NILIMKABIDHI MAGUFULI MRADI WA SGR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 72

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 7 дней назад +16

    Huyu mzee wakti mwengine anazingua sana.

    • @malcomx4067
      @malcomx4067 6 дней назад +1

      Sio kuwa ananzingua, ni mnafiki

  • @ReachOut3004
    @ReachOut3004 6 дней назад +7

    Legacy inatengenezwa, haizungumzwi. VIVA MAGUFULI

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 6 дней назад +1

      Na mji wake wa kingamboni upo wapi 😂😂😂 mzee anapenda kick za bure

  • @MembeMohamed
    @MembeMohamed 6 дней назад +6

    Huna cha kujiproud kwa watanzania live jpm legacy

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 7 дней назад +7

    Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee..
    Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete.
    Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee.
    Jaribu kutupndolea hiyo shida.
    Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee.
    Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda....
    Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 7 дней назад +7

    Huyu mzee mwongo sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +4

    TANZANIA NZIMA LINAKOMBA MABILIONI YA WANYONGE LINAKURA YEYE NA FAMILIA YAKE

  • @Anza_tz
    @Anza_tz 6 дней назад +4

    Huyu mzee sindiyo alishindwa kuwadhibiti tanesco daaah nakumbuka tuliteseka sana umeme enzi zake

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +8

    WEWE MZEE NI MUUNGO SANA MZEE MZIMA

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 5 дней назад

      Na BRT, TERMINAL 3 Dar ni miradi ya JK. Sisi hatuna kumbukumbu za kuku kama wewe.

    • @hajimgwami5224
      @hajimgwami5224 5 дней назад

      ​@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +3

    LINAPENDA KURA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE TOKA HAPA MUONGO MKUBWA.WEWE SASA KUNAMITANDAO UNAYOSEMA YAKO KATIKA KUMBUKUMBU

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g 7 дней назад +7

    Acha uongo mzee relie yako ilikua Ile ya kawaida yy akasema hapana anajenga ya umeme na wewe uliwai kukiri

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 дней назад

      Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 дней назад +1

      Ila pia Magufuli ndio aliye lazimisha iwe ya umeme, jambo litakalo tunufaisha wote

  • @mangobase
    @mangobase 7 дней назад +4

    Hata bandari ya bagamoyo nayo ulimkabidhi... JPM... Hata sisi tunajua

  • @michaeljpm5597
    @michaeljpm5597 7 дней назад +4

    Mzee JK kaongea vzr sana, kampa maua JPM na kanena vzr👏👏

    • @ototek8037
      @ototek8037 6 дней назад +1

      Huyu ndo mshenz mwenyewe, akifa huyu nchi itakaa sawa

  • @i_prime317
    @i_prime317 5 дней назад

    “Dead men tells no tell” 😢R.I.P Magufuli🕊️

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 7 дней назад +2

    Ohh leo acha niwe first to comment hapa

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w 7 дней назад +5

    Huyu mzee ndo anatuharibia nchi, sijui mnamhoji wa nn, anazingua Sana.

  • @KidugoRashid
    @KidugoRashid 7 дней назад +2

    Mzee mnafki mipango simatumizi

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 6 дней назад +2

    HUYU MZEE ANAPENDA SIFA HATA AMBAZO HANA😂😂😂

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi 6 дней назад +1

    Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 7 дней назад +3

    Huyu mzee si ndio alishindwa fikisha maji hata kwa watu wake wa Chalinze?

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 6 дней назад

      Unakumbuka alisema atajenga jiji jipya kingamboni , lipo wapi ?😂😂😂😂

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +2

    KWELI UKIWAMZEE UNAKUWA KAMA MTOTO

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 5 дней назад +1

    Maneno meeengu. Vitendo hamna

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 5 дней назад +1

    Huyu Mzee alitakiwa awe mganga wakienyeji maana ni muongo na munafiki haijawahi kutokea

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 5 дней назад +1

    Ni bora angekaa kimya tu

  • @dominic4727
    @dominic4727 7 дней назад +4

    Hawezi kumfikia Magufuli magu ni mashine ya kazi

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 5 дней назад +1

      Magufuli kakuta mradi wa BRT na Terminal 3 .

    • @dominic4727
      @dominic4727 5 дней назад

      Nani alikua waziri wa ujenzi

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 5 дней назад

      @@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 6 дней назад +1

    Kwa upole wakiunafiki wa huyu mzee unaweza kufikiria kondoo kumbe mbwa mwitu.

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 3 дня назад

    Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi

  • @melchiadmbeho8040
    @melchiadmbeho8040 7 дней назад +4

    Unafiki ni kitu kibaya sana.

  • @liberatedpeople6054
    @liberatedpeople6054 6 дней назад +1

    Wewe unaweka mataluma wenzako wanaleta kitu cha mchongoko huyu mzee bhana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +2

    liangalie linanuka damu za jpm na mawaziri

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 5 дней назад

    Mhhh kazi kweli kweli

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 5 дней назад

    😂😂😂 dah aisee am speechless

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +1

    HAYO MAWANI ALIOVAA UYU JAMBAZI MUUAJI NI YANAMAFINI YA TANZANITE HICHO NDICHO ANACHOKIPENDA

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 6 дней назад

    Hacha story zako hakuna anaye jua hayo maana wote wameshafariki lakin nakupa big up pia ulifanya yako mazuri pia

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +2

    UTAIACHA MIBILIONI PUMBAVU

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +2

    PUMBAVU LIUJUMU UCHUMI

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 2 дня назад

    Huna baya, ishi daima

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад +1

    LINAKUONGOPEA JIZI LINA MADA KESI ZA MAUAJI JPM NA MAWAZIRI

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 5 дней назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 5 дней назад

    Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.

  • @user-dk8uf8ho9s
    @user-dk8uf8ho9s 5 дней назад

    Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya??
    Acheni kutokana viongozi wenu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 7 дней назад

    Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo 5 дней назад

    Mmefuta comments

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 7 дней назад

    Kwani lazima kumusema magufuli?

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 5 дней назад

    HAPO NDO NACHEKA ETI ANAKUULIZA SWALI KISHA ANAKUJIBIA MWENYEWE ALIYEULIZA 😂😂😂MANIPULATOR [ VIVA MAGU FIRE VIVA ]

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад

    LINABADILISHA HISTORI YAKE ALIOSEMA WAKATI JPM YUPO DONIANI UNAONA TUMESAAU NINI

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад

    UTAWALA WAKO UNACHOCHOTE ULICHOKIFANYA ZAIDI YA WIZI NA UJAMBAZI

  • @Patriot_kenyan
    @Patriot_kenyan 5 дней назад

    Muongo wewe baba nchi ilikuwa corrupted during your time

  • @jumanuru2656
    @jumanuru2656 7 дней назад

    Ili zee bwabwa kweli sijui kwanini liko hai

  • @temekepamoja2757
    @temekepamoja2757 6 дней назад

    Muongo muongo sana uyu mzee

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 7 дней назад

    HUYU MJINGA WA MAWAZO UUZEE UNAKUTIA UJINGA

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv 7 дней назад +1

    Kwenda huko wewe mzeee na acha uongo wako , wewe na kundi lako mlimchukia magufuli saaana labda watoto wadogo ndiyo utawadanganya voetsek

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 7 дней назад +1

      Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 7 дней назад

      ..........sorry, awamu ya tano wakaanza utekelezaji

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 6 дней назад

    SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA.
    MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?