🔴LIVE: LUSHOTO MJINI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 16

  • @AbduliKombania-ob8us
    @AbduliKombania-ob8us 19 дней назад +3

    Chadema ndio cha kitakachotufikisha nchi ya ahadi kwaiyo nduguzanguni wa tanzania tukiunge mkono chama chetu achananeni nao mafisiem

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 19 дней назад +1

    Great visionary, Great mind,oh

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 12 дней назад

    Umetisha sana mkuu tanga sasa mnaamka watani zangu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 19 дней назад

    Salum Mwalimu umetisha sana

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 19 дней назад +1

    Chonde waheshimiwa Shehe Kadogoo apewe nafasi ya kutosha hotuba zake ziko vizuri tunatamani kumsikiliza zaidi.

  • @danielezekieldaniel365
    @danielezekieldaniel365 19 дней назад +1

    Nimefurahishwa sana na Mhutubiaji aliyemkaribisha Lema

    • @FLukwaro
      @FLukwaro 19 дней назад

      Sheikh Ali Kadogoo

  • @muyasaidy
    @muyasaidy 19 дней назад +1

    Lema nakukubali sana,piga kaz chadema na wananchi waamke

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 19 дней назад +1

    kwa katiba mpya au hiyo ya sisisem tutawapiga nje ndani kwani polisi waalimu na wananchi wamesomeshwa vya kutosha

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c 19 дней назад

    Ata ngao ya isani inatosha

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 19 дней назад

    Vunja ngome huko Makamanda

  • @user-zg8jq7gm8x
    @user-zg8jq7gm8x 19 дней назад +2

    Awamu hii chadema lazima tuchukue kombe.. afe beki afe kipa

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 19 дней назад +1

    Posho za wabunge na mishahara ipunguzwe waongezwe madaktari,walimu na manesi mishahara kazi zao ni ngumu kuliko

  • @muyasaidy
    @muyasaidy 19 дней назад +2

    Kadodo hapo unapapatia Sana,piga kaz