HONGERA SANA DADA, HATA WAKUTUKANE, WEWE SEMA TU, UMETUFICHULIA UOZO WAKE,, HALAFU ETI WENGINE HAWATAKI KUJUA, KAMA MBOWE KATOKA KWENYE FAMILIA TAJIRI, KAMA WEWE NI MTOTO WA JUZI, FUNGA BAKULI LAKO, HUMJUI MBOWE !!!
Dada Siglada, habari za siku nyingi, asante kwa meseji nzuri kwa Msigwa! Umempa vidonge vya kutosha kama atafunguka akili ataelewa! Nawapa pole ccm kwa sababu huyo Msigwa alipoamua kuolewa huko ccm yeye aendelee kutumikia ndoa yake ya mkeka huko aache kelele! Wananchi tunamwelewa vizuri Msigwa kwamba ni mtu wa tamaa! na hizo tamaa zake ndiyo zimemfanya akubali kuolewa huko! Hivi kweli Msigwa ataisafisha ccm kwa sabuni nq dodoki gani? Sababu akiwa Chadema aliisema ccm kwa uchafu inaoufanya! Leo ataisafisha vipi! Hovyoooo kabisa! Asante Siglada, nakuelewa dada hujawahi kubadilika tangu nikufahamu. Big up sana! Umeongea point za maana sana! Chadema ni chama kanachojijenga kwa michango ya wanachama! Chadema siyo mafisadi kama ccm. Mungu akubariki dada mpendwa Siglada.
Hongera Sana dada kwa uwezo wako mkubwa wa kueleza na maelezo yako ni mazuri sana, umeelweka vizuri Sana. Maelezo yako yanaaminika Kwa 100/100. Huko nyuma ktk maoni yagu juu ya mchungaji bandia (eki) Msigwa, lisema hata mbumbavu hawaezi kuziamini hoja zake Msigwa kwani ni dhaifu mno!!! Hasa Msigwa anapo mtaja MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI MH. MBOWE NA CHADEMA KWA UJULA akimhusisha na MAMBO AMBAYO MWENYE AKILI TIMAMU HAWAEZI KUMWAMINI MSIGWA HASA KWA SABABU YA MAZINGIRA ALIYOTOKA NAYO NDANI YA CHADEMA. HAKUNA ASIYE JUA KUWA KILICHO MTOA MSIGWA CHADEMA, NI KUSHINDWA KWAKE KUUPATA TENA UWENYEKITI WA KANDA YA NYASA, TULIMUONA ALIVYO KUWA ANAHAHA NA KUTOKWA UDENDA WA TAMAA YA KUBAKIA MW/KITI WA KANDA BAADA YA KUUKOSA NDIPO ANAROPOKA HAYA. ANGEONDOKA KABLA KABISA YA UCHAGUZI WAJINGA WAJINGA WANGEMWELEWA KIDOOOOGO!!! ANAPO MTAJA MH. MBOWE KWA HAYO ANAJIDHARIRISHA SANA!!! NI NANI MWAMINIFU NDANI YA MOYO WAKE ANAWEZA AKAIDHARAU KAZI NZURI NA KUBWA ALIYOIFANYA MH FREEMAN MBOWE KTK SIASA ZA TANZANIA ZILIZO JAA UKIRITIMBA WA KUTISHA' DHULUMA YA KUTISHA, RUSHWA ZA AIBU MANYANYASO NA PROPAGANDA ZA KIJINGA KUTOKA CCM!!!? WAAMINIFU WA MIOYO WANAKIRI NILIYOYATAJA HAPO JUU, WENYE VITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI NCHINI VIKO 19 VILITIWA KTK MFUKONI WA CCM NA KUNYAMAZA KIMYA!!! NI MH. FREEMAN PEKEE AKAIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI( NINAAMINI KWA KIASI KIKUBWA NI KWA FEDHA ZAKE BINAFSI!! NI MBOWE PEKEE HAKUIUZA CHADEMA NDIYO SABABU LEO IPO KILA KIJIJI NCHINI KAZI NZURI YA MWAMBA FREEMAN!!! ILI UWATAWANYE KONDOO LAZIMA KWANZA UMPIGE MCHUNGAJI WAO(KIONGOZI WAO) MH MBIWE HAJAPIGWA LICHA YA MANYANYASO YOTE ALIYO TENDEWA NA MAFISADI!!! NAMALIZA MAONI YANGU KWA KUWAKUMBUSAHA WATANZANIA KAMA USHAHIDI, BWANA MAGUFULI AIWAHI KUSEMA HIVI: MBOWE NINAMPENDA ILA ANANIUDHI JAMBO MOJA LAKINI HAKULITAJA, KWANINI HAKULITAJA WENYE AKILI WAKATAFSIRI MH. MBOWE HAHONGEKI!! NDIYO SABABU KTK MOJA YA PROPAGANDA ZA CCM WALIITAJA CHADEMA KUWA HAKUNA DEMOKRASIA KISA MH. MBOWE AMEDUMU MUDA MREFU KAMA MW/KITI, WAKATI HUOHUO AMBAO WALIKUWA WENYE VITI KTK VYAMA VYAO KWA MUDA MREFU SANA KULIKO MH. FREEMAN, KAMA PROFFESSOR I. LIPUMBA, MH. MOMOSE CHEYO MH. MLEMA N. K. CCM HAIKUWAHI KUWATAJA KWA KUKAA MUDA MREFU KULIKO MH. MBOWE. WANA CHADEMA NAWAOMBA MH. MBOWE ABAKI HAPO MPAKA ATUVUSHE 2025 MWAKA WA UKOMBOZI ( DOLA MIKONONI MW CHADEMA KWA KUDRA YA MWENYEZI MUNGU!!!
Kwanini mlimkumbatia miaka you're hyo na hamkumtumbua????? Kwahyo nyie mnabeba uchafu ....??? 😂😂😂😂 Siasa Raha sanaaaa Kwel Nazid kuamin kuwa siasa uwe tayar Kwa yote na huna rafiki wa kudum... Dada endelea ila watu wengi ni waelewa Kwa sasa
Ogopa MUNGU wewe mama unasema sana .Tunakujua sana.Huna hofu ya Mungu udingekuwa unasema.Nawewe Huna akiba ya maneno .ayo yote hayafai unaonekana una hasira sanaa. Naona mme wako hana shida sana .Dhu moto wa kuotea mbali. Mpaka unasema kwao ni masikini sana hilo nitusi.Awewe je umetoka kwa Royal kama mbowe .Ogopa Mungu .Ayo matusi.Utahaibika wewe mama Ahibu.
Daa ww ni noma. Mimi sijawahi kuona mwanasiasa bora wa kike kama huyu. Ama kweli huyu ni the iron lady. Huyu akimbambana 2025 na samia 2025. Matokeo yatakuwa hivi samia 1% na huyu dada 99%
Pointlessly ;haitusaidii hayo maneno yako ni ya uchokozi, unoko tu,, acha kumkufuru Mungu ;kwani maskini sio mtu? Wewe usimtanie Mungu.Msigwa mwanangu moyo wako usifikirie laana juu ya huyu binti acha kisasi ni cha Mungu mwenyewe.
Ushauri wangu kwa wote katika kuongea nivizuri kuweka akiba ya maneno, ukimaliza maneno yote utakasa lakusema mbele ya safari, maneno yako na msigwa wote nivichaa mmekutana,tofauti mmoja kichaa wa kike na mwingine wa kiume basi,usidanganye una hofu ya Mungu,kwani utakuwa una mdhihaki Mungu,
Ukikaona kanavyo jimwambafwai utagundua kuwa kajitu ka ovyo sana kalishikiliwa na cheo Cha Kanda ya Nyasa kumbe kajitu ka ovyo ila tujiti twa ovyo tuko Cha Cha mafisadi na umasikini na ujinga na makofi uko katafiti kwani kakileta ujinga na wakati kamekula za waume watakanyonga uko Kako kama kameolewa akatakiwi kulala na nguo
Huyo binti alikuwepo miaka ile ya wimbo wa chadema kwamba lowasa fisadi papa. Mbowe aliponusa harufu ya hela mbona walimtakasa kuwa mwema kuliko Mungu. Msigwa yuko sawa. Ajibu mbowe kama anamkosea. Siyo wewe mtoto.
Kwa hiyo akisema ukweli ndio anakuwa form 4 failure? We humuwezi, kama unampinga njoo na fact. Hata kama unataja maisha yake binafsi haviondoi uhalisia wa alichokisema. Acha kutumika wewe mwanamke
Asante dada kutupa taarifa za huyu Mchungaji faki
Siglada asante mwanangu, umetoa vipande tosha. Msigwa njaaaaaa sana
Dada nitumie namba yako nikutumie hela ya vocha
Hongera kamanda kwa kutupa ujumbe mzuri, uko sawa kabisa.
😂😂😂 Kweli ccm wamelamba joker 🃏. Asante sana Dada kwa ujumbe mzur
Asante sana Kamanda kwa kutufunulia juu ya juu ya Msigwa. Personally I never trusted Msigwa, lakini niliona vema kumvumilia kwenda naye taratibu
Dah we Dada umetishaaaaaaaaaa umeuaaa, big up Sana👊
Asante Dada Siglada mtu wa nguvu nakupendaga mnooooo mnooooooo
Asante dada huwa nakukubali sana miaka yote hujawahi kukosea kbs😂😂✌️
Mbowe kafailu wapi
Mwambie huyo mshamba,elimu inahucana nini na kumkosoa mbowe,nayeye kipindi hicho alikuwa na umrigan,dada kavu kweli k@@AjiaMohamed-rt5pb
@@AjiaMohamed-rt5pbkajifunze kuandika kwanza maana ulichokiandika hakieleweki.
Msingwa ana uroho wa madaraka
Asante sana shangazi kwa uchambuzi wako muzuri na wakueleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA.
HONGERA SANA DADA, HATA WAKUTUKANE, WEWE SEMA TU, UMETUFICHULIA UOZO WAKE,, HALAFU ETI WENGINE HAWATAKI KUJUA, KAMA MBOWE KATOKA KWENYE FAMILIA TAJIRI, KAMA WEWE NI MTOTO WA JUZI, FUNGA BAKULI LAKO, HUMJUI MBOWE !!!
Nakukubali sana mwanasheria
MSIGWA KAYAKANYAGA HUYU MWANASHERIA HUYU NI MSOMI SANA UKIINGIA KWENYE 18 ZAKE UMEKWISHAAA I LOVE THIS HUMAN.❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada Siglada, habari za siku nyingi, asante kwa meseji nzuri kwa Msigwa! Umempa vidonge vya kutosha kama atafunguka akili ataelewa! Nawapa pole ccm kwa sababu huyo Msigwa alipoamua kuolewa huko ccm yeye aendelee kutumikia ndoa yake ya mkeka huko aache kelele! Wananchi tunamwelewa vizuri Msigwa kwamba ni mtu wa tamaa! na hizo tamaa zake ndiyo zimemfanya akubali kuolewa huko! Hivi kweli Msigwa ataisafisha ccm kwa sabuni nq dodoki gani? Sababu akiwa Chadema aliisema ccm kwa uchafu inaoufanya! Leo ataisafisha vipi! Hovyoooo kabisa! Asante Siglada, nakuelewa dada hujawahi kubadilika tangu nikufahamu. Big up sana! Umeongea point za maana sana! Chadema ni chama kanachojijenga kwa michango ya wanachama! Chadema siyo mafisadi kama ccm. Mungu akubariki dada mpendwa Siglada.
Barikiwa sana dada mimi nilikosa msamiati wa kumjibu Msigwa maana amenikeraaaaaa mnoooooo,sasa naona umenisemea,asante sana .
Hongera sana upo vizuri kamanda
uko vizuri afadhali umetulisha kumbe ni o+o
AHSANTE MPENDWA UMETUSAIDIA KUMPASHA.
Msigwa yupo vizuri chadema utawala awawezi aho chama cha ukabila icho
Msakatonge huyo achaneni nae,kwanza asiitwa Mchungaji ,Uchungaji unaheshima yake,
Upon sahihi kabisa mwenye wivu huwa ana maneno mengi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿iringa mbunge wenu ndo huyo mungu awape nini msikae kinyonge piga chini msigwa viva iringa🙏
Very wonderful message
Hongera sana Mwanangu ,umeongea Busara sana ,na Hekima ya Mungu ,siku si nyingi tutaona ,Mavuno tu maana apandacho mtu lazima atavuna
Upo sahihi kabisa
Dada Asante umesema kweli Mungu a😊kulinde s.Msigwa😢anakula mataapishi yake.miaka kumi akiwa mbunge wa Chadema Leo kasahau
Wewe. Jembeee. Mtoto mdogo. Nimekupenda. Babyyyyy
Dada mungu akubariki sana
Ubarikiwe saaaaaanaaaaaa.
Dada upo vizuri
Saf sana dadaangu mungu akubalik sana msigwa Hana rorote
Kamanda uko vzr sana
Hongera Sana dada kwa uwezo wako mkubwa wa kueleza na maelezo yako ni mazuri sana, umeelweka vizuri Sana. Maelezo yako yanaaminika Kwa 100/100. Huko nyuma ktk maoni yagu juu ya mchungaji bandia (eki) Msigwa, lisema hata mbumbavu hawaezi kuziamini hoja zake Msigwa kwani ni dhaifu mno!!! Hasa Msigwa anapo mtaja MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI MH. MBOWE NA CHADEMA KWA UJULA akimhusisha na MAMBO AMBAYO MWENYE AKILI TIMAMU HAWAEZI KUMWAMINI MSIGWA HASA KWA SABABU YA MAZINGIRA ALIYOTOKA NAYO NDANI YA CHADEMA. HAKUNA ASIYE JUA KUWA KILICHO MTOA MSIGWA CHADEMA, NI KUSHINDWA KWAKE KUUPATA TENA UWENYEKITI WA KANDA YA NYASA, TULIMUONA ALIVYO KUWA ANAHAHA NA KUTOKWA UDENDA WA TAMAA YA KUBAKIA MW/KITI WA KANDA BAADA YA KUUKOSA NDIPO ANAROPOKA HAYA. ANGEONDOKA KABLA KABISA YA UCHAGUZI WAJINGA WAJINGA WANGEMWELEWA KIDOOOOGO!!! ANAPO MTAJA MH. MBOWE KWA HAYO ANAJIDHARIRISHA SANA!!! NI NANI MWAMINIFU NDANI YA MOYO WAKE ANAWEZA AKAIDHARAU KAZI NZURI NA KUBWA ALIYOIFANYA MH FREEMAN MBOWE KTK SIASA ZA TANZANIA ZILIZO JAA UKIRITIMBA WA KUTISHA' DHULUMA YA KUTISHA, RUSHWA ZA AIBU MANYANYASO NA PROPAGANDA ZA KIJINGA KUTOKA CCM!!!? WAAMINIFU WA MIOYO WANAKIRI NILIYOYATAJA HAPO JUU, WENYE VITI WENGI WA VYAMA VYA UPINZANI NCHINI VIKO 19 VILITIWA KTK MFUKONI WA CCM NA KUNYAMAZA KIMYA!!! NI MH. FREEMAN PEKEE AKAIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI( NINAAMINI KWA KIASI KIKUBWA NI KWA FEDHA ZAKE BINAFSI!! NI MBOWE PEKEE HAKUIUZA CHADEMA NDIYO SABABU LEO IPO KILA KIJIJI NCHINI KAZI NZURI YA MWAMBA FREEMAN!!! ILI UWATAWANYE KONDOO LAZIMA KWANZA UMPIGE MCHUNGAJI WAO(KIONGOZI WAO) MH MBIWE HAJAPIGWA LICHA YA MANYANYASO YOTE ALIYO TENDEWA NA MAFISADI!!! NAMALIZA MAONI YANGU KWA KUWAKUMBUSAHA WATANZANIA KAMA USHAHIDI, BWANA MAGUFULI AIWAHI KUSEMA HIVI: MBOWE NINAMPENDA ILA ANANIUDHI JAMBO MOJA LAKINI HAKULITAJA, KWANINI HAKULITAJA WENYE AKILI WAKATAFSIRI MH. MBOWE HAHONGEKI!! NDIYO SABABU KTK MOJA YA PROPAGANDA ZA CCM WALIITAJA CHADEMA KUWA HAKUNA DEMOKRASIA KISA MH. MBOWE AMEDUMU MUDA MREFU KAMA MW/KITI, WAKATI HUOHUO AMBAO WALIKUWA WENYE VITI KTK VYAMA VYAO KWA MUDA MREFU SANA KULIKO MH. FREEMAN, KAMA PROFFESSOR I. LIPUMBA, MH. MOMOSE CHEYO MH. MLEMA N. K. CCM HAIKUWAHI KUWATAJA KWA KUKAA MUDA MREFU KULIKO MH. MBOWE. WANA CHADEMA NAWAOMBA MH. MBOWE ABAKI HAPO MPAKA ATUVUSHE 2025 MWAKA WA UKOMBOZI ( DOLA MIKONONI MW CHADEMA KWA KUDRA YA MWENYEZI MUNGU!!!
Waoo, asante kamanda, kumbe ni ujanja ujanja tu shule hamna, duu, Msigwa, ungenyamaza haya yangetoka wapi?
Hongera sana dada anaonekana tu kamudomo huyo anatafuta cheo ccm
Wampe tuu huku sisi. tunasonga mbele
dada upo vizuri sana hongera
Sifuri kubwa, hakuna Point hata moja.
Kwanini mlimkumbatia miaka you're hyo na hamkumtumbua?????
Kwahyo nyie mnabeba uchafu ....???
😂😂😂😂
Siasa Raha sanaaaa
Kwel Nazid kuamin kuwa siasa uwe tayar Kwa yote na huna rafiki wa kudum...
Dada endelea ila watu wengi ni waelewa Kwa sasa
Aaaaah kumbe Msigwa kulopoka hovyo tu vyeti Aaaaaah😂😂😂😂🙌
Kumbe Asante dada
Ogopa MUNGU wewe mama unasema sana .Tunakujua sana.Huna hofu ya Mungu udingekuwa unasema.Nawewe Huna akiba ya maneno .ayo yote hayafai unaonekana una hasira sanaa. Naona mme wako hana shida sana .Dhu moto wa kuotea mbali. Mpaka unasema kwao ni masikini sana hilo nitusi.Awewe je umetoka kwa Royal kama mbowe .Ogopa Mungu .Ayo matusi.Utahaibika wewe mama Ahibu.
Msigwa ni kichwa, mpaka mzungu amelikubali, wewe binti we, angalia na wewe usimalize maneno bado mdogo.
Hamia ACT Wazalendo.Huko saccos utachoshwa sana.Chadema imekufa
ACT tawi la chama tawala
Asante sana dada kwa ukweli wako. Nakumbuka aliwahi kutamka kuwa AKIHAMIA CCM WAKACHOME NYUMBA YAKE. Tokea hapo sina imani na UBONGO wa Msigwa
Ww umezaliwa family ipi dada
We dada kifimbo kiboko Nakupa saruti❤❤
Haina maana yoyote mitumba hata Trump anauza😂😂😂
Dada umenena,Mungu akujaalie heri na bustani.
Dada. ..ansante
Hii sio sawa ukitaka kutoa aibu ya wenzako kagua yako sio busara wewe huna sifa ya uongozi
Mkuki kwa nguruwe binadam unauma hamuoni mama samia anavyotukanwa na mtu wenu Tundu Lisu
Hahaaaa kamanda dada umetisha unjua kuchambua mambo
mwanamke
mbona mlikaanaemiakamingi kamaalikua hafai kulikon
Daa ww ni noma. Mimi sijawahi kuona mwanasiasa bora wa kike kama huyu. Ama kweli huyu ni the iron lady. Huyu akimbambana 2025 na samia 2025. Matokeo yatakuwa hivi samia 1% na huyu dada 99%
Ww msigwa sio mtumishi wa Mungu ,acha kumrukana mbowe sisi tunampenda mno yan mno
Aaaaaaah msigwa piga kazi Wala usiofu acha waseme ccm atupigi kelele
asante sana
Pointlessly ;haitusaidii hayo maneno yako ni ya uchokozi, unoko tu,, acha kumkufuru Mungu ;kwani maskini sio mtu? Wewe usimtanie Mungu.Msigwa mwanangu moyo wako usifikirie laana juu ya huyu binti acha kisasi ni cha Mungu mwenyewe.
Nampenda sana huyu Dada. Anasautii nzurii sana. Huchoki kumsikiliza
Utajiri na huongozi unahusiana wapi
Sasa kuferi helimu ya secondary na siasa wapi Acheni maneno
Ww nae ulifel mbona jaziba
Huna jipya wew
Uyu dada anaijua sana sheria
Nyie mbona mlikaa naye
sasa jamani kwa kupitia certificate ni dhambi jamani tatizo ni msigwa tu binafsi sio elimu jamani
Ushauri wangu kwa wote katika kuongea nivizuri kuweka akiba ya maneno, ukimaliza maneno yote utakasa lakusema mbele ya safari, maneno yako na msigwa wote nivichaa mmekutana,tofauti mmoja kichaa wa kike na mwingine wa kiume basi,usidanganye una hofu ya Mungu,kwani utakuwa una mdhihaki Mungu,
Msigwa Bwege kweli, Bora angebaki Kimya angeheshimika Lakini kaamua kujidharilisha
Ukikaona kanavyo jimwambafwai utagundua kuwa kajitu ka ovyo sana kalishikiliwa na cheo Cha Kanda ya Nyasa kumbe kajitu ka ovyo ila tujiti twa ovyo tuko Cha Cha mafisadi na umasikini na ujinga na makofi uko katafiti kwani kakileta ujinga na wakati kamekula za waume watakanyonga uko Kako kama kameolewa akatakiwi kulala na nguo
Umaskini si ugonjwa...
Aachie kiti Kama royal mbona kiti chake kila mara
Huyo binti alikuwepo miaka ile ya wimbo wa chadema kwamba lowasa fisadi papa. Mbowe aliponusa harufu ya hela mbona walimtakasa kuwa mwema kuliko Mungu. Msigwa yuko sawa. Ajibu mbowe kama anamkosea. Siyo wewe mtoto.
Tuko na msigwa 2025. Kama unahoja tengua hoja zake.
Msigwa shoga kama mashoga wengine tu angetumia akili kwa mlezi wake sio kwa kumchafua mwenyekiti wetu Mbowe
Pointless
Msigwa yupo sahihi .serikali wananchi nzima haruwezi kumpatia.mbowe awe ndio.ndiyo dhamana.yetu.
wote niwalewale tu mbona hamukuyasema haya wakati yupo chadema na mlikua mnamuita kamanda?
Mtajua mwenyeweeeee cccm Hoyeeereeeeeeeee
Kwahiyo haya ndo mnayafahamu Leo baada ya kuondoka kwenu kwenda sehemu nyingine au?
Dada hongera sana.Msigwa ndiyo Leo nimemuelewa sana.
Chadema acheni kumjibu msigwa mnapoteza muda weenu bulee😅😅
Duh! Asante dada,
Dada hivi tafuta kazi nyingine hutufai wanachadema maana unakashifu masikini
😂😂😂Hujamuelewa anamaanisha ukiwa masikini usimchukie Alie fanikiwa,Muombe MUNGU akujalie nawewe katika kazi zako uwe kama yeye au zaidi ya yeye
Sawa kabisa Hana hakili
Ongea point wewe ndada, Msigwa yupo juu sana kuliko haya unayosema. Mpuuzi tu wewe Dada
We ndo matako kabisa
Kwan msigwa kakosea nn hapo
Huyo binti mbona hajatukumbushia ya lowasa?
Bado hamjasema
Kumbe alikuwa house boy wa buruda wa angalikan?MSIGWA ❤😂
Asante dada
Usipo mlisha anafanya nn nimecheka sana😂😂
Haa haa haa. Kwa Kweli Kaingia Kwenye Mfumo. Haya Tungeyajulia Wapi?
Sema kamanda umetupa ukweri.Nakupendaga buleee.mungu akuweke miaka mingi kama number za vocha
Dada yetu uko vizuri nakusubiri 2025 uingie kwenye mjengo upambane nao uso kwa uso. Umekipigania sana chama na Mungu wetu hatakuacha.
Mbona hayo mnaya sema Sasa hivi.
❤❤❤ p9kea maua yako dada chadema tuna majeshi yaliyojificha ambayo inafaa k7wa wabunge wa kesho
Ni kweli msigwa anapenda ukubwa 😅😅😅😅
dada nakukubari sana😂😂😂😂
Umeongea vizuri sana
Haya sasa kunanoga 😂😂😂😂
😂😂 SAFI DADAKE
Big up dada umesema kweli hako Kamsigwa hakana lolote.
Asante sana Dada kwa uchambuzi huo kwa hiyo tunampuuza mtu huyo hatuna Iman nae tena njaa itamuua ana wivu mafanikio ya Mbowe atamkuta wapi
😂😂😂😂house boy
Indio maana kajinga kumbe alikuwa house boy
Hhhhhhhh kumbe kanajua kukata vitunguu.
Thanks,
Haya sasa pambana na wenye maneno yao🤩
Kwa hiyo akisema ukweli ndio anakuwa form 4 failure? We humuwezi, kama unampinga njoo na fact. Hata kama unataja maisha yake binafsi haviondoi uhalisia wa alichokisema. Acha kutumika wewe mwanamke
Alwaeys unaongea point dada