzka kwa aman xana boss Ruge, hakika ulkua mweny utash mkubw mno mungu alikujaalia. R.I.P
the man is smartest... RIP boss
Innallah Wainahillah Rajuuna. Poleni sana wa na family wote.
ruge 1996 ndio anamaliza degree yake huko san diego Calirfonia merikani sasa huyu msukuma makonda sijui alikwua wapi.unalinganisha kichuguu na mlima kilimanjaro?
Alikua darasa la 4😂😂😂😂😂
😂😁😀😁😂
omarhemed Mohamed
Hahaha jamani
🤣🤣🤣🤣
Shkamoo Ruge,Falsafa nzito,akili mingi na unakiri kukubali liishe kwa maagizo 😂😂😂😂😂
Mpige kwa point speach tunanyanyaswa sana na hao watu wanaotumia uongoz vibaya uongozi sio nguvu bali ni busara
Ndipo hapo sasa watu kuuona uthamani wake na mengi hujulikana sana baada ya mtu kutoeka ruge alikua na hekima tangu kuishi kwake wala hakuwahi kuwadharau viongozi wa idara yoyote aliyoyafanya yalionekana akiwa hai na hawakuyasifia wenye roho kuntu lakn Leo amefariki ndo yamevumbuka na kuekiti wameumia sana kwa kuziona kazi zake kuweni na utu wote waliofanya kinyume na mapenzi ya mungu wakumbuke jicho la mungu halifichwi lisione maovu rest in peace ruge shujaa uliesimamia haki yako na ulichokifanya kiwe fundisho kwetu sote ni huko tutarejea r.i.p boss
Ruge Mutahaba Your Too Wise
Brother
this Guy was exceptional,believe that,whoever says otherwise its definitely a downplay of his capacity.may your soul rest in eternal peace.
Rest easy uncle genius
RIP mtu muadilifu, msema kweli
kila nafsi itaonja umauti ..mbele yako nyuma yetu ruge
Rugeee,,, tutakukumbuka sana mzee
Du, rest in peace boss ruge
ruge unaakili nyingi sana hekima na busara
Alionekana kama anaumwa flani hivi..sema yote mipango ya mungu..jamaa amegusa sana maisha ya watu..huo msiba hata watafuta kiki za misiba hawakuweza kuudandia ..wiki nzima anatrend Ruge ..
nakuelewa sana ruge
kiongozi wa aina ya makonda ndio maana zamani vijana walikuwa hawapewi nafac za uongozi cz ya kukosa hekima
Andrew Ombay on point
Huyu angekuwa Rais Tanzania tungekuwa mbali sana na maendeleo kwakweli R.i.p ruge
R.I.P. tutakukumbuka. daim milele😭😭
2023 still watch hapo makonda na ruge makonda kapiga kelele ruge kaongea kwa fact yani kimtokacho mtu ndo alichonacho kichwan
RIP Ruge tumeumia watanzania
luge broo unaeducation ya maisha na uongoz bigup
Ruge anajua kujieleza
Leo umelala bila kuombwa msamaha😭😭😭😭😭😭
Mimi naona nibora RUGE angekua ndio mkuu wa mkoa kuliko Huyo zero brein.
John Ngowi bora yako siyawengine ndio ishakua hivyo usivyopenda ww anavyopenda mungu
Acha upumbavu
jeny yusuph Mungu gani unayemsema wewe? Au kwenu Magu ni mungu? Pyee
Cymah Wandelt fikra mbovu magu anauwezo wakumzimamisha mtu? makonda kazimama kwauweza wamungu ingekua kwaweza wamtu asingekuwepo mpaka leo kwanavyomchukia
jeny yusuph ndo maana nimesema mungu na hii ni Mara ya pili nasoma maandishi yako, mungu na Mungu ni vitu viwili tofauti. Mungu hayumo kwenye huo upuuzi. Kasimamishwa na Magu na hakuna Mungu alimsimamisha mzandiki. Mungu hayuko hivyo wewe. Kasome vitabu vya dini. miungu kama ulivyosema ndo imemsimamisha Makonda not Mungu. Ungejua fikra zako zilivyombovu hata husingethubutu kuandika uandikayo. Uwe na siku njema.
😂😂😂😂😂😂et hakuna cha kuomba radhi jeuri sanaa makondaaa
Ruge baba una akili kubwaz sana! yaan wewe na mkeo mnajitambua sana
Daah makonda nakuona kama funzaa wa chooni😭😭 shetani wew
True
tusiyumie digital platform vibaya elimu yako ya habari ndo inakufundisha hvyo? TCRA wanatakiwa kuwachulia hatua watu kam nyie unaandika title tofauti na unahokisema huo ufara dudadeki mtabarika lini kwann usiwe muwazi kwenye habari unayoitoa
Hatari sana
maneno ya busara sana mungu atasimama nawe
Daah ruge una busara na akili sanaa...siyo ilo poyoyo linaropoka tu huna sifa kabisa ya kuwa kiongozi MAKONDA
Nassor Said kwako hanasifa kwaengine inazo
jeny yusuph we bwege kweli kwani umeambiwa account ya wote hii dats my personal opinion
Mbavu zangu🤣makonda 💰🤯
R,l,P .kaka ekima nabusara zilitawala sana akiliyako tunakukumbuka nasals tunakuombea rohoyako ilipo mpendwawetu
Inauma sana
ruge i luv yuh u u u u so so so mwaaaaaaah
Pumzika Kwa amani kaka ruge Mungu wetu alilaze roho yako pahalapema peponi amina
wow nice Ruge
Huyu jamaa anaakili sana afu ni mkweli ndio raha ya elimu iyo sio ilo Zero Brain Apo pemben
Zero brain. Uliovaa suti
ruge una akir unaongea point,,,kwa maongezi ya makonda inadhiilisha waz kuwa hakuna kitu,,,yaan ziro bari ana tumia ubabe,,tumia akili kondo hizo sio ngum
R.I.P bro...,,,ulikuwa na upeo Mkubwa sana...
Kwa Mungu kuna kazi kubwa mno..
Awamu ya tano watu wengi walikufa Vifo vya ajabu Mno , ila Mungu akamnusuru Lissu ..
Wote watakutana huko kwa Mungu
Huyo kijana atapata tabu sana baada ya miaka 7 ijayo kama akiwa hai.
Kwa huu msimamo wa Ruge nimeuelewa sana uko njema sana Mzee baba Ruge Hakuna kutetemekea mtu kisa madaraka ya Dunia sisi sote ni udongo tuu
One of the very few wisest men alive. Ruge Mutahaba. I salute you brother.
JPM unamuona huyu kichwa lakini?
Kiukweli jamaa alikuwa na busara sana mpole sana
he's sittin there like a programmed robot
Ruge wewe ni jembe,mwili umekufa ila mawazo yako yataishi milele.
Ruge rest in peace
safi sana boss ruge we in kichwaaaaa
Dahh...nakonect dotes tu..
Ruge alikuwa n.a. akili sana aiseee R.I.P😭
Thumbs up #Ruge
yaishe tu jamani dunia mapito
daaah tumekupoteza ruge inauma sana, ni bora angetangulia huyo
Ulikuwa na upeo wa kipekee rest in peace kaka angu
Pumzika kwa amani
Rip Scolfied!!
huyu jamaa ana upeo mkubwa cn wa kuchanganua mambo Dah namuona kaka mkubwa hapo pemben......
R.I.p ruge
Ruge was so Strong.
Aseee ruge sio mnafki kabisa.
Embu angalieni macho ya makonda
Ruge weeeee,Ruge weeeee,Ruge weeeee,nakuita japo hunisikii umetuumiza baba,kazi ya Mungu haina makosa!!acha tu upumzike tu baba tutaonana baadaye!
genius ruge
Kumbe makonda na kibri yake yote ndio leo nimegundua kuna mabwana alikuwa anawaifia sana kawamdigo anapoke nukta zamana sana kweli bwa mdogo makonga ameonyesha nidham
R.I.P kaka ulikua na akili sana
Rip ruge
Lione alivyokuwa addressed na Ruge aibu iliyoko usoni, mashavu yamemshuka.