@@jakuvuai1428 ikiwa ni mchezaji bora na kiungo muhimu ktk timu'nisawa umeibeba kwa maana ya kutegemewa zaidi! acha chuki broo, jamaa hata asipokuwa ktk timu teyari ana maisha yahali yajuu kuliko hiyo timu
Kuna vitu tulikuwa tunaweza kufanya kipindi umri mdogo lakini sasa hivi hatuwez ko hatasisi ni mashahidi wa hichi kinachomtokea , usianze kusema yule sasa alikuw ronaldo huyu sio angalia ungekuwa wewe ndio yeye kwa umri huo ungekuwa wapi
RONALDO kwasasa ni kama diamond platnumz kwenye mziki wa Tanzania 🇹🇿 😅. Diamond platnumz anataka kuonekana bora wakati ameshuka viwango nyimbo ya komasava anataka iwe hit song 🎵 😂 😢eti komasava wakati ni comment çavant 😂ina maana hata waandishi awamkosoi kisa ni mkubwa na ana pesa
Ww n hoples kabisa nying ndo mlikuaga vilaza school unaleta hoja amby haihusian na kichwa cha habar 😂😂😂😂😂😂kenge kwel ukikuzd unapungukiwa mpk akili😂😂#shoga we are talking about football here not music
Dah nalikubal sana ichi kiungo ronado ni mchezaj ambaye kuwa ana jituma kwa juhud ndio ivo tu binadam sio samak umesha Fanya makubwa sana ronado tunakusapot sna Tanzania heshima kwako star wa Dunia I love Ronald kwa aslmy 100
Kama ameshaibeba timu kwa muda mrefu so vibaya timu kumbeba Ronaldo ila kwenye matumizi inabidi apunguziwe majukumu
Kweli kabisa
Kocha akimwambia tuu faza utakuwa unaingia 20 za mwisho, wanagombana hapo hapo. Jamaa anaamua yeye
Hakuwah kuibeba broo
Wareno wenyewe wanajua nyinyi itakua mna wivu t
@@jakuvuai1428 ikiwa ni mchezaji bora na kiungo muhimu ktk timu'nisawa umeibeba kwa maana ya kutegemewa zaidi! acha chuki broo, jamaa hata asipokuwa ktk timu teyari ana maisha yahali yajuu kuliko hiyo timu
Ila kuna watu sjui wanafanya nini wasafi ivi kweli mchezaji anamiaka 39 mnataka acheze kama alivyokuwa na miaka 24 hamiwezi hata kufikiria
Hawa walaubwabwa tu
Hmn wachambuzi hapa
Ndiomaana wameshauli awe anacheza ata one half
Kuna vitu tulikuwa tunaweza kufanya kipindi umri mdogo lakini sasa hivi hatuwez ko hatasisi ni mashahidi wa hichi kinachomtokea , usianze kusema yule sasa alikuw ronaldo huyu sio angalia ungekuwa wewe ndio yeye kwa umri huo ungekuwa wapi
Ureno Wana wachezaj weng wazur ila heshima tu Kwa Ronaldo
Kwani kawaambia atacheza maisha?
Kama aliweza kuibeba Ureno kuitafutia heshima sasa ni muda wa Ureno kumbeba.
39 kucheza sio mchezo musione rahisi sanaa kaka zangu cku hizi hakuna timu ndogo kila mtu ywajua mpira na kila beki ywabana
Fact
Ronald ni mtu anaeza kupea Bao katika mda wowote ndio maana alicheza huo mda wote
Edo hujawah kumpenda Ronaldo kuma ww
Huwezi ukamuacha Ronaldo Beach Sababu Ana bembe Tim ya Portugal
Subir euro ambayo cr7 ,modric,ton cross hawatakuwepo muone muitikio wake
This guys they crazy or what he’s better than young players
They’re crazy! CR7 is Portugal
Ana heshim yako ureno ila akianza ana cost team hawez kwenda speed ya wenziwe ss bora iwe anaingia sub
Atawaprove wrong mda si mrefu
So sad .....but time is over goodbye CR7 .
RONALDO kwasasa ni kama diamond platnumz kwenye mziki wa Tanzania 🇹🇿 😅. Diamond platnumz anataka kuonekana bora wakati ameshuka viwango nyimbo ya komasava anataka iwe hit song 🎵 😂 😢eti komasava wakati ni comment çavant 😂ina maana hata waandishi awamkosoi kisa ni mkubwa na ana pesa
Ww n hoples kabisa nying ndo mlikuaga vilaza school unaleta hoja amby haihusian na kichwa cha habar 😂😂😂😂😂😂kenge kwel ukikuzd unapungukiwa mpk akili😂😂#shoga we are talking about football here not music
We hovyo Sana.
Mziki na mpira wapi na wapi.
Wewe old is gord
Sasa hapa Tanzania nani ni Muimbaji mzuri
zero brain na anajiita brave
Dah nalikubal sana ichi kiungo ronado ni mchezaj ambaye kuwa ana jituma kwa juhud ndio ivo tu binadam sio samak umesha Fanya makubwa sana ronado tunakusapot sna Tanzania heshima kwako star wa Dunia I love Ronald kwa aslmy 100
Messi huwagaa anawapaa madogo nafas
Mbona messi nyiee hamumwambiiii kazi Ronaldo kumaaa nyieee
Na huyo mwingine anasema kukosa penalty, hata kabla ya kuwa na umri huu alikosa penalty huko zamani ni miaka miwili imepita toka ronaldo akose penalty
😅 wachambuzi wa mchongo kweli Yani cr7 siku Hz amebadili namba anacheza no9 km halaand,Giroud, endrick sasa wao wanatamani acheze no7 km zamani
Hujui
Sasa Edo unaongea nn Ronaldo kashasema hii ndio Ya mwisho
Sisi watu wa goat messi hatuna wasi
Wachambuzi sasa😂😂😂😂
cr7 😂😂😂
anaweza lig ya waarabu .
Madhara ya nyeto .ndo yanamsumbua sana Ronaldo wenu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Itakuwa wewe ndie unaepiga nyeto
Edo we tahira
Ronaldo ni mganga wa timu