CRISTIANO RONALDO AWAAGE TU URENO| SIKU HIZI URENO NDIYO INAMBEBA RONALDO KULIKO YEYE KUIBEBA URENO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 46

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr 3 месяца назад +12

    Kama ameshaibeba timu kwa muda mrefu so vibaya timu kumbeba Ronaldo ila kwenye matumizi inabidi apunguziwe majukumu

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 месяца назад

      Kweli kabisa

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 3 месяца назад

      Kocha akimwambia tuu faza utakuwa unaingia 20 za mwisho, wanagombana hapo hapo. Jamaa anaamua yeye

    • @jakuvuai1428
      @jakuvuai1428 2 месяца назад

      Hakuwah kuibeba broo

    • @BimkubwaMohd-ef6hr
      @BimkubwaMohd-ef6hr 2 месяца назад

      Wareno wenyewe wanajua nyinyi itakua mna wivu t

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 месяца назад

      @@jakuvuai1428 ikiwa ni mchezaji bora na kiungo muhimu ktk timu'nisawa umeibeba kwa maana ya kutegemewa zaidi! acha chuki broo, jamaa hata asipokuwa ktk timu teyari ana maisha yahali yajuu kuliko hiyo timu

  • @dreamer4760
    @dreamer4760 3 месяца назад +8

    Ila kuna watu sjui wanafanya nini wasafi ivi kweli mchezaji anamiaka 39 mnataka acheze kama alivyokuwa na miaka 24 hamiwezi hata kufikiria

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 3 месяца назад +1

      Hawa walaubwabwa tu

    • @yusufujemson9020
      @yusufujemson9020 3 месяца назад +1

      Hmn wachambuzi hapa

    • @MamuJuma-ot9wy
      @MamuJuma-ot9wy 2 месяца назад

      Ndiomaana wameshauli awe anacheza ata one half

  • @dreamer4760
    @dreamer4760 3 месяца назад +5

    Kuna vitu tulikuwa tunaweza kufanya kipindi umri mdogo lakini sasa hivi hatuwez ko hatasisi ni mashahidi wa hichi kinachomtokea , usianze kusema yule sasa alikuw ronaldo huyu sio angalia ungekuwa wewe ndio yeye kwa umri huo ungekuwa wapi

  • @MendradNyimbi
    @MendradNyimbi 3 месяца назад +5

    Ureno Wana wachezaj weng wazur ila heshima tu Kwa Ronaldo

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 месяца назад +2

    Kwani kawaambia atacheza maisha?
    Kama aliweza kuibeba Ureno kuitafutia heshima sasa ni muda wa Ureno kumbeba.

  • @AliAbdul-ve5ve
    @AliAbdul-ve5ve 3 месяца назад +8

    39 kucheza sio mchezo musione rahisi sanaa kaka zangu cku hizi hakuna timu ndogo kila mtu ywajua mpira na kila beki ywabana

  • @dante3519
    @dante3519 3 месяца назад +2

    Ronald ni mtu anaeza kupea Bao katika mda wowote ndio maana alicheza huo mda wote

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 3 месяца назад +2

    Edo hujawah kumpenda Ronaldo kuma ww

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 2 месяца назад

    Huwezi ukamuacha Ronaldo Beach Sababu Ana bembe Tim ya Portugal

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 3 месяца назад

    Subir euro ambayo cr7 ,modric,ton cross hawatakuwepo muone muitikio wake

  • @backieb205
    @backieb205 3 месяца назад +3

    This guys they crazy or what he’s better than young players

    • @tonnnieghm
      @tonnnieghm 3 месяца назад

      They’re crazy! CR7 is Portugal

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 3 месяца назад +1

    Ana heshim yako ureno ila akianza ana cost team hawez kwenda speed ya wenziwe ss bora iwe anaingia sub

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 3 месяца назад

    Atawaprove wrong mda si mrefu

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi6532 3 месяца назад +2

    So sad .....but time is over goodbye CR7 .

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru 3 месяца назад +1

    RONALDO kwasasa ni kama diamond platnumz kwenye mziki wa Tanzania 🇹🇿 😅. Diamond platnumz anataka kuonekana bora wakati ameshuka viwango nyimbo ya komasava anataka iwe hit song 🎵 😂 😢eti komasava wakati ni comment çavant 😂ina maana hata waandishi awamkosoi kisa ni mkubwa na ana pesa

    • @Tanafa-j9q
      @Tanafa-j9q 3 месяца назад +2

      Ww n hoples kabisa nying ndo mlikuaga vilaza school unaleta hoja amby haihusian na kichwa cha habar 😂😂😂😂😂😂kenge kwel ukikuzd unapungukiwa mpk akili😂😂#shoga we are talking about football here not music

    • @michaelfrenkline3429
      @michaelfrenkline3429 3 месяца назад +1

      We hovyo Sana.
      Mziki na mpira wapi na wapi.

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 3 месяца назад

      Wewe old is gord

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 3 месяца назад +1

      Sasa hapa Tanzania nani ni Muimbaji mzuri

    • @yohanamaiga3031
      @yohanamaiga3031 3 месяца назад +1

      zero brain na anajiita brave

  • @KhadijaZahoro
    @KhadijaZahoro 3 месяца назад

    Dah nalikubal sana ichi kiungo ronado ni mchezaj ambaye kuwa ana jituma kwa juhud ndio ivo tu binadam sio samak umesha Fanya makubwa sana ronado tunakusapot sna Tanzania heshima kwako star wa Dunia I love Ronald kwa aslmy 100

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 3 месяца назад +1

    Messi huwagaa anawapaa madogo nafas

  • @PaulManko
    @PaulManko 3 месяца назад

    Mbona messi nyiee hamumwambiiii kazi Ronaldo kumaaa nyieee

  • @dreamer4760
    @dreamer4760 3 месяца назад

    Na huyo mwingine anasema kukosa penalty, hata kabla ya kuwa na umri huu alikosa penalty huko zamani ni miaka miwili imepita toka ronaldo akose penalty

  • @kendryjenner
    @kendryjenner 3 месяца назад

    😅 wachambuzi wa mchongo kweli Yani cr7 siku Hz amebadili namba anacheza no9 km halaand,Giroud, endrick sasa wao wanatamani acheze no7 km zamani

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 3 месяца назад

    Sasa Edo unaongea nn Ronaldo kashasema hii ndio Ya mwisho

  • @OthmanThabitJuma
    @OthmanThabitJuma 3 месяца назад

    Sisi watu wa goat messi hatuna wasi

  • @jemedarijuma4567
    @jemedarijuma4567 3 месяца назад

    Wachambuzi sasa😂😂😂😂

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 3 месяца назад

    cr7 😂😂😂
    anaweza lig ya waarabu .

  • @storytownTv
    @storytownTv 3 месяца назад

    Madhara ya nyeto .ndo yanamsumbua sana Ronaldo wenu

    • @deotv503
      @deotv503 3 месяца назад

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 3 месяца назад

      Itakuwa wewe ndie unaepiga nyeto

  • @FranceYohana-eg5zd
    @FranceYohana-eg5zd 3 месяца назад

    Edo we tahira

  • @TechTrove.Odyssey
    @TechTrove.Odyssey 3 месяца назад

    Ronaldo ni mganga wa timu