Ni kweli ruto ni mwizi na anatumia kifua kupitisha hadi sheria haziko kwa constitution,amenunua kila mtu , wabunge , koti , ni dictator watu wamemuogopa but genz wamerise
Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
You get the story wrong.Binge LA Kenya lasimamiwa na Ruto.Mbunge yoyote was chama tawala hushurutishwa kupitisha chenye Ruto anasema kwakuhongwa ama kutishiwa maisha
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
Huyo anayemtetea Ruto hamjui na angefanya hekima kwa kufunga hiyo mdomo... Ruto hana kosa kivipi ilhali yeye ndiye aliyewaonga wabunge kwa shilingi milioni mbili kwa kila mbunge ili wapitishe hiyo mswada?
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
Ruto ndiye ako na wabunge wengi bungeni so Kila kitu anataka afanye Kwa serikali anatumia Tu wabunge wake juu watapitisha Tu.This time around it's tit for tat,We are dealing with all our MPs together with Ruto
Hamna habari kuhusu Kenya 🇰🇪 kwa ukamilifu. Ruto, alinunua hawa wabunge ata kutishia wengine iliwapitishe huo mswada tatanishi. Ruto ni mtawala wa kimla
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same! The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao I think hizi ni hujuma za kisiasa
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
WASAFI vilaza sana😂😂😂... Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga... Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
Wabunge walipewa pesa.... Hakuna kitu unajua oscar... Geopolitics hujui.. Vitu vingine muwe mnakaa kimya tu kama sio uwanja wenu
Nyinyi hata hamna mnachojua...huyo ruto kanunua bunge na kanunua mahakama...
Wajua wao hawajui nn kinaendelea hapa kenya...wabunge wenye washaanunuliwa na Ruto kila anachosema wao wanapitisha tu
Basi , hiyo sasa
Ni kweli ruto ni mwizi na anatumia kifua kupitisha hadi sheria haziko kwa constitution,amenunua kila mtu , wabunge , koti , ni dictator watu wamemuogopa but genz wamerise
Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
Very true
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
Watanzania wanajifanya wajuaaajiii lakini hamna wanachojua. Jadili ya kwenu ya kwetu tuachie.
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
Kuchambua ya Kenya tuu ya kwenu aaaa
Hovyo kabisa..Tanzania kuna uchafu unaendelea serikalini but wamekomalia ya jirani..mcheewww wanaume ndevu
Huyu anacho kiongea hata Hana uhahika nacho😅
Ningesema tuu vitu za Kenya jiepusheni nazo hamna habari ya kile kinaendelea kwa wabunge sasa hivi.
Inakaa pia nyinyi mnataka tuwasalimie
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
You get the story wrong.Binge LA Kenya lasimamiwa na Ruto.Mbunge yoyote was chama tawala hushurutishwa kupitisha chenye Ruto anasema kwakuhongwa ama kutishiwa maisha
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
Huyo anayemtetea Ruto hamjui na angefanya hekima kwa kufunga hiyo mdomo... Ruto hana kosa kivipi ilhali yeye ndiye aliyewaonga wabunge kwa shilingi milioni mbili kwa kila mbunge ili wapitishe hiyo mswada?
Viongozi Kenya walizoea kua wakenya niwajinga watapiga kelele siku mbili wanyamaze...wametuzoea..bt kla ktu kna mwisho
Hamjui mwasema nini, wachaneni tuu.🇰🇪
Nyie hamelewi lolote ruto mhuni huyu. Aliwalipi wabunge million mbili kupitisha mswaada ,sasa wabunge wanamaangusha aje ama ni yeye mhuni to
Hawa wanesema nini sasa? You should all do research on this issues ili mkuwe mnajua mnacho ongolea puga nyinyi 😅
Clearly u have no idea whats goin on.........ruto has bought both national assembly and the judiciary. They are playing his tune,eleweni hilo vizuri
Mtangazaji unatafuta matatizo na wakenya, ngojawakusikie, unajidai unajua sheria ,
Yeye ndio amejaribu kututawala kwa ki imla, akishurutisha wabunge wapige kura ya kupitisha sheria za kutukandamiza.
Kwani ni lazima gani mjadili vitu hamvijui? C mtulie wasanii wenu waendelee kutunga nyimbo za kumsifu mama yenu
You people don't know what you're talking about. Do proper research beforehand. Stop yapping
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
Mambo ya kenya inawahusu nini. Kuleni zege kwenu yetu mtuwaachie
Kwanza alivyoingia madarakani alinunua wabunge hyo inamana alitaka kuua upinzani sasa basi wacha tudeal nae sisi
Boss humumjui Ruto,
Mchukueni mkae nae hata siku mbili peke kama mtamweza. Mpate mmeporwa kila kitu. Hatupigi nduru bure.
Hataweza, ufisadi ndio tatizo. Hamumjui raisi wetu nyinyi
Sorry my friend first learn about budget making process in Kenya before addressing us
Tatizo sio wabunge tu.Tatizo ni ahadi za uongo. Yan naona mawazo ya Dudu baya kuhusu uchambuzi wa Kenya ni ya juu mara 100 zaidi ya hawa wawili
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
😂😂 hawajielewi. Hawa hawajui kuhusu bunge lao ndio watajua yetu?
Mbona ya kwenu uko bunge lote wapo wa chama kimoja amzungumzii
You guys are not even informed💔go dig more wacha kupayuka
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
That's I am also thinking....how is our country their business...their country is fucked up and they are here discussing issues of another country...
Mnaongea mambo ya Kenya je TZ vp?:miswada yetu mnaijua au iko sawa? Kodi za kimya kimya je? Tozo?
Ruto ndiye ako na wabunge wengi bungeni so Kila kitu anataka afanye Kwa serikali anatumia Tu wabunge wake juu watapitisha Tu.This time around it's tit for tat,We are dealing with all our MPs together with Ruto
Mpumbavu sana huyo ruto, alitukashifu sana sisi wa kongo akashindwa kujua kwamba yote hulipwa hapahapa chini ya Jua
Naskia mnafungia trousers kwa high waist, said Ruto
Kazi ya wabunge ni kula na kuharibu kenya
Hamna habari kuhusu Kenya 🇰🇪 kwa ukamilifu. Ruto, alinunua hawa wabunge ata kutishia wengine iliwapitishe huo mswada tatanishi. Ruto ni mtawala wa kimla
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same!
The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
Truth
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
Wakati Ali vamiya Congo ata
endeleya Ku angushwa tu.
Ilikuwa mpango wa America na yeye, aliingizwa madarakani ili atumike kuiba mali Congo.
manze hamjui kwamba mswada ulitoka kwenye executive na masharti yakuipitisha pia humo.
Fanyeni muangalie comments oscar oscar munaongea pumba hamjui maswala ya Geopolitics
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
Fanyi research kabla kupauuka
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
Hawa hawajui mambo ya ruto wala michezo wanaporojatu nendeni mkale keki kule mtoni
I think you guys know nothing about kenya.
Jadilini Mpira ndio mnaojuwa
Bunge na mahakama ni yake sasa, kwa hivo we deal with him perpendicularly
Hamuelewi kiini cha mzozo
I wish I was there to inform you what is happening, sababu nyinyi hamuelewi hata kidogo
Oscar dunia ya sahii siyasa nyingi wabunge wanafanya anacotaka raisi mnacagua mapendekezo ya mkuu si kuteteya wanainchi
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
shida si wabunge shida ni ruto coz yeye ndio anawaamulisha,so ruto must go
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao
sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z
leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao
I think hizi ni hujuma za kisiasa
miswada inayopitishwa bunge la TZ mnaijua? au mnafatilia ya watu yakwenu Aaah
Wabunge washatekwa na Ruto nilazima tu watapitisha hakuna namna ila tu nikutiwa adabu tu nawananchi ndio maana wamerudi kuomba msamahakwa wananchi
Oscar katika maisha yako yote usije jaribu kushindana na vijana wanao balekhe..ataka wame kukosea kua mpole hio age ni shida😂😂😂
katiba ya kenya miswada yote inaanzishwa na bunge then inapelekwa kwa rais
Mswada hakupitiahwa na wabunge bali Ruto aliwaita wabunge wa chama chake akaeapa maagizo wapitishe
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z
Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
Ruto alinunua wabunge
Watauzuia vp wakati walihongwa million ya pesa kupitisha bajeti, tatizo la viogozi wakenya ni mafisadi sana hivi wamenunu ndege wa natembelea na
Wabunge na huyo mtu wao wote takataka hawajui lolote bure kabisa
Sikubaliani na mtangazaji....Ruto mwnyewe alikuwa akiuza hii bill kwa wananchi. hadi alionga wabunge shillingi 2 million kupitisha. So lazima alaumiwe
Simuoni hassle madarakani mwezi 8 kamsaliti Putin
Kinachobaki ni Tanzania pia
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
kweli kaka
Kusema ya nchi ya jilani tu lla kusema ya nchini kwn aaaaaaaah mnaogopa ht kugusia dadeki
Unprofessional... Wachambuzi wa mpira kuchambua siasa, Wasafi mnatuangusha sana
Aki ndungu nikweli awa wambunge ndio wameleta vifo
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
Kaka tuliza boli Ruto summons them to state house and bribes them each 2 million. #Ruto MUST GO
Rais ndo kwalipa mpaka wapizani wapitishe
He is cooked 😹
Wabunge walipewa pesa wao ni kama maraya
Hivi kwanini alituma jeshi la policie haiti na kwake kunavurugu.
Si ndio hapo yaaan kama vile awana police
Oscar akili yako bado sana
Kuchambuwa ya Kenya ya kwenu aaaaaaaa
Mzigo huu ni WA ruto.😂.
Mukiamka kama wakenya mutajua
Huyu jamaa anasema nn sasa??
Wambunge walilipwa million 2kupitisha huo mshwanda
Nani aliwalipa kila mp wakikuja mbungeni kila moja anawakilishanga upande wa kwake, kile kinahanisha wameogea na watu wao
Kile kina maanisha wameogea na watu wao ,sasa Ruto apo ako na makosa akusema peke yake ,lakini kunawale wamelipa vijana kualivia Ruto kazi
Zakayo must fall
Uyo.jama.aende.nyumbani
Siasa za Kenya tofauti sana
This guy's doesn't know what is happening in Kenya they are just bucking they need to do research
Kaomgea fact wakenya hawajielewi na hii ni biasha ya kina odinga tuu.
Kenya ni more fire
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
WASAFI vilaza sana😂😂😂...
Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga...
Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
Kama kaiondowa kwanini bado waandamane nakuharibu mali? Kuna siasa inayo jificha na sio hio bill ndio chanzo.
Hakuna mjualo buana nyie jadilini mipira tu na kwa uchambuzi huu ni wazi siasa za Kenya hamzifuatilii kabisa!
Ongeleeni simba na yanga, hamjui siasa ya kenya 😂😂😂
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
Akuna kitu President anawesa vitisha peke yake bila wambunge.
@@FauziaJoseph uliskia interview ya Ruto Sunday? Nenda kaangalie then utajua wht I suppose to mean.
Hamjui mnacho kiongea nyiny tulieni