UWEKEZAJI WA MIZENGO PINDA DODOMA NI BALAA EBU SHUHUDIA ALICHOKIFANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2020
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 70

  • @emmanuelmchome3071
    @emmanuelmchome3071 Месяц назад

    Mh. M.K.P.PINDA Umeonesha mfano mzuri Sana Bwana akubariki Sana. Nimejifunza Sana.

  • @omtuya5892
    @omtuya5892 Месяц назад

    Huwa namkubali sana huyu mzee. Very simple, cooperative na yuko available kwa yeyote kujifunza

  • @user-xb4qj5pd7x
    @user-xb4qj5pd7x 2 месяца назад

    Hongera sana mzee. Ikimpendeza Mungu, siku moja nitakutembelea shambani kwako.

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 Месяц назад

    That's Mzee Pinda, humble and caring. May God continue to strengthen you Mzee.

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 Год назад

    Hongera baba mungu akutunze frm mwanao KISIWA BENEDICTO PAULO

  • @lucymarandu4790
    @lucymarandu4790 Месяц назад

    OO wonderful inafutia kilimo fresh kina Tisha. I wish vijana wangejifunza na kuwezeshwa, wanywa gongo na madawa ya kulevya wangejiajiri wenyewe.

  • @igihamanuel1
    @igihamanuel1 2 месяца назад

    Hongera sana Mzee Pinda. Umekuwa mfano mwema, ubarikiwe

  • @TENGAMSOGOYA
    @TENGAMSOGOYA 2 месяца назад

    Hongeraa sanaaa mheshimiwaa natamani Sanaa niweee kamaaa wew

  • @LeornadKiyungi
    @LeornadKiyungi 2 месяца назад

    Hongera sana Mzee wetu.

  • @johnsaningo226
    @johnsaningo226 2 года назад

    Great mind

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

    hongera sana baba yetu Mizengo pinda kwakutupatia elimu ya kujitegemea

  • @user-uy3lo8oj5r
    @user-uy3lo8oj5r Месяц назад

    Mzee Linda Mnyezi Mungu akusimamie!!!!

  • @fikiliogambi5042
    @fikiliogambi5042 2 месяца назад +5

    Kwa kweli Mzee Pinda uishi maisha marefu mzee wangu!
    Mimi ni kijana lakini natamani sana kuinvest kama wewe ila changamoto ni mitaji

    • @joshuakusena707
      @joshuakusena707 Месяц назад

      Tupeane namba za simu hapa. Labda tutapata wazo kaka. Maana na Mimi shida hiyohiyo

  • @EmmanuelLubuva
    @EmmanuelLubuva 2 месяца назад

    Hongera sana mzee

  • @AlexJunior-ls4ul
    @AlexJunior-ls4ul Месяц назад

    Saafi sana mheshimiwa Acha na sis tujifunze

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Год назад

    Hongera sana

  • @elineemamndeme5634
    @elineemamndeme5634 2 месяца назад

    Safi sn baba hongera

  • @user-mt2gc7mi5v
    @user-mt2gc7mi5v 2 месяца назад

    Mzee mugu hakuogeze maisha mema hira naomba unique namm nimeaza na kuku sabini nitume kiripu yangu

  • @paulm.kaponda2300
    @paulm.kaponda2300 2 месяца назад

    Ubarikiwe mzee wetu Pinda.

  • @edithmushy1010
    @edithmushy1010 Год назад +1

    Hongera baba. Napenda kilimo na nitafanya kwa ukubwa wa uwezo wangu. Natafuta tu Kama heka 5. Sehemu yenye maji na rutuba

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 2 месяца назад

    Wewe kweli ni kiongozi,unaonyesha kwa viyendo
    Ulichopata kwa halali,umekiwekeza
    Hongera sana

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 2 месяца назад

    Mzee pinda hongera sana,Ila mikopo ya halmashauri madiwani wanazila,wanavikundi vyao.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 2 месяца назад

    Kweli mzee pinda we ni tofauti sana tutakuja kujifunza kwako baba yetu udumu na upendo wako

  • @shukranikikoti5261
    @shukranikikoti5261 Год назад

    Congrats

  • @rafaelikimati4276
    @rafaelikimati4276 Месяц назад

    Safi sana Mkuu napenda sana hii kazi ila mitaji tu unanisumbua mimi ila naipenda sana hii kazi mimi kiukweli

  • @KaijageEvodius
    @KaijageEvodius День назад

    safisana mzeepinda

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 года назад +1

    Mzee hongera mzee naomba kukuwakula sikukuu

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 2 месяца назад

    Ni kweli kbs degree ni cheti,wasomi ndo wawekezaji wazuri sana hapa New jersey👍🏻👏🏽

  • @mwerindejackson5001
    @mwerindejackson5001 10 месяцев назад

    Hongera mzee ww kama muizraheli vile karibu same

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 3 месяца назад

      Wewe nakuhabarisha unasifia usichokijua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda kutawala wajinga ambao wanaendelea kupungua hapa TZ vyuo vikuu walivyovianzisha,sekondari zakata watu wanasoma uraia na ndiyo somo mhimu katika kuwatambua hawa na jamaa zetu halafu unaendelea kwenye kundi LA kusifia kwa taarifa utakuwa umechelewa utakosa hata kujisaidia haja ndogo itakuwa kwu au nachafua mazingira kwa jirani yako hiyo utaijua uzeeni sijui kama unakaa kwako au umepanga hawataki katiba mpya kwa sababu hata Mali za Watanzania kama viwanja vya mpira wa ni Mali ya chama chao wakati Watanzania wote wafanyakazi, wakulima , ndiyo waliojenga miundombinu hiyo bila kujua, bila walojenga kutambua kuwa wanatakiwa kujua kuwa ni Mali ya Watz siyo ya Chama cha siasa kama alichokitumikia hiyo mzee? Kuwa chanya kama unajitambua

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 2 месяца назад

    Hongera sana mzee pinda tunapenda wazee aina yako sio wazee wasiokubali kustafu wanauchu wa madaraka mpaka kufa kwao

  • @andreamathew4585
    @andreamathew4585 2 месяца назад

    Tutapata kazi kiongozi

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 Месяц назад

    Salut pinda

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 Год назад +2

    Hongera mzee nitakuja nikusalimia

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 Год назад

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Месяц назад

    Asset Yetu Ya Taifa....mkuu kamtaji ndo Shida vijana tunapendaa kilimo na ufugaji..ila vijana tuwezeshwee

  • @josephineseruhere-cv4wc
    @josephineseruhere-cv4wc 2 месяца назад

    Wewe ni malaika ulietumwa DODOMA Mungu akubariki

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 Месяц назад

    .......mwamba kama mwamba kweli kweli....!!!nadhani ni viongozi wachache wanaoweza kusema hapana(no) mheshimiwa

  • @hassannjiku
    @hassannjiku 3 месяца назад

    Mzee pinda umenipa somo zuri nn nimepata pa kujifunza

  • @VincentKija
    @VincentKija Месяц назад

    Aendelee kuwekeza kiongoz hana mambo mengi huyo.

  • @maselemaziku4875
    @maselemaziku4875 Месяц назад

    Saiv unKUMBUK na kukosea lkn vip kuhusu wapigwe tu ,AANA hakuna namna

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p 3 месяца назад

    Watu wanatafuta Degree wapate ajira Serikalini kisha wakaibe wapate mtaji kisha wakalime hapa kisa nl mitaji.

  • @josephmpanda2237
    @josephmpanda2237 Год назад

    Naomba Mimi ni mstaafu nilipenda kujifunza kuhusu kilimo na ufugaji ni namna gani naweza fika hapo Kwa muheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu Mimi Niko mwanza Nina mapenzi makubwa na kilimo naomba kupata utaratibu

  • @Egbethelneus-wj3bq
    @Egbethelneus-wj3bq 2 месяца назад

    Tanzania siyo maskiniii ila watanzania tumekosa maalifa

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Год назад

    🇮🇱Mzee Pinda NAKUPA HONGERA SANA SANA.
    INAONESHA KABISA TANZANIA SIYO NCHI YA KUWA NA NJAA.

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l 2 месяца назад

    Wakuu nyie wa nchi mnaogopa njaa Sanaa nyie wapiga dili sekalini nyie mmejipanga Sanaa nyie mapema mnachukua chakwenu

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 месяца назад

    Baba unajua wambie hao wanataka kukaa ofisini tu kuchezea kompyuta tu

  • @user-qb6dx2kv3z
    @user-qb6dx2kv3z 2 месяца назад

    Tatizo kubwa kwenye nchi yetu wanasiasa wanatuambia vujana twende kijijini tukalime kijana ataanzia wapi Hana pesa ya mtaji hana kila kitu ataanzia wapi,,wao wakiwa madarakani wanachuma pesa nyingi baada ya hapo wanaanzisha miradi mikubwa so vijana tufanyeje

    • @mtanganyikahalisi4286
      @mtanganyikahalisi4286 2 месяца назад +1

      Kijana anamiliki simu ya Milioni mbili yupo mjini analalamika Hana mtaji anataka Serikali impe mtaji halafu hiyo simu haina kipato chochote inachomuingizia Zaidi ya kuji selfie Na kuwatambia watu unamiliki iPhone macho matatu mtasubiri sanaaaa

  • @user-mt2gc7mi5v
    @user-mt2gc7mi5v 2 месяца назад

    Mm mueshimiwa niko bukoba naomba msaada kwako nimeaza kufunga kuku hila sina mtaji naomba msaada kwako nitashukuru kwa kunifikiria

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 2 месяца назад

      Duuu jamani watu tunaomba bila aibu...au Pinda katenga fungu la kugawa ? ,tuambizane

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 2 месяца назад

    Waliochuma mali kwa halali wanadhihirika pasi shaka.

  • @mwitawambura2548
    @mwitawambura2548 Месяц назад

    Hello Peter, Leo nimekuona bhana nakumbuka kipindi hicho ukiwa spika wa bunge la chuo flani
    Keep it up brother una kiu ya uongozi

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r Месяц назад

    Kulimo pesa buka pesa ngumu

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Год назад +1

    Mmeiba vya kutosha sasa mnatufanyia msigizo ya ufugaji ..mbona haikuwa kabla ... kula hela kifo kipo karibu acha kujisemesha ..shida dodoma maji wkt ulikuw wazir mkuu

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Год назад

    ACHENI kutukana watu

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553
    @tanzaniampyakaulimbiu3553 Год назад +1

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад +1

    Umejirimikisha viyakutosha mbwa wewe sura kamatako nyambavu zako wewe

    • @martinegumbo7225
      @martinegumbo7225 Год назад +4

      Hivi kwanini watu mnapenda sana kutukana?,unadhani utaweza kujikwamua kiuchumi kwa kutukana?Tujifunze kutumia lugha za staha.

    • @ismailmdoe8616
      @ismailmdoe8616 Год назад +1

      Mzee uwekezaji uwo niwagarama huwezi kumshauri mtu asiekua na kipato afanye uwekezaji uwo..hata ww umeweza kufanya baada ya utumishi.

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t 3 месяца назад +1

      Wewe mbwa ulaaniwe unaemtukana Mzee wetu Mzee PINDA

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t 3 месяца назад

      Mbwa mkubwaaa wewe Tena ningekuona karibu yangu ningetanguliza kuzimu wewe

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 2 месяца назад +1

      Mzee pinda alikuwa kiongozi mkubwa na ni mtu mzima kiumri,na ni mwekezaji mkubwa wa ndani,hufai kumtukana na kumkosea adabu mzee km huyu.jufunze tabia njema na namna ya kuwekeza kwa huyu Kiongozi badala ya kumtukana

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 месяца назад

    Hongera sana mzee

  • @ChachaNyahende
    @ChachaNyahende 2 месяца назад

    Hongera sana