NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 апр 2024
  • Karibu kuwa Mwanafamilia ya PRECIOUS BLOOD TV Hii ni Chaneli ya Uinjilishaji wa Neno la Mungu
    Tafadhali endelea Kufuatilia, kusapoti na kuiwezesha iweze kutangaza zaidi Neno la Mungu kwa njia hii ya Kiteknorojia
    Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Ku share tone Hili la Upendo kwa Watu wengine
    waweza kutupata kupitia mitandao ya
    RUclips -PRECIOUS BLOOD TV
    Fesbook- PRECIOUS BLOOD
    Instagram- PRECIOUS BLOOD

Комментарии • 39

  • @JOHANITHAKAKULA
    @JOHANITHAKAKULA 17 дней назад +1

    Wewe utakuwa mchungaji miaka inayokuja nimekutabilia afande ,nakupigia salut

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Месяц назад

    Safi sana. Huu utaratibubni mzuri natumaini uko nchi nzima. Nashauri kama hakuna mpango wa kutembelea taasisi na taasisi za elimu, utaratibu ufanywe kazi hii iwe endelevu na ikiwezekana hata ngazi ya kata na mitaa. Hongereni sana Jeshi la Polisi.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Месяц назад +6

    Askari wa kubwa wengi wao niwastarabu Sana Ila huku chini mmh balaa

  • @PeterPaul-yf6ut
    @PeterPaul-yf6ut 25 дней назад

    MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KAZI YAKO IKO SIKU UTAPANDA ZAIDI

  • @HusnaJjj
    @HusnaJjj Месяц назад +1

    Safi sana kamanda mallya hakika tutaendelea kukuombea pongezi kwa mama samia tunae mtetezi wa watoto

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Месяц назад +2

    Uko vizuri Te'o pista

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +2

    Mungu akubariki sana kamanda❤❤❤❤

  • @nuhumhagama2132
    @nuhumhagama2132 Месяц назад +3

    Yuko vizur hata songwe tulimfurahia sana

  • @alfredmtundu9558
    @alfredmtundu9558 Месяц назад +2

    Afande nimekupenda bure katika ubora wako wa nywele za asili. Safi sana

  • @MelkMtui
    @MelkMtui Месяц назад +1

    Hongera kwa elimu nzuri kamanda

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 Месяц назад +1

    Your Part of Solutions!! Not part of Problems!! God Bless You!!!

  • @user-hf6kg9ks3g
    @user-hf6kg9ks3g Месяц назад +1

    Hongera mama upo vizuri saana!

  • @mcback4384
    @mcback4384 Месяц назад +1

    Mungu akubariki utende haki sio kama wale police wengine wanaotumia mamlaka yao kufunga watu kisa wanakula mchana na hawaamini miungu yao kinyume kabisa cha katiba

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 Месяц назад +2

    Afande upo vizuri sana ila sasa unaonekana ni mpole sana, punguza upole Mama, kwakweli upo vizuri Mungu akubariki sana.

    • @ROBERT75376
      @ROBERT75376 Месяц назад

      Nadhani sio mpole. Anatumia taaluma ya kumfanya asikilizwe na wengi na kumuelewa. Ukali mara nyingi sio njia nzuri ya kumuelewesha mtu. Ukali una mahali pake.

  • @christianahia97
    @christianahia97 Месяц назад

    Afande MUNGU wetu Akubariki Akujaalie katika Majukumu yako. Sabato Ni ishara Kati ya MUNGU wetu na sisi Watu wake.ni Agano la Milele

  • @florachogo243
    @florachogo243 Месяц назад +1

    Afande uko vizuri

  • @florachogo243
    @florachogo243 Месяц назад +1

    Barikiwa

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад +2

    Sijawahi Kuna kamanda kama wewe barikiwa San. Wengi wao ni makatili San. Hawajui DUNIA tunapita.Maafande WOOTE chukuen mfano Kwa huyu msione DUNIA ni yakwenu. Dada afande wew ni muungwana sana.

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 Месяц назад +2

    Asante kamanda

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Месяц назад +3

    Huyu afande ana ofu ya mungu angekuwa traffic hata leseni unaweka nyumbani akikukama anakupa elimu kwanza kabla achukui rushwa

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 Месяц назад +1

    Mkuu wa Polisi Hongera Sana jamani Mama

  • @jerometesha7379
    @jerometesha7379 Месяц назад

    Asante mama

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Месяц назад +1

    Sagi sana

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Kweli manka umeongea vizuri mambo haya mabaya hayakubaliki

  • @floridachami9090
    @floridachami9090 Месяц назад

    Piga kazi dd yangu uko vinzur

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM Месяц назад +2

    Kila lakheri ktk majukumu yako kamanda. Inatakiwa hii iwekwe ktk redio zote kama kipindi maalumu hii hotuba ya kamanda

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад +1

    dah nimaaskali wachache sana wakike wenye vyeo halafu wapo kawaida2 kama hyu afande nywele zake ziko kawaida2 huyu hata luchwa anakula kwa tabu kidog ana hofu ya mungu mama wawatu

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 Месяц назад +1

    Kamanda Nkuhungu tunateseka na makelele ufuska unafanyika kwenye baa 2 LAPATRONA NA NYINGINE IPO NJIA PANDA KWA SWAI TUNAOMBA MSAADA WENU.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Месяц назад

    SAFI MAMA WEWE NDIE NAE JITAMBUA SASA AFANDE IGP MUACHE SASA UYU MAMA FANYE KAZI TUME CHOKA DODOMA KILA SIKU MA RPC WAPYA TUME CHOKA HAAAAAAAAA

  • @josephusimbanilo9500
    @josephusimbanilo9500 Месяц назад

    Siku ya sabato ni jumamosi, na sio jumapli😊

  • @user-li6dl7qo6s
    @user-li6dl7qo6s Месяц назад

    Hogera kamanda kwa mahubiri mazuri tembelea Kila kanisa hasa huku kwetu manyari

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад +1

    hahaaa aseee manka hakiamungu umenifulahisha kweli et,,,,,,,,

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Месяц назад

    Kumbe mnawatambua viongozi wa dini.

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 Месяц назад

    RPC Theopista una Hekima za kutosha, una sifa ya kiongozi bora ni mpole na mtaratibu.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Месяц назад

    Huyu alifaa kuwa IGP

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Месяц назад +1

    Tunataka maaskari kama huyu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Месяц назад

    Huyu mama apewe maua yake.

  • @SYLIVERIOKILIMILA
    @SYLIVERIOKILIMILA Месяц назад +2

    Huyu askari anasali ndiyo maana mstaarabu