Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee.. Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete. Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee. Jaribu kutupndolea hiyo shida. Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee. Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda.... Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???
@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA
Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani
Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤
@@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.
Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi
Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.
Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya?? Acheni kutokana viongozi wenu
Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!
Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti
SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA. MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?
Huyu mzee wakti mwengine anazingua sana.
Sio kuwa ananzingua, ni mnafiki
Legacy inatengenezwa, haizungumzwi. VIVA MAGUFULI
Na mji wake wa kingamboni upo wapi 😂😂😂 mzee anapenda kick za bure
Huna cha kujiproud kwa watanzania live jpm legacy
Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee..
Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete.
Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee.
Jaribu kutupndolea hiyo shida.
Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee.
Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda....
Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???
Huyu mzee mwongo sana
TANZANIA NZIMA LINAKOMBA MABILIONI YA WANYONGE LINAKURA YEYE NA FAMILIA YAKE
Huyu mzee sindiyo alishindwa kuwadhibiti tanesco daaah nakumbuka tuliteseka sana umeme enzi zake
WEWE MZEE NI MUUNGO SANA MZEE MZIMA
Na BRT, TERMINAL 3 Dar ni miradi ya JK. Sisi hatuna kumbukumbu za kuku kama wewe.
@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA
LINAPENDA KURA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE TOKA HAPA MUONGO MKUBWA.WEWE SASA KUNAMITANDAO UNAYOSEMA YAKO KATIKA KUMBUKUMBU
Acha uongo mzee relie yako ilikua Ile ya kawaida yy akasema hapana anajenga ya umeme na wewe uliwai kukiri
Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani
Ila pia Magufuli ndio aliye lazimisha iwe ya umeme, jambo litakalo tunufaisha wote
Hata bandari ya bagamoyo nayo ulimkabidhi... JPM... Hata sisi tunajua
Mzee JK kaongea vzr sana, kampa maua JPM na kanena vzr👏👏
Huyu ndo mshenz mwenyewe, akifa huyu nchi itakaa sawa
“Dead men tells no tell” 😢R.I.P Magufuli🕊️
Ohh leo acha niwe first to comment hapa
Huyu mzee ndo anatuharibia nchi, sijui mnamhoji wa nn, anazingua Sana.
Mzee mnafki mipango simatumizi
HUYU MZEE ANAPENDA SIFA HATA AMBAZO HANA😂😂😂
Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤
Huyu mzee si ndio alishindwa fikisha maji hata kwa watu wake wa Chalinze?
Unakumbuka alisema atajenga jiji jipya kingamboni , lipo wapi ?😂😂😂😂
KWELI UKIWAMZEE UNAKUWA KAMA MTOTO
Maneno meeengu. Vitendo hamna
Huyu Mzee alitakiwa awe mganga wakienyeji maana ni muongo na munafiki haijawahi kutokea
Ni bora angekaa kimya tu
Hawezi kumfikia Magufuli magu ni mashine ya kazi
Magufuli kakuta mradi wa BRT na Terminal 3 .
Nani alikua waziri wa ujenzi
@@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.
Kwa upole wakiunafiki wa huyu mzee unaweza kufikiria kondoo kumbe mbwa mwitu.
Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi
Unafiki ni kitu kibaya sana.
Hapo kaongea ukweli wewe ndio ulete unafiki
@@birianination7097 kweli kabisa
Wewe unaweka mataluma wenzako wanaleta kitu cha mchongoko huyu mzee bhana
liangalie linanuka damu za jpm na mawaziri
Mhhh kazi kweli kweli
😂😂😂 dah aisee am speechless
HAYO MAWANI ALIOVAA UYU JAMBAZI MUUAJI NI YANAMAFINI YA TANZANITE HICHO NDICHO ANACHOKIPENDA
Hacha story zako hakuna anaye jua hayo maana wote wameshafariki lakin nakupa big up pia ulifanya yako mazuri pia
UTAIACHA MIBILIONI PUMBAVU
PUMBAVU LIUJUMU UCHUMI
Huna baya, ishi daima
LINAKUONGOPEA JIZI LINA MADA KESI ZA MAUAJI JPM NA MAWAZIRI
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.
Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya??
Acheni kutokana viongozi wenu
Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!
Mmefuta comments
Kwani lazima kumusema magufuli?
HAPO NDO NACHEKA ETI ANAKUULIZA SWALI KISHA ANAKUJIBIA MWENYEWE ALIYEULIZA 😂😂😂MANIPULATOR [ VIVA MAGU FIRE VIVA ]
LINABADILISHA HISTORI YAKE ALIOSEMA WAKATI JPM YUPO DONIANI UNAONA TUMESAAU NINI
UTAWALA WAKO UNACHOCHOTE ULICHOKIFANYA ZAIDI YA WIZI NA UJAMBAZI
Muongo wewe baba nchi ilikuwa corrupted during your time
Ili zee bwabwa kweli sijui kwanini liko hai
Muongo muongo sana uyu mzee
HUYU MJINGA WA MAWAZO UUZEE UNAKUTIA UJINGA
Kwenda huko wewe mzeee na acha uongo wako , wewe na kundi lako mlimchukia magufuli saaana labda watoto wadogo ndiyo utawadanganya voetsek
Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti
..........sorry, awamu ya tano wakaanza utekelezaji
SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA.
MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?