PETER MSIGWA KAINGIA KWENYE MFUMO WA VIJANA WA CHADEMA WAANZA KUELEZEA SAFARI YAKE YA KISIASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 563

  • @Piscesblair
    @Piscesblair 2 месяца назад +28

    Asante dada kutupa taarifa za huyu Mchungaji faki

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад +20

    Siglada asante mwanangu, umetoa vipande tosha. Msigwa njaaaaaa sana

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 месяца назад +17

    Dada nitumie namba yako nikutumie hela ya vocha

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 2 месяца назад +23

    Hongera kamanda kwa kutupa ujumbe mzuri, uko sawa kabisa.

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 2 месяца назад +12

    😂😂😂 Kweli ccm wamelamba joker 🃏. Asante sana Dada kwa ujumbe mzur

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 2 месяца назад +10

    Asante sana Kamanda kwa kutufunulia juu ya juu ya Msigwa. Personally I never trusted Msigwa, lakini niliona vema kumvumilia kwenda naye taratibu

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 2 месяца назад +9

    Dah we Dada umetishaaaaaaaaaa umeuaaa, big up Sana👊

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад +10

    Asante Dada Siglada mtu wa nguvu nakupendaga mnooooo mnooooooo

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 месяца назад +25

    Asante dada huwa nakukubali sana miaka yote hujawahi kukosea kbs😂😂✌️

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 2 месяца назад

      Mbowe kafailu wapi

    • @HammyJuma
      @HammyJuma 2 месяца назад

      Mwambie huyo mshamba,elimu inahucana nini na kumkosoa mbowe,nayeye kipindi hicho alikuwa na umrigan,dada kavu kweli k​@@AjiaMohamed-rt5pb

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 2 месяца назад

      ​@@AjiaMohamed-rt5pbkajifunze kuandika kwanza maana ulichokiandika hakieleweki.

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 2 месяца назад +15

    Msingwa ana uroho wa madaraka

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 2 месяца назад +5

    Asante sana shangazi kwa uchambuzi wako muzuri na wakueleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA.

  • @JofuAmuko
    @JofuAmuko 2 месяца назад +10

    HONGERA SANA DADA, HATA WAKUTUKANE, WEWE SEMA TU, UMETUFICHULIA UOZO WAKE,, HALAFU ETI WENGINE HAWATAKI KUJUA, KAMA MBOWE KATOKA KWENYE FAMILIA TAJIRI, KAMA WEWE NI MTOTO WA JUZI, FUNGA BAKULI LAKO, HUMJUI MBOWE !!!

  • @DamianMlembe-wu8xl
    @DamianMlembe-wu8xl 2 месяца назад +19

    Nakukubali sana mwanasheria

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад +3

    MSIGWA KAYAKANYAGA HUYU MWANASHERIA HUYU NI MSOMI SANA UKIINGIA KWENYE 18 ZAKE UMEKWISHAAA I LOVE THIS HUMAN.❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 2 месяца назад +4

    Dada Siglada, habari za siku nyingi, asante kwa meseji nzuri kwa Msigwa! Umempa vidonge vya kutosha kama atafunguka akili ataelewa! Nawapa pole ccm kwa sababu huyo Msigwa alipoamua kuolewa huko ccm yeye aendelee kutumikia ndoa yake ya mkeka huko aache kelele! Wananchi tunamwelewa vizuri Msigwa kwamba ni mtu wa tamaa! na hizo tamaa zake ndiyo zimemfanya akubali kuolewa huko! Hivi kweli Msigwa ataisafisha ccm kwa sabuni nq dodoki gani? Sababu akiwa Chadema aliisema ccm kwa uchafu inaoufanya! Leo ataisafisha vipi! Hovyoooo kabisa! Asante Siglada, nakuelewa dada hujawahi kubadilika tangu nikufahamu. Big up sana! Umeongea point za maana sana! Chadema ni chama kanachojijenga kwa michango ya wanachama! Chadema siyo mafisadi kama ccm. Mungu akubariki dada mpendwa Siglada.

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 2 месяца назад +4

    Barikiwa sana dada mimi nilikosa msamiati wa kumjibu Msigwa maana amenikeraaaaaa mnoooooo,sasa naona umenisemea,asante sana .

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 2 месяца назад +14

    Hongera sana upo vizuri kamanda

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs 2 месяца назад +7

    uko vizuri afadhali umetulisha kumbe ni o+o

  • @DevotaPacras
    @DevotaPacras 2 месяца назад +22

    AHSANTE MPENDWA UMETUSAIDIA KUMPASHA.

  • @cephasalibin610
    @cephasalibin610 2 месяца назад +4

    Msigwa yupo vizuri chadema utawala awawezi aho chama cha ukabila icho

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman 2 месяца назад +9

    Msakatonge huyo achaneni nae,kwanza asiitwa Mchungaji ,Uchungaji unaheshima yake,

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 2 месяца назад +9

    Upon sahihi kabisa mwenye wivu huwa ana maneno mengi

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 2 месяца назад +4

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿iringa mbunge wenu ndo huyo mungu awape nini msikae kinyonge piga chini msigwa viva iringa🙏

  • @DayanatzDayanatzgambe
    @DayanatzDayanatzgambe 2 месяца назад +13

    Very wonderful message

  • @carolinamgando6026
    @carolinamgando6026 2 месяца назад +2

    Hongera sana Mwanangu ,umeongea Busara sana ,na Hekima ya Mungu ,siku si nyingi tutaona ,Mavuno tu maana apandacho mtu lazima atavuna

  • @floraashery224
    @floraashery224 2 месяца назад +4

    Upo sahihi kabisa

  • @danielmakundi8927
    @danielmakundi8927 2 месяца назад +9

    Dada Asante umesema kweli Mungu a😊kulinde s.Msigwa😢anakula mataapishi yake.miaka kumi akiwa mbunge wa Chadema Leo kasahau

  • @marthalucas-p8h
    @marthalucas-p8h 2 месяца назад +1

    Wewe. Jembeee. Mtoto mdogo. Nimekupenda. Babyyyyy

  • @JohnMbise-p1o
    @JohnMbise-p1o 2 месяца назад +2

    Dada mungu akubariki sana

  • @ayubusanga1915
    @ayubusanga1915 Месяц назад +1

    Dada upo vizuri

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 2 месяца назад +2

    Saf sana dadaangu mungu akubalik sana msigwa Hana rorote

  • @DausonShensherwa
    @DausonShensherwa 2 месяца назад +2

    Kamanda uko vzr sana

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 2 месяца назад +2

    Hongera Sana dada kwa uwezo wako mkubwa wa kueleza na maelezo yako ni mazuri sana, umeelweka vizuri Sana. Maelezo yako yanaaminika Kwa 100/100. Huko nyuma ktk maoni yagu juu ya mchungaji bandia (eki) Msigwa, lisema hata mbumbavu hawaezi kuziamini hoja zake Msigwa kwani ni dhaifu mno!!! Hasa Msigwa anapo mtaja MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI MH. MBOWE NA CHADEMA KWA UJULA akimhusisha na MAMBO AMBAYO MWENYE AKILI TIMAMU HAWAEZI KUMWAMINI MSIGWA HASA KWA SABABU YA MAZINGIRA ALIYOTOKA NAYO NDANI YA CHADEMA. HAKUNA ASIYE JUA KUWA KILICHO MTOA MSIGWA CHADEMA, NI KUSHINDWA KWAKE KUUPATA TENA UWENYEKITI WA KANDA YA NYASA, TULIMUONA ALIVYO KUWA ANAHAHA NA KUTOKWA UDENDA WA TAMAA YA KUBAKIA MW/KITI WA KANDA BAADA YA KUUKOSA NDIPO ANAROPOKA HAYA. ANGEONDOKA KABLA KABISA YA UCHAGUZI WAJINGA WAJINGA WANGEMWELEWA KIDOOOOGO!!! ANAPO MTAJA MH. MBOWE KWA HAYO ANAJIDHARIRISHA SANA!!! NI NANI MWAMINIFU NDANI YA MOYO WAKE ANAWEZA AKAIDHARAU KAZI NZURI NA KUBWA ALIYOIFANYA MH FREEMAN MBOWE KTK SIASA ZA TANZANIA ZILIZO JAA UKIRITIMBA WA KUTISHA' DHULUMA YA KUTISHA, RUSHWA ZA AIBU MANYANYASO NA PROPAGANDA ZA KIJINGA KUTOKA CCM!!!? WAAMINIFU WA MIOYO WANAKIRI NILIYOYATAJA HAPO JUU, WENYE VITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI NCHINI VIKO 19 VILITIWA KTK MFUKONI WA CCM NA KUNYAMAZA KIMYA!!! NI MH. FREEMAN PEKEE AKAIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI( NINAAMINI KWA KIASI KIKUBWA NI KWA FEDHA ZAKE BINAFSI!! NI MBOWE PEKEE HAKUIUZA CHADEMA NDIYO SABABU LEO IPO KILA KIJIJI NCHINI KAZI NZURI YA MWAMBA FREEMAN!!! ILI UWATAWANYE KONDOO LAZIMA KWANZA UMPIGE MCHUNGAJI WAO(KIONGOZI WAO) MH MBIWE HAJAPIGWA LICHA YA MANYANYASO YOTE ALIYO TENDEWA NA MAFISADI!!! NAMALIZA MAONI YANGU KWA KUWAKUMBUSAHA WATANZANIA KAMA USHAHIDI, BWANA MAGUFULI AIWAHI KUSEMA HIVI: MBOWE NINAMPENDA ILA ANANIUDHI JAMBO MOJA LAKINI HAKULITAJA, KWANINI HAKULITAJA WENYE AKILI WAKATAFSIRI MH. MBOWE HAHONGEKI!! NDIYO SABABU KTK MOJA YA PROPAGANDA ZA CCM WALIITAJA CHADEMA KUWA HAKUNA DEMOKRASIA KISA MH. MBOWE AMEDUMU MUDA MREFU KAMA MW/KITI, WAKATI HUOHUO AMBAO WALIKUWA WENYE VITI KTK VYAMA VYAO KWA MUDA MREFU SANA KULIKO MH. FREEMAN, KAMA PROFFESSOR I. LIPUMBA, MH. MOMOSE CHEYO MH. MLEMA N. K. CCM HAIKUWAHI KUWATAJA KWA KUKAA MUDA MREFU KULIKO MH. MBOWE. WANA CHADEMA NAWAOMBA MH. MBOWE ABAKI HAPO MPAKA ATUVUSHE 2025 MWAKA WA UKOMBOZI ( DOLA MIKONONI MW CHADEMA KWA KUDRA YA MWENYEZI MUNGU!!!

  • @jacobmwankenja5466
    @jacobmwankenja5466 2 месяца назад +4

    Waoo, asante kamanda, kumbe ni ujanja ujanja tu shule hamna, duu, Msigwa, ungenyamaza haya yangetoka wapi?

  • @CharlesMwakajinga-r5d
    @CharlesMwakajinga-r5d 2 месяца назад +6

    Hongera sana dada anaonekana tu kamudomo huyo anatafuta cheo ccm

  • @JosephBaltazar-m7d
    @JosephBaltazar-m7d 2 месяца назад +1

    dada upo vizuri sana hongera

  • @sijaonalujinama
    @sijaonalujinama 2 месяца назад +3

    Sifuri kubwa, hakuna Point hata moja.

  • @seifjuniorrashid7597
    @seifjuniorrashid7597 2 месяца назад +2

    Kwanini mlimkumbatia miaka you're hyo na hamkumtumbua?????
    Kwahyo nyie mnabeba uchafu ....???
    😂😂😂😂
    Siasa Raha sanaaaa
    Kwel Nazid kuamin kuwa siasa uwe tayar Kwa yote na huna rafiki wa kudum...
    Dada endelea ila watu wengi ni waelewa Kwa sasa

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 месяца назад +2

    Aaaaah kumbe Msigwa kulopoka hovyo tu vyeti Aaaaaah😂😂😂😂🙌

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +6

    Kumbe Asante dada

  • @MaxOx-u8i
    @MaxOx-u8i 2 месяца назад +3

    Ogopa MUNGU wewe mama unasema sana .Tunakujua sana.Huna hofu ya Mungu udingekuwa unasema.Nawewe Huna akiba ya maneno .ayo yote hayafai unaonekana una hasira sanaa. Naona mme wako hana shida sana .Dhu moto wa kuotea mbali. Mpaka unasema kwao ni masikini sana hilo nitusi.Awewe je umetoka kwa Royal kama mbowe .Ogopa Mungu .Ayo matusi.Utahaibika wewe mama Ahibu.

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj Месяц назад +2

      Msigwa ni kichwa, mpaka mzungu amelikubali, wewe binti we, angalia na wewe usimalize maneno bado mdogo.

  • @jofreyfungo1112
    @jofreyfungo1112 2 месяца назад +1

    Hamia ACT Wazalendo.Huko saccos utachoshwa sana.Chadema imekufa

  • @humphreymwankemwa
    @humphreymwankemwa Месяц назад

    Asante sana dada kwa ukweli wako. Nakumbuka aliwahi kutamka kuwa AKIHAMIA CCM WAKACHOME NYUMBA YAKE. Tokea hapo sina imani na UBONGO wa Msigwa

  • @samirsaidi8386
    @samirsaidi8386 2 месяца назад +1

    Ww umezaliwa family ipi dada

  • @janemwaipopo
    @janemwaipopo Месяц назад

    We dada kifimbo kiboko Nakupa saruti❤❤

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 2 месяца назад +2

    Haina maana yoyote mitumba hata Trump anauza😂😂😂

  • @alexbitakwate
    @alexbitakwate 2 месяца назад +1

    Dada umenena,Mungu akujaalie heri na bustani.

  • @MethodKipanga
    @MethodKipanga 2 месяца назад +1

    Dada. ..ansante

  • @mwalagokache375
    @mwalagokache375 Месяц назад +1

    Hii sio sawa ukitaka kutoa aibu ya wenzako kagua yako sio busara wewe huna sifa ya uongozi

  • @ibrahimsalmin6884
    @ibrahimsalmin6884 2 месяца назад +2

    Mkuki kwa nguruwe binadam unauma hamuoni mama samia anavyotukanwa na mtu wenu Tundu Lisu

  • @AndrewKanyika-t9s
    @AndrewKanyika-t9s Месяц назад

    Hahaaaa kamanda dada umetisha unjua kuchambua mambo

  • @davidntowanga7717
    @davidntowanga7717 2 месяца назад +2

    mwanamke

  • @kolechuma1249
    @kolechuma1249 2 месяца назад +1

    mbona mlikaanaemiakamingi kamaalikua hafai kulikon

  • @MagakaManyanya
    @MagakaManyanya 2 месяца назад +6

    Daa ww ni noma. Mimi sijawahi kuona mwanasiasa bora wa kike kama huyu. Ama kweli huyu ni the iron lady. Huyu akimbambana 2025 na samia 2025. Matokeo yatakuwa hivi samia 1% na huyu dada 99%

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +4

    Ww msigwa sio mtumishi wa Mungu ,acha kumrukana mbowe sisi tunampenda mno yan mno

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 2 месяца назад +1

    Aaaaaaah msigwa piga kazi Wala usiofu acha waseme ccm atupigi kelele

  • @DizanzibarStone
    @DizanzibarStone Месяц назад

    asante sana

  • @MamaBambala
    @MamaBambala Месяц назад +1

    Pointlessly ;haitusaidii hayo maneno yako ni ya uchokozi, unoko tu,, acha kumkufuru Mungu ;kwani maskini sio mtu? Wewe usimtanie Mungu.Msigwa mwanangu moyo wako usifikirie laana juu ya huyu binti acha kisasi ni cha Mungu mwenyewe.

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 2 месяца назад

    Nampenda sana huyu Dada. Anasautii nzurii sana. Huchoki kumsikiliza

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila7764 2 месяца назад +2

    Utajiri na huongozi unahusiana wapi

  • @yusuphforogo4464
    @yusuphforogo4464 2 месяца назад +1

    Sasa kuferi helimu ya secondary na siasa wapi Acheni maneno

  • @KatemboSaidi
    @KatemboSaidi 2 месяца назад +1

    Huna jipya wew

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c 2 дня назад

    Uyu dada anaijua sana sheria

  • @ErastoChilanza
    @ErastoChilanza 2 месяца назад +1

    Nyie mbona mlikaa naye

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 2 месяца назад +1

    sasa jamani kwa kupitia certificate ni dhambi jamani tatizo ni msigwa tu binafsi sio elimu jamani

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад +5

    Ushauri wangu kwa wote katika kuongea nivizuri kuweka akiba ya maneno, ukimaliza maneno yote utakasa lakusema mbele ya safari, maneno yako na msigwa wote nivichaa mmekutana,tofauti mmoja kichaa wa kike na mwingine wa kiume basi,usidanganye una hofu ya Mungu,kwani utakuwa una mdhihaki Mungu,

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад +1

      Msigwa Bwege kweli, Bora angebaki Kimya angeheshimika Lakini kaamua kujidharilisha

    • @MjuniLaulian
      @MjuniLaulian 2 месяца назад

      Ukikaona kanavyo jimwambafwai utagundua kuwa kajitu ka ovyo sana kalishikiliwa na cheo Cha Kanda ya Nyasa kumbe kajitu ka ovyo ila tujiti twa ovyo tuko Cha Cha mafisadi na umasikini na ujinga na makofi uko katafiti kwani kakileta ujinga na wakati kamekula za waume watakanyonga uko Kako kama kameolewa akatakiwi kulala na nguo

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 2 месяца назад

      Umaskini si ugonjwa...

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 2 месяца назад +1

      Aachie kiti Kama royal mbona kiti chake kila mara

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj Месяц назад +1

      Huyo binti alikuwepo miaka ile ya wimbo wa chadema kwamba lowasa fisadi papa. Mbowe aliponusa harufu ya hela mbona walimtakasa kuwa mwema kuliko Mungu. Msigwa yuko sawa. Ajibu mbowe kama anamkosea. Siyo wewe mtoto.

  • @sijaonalujinama
    @sijaonalujinama 2 месяца назад +2

    Tuko na msigwa 2025. Kama unahoja tengua hoja zake.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 месяца назад +8

    Msigwa shoga kama mashoga wengine tu angetumia akili kwa mlezi wake sio kwa kumchafua mwenyekiti wetu Mbowe

  • @philbertmyinga6344
    @philbertmyinga6344 2 месяца назад +2

    Pointless

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu2011 2 месяца назад +1

    Msigwa yupo sahihi .serikali wananchi nzima haruwezi kumpatia.mbowe awe ndio.ndiyo dhamana.yetu.

  • @hajjijingu9283
    @hajjijingu9283 2 месяца назад +1

    wote niwalewale tu mbona hamukuyasema haya wakati yupo chadema na mlikua mnamuita kamanda?

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 2 месяца назад +2

    Mtajua mwenyeweeeee cccm Hoyeeereeeeeeeee

  • @alexmhagama7210
    @alexmhagama7210 2 месяца назад +1

    Kwahiyo haya ndo mnayafahamu Leo baada ya kuondoka kwenu kwenda sehemu nyingine au?

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 2 месяца назад

    Dada hongera sana.Msigwa ndiyo Leo nimemuelewa sana.

  • @ahadimahenge3845
    @ahadimahenge3845 2 месяца назад

    Chadema acheni kumjibu msigwa mnapoteza muda weenu bulee😅😅

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 2 месяца назад +1

    Duh! Asante dada,

  • @MAULIDKIROGE-g5q
    @MAULIDKIROGE-g5q 2 месяца назад +2

    Dada hivi tafuta kazi nyingine hutufai wanachadema maana unakashifu masikini

    • @kashangakuroka997
      @kashangakuroka997 2 месяца назад

      😂😂😂Hujamuelewa anamaanisha ukiwa masikini usimchukie Alie fanikiwa,Muombe MUNGU akujalie nawewe katika kazi zako uwe kama yeye au zaidi ya yeye

  • @MymathaJosephina-ln9nb
    @MymathaJosephina-ln9nb 2 месяца назад

    Sawa kabisa Hana hakili

  • @oddoluambano2211
    @oddoluambano2211 2 месяца назад +4

    Ongea point wewe ndada, Msigwa yupo juu sana kuliko haya unayosema. Mpuuzi tu wewe Dada

  • @Awadhi-t2z
    @Awadhi-t2z 2 месяца назад +1

    Bado hamjasema

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 2 месяца назад

    Kumbe alikuwa house boy wa buruda wa angalikan?MSIGWA ❤😂

  • @AnteloSanga
    @AnteloSanga 2 месяца назад

    Asante dada

  • @DeoMosha-xw2lr
    @DeoMosha-xw2lr 2 месяца назад

    Usipo mlisha anafanya nn nimecheka sana😂😂

  • @henrynjovu9147
    @henrynjovu9147 2 месяца назад +4

    Haa haa haa. Kwa Kweli Kaingia Kwenye Mfumo. Haya Tungeyajulia Wapi?

  • @winifridasaidi1545
    @winifridasaidi1545 2 месяца назад

    Sema kamanda umetupa ukweri.Nakupendaga buleee.mungu akuweke miaka mingi kama number za vocha

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 2 месяца назад

    Dada yetu uko vizuri nakusubiri 2025 uingie kwenye mjengo upambane nao uso kwa uso. Umekipigania sana chama na Mungu wetu hatakuacha.

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa 2 месяца назад +1

    Mbona hayo mnaya sema Sasa hivi.

  • @tluwaysulle
    @tluwaysulle 2 месяца назад

    ❤❤❤ p9kea maua yako dada chadema tuna majeshi yaliyojificha ambayo inafaa k7wa wabunge wa kesho

  • @marryfelician1426
    @marryfelician1426 2 месяца назад

    Ni kweli msigwa anapenda ukubwa 😅😅😅😅

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o 2 месяца назад

    dada nakukubari sana😂😂😂😂

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 месяца назад

    Umeongea vizuri sana

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 2 месяца назад +1

    Haya sasa kunanoga 😂😂😂😂

  • @renatusmutabuzi7233
    @renatusmutabuzi7233 2 месяца назад

    😂😂 SAFI DADAKE

  • @devotatarimo8141
    @devotatarimo8141 2 месяца назад

    Big up dada umesema kweli hako Kamsigwa hakana lolote.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 месяца назад

    Asante sana Dada kwa uchambuzi huo kwa hiyo tunampuuza mtu huyo hatuna Iman nae tena njaa itamuua ana wivu mafanikio ya Mbowe atamkuta wapi

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 2 месяца назад +6

    😂😂😂😂house boy

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 2 месяца назад +6

    Thanks,

  • @barakabusima
    @barakabusima 2 месяца назад +1

    Haya sasa pambana na wenye maneno yao🤩

  • @gerphasntaziha4475
    @gerphasntaziha4475 2 месяца назад +1

    Kwa hiyo akisema ukweli ndio anakuwa form 4 failure? We humuwezi, kama unampinga njoo na fact. Hata kama unataja maisha yake binafsi haviondoi uhalisia wa alichokisema. Acha kutumika wewe mwanamke

  • @stephenurasa
    @stephenurasa 2 месяца назад

    Alwaeys unaongea point dada