JAMAA ALIYEJIREKODI AKICHOMA PICHA YA RAIS SAMIA NA KUMTUKANA, RC AAGIZA "NATOA MASAA 24 ASAKWE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 170

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 21 день назад +24

    Mwenyezi Mungu anatukanwa mchana kweupe hatujawahi kuona kiongozi yyte wa serikal akitoa kauli km hii au Samia na Mungu Samia ni Bora kuliko Muumba

    • @RamadhaniMadanga-ne7jk
      @RamadhaniMadanga-ne7jk 21 день назад +3

      Bongo Kuna uhuru wakusifu tuuu kupinga nakukashifu hakuna

    • @MwanahamisHassan
      @MwanahamisHassan 21 день назад +1

      ​@@RamadhaniMadanga-ne7jkmbona mungu alitukanwa

  • @mudrickkisinda1515
    @mudrickkisinda1515 21 день назад +12

    Mimi najua watanzania wengi tunatamani kufanya hivi sema uoga tu😂

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@mudrickkisinda1515 walinda legacy na haters wa mama mbona wachache sana.....toa neno wengi.

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w 21 день назад +11

    Hawatusaidii Sisi ndo tunawasaidia, tunawalipa mshahara, mnakula bule, mnajisaidia bule hizo zote ni nguvu zetu, mnakula jasho letu na bado mnaiba jasho letu, inauma Sana.

    • @MPOYOLAFILMS
      @MPOYOLAFILMS 21 день назад

      Hahahaha kudadeki wew huogopi...

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 21 день назад +24

    Acha kujipendekeza kila raia ana uhuru WA kutoa maoni yake
    Muulize ruto
    Sioni kosa lake natamani ungemwita muulize kwnn ulichoma picha naje unahisi serikali ifanye nnn sio kumkamata

  • @MwanahamisHassan
    @MwanahamisHassan 21 день назад +6

    Alitukanwa mungu na aliyetukana ni afande sele mbona serikali hamkufanya kitu Kwa sababu ni mungu ndio maana hamsemi lkn samia ndio mwajiona Kimbelembele kusema huyo MTU ashikiliwe hii sio Hakii kabisa na huu ni ukatili wa kiimani kabisa serikali mnavyofanya sio haki mwacheni MTU aseme anachokitaka. ( Every citizen has a right to do what he or she wants at any time or any place)

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 21 день назад +10

    Acha ujinga samai mama kwa wanae sio Mimi Wala ww ndio hata ww ukipata tatizo huwezi kumuona au kuja kukuona kwakua ww sio mama ako

  • @user-pf9rk6jp4f
    @user-pf9rk6jp4f 20 дней назад +5

    Kumamae zenu na serikali yenu ya mama samia ya kikuma

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@user-pf9rk6jp4f haters stress zitawaua mamamamamamamae zenu!!

  • @commandorsrlo175
    @commandorsrlo175 21 день назад +8

    Asakwe kivp haliyakua ana ongea ukweli

  • @KinggureyAlii
    @KinggureyAlii 21 день назад +2

    This guys hutuambia eti kenya.. ooh.. kenya.. eehh 😂

  • @johnonyango6069
    @johnonyango6069 21 день назад +2

    Freedom of speech and expression my friend. Wewee ndio ukona umbeya

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 21 день назад +2

    Muwasake hata wanao uuza lasilimali za inchi yetu na wanaovunja katiba

  • @CharlesMasila-nn3kg
    @CharlesMasila-nn3kg 21 день назад +2

    Nyinyi mko nyuma sana,,😂😂😂 yaani mtu hawezi akatofautiana na rahisi wenu

  • @ElishaZachariaEmmanuel
    @ElishaZachariaEmmanuel 20 дней назад +2

    Mama mzazi nchi hii😂😢😢

  • @StanyOfficiol
    @StanyOfficiol 21 день назад +2

    Kwani. Mama samia ni mungu mama sio mungu ni mtu tu na ukisema kakashf basi ameshindwa kuongea kilichokera kuhusu mama ndo maana kafanya action hiyo sasa mfanyakazi wangu hawezi kuogopwa akikera anaambiwa je ni wapi sauti za maskini zitamfikia au ni shobo we mkuu ambaye nawe unalipwa mshahara kwa kupitia kodi zetu

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 21 день назад +4

    Mim binafsi samia sio mama yangu wala sio shangazi yangu.....huyo mchoma picha ameonesha jinsi gani raia wamemchoka huyo mama yenu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 21 день назад +2

    Kutunwa jambo ra kawaida Kuna kazi nyingi za kutusaidia wananchi anatukanwa mungu hamuongei kwakua mungu hatoi ajira na pesa

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 21 день назад +2

    Acha ushamba mama hajaanza kusemwa vibaya leo wala jana... Ni maraisi wote na jambo la kawaida tu.... Unaweza kuona ni jambo jema kumbe ndio kuanzisha tatizo

  • @user-zj6hp6ju3w
    @user-zj6hp6ju3w 21 день назад +6

    Mambo ayo yamepitwa na wakati,

  • @abdulmagido5444
    @abdulmagido5444 21 день назад +2

    Nyinyi viongozi mnakuwa na jazba sana akili fupi tu wewe ndio kama unataka kutengeneza hili jambo lisambae na kutengeneza mada hakuna utalatibu mwingine wa busara wa kuchukuwa hii hali ya ukhanisi inazidi kiasi watu wanaogopa kupeleka watoto wao kwenye boarding school ww mwanambeya umechukuwa hatua gani ww unataka kutia kuni kwenye moto

  • @khamisibro2106
    @khamisibro2106 21 день назад +2

    Musitariju kufanya kitu kama icho tena...tanzania sio 🇰🇪

  • @user-cv4yx4uf8u
    @user-cv4yx4uf8u 20 дней назад +2

    Mnamuonea tu kumkamata picha kitu Gani nanyie serekali mnayoo tufanyia Yana uzur gan bwana ,mtu anaongea ukweli tu nyie vipi mnazingua tz Bora tuwe kama Kenya tu

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 21 день назад +4

    ...kumukamata si busara itachochea mengi....

  • @user-it2tr7ny8d
    @user-it2tr7ny8d 21 день назад +2

    Msengeee www

  • @jeremiaholesingooi3940
    @jeremiaholesingooi3940 21 день назад +2

    Kama hataki kutukanwa angekaa nyumbani na bwana yake juu ako kazi yetu na sisi ndo mabosi wake Tanzania wananchi mjue haki yenu kaa raia

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@jeremiaholesingooi3940 hebu lisikilizeni na hili punga!!🥱🥱🥱🥱

  • @isamony58
    @isamony58 21 день назад +8

    Bado siku chache mtakuja vijijini kutuomba kura tutakutana ukoo tumewachoka sana itakuwa kama Kenya sasa

    • @hassanmuhidin871
      @hassanmuhidin871 20 дней назад

      Kura yako haisaidii kitu raisi anakua tayari amechaguliwa😂😂😂😂

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 15 дней назад

      ​@@hassanmuhidin871utashangaa atavyochekechwa na kura! Kuiba hatowezekana

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 21 день назад +4

    Huyo samia ndo mungu wenu???

    • @user-tt9bp2id5p
      @user-tt9bp2id5p 20 дней назад

      Uyo samia ivi ni nan mbna simjui

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@user-tt9bp2id5p na hata Hana haja ya kujulikana na sungusungu kama wewe, Ili iweje kwanza?!!!

  • @SaidKipe-zm8wt
    @SaidKipe-zm8wt 21 день назад +2

    Toka zako ww ukweli. Usisemwe

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q 21 день назад +2

    Akiripoti kutoka China huyu ni Juma Homera

  • @user-ky9ft1bd1m
    @user-ky9ft1bd1m 21 день назад +4

    Na ww ni msenge

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 21 день назад +2

    HakiaMungu ngoja ninyamaze tu

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@ipepeetube449 lazima unyamaze, usiyemtaka Yuko mjengoni akiwa na afya tele......utafanyaje zaidi ya kutuliza kitenesi hiko.

  • @JeremiahNyunza-ov9ll
    @JeremiahNyunza-ov9ll 21 день назад

    Kwanza hapo ulipo ni Mbeya naona upo mwanjelwa hapo..

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 21 день назад +2

    R.i.p JPM
    Mwamba kweli kweli

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz 10 дней назад

    Nyinyi wote mnamtetea mama samia nyie ni masenge tu

  • @NtugwaGaleshi-w1p
    @NtugwaGaleshi-w1p 4 дня назад

    Hapa Atuna kiongoz , unashindwa kulaani mauaji ya kikatili na marehem kukatwa viungo unalaani picha ya samia kuchomwa Moto kilaza kweli kweli

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel 21 день назад

    Aiseeee

  • @user-yt9zf6xd8n
    @user-yt9zf6xd8n 21 день назад

    Huyo kijana maisha yanemshida mtaani alitaka kila vya bure

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 21 день назад +2

    No comments

  • @jumagora3462
    @jumagora3462 19 дней назад

    Mm kama mwana jamii mwenye haki za nchi niraiya wa nchi narejea hata kama agekuwa sio rais apewe haki yake ya kuzalilisha tu kisheria kisheria

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 19 дней назад

    KIJANA HUYO INAONYESHWA NIMFUASI WA CHADEMA UCHOCHEZI WA MBOE NA LISU UMEMUINGIA NAHUKU MIKOANI WAPO WAMESIMIA KATIKA ITKADI YA UDINI NA UTANGANYIKA

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand2022 20 дней назад

    Kumtia hatiani ni ngumu sana sana maana hajavunja sheria...! Hiyo picha ya samia, ni picha ya kawaida tu na siyo nembo ya taifa. Lakini, anapokuwanayo,, anakuwa anaimiliki kama personal property yake, so anaweza kuichana tu au kuichoma... lakini, kamkosoa Mama... tu, hajamtukana matusi ya nguoni.... HUYO JAMAA, LABDA SHERIA ISITENDE HAKI...IKITENDA HAKI, HAWEZI FUNGWA KABISA.

  • @xfamefatetv
    @xfamefatetv 21 день назад

    Itakuwa Amekua divorced na empowered women😭 MSAMEHEE #Mama #Raisi #Samia #ccm

  • @africanatvshow4521
    @africanatvshow4521 21 день назад

    Mkuu wa Mkoa hana akili kabisa huyu .Kila mtu ako na Freedom of expression..Shida ya sisi watanzania tunajipendekeza sana na hawa politicians wengi ni slaves kwa watu wa nje ..

  • @modestcomred9500
    @modestcomred9500 21 день назад

    Hinyi sio kabisa oo akamatwemara moja yani mamboyamsingi mnashindwa kuyafuatilia mnafatilia upuuzi inatakiwa ujiulize kwa nini Kadanya hivi tafuta sababu ila kauliyake nikwamba yupo upande wa 👹👹👹

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 21 день назад

    Wanashindwa kuwakata wanao iba mabillioni ya hela serikalini wana kazi wa kuwanyanyasa wanannchi kwanza hapo alipo sio tanzania' fanya maendeleo ya mbeya kazi uliyopewa sio kazi yako hiyo ni ya polisi

  • @ashamkesa979
    @ashamkesa979 21 день назад

    Nikweli asakwe na nahatua zichukuliwe dhidi yake asijifanye Genz

  • @harithrashid5314
    @harithrashid5314 20 дней назад

    Akamatwe kwani kavunja sheria gani?

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 18 дней назад

    Sio kumkashif😂 watu wanatoa ya moyoni yanayowatesa

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 20 дней назад +1

    Huyu anyongwe kafiri anamtuka Rais wetu

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 21 день назад +5

    Huyu raisi mpendwa rushwa atumtak kauza nchi ytu na ndugu zake wakin kikwete cmpendi huyu mama bc tu

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 21 день назад

      Mjinga km wewe usipompenda unampunguzia nini'?!!! Bado yupo sana minduku wakubwa nyie na udini wenu huo!

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz 10 дней назад

      @@Sahlomon-jp4jrwe ni msenge sana huyo mama ako kaupata urais kwa kumzima mwenzao nasio kumpa kura kwa utayali wetu we komwe lako matako yako wewe

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@Dizzolee-tz na mkizidi kuleta ushoga wenu atawatia vidole kabisa.....bwabwa mkubwa wewe. Mna chuki mpaka hamjui hata mnaloongea?!! Hebu nendeni mkafirimbwe kwa nabii Tito huko.

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 21 день назад

    Mkuu wa Mko mwenyewe anatoa maelekezo huku ayuko eneo lake la kazi, Anatoa maelekezo yuko China, Hii nchi bhana

  • @BashirMatola
    @BashirMatola 21 день назад

    Kumtukana kiongozi wa nchi ni kosa kubwa kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko achukuliwe atua kali sana huyo ni muovu akamatwe

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p 20 дней назад

    Achen miyeyusho mbona jamaa amefanya good baada apewe pongez mnamkamata

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 21 день назад

    Mnafiki ww ulisake kwanza domo la jeiz lililokua linatoa Siri za ikulu maana Hilo ndilo kubwa ubabe ni WA muda Mungu wa milele

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw 16 дней назад

    Kazigan wanafanya kupandisha bei tuu

  • @LeonGregory-nz6ob
    @LeonGregory-nz6ob 21 день назад

    Tanzania hao viongoz sisi tumepiga kura wengine wameingia bila sera tuliyemchagua alikuwa na sera tofaut kwan rais ni mfamle au malikia mbona viongoz wengi wamesemwa

  • @Bendouble
    @Bendouble 20 дней назад

    Huyu mkuu wa mkoa ye yuko china amepoa ,mama anadhalilishwa huku

  • @nhztmemery4030
    @nhztmemery4030 21 день назад

    Story ya kumtukana Rais watuachie wa Kenya 😅

  • @jamesnyamila2165
    @jamesnyamila2165 21 день назад

    Ukweli unaongelewa Tanzania, maelekezo ya kumtafuta muongea ukweli yanakoka China

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 21 день назад

    Wakimalizana na huyo sheria itayotumika kumshtaki naomba itiliwe mkazo sana manake matusi mtaani imekuwa jambo la kawaida aswa kwa makonda wa dala dala na vijana wengi muda mwingine utumia tusikama sehemu ya kusifia lakini si tabia njema..

  • @GodsonAyo
    @GodsonAyo 20 дней назад

    Hii nguvu polisi wanayoitumia wangetumia kutafuta jambazi Lilo muua dreva bajaji ar

  • @davideditz2049
    @davideditz2049 21 день назад

    Fanyeni kazi za maana kutukanwa kupo

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz 10 дней назад

    Hatuna uhuru wala amani nimateso tu

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 21 день назад

    Eti mama ni mama yako yupo.acha tundu lisu hawanyooshe.jamaa kasha zinguliwa huyo.

  • @allybakari5791
    @allybakari5791 21 день назад

    Sasa kama hawatusaidii Sisi tufanyeje

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 21 день назад

    Duh haya bhana ndo kazi ya polisi hiyo

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAi 21 день назад

    Nikiriport kutoka china nimimi mkuu 😅😅😅

  • @DanielMwasi-cq2rg
    @DanielMwasi-cq2rg 19 дней назад

    Hakuna aliyeongea ukweli akabaki salama

  • @classicdenzmorlke
    @classicdenzmorlke 21 день назад

    😂😅 Kenya hatuna. nidhamu kwel

  • @vibes6446
    @vibes6446 19 дней назад

    Mkuu wa mkoa unaongea ukiwa wapi

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 18 дней назад

    Uongozi wenu mubovu tunalilia moyoni IPO siku tutakiwasha msituchagulie watu wa ovyo

  • @user-oo3ty2ll4k
    @user-oo3ty2ll4k 21 день назад

    Ipo siku yenu TU. Tukichoka.

  • @yanawezekana9429
    @yanawezekana9429 19 дней назад

    KIJIJI ULICHOKISEMA MKUU WA MKOA SIO ALICHOKITAMKA KUWA YUPO. MIHEMUKO HIYO

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 21 день назад

    Mkuu fanya kazi yako kwani asiefunza na mamae hufunzwa na ulimwengu lakini huenda ni mwenda wazimu mumchunguze

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x 21 день назад

    Kivp Sasa

  • @KetonyMbedule
    @KetonyMbedule 21 день назад

    Tanzania bhn ukisema ukwer tu ujue maisha yako yapo hatarini asa sijui uhuru wetu niwaviongoz tu au maana wananchi hawana uhuru wakuseme ukwer🤔🤔🤔

    • @user-cv4yx4uf8u
      @user-cv4yx4uf8u 20 дней назад

      Tatizo wabongo kumsifia mama ndio wanaona dili mama kizimkazi mm wananiboa kumsimfu mtu ambae Hana msaada wowote zaidi yakutuzingua tu na uongozi wake wa urith ,,mpaka mtu afe

  • @tusanemheta8638
    @tusanemheta8638 21 день назад

    Mungu tunusuru tutatekwa wengi kwa serikali hii ya nguvu nyingi kuliko_?

    • @user-cv4yx4uf8u
      @user-cv4yx4uf8u 20 дней назад

      Wacha watuteke ukweli uwafikie ,miyayusho tushachoka sasa

  • @obsonjulius312
    @obsonjulius312 21 день назад +2

    Boss yuko China au naona vibaya? Sijapenda kitendo cha vijana kufikia hatua ya kuchukia hadi picha za viongozi.

  • @richardtom38
    @richardtom38 21 день назад

    Wewe upo china umeacha kazi mbeya unazan atujui

  • @charackally8846
    @charackally8846 21 день назад +2

    Vijana wa Tanzania asilimia kubwa ni wajinga sn, Na hawajuwi wanachokifanya, yaani kuna mtu anatetea ujinga wa huyu kijana, eti ni sw, hebu jaalia kwamba rais samia ni km mama yako mzazi alafu anafanyiwa ivyo, ungepokeaje Na ungejihisije?, Hakuna alokatazwa kutoa maoni yake ila kwa utaratibu Na uungwana Na sio kwa kuvunjiana heshima, huyu kijana sijuwi anatoka familia gani ila hichi anachokifanya ni matokeo ya malezi ya wazazi wake ambayo wamempatia, Na sijuwi dini gani, maana dini zote zinakataza kumvunjia mtu heshima yake.

    • @AbubakaryOmary-qw5dk
      @AbubakaryOmary-qw5dk 21 день назад +2

      Watu wamechoka hakuna Cha heshima

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 21 день назад

      ​@AbubakaryOmry-qw5dk umechoka wewe Fala usiyetaka kufanya kazi unasubiri serikali ikupe vya bure nyau wewe

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 19 дней назад

      @@walidmgonja3644Najua wewe ni shoga unapata pesa kirahisi,sasa acha wanaume wa kazi walalamike maama wanafanya ngumu,we umeshaolewa tayari 👙

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz 10 дней назад

      Hauna akili wewe

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 21 день назад

    Huyo nae anavuta bangi

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 21 день назад

    Jipendekeza

  • @kingtiger4829
    @kingtiger4829 21 день назад

    Uhu ndo udicteta Sasa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 21 день назад

    hakuna maoni ya kumtukana raisi,tusisababishe vurugu na ukosefu wa heshima kwa kisingizio cha kutoa maoni!!
    kwanza kuchoma picha ya raisi ni kosa kisheria!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 21 день назад

    Tabia mbaya, Hana adabu kwa Wote tunaojiheshimu 😢

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 20 дней назад

    Viongoz wanatusaidia,je kama hawatusaidia tuendelee kuwasifia?huyu nae mkuu wa mkoa zwazwa tu kaweka tambi lake mbele analinda ugali.

  • @hallin9561
    @hallin9561 21 день назад

    Rais akifanya ushenz asifiwe, uyu mpuuz ajiuzuru tu hatumtaki

  • @NikiMaliki
    @NikiMaliki 21 день назад

    Ukiongea kutoka china 😂 au wap

  • @Lameckmichael-h2m
    @Lameckmichael-h2m 21 день назад

    Ukiona hivo ujue kunamambo hayaendisawa kwaraia unakamata ili iweje kwani rais ni MUNGU?

  • @hassanmuhidin871
    @hassanmuhidin871 20 дней назад

    Akamatwe haraka asituletee ujinga wa kikenya hapa tz

    • @MariamKhalid-ub9jj
      @MariamKhalid-ub9jj 18 дней назад

      Ujinga wa kikenya ni upi??? Wananchi kupigania haki zao?? Skia mjinga ni ww tena mjinga wa kutupwa... useless 😏😏

  • @MbossoMbosso-rw4ox
    @MbossoMbosso-rw4ox 21 день назад

    Na badooo Gen Zzzzzzzzzzzz

  • @wahshiy-dizzier-nm5rx
    @wahshiy-dizzier-nm5rx 21 день назад

    Nilijua tuu atatafutwa

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 19 дней назад

    Kutusaidia kutuibia

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 21 день назад

    Uko china unakula kodi

  • @hendricaoduba6028
    @hendricaoduba6028 21 день назад

    Waah, kwani wabongo hawana uhuru wa kuongea?

  • @PriskusMhaka
    @PriskusMhaka 21 день назад

    Akamatwe

  • @YangaNews
    @YangaNews 21 день назад

    Nyie endeleeni siku tukichoka na mateso yenu mtatukoma mtahama nyumba zenu mkakae porini

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 9 дней назад

      @@YangaNews we bwege hebu nenda katishe dada zako jikoni huko mkishamaliza kucheza mdako.

  • @pascalmgaza920
    @pascalmgaza920 21 день назад

    Kwanza wewe upo china huwahudumii wananchi

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 21 день назад

    Nani Kama mama😂

  • @DeusNkunga
    @DeusNkunga 21 день назад

    You're too emotional, Sir. Calm down!

  • @rebeccaselemani9597
    @rebeccaselemani9597 16 дней назад

    Mkuu wa mkoa mjinga kabisa