Machifu, Wasamaria wajitokeza kusaidia waathirika maporomoko kata Itezi Diwani Shitambala awafariji
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2024
- #mbeyayetutv
Wafanyabishara na baadhi ya wakazi wa jiji la Mbeya wameendelea kuguswa na kujitokeza kwa wingi kutoa msaada kwa waathirika Maporomoko ya mlima Kawetere katika kata ya itezi jijiini Mbeya