MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2022
- MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ndugu zangu watanzania tumuombee msamaha huyu jamaa kwa kugonga like hapa
Alitumwa awetapeli 😂😂😏😏😏😏 kila siku wanaonywa hawaelewi akanyee debe tu
Kwa hiyo hizo likes utazipeleka mahakamani sio?
@@SampleKiller99 umeona eeh
Kumbe alikuwa anataka kusikiliza kero za wananchi!!!
Huyu ndo mwamba sasa,big up Dogo.
Mkuu wa mkoa yupo ivo alikua anakamata wajinga wengine
Kanu outsmart mkuu wa mkoa
Uyu ni mtetez wa wanyonge
@@phbtonny4096 kàaabisaaa
Ni sawa lakini hiyo kosa mzee,je siku akibadilisha msimamo na kuwaibia nani atakae onekana kafanya hayo ??
Mkuu wa mkoa husika..msamehe tuu huyo bwana..nawe UTABARIKIWA..AMEN🙏
Apo sawa rc unachewa sana kwenda kuskiliza kero za wanazengo muacheni amsaidie mh rais
Kwaselekali hii ya unanijua mimi lazima aumizwe lakini angekuwepo mzee baba JPM kwanza angempongeza na angeagiza apewe nafasi maana amefanya kitu ambacho mkuu wa mkoa hakuwahi kuwaza mama samia tafadhali muite huyujamaa anakitu kichwani tafadhali sana.
Gonga like kama umemuelewa dogo.
Mpk kaunganisha wawekezaj wa nyuki!!
Kijana ana akili sana nimempenda ana ujumbe anataka kuufikisha kwa viongozi
Angekuwepo Magu, huyu angenyongwa mara moja. Jiulize ametumwa na nani? Nini lengo lake? Ujasiri huu ameutoa wapi hadi kutumia Account ya Ikulu ??? 🙄🙄🙄 Labda kuna Vigogo behind him🥴Wale wanaotaka kumpima Rais na Mamlaka za Nchi 🥴🥴
@@j.c.maxima816 Utakuwa humjui Magu wewe. Unakumbuka kuna watu walikuwa wanazalisha umeme kienyeji? Alifanya nini?
Nimemuonea huruma sana huyu kijana mwenzangu automatically anaonekana kujutia kosa alilofanya wangemsamehe tu maisha magumu jamn kwahy watu wanatumia namna nyingine ya mlango wa pili kupita Ktk maisha
Mkuu wa mkoa Mh sana msamehe kijana, ni mahaba kwako yamepitiliza
Hakuna bali nyinyi mnaona ni kitu kidogo je angeteteleka akajiingiza kwenye talukukuru au kosa la jinai si angemtia mtumishi wa serikali mbaloni na mpk kuchunguza kifahamike ingetia hasara taifa muda mahakama, polis upelellezi acheni kuwa mashabikia ujinga km ungelikua ni wewe ndo maana watanzania kl kitu mnachukulia utani hii ni kesi kubwa kuiba hasilia ya mtu
Msamehe hii ni dunia tunapita lkn asirudie tena msameheni kaomba msamaha tuwe na moyo wa msamaha na MUNGU ATATUSAMEHE na sisi jamani
He is honest. Kindly mkuu wa mkoa was not doing his work, he was just trying to reinforce. This young man he is smart and wise, trust me he will be a leader.
Kwa nini wew usiwe unasikiliza Kero mpaka usaidiwe na vijana wachapa kazi😂😂😂
Sindahapo
HII TITLE IMENIFANYA NICHEKE KABLA YA KUSIKILZA.. 'akisiliza KERO'
🤣🤣🤣🤣Kijana kaamua kufanya kazi bila jasho😂😂😂
Akaona ss tunao suffering manamba tu😂
Na bila kudai mshahara marupprupu,vitendea kazi n.k. kazi iendeelee.Vijana wanapenda ;umsaidia rais wao .
*ila haja ibia mtu alafu angelikuwepo mjomba magu angelipewa uongozi wowote maanna anajua vyema kazi yake*
😄
Ameamua Kusikiliza Kero Za Wananchi, Bila Mshahara😆😆
😄😄😄
🙆♀️
Kama Nyinyi hamtaki Kusikiliza Kero zetu 😂ngja yeye atusikilize
😂😂😂😂😂
Mtatuvunja mbavu
Sasa kama anaweza kutatua kero au kusikiliza kero za wananchi tatizo lipo wapi?
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Noumaa na nusu lakini alikuwa anamsaidia Rc kufanya kazi maana yupo 2 ofisini.
🤣😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂
Sasa mpaka mtu anapata wawekezaji
Mkuu wa mkoa jitathmini .
Legendary 😂😂😂🤣
Exactly legendary
Huyu kijana ni mdogo ana elimu gani? Huu ujasiri ameutoa wapi? Nafikiri anataka tu Kufikisha kwa serekali ujumbe: "AJIRA hakuna". Ni kweli ana nguvu na uwezo wa kufanya kazi kama anavyosema afande.Shida ni namna ya kuanza bila mtaji. Mkuu anasema angeenda ofisini kwake asikilizwe, ila sina hakika kama wasimamizi wa ofisi wamgemruhusu. Amechukua short cut ya kufika ofisini, sidhani km hakujua kwamba atakamatwa,mkuu akae naye amsikilize nadhani ana jambo. Wamsamehe tu.
Hili ni kosa kubwa sana, huwezi kulichukulia poa. Huyu tapeli asipofungwa, wengine wataiga mfano wake, na Tz haitatawalika! Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Maafisa Askari wataanza kuchipuka Nchi nzima!!! Utajikuta unalipa kodi kwa tapeli aliyejiita mtumishi wa Serikali, unatibiwa na tapeli aliyejifanya Dr, unatozwa faini na Askari Polisi feki,... Nchi itavurugika, Wananchi watapoteza imani na Serikali, maana hawatajua nani Kiongozi halisi, nani tapeli, wamuamini nani... Hili ni suala zito la Usalama wa Nchi. Tena Kijana amekwenda mbali kutumia Jina la IKULU!!! 😲😲 Intelligence services zifanye kazi 😶😶
Kabsaaaa
Ila huyo dogo richa ya kuwa amefanya uhalifu pia ni rasilimali kwa nchi. Kwa wenzetu wanamuendeleza kwa njia chanya alafu anaenda kuwasaidia TCRA.Kama ni rahisi kujiajiri basi wenye vitengo waachie wajiajiri wao.
Unacho sema ni kweli kabisa,huyo anaonekana ana uwezo mkubwa sana anatakiwa asikilizwe.
Trust
Hatali sana
Ukute anakitamani tuu hicho cheo anaonekana wala Hana baya mengine muwe mnasamehe tuu kijana mdogo Sana
Anasikiliza kesi Ila bongo🤣🤣
Jamaniii
Ok 🤔🤔
Sasa shida iko kama jamaa anasikiliza kero 😂😂😂😂😂
Nafikiri anatakiwa apewe onyo na kusamehewa.
Maisha yaendelee. Pia Serikali iangalie namna ya kutatua tatizo la ajira kwa watu wake wote.
Hakuna cha kumfunga hajamtapeli mtu yeyote alikuwa anasikiliza kero hapa issue kubwa ni kumsikiliza lengo lake ni nini. Kama hajatumia hyo account kujipatia faida ya kifedha
Aiseeee😂😂😂😂
Mwamba atengwe....😂😂😂😂
Mpeni kazi huyu bwana mdogo Kama ameweza kuleta wawekezaji mkoani bila shida. Kawa nini msimpe kazi muone uwezo aliyo nao. Kumfunga hakumuongezei chochote. Miaka mitatu jela akitoka atakua bado hana ajira. Serikali ifanye bidii ya kutoa ajira. Kuna wakuu wa mikoa wengi tu hawatimizi wajibu wao na bado wako makazini. Huyu apewe kazi kwenye offisi ya mkuu wa mko, siyo kufungwa. Tufungue macho jamani. 🙈🌞🍀🍀
Msameheni maana hajatapel mtu alikuw na uchu wa kumsaidia mkuu wa mkoa
Duh
Mpeni kazi huyo mkuu wa mkoa kakaa tu
achunguzwe kama hajawahi kutapeli asamehewe huwenda ilikua ni namna yakufikisha ujumbe kwa kusikiliza kero za wananchi, na sii ajabu mkuu wa mkoa hajawahi kusikiliza wananchi wake. Uyu kijana alikua na nia nzuri sana kosa lake nikutumia anuani ya ikulu. Wapo marapeli wakubwa mfn wanaotakiwa kupewa adhabu uyo anatakiwa awezeshwe. Anae unga mkono agonge LIKE👇
Mkuu wa mkoa mwenyewe anafanana na jambazi sugu x 1000🥲🥲🥲. Serikali ya Tanzania inaongozwa kienyeji sana kama nyumba ndogo!
hahahahaha
Jaman msimfunge huyo kijana nindoto zake zabadae, inawezekana mkeka uta tema,
Big dream
Account inaitwaje nimfolow
Msamehe jmn mzee wngu🙏🙏🙏🙏🙏😪
Nataman sana kabla ya kumfanya chochote,,wahusiku wapitie kwanza comment hizi👇,kweli tunaishi chini ya sheria,,ila utu una nafasi kubwa sana katika maisha yetu,,,hata nami naiomba serikali na vyombo vyote husiku kumsamehe kijana huyo
🙏🙏👍👍👍👍
Asomeshwe huenda baadae akaja kuwa kiongoz bora wakupigiwa mfano maana ana kipaji hata aka kubalika,amakosea ila kwa umri wake tumshamehe km hana pesa za kujiendeleza chuo asaidiwe akamalizie jela kubaya istoshe ni mtoto,istoshe bado ana ndoto kubwa sana ktk maisha yk tumsamehe
Police anahukumu kabisa....ati Jela au fine...
Je mahakama itanya nn?
Mwacheni jamani labda kaona kero za wananchi zimezidi kaamua kumsaidia rc hakuna baya alilofanya kwani katapeli pesa?!
😀😀😀
Hajatapeli pesa ni akili 2 mi kwatanzania kazi hamna kuna kitabu kinasema wasomi huru gerezani hao ndo wasomi mchana anasema yy ni DC tatizo serekali yetu haina elimu endelevu hivi kuna watu wanapenda kua wasomi wamefeli darasani wamekua njee na elimu miaka 5 akitaka kurudi tena hapewi nafasi ila marekani nafasi hizi ni haki ya kila raiya kwa mfano kua mteja wa unga kua raisi vp tz inapendeza Sana tena inafurahisha inachekesha tz itabadilika kesho
Hahahhaha hvi wananch hawawajui viongozi wao wamkoa kwan
Kaz nzur saaana wasafii endeleen kutuhabalisha vema tunapenda namna ya mnavojituma
Wanaoiba mali z serekali hata kuwahoji hamuwahoji wala hamuwafunguli kesi dogo munataka alipe pesa n jela juu
Mbona huyo mtuhumiwa mnamuonyesha wakati MIJITU MINGINE MIJAMBAZI Mnawaficha hamuwaonyeshi ??? mnasema si sheria kuonyesha watuhumiwa????Msifanye Ubaguzi bwana hata hayo MAJAMBAZI MKIYAKAMATA MUYAONYESHE
Hapo ndo naamin kuwa kila mtu anamawazo tofauti, tumwombe msamaha serikalin imsamehe mwamba wetu bado mdogo ila anamawazo makubwa sana
Mawazo makubwa ya kuwa "cyber criminal"!? 🤪🙆♂️ Mungu ibariki Tz! 🇹🇿
*Lakini kama kero alikuwa anazitatua na wananchi wanasaidika shida iko wapi? hhhhhh tz bana vishoka tupo wengi*
Mama mpe cheo anaweza
Hana tofauti na PANYA ROAD. SHERIA IFANYE KAZI.
KUTOJUA SHERIA SI UTETEZI. LENGO LAKE NI UTAPELI.
HAO NDYO WANAOUNDA MITANDAO NA KITAPELI. MNAOTETEA SIYO BURE MNAWEZA KUWA MATAPELI WENZAKE.
MWENDESHA MASHTAKA FUNGA HUYO KULINGANA NA SHERIA ILI IWE FUNZO. UTAPELI UMEKITHIRI MITANDAONI
😂😂😂😂😂😂Heeee jamani mungu awastili watoto wetu jamani
Mtihan sana yaaaan ila kikubwa kama hajaiba msaameheni tyu
Sugu angekua mbunge angeenda kumsaidia dogo,,Mana haja tapeli chochote,afu ishu hizi ukifanya kitu unaambiwa ni kosa kisheria hizi Sheria mbona hatupewi kabla ya kukosea
Mzee baba umeongea neno zito sana kuhusu sheria nyingi wanazijua wao tu ahhahaaaaa
Wanataka wananchi tujue tu automatically, wakati kuna Watu wanasomea
What! A genius boy anatakiwa alindwe huyo kijana na amejitabiria mema sana dogo anafaa kuwa kiongozi!!!
Jmn kero zimezidi kumbe😂😂😂my country
🙌🙌🙌🙌🙌🙌nywele za mkuu wetu sasa
sEMA kuna raia wana usubutu sana hahahaha wamsomeshe tu mwana awe kiongozi
Ana ndoto ya kuwa kiongozi maana awatapeli kuwaibia pesa ila anaitaj kero zao ili akazifanyie kazi au kuna utapeli mwngn zaidi ya kuchukua Maoni! Ya mwanaNchi!!!
Huyu kijana haja mwibia yeyote bwana. Hajatapeli mtu. Namuombea apate judge mwenye akili timamu so hawa maafisa wanaomtakia jela tu
Nkwel
Mpeni na yeye cheo ht cha uenyekiti wa mtaa amsaidie rais
🚩
Asamehewe tu ni ujana, kwakua hajamuibia mtu basi asamehewe! Gereza siyo zuri kwa vijana wadogo atahalibika kiseikorojia
Toeni ajira!! Kwan hamjajua ishu n nn apo ajiraaaa
Tatizo sio ajira! Mbona hawakufanya huu upumbafu wakati wa Magu? Situlikuwa hatujaajiri kwa miaka 6 mfululizo???
@@j.c.maxima816 jiulize panya road kipind ya magu mbn hawakuepo na ajira hazikuepo af saiz wamerud!!
Wanajua wao wenyewe! Kwa nini wasikate vidole pia, miguu na hata mikono yote?! Wamechelewa kupata hela !!! 😂😂😂
Mazito matatu kwa mwamba😂🤣
Tobaaaa😥
Huyu sio wa save for save wassup..nahisi namba yake ninayo
Kiongozi wa kujitegemea 😂😂😂😊bila malipo aisee noma sana huyu
Hao jamaa wa nyuki walitoka Dar kweliiii? 😀😀😀🤣🤣🤣
Wawekezaji wa nyuki kutoka Dar 😅
Msamehe
hahaha🙄🤣 hadi mkuu wa mkoa feki duu
Dogo ana maono ya kuwa kiongozi
kampenda mkuu wa mkoa mpeni kazi
😂😂😂jamaa anastahili pongezi
WACHENI UHANISI HEBU, TAFUTENI MAJAMBAZI MUWAFUNGE..
KERO ZIMEKUWA NYNG NDOMAANA KAFANYA HIVO MKUU WAMKOWA YUPO BUSY YEYE MAOFISINITU ,HAFUATI WATU AKAZTATUWA KERO ZAWATU
Mpeni chakula kwanza
Najaribu kuwaza vitu vingi sana kuhusu utendaje kaz wa baadhi ya viongoz wangi wao hutoi nafasi na muda kukaa chini na wananchi wao kufaha m kero zao pia kuwafunza sheria so mtu akifanya kosa wao tu ndo wazifahamu ila wananchi hawajui chochot
Alikuwa anafanya practice ipo siku atakuwa mkuu wa mkoa msameheni maana hizo ndio ndoto zake
Umasikini ajira hakuna.
Yani Kwanza nicheke🤣🤣🤣🤣🤣
Hii nchi Uhuru umezidi 🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣
Kama anatatua kero za wananchi ni Bora mkamuacha tu nyie si mmeshindwa,mmekalia wivu tu
Kwa upande wangu Mimi wampe nafasi huko serikalini ama kama alikuwa anasoma wamsapoti kwa Elimu yake afikie matarajio yake maana hajaunda tume yake ya utapeli na Wala hakuna aliyejitokeza Kusema katapeliwa kwa hivyo ningeomba wamsamehe na kumchunguza kwa kina wajuwe dhumuni yake ni Nini haswa kuchagua Kazi hiyo ngumu ambayo hukwepi mkono wa Serikali
Mbona Hana kosa
Mpk anafanikiwa kuwapata wananch na kuvuma kuwa mkoa wa mkoa yy mkuu wa mkoa alikuwa wap
Yan kwa muonekano tu naomba asamehewe ...jmn...daah.... Kwanza anatetemeka sanaa...mm moyo unaniuma mnoo.......
Mmh bila woga
😄
Yaan huyo mpeni ajila
mbona mm sioni kosa la huyu kijanaaaaaaaaa!!
Mh. Komredi Homera kijana amekosa sana..
Please naomba asamehewe na asaidiwe mtaji au kazi.
Nchi ngumu hiii mana mtu unacheka km mazur🤣🤣🤣🤣🤣 jmn muachen tu so kosa lake ttz nchi aliyopo mizar haja tukana awu ajapost vitu vya kishenz bs msameen iwe funzo tu
Kijana kaingia pabaya.. njaa jamani..njaaa
Duuuh RC
Kesho akitoka jela cheo chake kina msubili...
Jamani nicheke miee hivi mtu mnamuona choko kabisa wananzengo mnamuona anawadanganya ye mkuu wa mkoa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣mambomengine yanafuraisha tu eti apokea kero zawananchi jmn🤦♂️ila msamehen tu jmn bado kijana mdog mno
Daah kijana anatetemeka saana aiseeee,,,daah mumsamehe tuu jamani ajira hakuna mweeee maisha magumu
Bongo bhana, yani mimi tu nimemuelew kuw anamsaidia RC kujua kero za wananch, lkn hao wasomi wanamuita tapeli sasa kamtapeli nani? Au ndio wanachelew kuelewa?
Muacheni mtaani hatuskilizwi ww mkuu wa mkoa kaendelee kulala
Ufanyike uchunguzi kwa lengo la kutumia uwezo wake.
Msameheni pia mature kero za wananchi