RUTO YUPO KWENYE WAKATI MGUMU SANA| AMEANGUSHWA SANA NA WABUNGE WA NCHINI KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 120

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 месяца назад +35

    Wabunge walipewa pesa.... Hakuna kitu unajua oscar... Geopolitics hujui.. Vitu vingine muwe mnakaa kimya tu kama sio uwanja wenu

  • @amosotieno4418
    @amosotieno4418 3 месяца назад +18

    Nyinyi hata hamna mnachojua...huyo ruto kanunua bunge na kanunua mahakama...

    • @DennisMalima
      @DennisMalima 3 месяца назад

      Wajua wao hawajui nn kinaendelea hapa kenya...wabunge wenye washaanunuliwa na Ruto kila anachosema wao wanapitisha tu

    • @wizardundesputed2805
      @wizardundesputed2805 3 месяца назад

      Basi , hiyo sasa

    • @buzzafrique3700
      @buzzafrique3700 2 месяца назад

      Ni kweli ruto ni mwizi na anatumia kifua kupitisha hadi sheria haziko kwa constitution,amenunua kila mtu , wabunge , koti , ni dictator watu wamemuogopa but genz wamerise

  • @_bonfaceadera
    @_bonfaceadera 3 месяца назад +11

    Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.

  • @broamz
    @broamz 3 месяца назад +2

    Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.

  • @edgar3998
    @edgar3998 2 месяца назад +2

    Watanzania wanajifanya wajuaaajiii lakini hamna wanachojua. Jadili ya kwenu ya kwetu tuachie.

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 3 месяца назад +2

    Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!

  • @SleimanMsellem
    @SleimanMsellem 3 месяца назад +7

    Kuchambua ya Kenya tuu ya kwenu aaaa

    • @tumainimayala8187
      @tumainimayala8187 2 месяца назад

      Hovyo kabisa..Tanzania kuna uchafu unaendelea serikalini but wamekomalia ya jirani..mcheewww wanaume ndevu

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx 3 месяца назад +4

    Huyu anacho kiongea hata Hana uhahika nacho😅

  • @brianojiambo2814
    @brianojiambo2814 3 месяца назад +3

    Ningesema tuu vitu za Kenya jiepusheni nazo hamna habari ya kile kinaendelea kwa wabunge sasa hivi.

  • @MartinMuriuki-z2b
    @MartinMuriuki-z2b 2 месяца назад +1

    Inakaa pia nyinyi mnataka tuwasalimie

  • @williambenedict6074
    @williambenedict6074 3 месяца назад +2

    im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..

  • @Bantu-r9o
    @Bantu-r9o 2 месяца назад

    You get the story wrong.Binge LA Kenya lasimamiwa na Ruto.Mbunge yoyote was chama tawala hushurutishwa kupitisha chenye Ruto anasema kwakuhongwa ama kutishiwa maisha

  • @allyalhussainy1216
    @allyalhussainy1216 3 месяца назад

    Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto

  • @AniziaKamanzi
    @AniziaKamanzi 3 месяца назад +2

    Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi

  • @benjaminevans5920
    @benjaminevans5920 2 месяца назад

    Huyo anayemtetea Ruto hamjui na angefanya hekima kwa kufunga hiyo mdomo... Ruto hana kosa kivipi ilhali yeye ndiye aliyewaonga wabunge kwa shilingi milioni mbili kwa kila mbunge ili wapitishe hiyo mswada?

  • @HashimSalim-yy1ix
    @HashimSalim-yy1ix 2 месяца назад

    Viongozi Kenya walizoea kua wakenya niwajinga watapiga kelele siku mbili wanyamaze...wametuzoea..bt kla ktu kna mwisho

  • @olivenyamvula6321
    @olivenyamvula6321 2 месяца назад +1

    Hamjui mwasema nini, wachaneni tuu.🇰🇪

  • @joshuawekesa7094
    @joshuawekesa7094 3 месяца назад

    Nyie hamelewi lolote ruto mhuni huyu. Aliwalipi wabunge million mbili kupitisha mswaada ,sasa wabunge wanamaangusha aje ama ni yeye mhuni to

  • @wizardundesputed2805
    @wizardundesputed2805 3 месяца назад

    Hawa wanesema nini sasa? You should all do research on this issues ili mkuwe mnajua mnacho ongolea puga nyinyi 😅

  • @rosemanyonge9995
    @rosemanyonge9995 2 месяца назад

    Clearly u have no idea whats goin on.........ruto has bought both national assembly and the judiciary. They are playing his tune,eleweni hilo vizuri

  • @msindimalugendo8252
    @msindimalugendo8252 2 месяца назад

    Mtangazaji unatafuta matatizo na wakenya, ngojawakusikie, unajidai unajua sheria ,

  • @OjiamboGodfreyMutumi
    @OjiamboGodfreyMutumi 3 месяца назад +1

    Yeye ndio amejaribu kututawala kwa ki imla, akishurutisha wabunge wapige kura ya kupitisha sheria za kutukandamiza.

  • @SandeDzombo-w6d
    @SandeDzombo-w6d 3 месяца назад

    Kwani ni lazima gani mjadili vitu hamvijui? C mtulie wasanii wenu waendelee kutunga nyimbo za kumsifu mama yenu

  • @rehemaali9248
    @rehemaali9248 2 месяца назад

    You people don't know what you're talking about. Do proper research beforehand. Stop yapping

  • @shuaibjuma8464
    @shuaibjuma8464 3 месяца назад

    That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 2 месяца назад

    Mambo ya kenya inawahusu nini. Kuleni zege kwenu yetu mtuwaachie

  • @biggyshari3328
    @biggyshari3328 3 месяца назад

    Kwanza alivyoingia madarakani alinunua wabunge hyo inamana alitaka kuua upinzani sasa basi wacha tudeal nae sisi

  • @polotieno229
    @polotieno229 3 месяца назад

    Boss humumjui Ruto,
    Mchukueni mkae nae hata siku mbili peke kama mtamweza. Mpate mmeporwa kila kitu. Hatupigi nduru bure.

  • @spencermdave4237
    @spencermdave4237 2 месяца назад

    Hataweza, ufisadi ndio tatizo. Hamumjui raisi wetu nyinyi

  • @arthuroduor7253
    @arthuroduor7253 3 месяца назад

    Sorry my friend first learn about budget making process in Kenya before addressing us

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 3 месяца назад +2

    Tatizo sio wabunge tu.Tatizo ni ahadi za uongo. Yan naona mawazo ya Dudu baya kuhusu uchambuzi wa Kenya ni ya juu mara 100 zaidi ya hawa wawili

  • @mrjohn68
    @mrjohn68 3 месяца назад

    Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto

    • @trendinggossip8692
      @trendinggossip8692 2 месяца назад

      😂😂 hawajielewi. Hawa hawajui kuhusu bunge lao ndio watajua yetu?

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 месяца назад +1

    Mbona ya kwenu uko bunge lote wapo wa chama kimoja amzungumzii

  • @razor772
    @razor772 2 месяца назад

    You guys are not even informed💔go dig more wacha kupayuka

  • @TheJetSetter101
    @TheJetSetter101 3 месяца назад

    You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!

    • @candyngeny8272
      @candyngeny8272 3 месяца назад

      That's I am also thinking....how is our country their business...their country is fucked up and they are here discussing issues of another country...

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa7310 3 месяца назад

    Mnaongea mambo ya Kenya je TZ vp?:miswada yetu mnaijua au iko sawa? Kodi za kimya kimya je? Tozo?

  • @hassanodiwa
    @hassanodiwa 2 месяца назад

    Ruto ndiye ako na wabunge wengi bungeni so Kila kitu anataka afanye Kwa serikali anatumia Tu wabunge wake juu watapitisha Tu.This time around it's tit for tat,We are dealing with all our MPs together with Ruto

  • @Bama959
    @Bama959 3 месяца назад

    Mpumbavu sana huyo ruto, alitukashifu sana sisi wa kongo akashindwa kujua kwamba yote hulipwa hapahapa chini ya Jua

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 месяца назад

    Kazi ya wabunge ni kula na kuharibu kenya

  • @sylvesterwanga7839
    @sylvesterwanga7839 2 месяца назад

    Hamna habari kuhusu Kenya 🇰🇪 kwa ukamilifu. Ruto, alinunua hawa wabunge ata kutishia wengine iliwapitishe huo mswada tatanishi. Ruto ni mtawala wa kimla

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 3 месяца назад +2

    Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same!
    The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 месяца назад

      Truth

    • @AniziaKamanzi
      @AniziaKamanzi 3 месяца назад

      Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa

  • @AlainNyabirungu-wn1dl
    @AlainNyabirungu-wn1dl 3 месяца назад +2

    Wakati Ali vamiya Congo ata
    endeleya Ku angushwa tu.

    • @OjiamboGodfreyMutumi
      @OjiamboGodfreyMutumi 3 месяца назад

      Ilikuwa mpango wa America na yeye, aliingizwa madarakani ili atumike kuiba mali Congo.

  • @gazanempireup2ditime133
    @gazanempireup2ditime133 3 месяца назад

    manze hamjui kwamba mswada ulitoka kwenye executive na masharti yakuipitisha pia humo.

  • @ramagazet1362
    @ramagazet1362 3 месяца назад

    Fanyeni muangalie comments oscar oscar munaongea pumba hamjui maswala ya Geopolitics

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 месяца назад

    Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah

  • @judyjaoko3397
    @judyjaoko3397 2 месяца назад

    Fanyi research kabla kupauuka

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza 3 месяца назад

    Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha

  • @aliomari5254
    @aliomari5254 3 месяца назад

    Hawa hawajui mambo ya ruto wala michezo wanaporojatu nendeni mkale keki kule mtoni

  • @isaacmokaya7140
    @isaacmokaya7140 2 месяца назад

    I think you guys know nothing about kenya.

  • @festamwaibabile2190
    @festamwaibabile2190 3 месяца назад

    Jadilini Mpira ndio mnaojuwa

  • @judychepkirui5313
    @judychepkirui5313 2 месяца назад

    Bunge na mahakama ni yake sasa, kwa hivo we deal with him perpendicularly

  • @mwadabakonyezo6649
    @mwadabakonyezo6649 2 месяца назад

    Hamuelewi kiini cha mzozo

  • @dailytalk2040
    @dailytalk2040 3 месяца назад

    I wish I was there to inform you what is happening, sababu nyinyi hamuelewi hata kidogo

  • @KaburameHamisi-fm7fo
    @KaburameHamisi-fm7fo 3 месяца назад

    Oscar dunia ya sahii siyasa nyingi wabunge wanafanya anacotaka raisi mnacagua mapendekezo ya mkuu si kuteteya wanainchi

  • @governorjosh
    @governorjosh 3 месяца назад

    No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.

  • @JospineObondi
    @JospineObondi 3 месяца назад

    shida si wabunge shida ni ruto coz yeye ndio anawaamulisha,so ruto must go

  • @sabinaatema2065
    @sabinaatema2065 3 месяца назад

    Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi

  • @FunnyChess-ns9vf
    @FunnyChess-ns9vf 3 месяца назад

    Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao
    sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z
    leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao
    I think hizi ni hujuma za kisiasa

  • @mduda_i
    @mduda_i 3 месяца назад

    miswada inayopitishwa bunge la TZ mnaijua? au mnafatilia ya watu yakwenu Aaah

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 3 месяца назад

    Wabunge washatekwa na Ruto nilazima tu watapitisha hakuna namna ila tu nikutiwa adabu tu nawananchi ndio maana wamerudi kuomba msamahakwa wananchi

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 3 месяца назад

    Oscar katika maisha yako yote usije jaribu kushindana na vijana wanao balekhe..ataka wame kukosea kua mpole hio age ni shida😂😂😂

  • @abelkilawe8964
    @abelkilawe8964 3 месяца назад

    katiba ya kenya miswada yote inaanzishwa na bunge then inapelekwa kwa rais

  • @MohammedAli-fp9vn
    @MohammedAli-fp9vn 3 месяца назад

    Mswada hakupitiahwa na wabunge bali Ruto aliwaita wabunge wa chama chake akaeapa maagizo wapitishe

  • @AbdullahiHassan-k2l
    @AbdullahiHassan-k2l 3 месяца назад +2

    Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z
    Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians

  • @fredsabora2543
    @fredsabora2543 3 месяца назад

    Ruto alinunua wabunge

  • @athumanmlamba4372
    @athumanmlamba4372 3 месяца назад

    Watauzuia vp wakati walihongwa million ya pesa kupitisha bajeti, tatizo la viogozi wakenya ni mafisadi sana hivi wamenunu ndege wa natembelea na

  • @alkenia-luvchante.
    @alkenia-luvchante. 3 месяца назад

    Wabunge na huyo mtu wao wote takataka hawajui lolote bure kabisa

  • @ndondiafrika249
    @ndondiafrika249 3 месяца назад

    Sikubaliani na mtangazaji....Ruto mwnyewe alikuwa akiuza hii bill kwa wananchi. hadi alionga wabunge shillingi 2 million kupitisha. So lazima alaumiwe

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.144 3 месяца назад

    Simuoni hassle madarakani mwezi 8 kamsaliti Putin

  • @Bama959
    @Bama959 3 месяца назад +1

    Kinachobaki ni Tanzania pia

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 месяца назад

    ....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.

  • @OCHUMASIHI
    @OCHUMASIHI 3 месяца назад

    Kusema ya nchi ya jilani tu lla kusema ya nchini kwn aaaaaaaah mnaogopa ht kugusia dadeki

  • @Cao_ZeKai
    @Cao_ZeKai 3 месяца назад +1

    Unprofessional... Wachambuzi wa mpira kuchambua siasa, Wasafi mnatuangusha sana

  • @FauziaJoseph
    @FauziaJoseph 3 месяца назад

    Aki ndungu nikweli awa wambunge ndio wameleta vifo

  • @alibarisa7739
    @alibarisa7739 3 месяца назад

    He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.

  • @carolinekasiemeka9848
    @carolinekasiemeka9848 3 месяца назад

    Kaka tuliza boli Ruto summons them to state house and bribes them each 2 million. #Ruto MUST GO

  • @ChireGriffin
    @ChireGriffin 3 месяца назад

    Rais ndo kwalipa mpaka wapizani wapitishe

  • @Lukia-k6g
    @Lukia-k6g 2 месяца назад

    He is cooked 😹

  • @MosetiDismas
    @MosetiDismas 3 месяца назад

    Wabunge walipewa pesa wao ni kama maraya

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 3 месяца назад

    Hivi kwanini alituma jeshi la policie haiti na kwake kunavurugu.

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 3 месяца назад

      Si ndio hapo yaaan kama vile awana police

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 3 месяца назад +2

    Oscar akili yako bado sana

  • @MebakariMohamed
    @MebakariMohamed 3 месяца назад

    Kuchambuwa ya Kenya ya kwenu aaaaaaaa

  • @eddyrandu3127
    @eddyrandu3127 3 месяца назад

    Mzigo huu ni WA ruto.😂.

  • @carolinemuli1862
    @carolinemuli1862 3 месяца назад

    Mukiamka kama wakenya mutajua

  • @BillyJames-l6x
    @BillyJames-l6x 3 месяца назад

    Huyu jamaa anasema nn sasa??

  • @AlexKimani-jt6pe
    @AlexKimani-jt6pe 3 месяца назад

    Wambunge walilipwa million 2kupitisha huo mshwanda

    • @FauziaJoseph
      @FauziaJoseph 3 месяца назад

      Nani aliwalipa kila mp wakikuja mbungeni kila moja anawakilishanga upande wa kwake, kile kinahanisha wameogea na watu wao

    • @FauziaJoseph
      @FauziaJoseph 3 месяца назад

      Kile kina maanisha wameogea na watu wao ,sasa Ruto apo ako na makosa akusema peke yake ,lakini kunawale wamelipa vijana kualivia Ruto kazi

  • @tonniemwafrika6679
    @tonniemwafrika6679 3 месяца назад

    Zakayo must fall

  • @supastar-kf4pb
    @supastar-kf4pb 3 месяца назад

    Uyo.jama.aende.nyumbani

  • @lynnedarling1135
    @lynnedarling1135 3 месяца назад

    Siasa za Kenya tofauti sana

  • @hilarymayende
    @hilarymayende 3 месяца назад +1

    This guy's doesn't know what is happening in Kenya they are just bucking they need to do research

    • @alfredmhana235
      @alfredmhana235 3 месяца назад

      Kaomgea fact wakenya hawajielewi na hii ni biasha ya kina odinga tuu.

  • @janewayua5333
    @janewayua5333 2 месяца назад

    Kenya ni more fire

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla558 3 месяца назад

    Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 3 месяца назад

    WASAFI vilaza sana😂😂😂...
    Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga...
    Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu 3 месяца назад

      Kama kaiondowa kwanini bado waandamane nakuharibu mali? Kuna siasa inayo jificha na sio hio bill ndio chanzo.

  • @cHin91O
    @cHin91O 3 месяца назад

    Hakuna mjualo buana nyie jadilini mipira tu na kwa uchambuzi huu ni wazi siasa za Kenya hamzifuatilii kabisa!

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 месяца назад

    Ongeleeni simba na yanga, hamjui siasa ya kenya 😂😂😂

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 3 месяца назад

    Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .

    • @FauziaJoseph
      @FauziaJoseph 3 месяца назад

      Akuna kitu President anawesa vitisha peke yake bila wambunge.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      @@FauziaJoseph uliskia interview ya Ruto Sunday? Nenda kaangalie then utajua wht I suppose to mean.

  • @Mammy-eq7ef
    @Mammy-eq7ef 3 месяца назад

    Hamjui mnacho kiongea nyiny tulieni