🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 33

  • @tweedstoursonline9324
    @tweedstoursonline9324 2 месяца назад +4

    kwa uwelewa wangu mdogo! kuna mmoja wa wasimamizi wake analifahamu hili! hata kama unamadai na uongozi furani ukatumia njia ya hii kama sehemu ya kukutafuta ili wakulipe stahik zako. siyo njia sahihi...

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 2 месяца назад +1

    Simba wapost picha za mkataba wakati ana Saini Ili tuamini kama kweli kibu aliongeza mkataba

  • @kelvinecharles5692
    @kelvinecharles5692 2 месяца назад +2

    Kwa soka letu hapa nchini linavyozidi kukua kwa anachokifanya kibu ni ushamba na utovu WA nidham

  • @HajiSefu-e7b
    @HajiSefu-e7b 2 месяца назад

    Mzee kitenge taratubu kidogo maana unapaza sana saut

  • @athumanimuhammadam3601
    @athumanimuhammadam3601 2 месяца назад +1

    Mqulid ongea basi taratibu kwa utuo kama wenzio,,,,punguza kelele basi ili tuwapate vizuri.....unaingilia sana mazungumzo kwa sauti kubwa.

  • @SajentMenes
    @SajentMenes 2 месяца назад

    Kibu anatamaa af hatumii akilin na manager wake mwisho watauoonza 🤗🤗

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 2 месяца назад +1

    Yes ashushiwe adis harafu apigwe pingu akifika jk airport apigwe virungu mpaka aseme

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Makolokwinyo wote matapeli

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 2 месяца назад

    Imefika wakati sasa timu zizuie Passport za wachezaji wake huu uhuni usifanyike tena

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 месяца назад +1

    Kitenge una kelele sana

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 2 месяца назад +3

    Kibu kwa ufupi ni tapeli huyu mtoto ni mjinga kweli

    • @RaphaelKaswahili
      @RaphaelKaswahili 2 месяца назад

      Kwa taarifa yako huo ni mchezo uliofanywa na viongozi wa simba usiumize kichwa bule😂😂😂

  • @Rk7-b8c
    @Rk7-b8c 2 месяца назад +1

    Msisumbue kichwa kwajili ya huyo tapeli mana hana bori bola angekuwa chama

  • @ELIAGABRIEL-r4i
    @ELIAGABRIEL-r4i 2 месяца назад

    Kibu denis nimtu alie pendwa sana na mashabiki atatukumbuka

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 месяца назад +1

    Carlos nilimsikia katika kipindi chenu alisema kua Kibu kapewa sitahiki zake zote za mkataba hadai. Vipi wewe mchambuzi hapo unasema anadai mspiitndisde maneno achane kutumika.

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 2 месяца назад

    Simba wamezoea wizi sasa kimewalamba

  • @DaimonDamon
    @DaimonDamon 2 месяца назад +2

    jamaaa anajieleza vizury

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Hajui lolote huyo kolokwinyo

  • @firstborn1
    @firstborn1 2 месяца назад +1

    Sasa nyiee wachambuzi ivii mlikuwa mnataka kibu aka kamatwee na polisi kuletwa clabunii kitengee vipi bwana mbona mzee wewe mkongwee kabisa mchezaji unamuazibu kiutaratibuuu

  • @ShaibuBakary-r3l
    @ShaibuBakary-r3l 2 месяца назад

    Ataludi tuwe na subla

  • @doricehungu5817
    @doricehungu5817 2 месяца назад

    Ndio hawa wachezaji wazawa mnąowatetea kila cku hawathaminiwi kumbe wao ndio hawana akili

  • @SabrinaMega-y1c
    @SabrinaMega-y1c 2 месяца назад

    Hawa wanaugomvi

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 2 месяца назад

    Meneja kaachwa kwenye mataa kaona nayeye amwage mboga... Mkwanja kaukosa. 😀😀😀😀

  • @ODCreator98
    @ODCreator98 2 месяца назад

    yan kiufupi uyu wakala wa Kibu amepigwa chini na kibu kwa sababu yupo upande wa simba, maana hata anavoongea anasimamia sana upande wa maslahi ya simba na uyu ndo alikua kidudu mtu

  • @abdul-razaktwaha1287
    @abdul-razaktwaha1287 2 месяца назад +1

    Kitenge miyayusho sana. Kwenye mada za msingi kama hizi inabidi akae Ahmed Abdallah. Kitenge ni shabiki wa yanga, mada za simba anatia choko choko sana. Very unprofessional. Stupid

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Makolokwinyo wote matapeli ndegelesi nyie

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад

    Dhambi ya fei toto itawatafuna si mlikuwa mnashangilia ya fei toto haya sasa kazi kwenu

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Na bado acha wakome makolokwinyo

    • @SajentMenes
      @SajentMenes 2 месяца назад

      Simba hawatafunwi na dhanbi Bali kibu anajitafutia matatizo hatumii akili

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 2 месяца назад +1

    Ahmed Ally itabidi tumjengee sanamu pale mo arena

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Labda sanamu la nyani jike kolo wewe

  • @ODCreator98
    @ODCreator98 2 месяца назад

    uyu jamaa katumwa na simba kuisafisha timu😂

    • @EdinaPastory
      @EdinaPastory 2 месяца назад

      Kusafidha kwenyewe hajui, ameshasema hana mkataba na kibu sasa anaongea nini