Marys Pre Primary School Mbeya Yawafariji Waathirika Maporomoko Mlima Kawetere,wakabidhi msaada

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024
  • #mbeyayetutv
    Marys Pre&Primary School yawafariji waathirika Maporomoko Mlima Kawetere
    Meneja wa Shule ya Marys Pre&Primary ya Jijini Mbeya Madame Mary Upamba amemkabidhi msaada wa mafuta ya lita 100 za mafuta ya kula waathirika wa maporomoko ya mlima Kawetere yaliyotokea hivi karibuni Jijini Mbeya.
    Msaada huo umepokelewa na Diwani wa Kata ya Itezi Sambwee Shitambala kwa niaba ya waathirika wa maporomoko hayo katika kambi ya shule ya Msingi Tambukareli wanakohifadhiwa kwa muda.
    Akizungumza mara baada ya kupokea msaada huo Diwani Shitambala amewatoa hofu wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya Marys na kusema kuwa shule imenusurika katika maporomoko hayo kwa kuwa iko mbali na mlima huo.

Комментарии • 2

  • @happylaston4988
    @happylaston4988 29 дней назад

    Wabarikiwe sana kwa baraka walizo jitolea mungu awabariki mara dufu kwa pale walipo toa 🙏

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan1019 Месяц назад

    Poleni sana wahanga,mungu awatie nguvu