Watuhumiwa wa ukahaba walivyoingia kwenye 18 za Kamanda Muroto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2018
  • Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na Operation maalum ya kukamata wahalifu mbalimbali ambapo limewakamata watuhumiwa 29 wa biashara ya ukahaba wakiwemo wanaume wanaodaiwa kuwanunua pamoja na wamiliki wa maeneo yanayofanyikia biashara hizo.

Комментарии • 1 тыс.

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 5 лет назад +65

    Kama unamkubali Muroto gonga like 😂😂

    • @musarichard2934
      @musarichard2934 5 лет назад +1

      uko so mmwwaa

    • @musarichard2934
      @musarichard2934 5 лет назад +1

      nipe hista tukufollow mama...maana siku mingi sijakuona!..hahahaaa

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 5 лет назад

      Musa Richard thank you

    • @musarichard2934
      @musarichard2934 5 лет назад

      +Shodris TV ..so check me on hista..tanzanian 9069.I will follow u back

  • @pendonziku8731
    @pendonziku8731 5 лет назад +8

    Safi sanaaaaa mroto Njoo na iringaaa hapa maana hao ndio wanao tuharibia hata ndoa zetuuu wotee fyeka ndani wakajifunze huko

  • @oswardmwaipaja9469
    @oswardmwaipaja9469 5 лет назад +3

    Asante sana kamanda Muroto kwa kazi unayoifanya pamoja na vijana wako,Mungu awarinde

  • @emmymwasyeba3647
    @emmymwasyeba3647 5 лет назад +97

    Kma na wewe ,, mzee wa chabo kwenye comment za watu, Weka like hapa

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 5 лет назад +141

    Hhahah ghafla bin vuu umemuona demu wako kwenye hyo list ya hao makahaba

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 5 лет назад +7

      Hahahahaha umenichekesha aisee hapo lazma utatamani uizoom video

    • @yohanamollel2335
      @yohanamollel2335 5 лет назад +5

      Saimation Mabula# unaweza uka review mara mia ukazooom ukamatch na picha za kwenye simu yako picha zake ukampigia simu ukitaka kudhibitisha alllohhhh unaweza ukachanganyikiwa

    • @kamalmohammed3206
      @kamalmohammed3206 5 лет назад +2

      Hahaaa kummke wallahy

    • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326
      @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326 5 лет назад +1

      Saimation Mabula# 😅😅😅😅😅😅😅

    • @sophiejuniedy1277
      @sophiejuniedy1277 5 лет назад +1

      Saimation Mabula# 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mudimadebe8267
    @mudimadebe8267 5 лет назад +101

    Muroto anavo kuhoji kama vile atakwambia haya Nenda nyumbani kapunzike, kumbe ndo safari ya jela imeiva.

    • @ALIALI-uy5ob
      @ALIALI-uy5ob 5 лет назад

      mhaa&hahahahahaaahahaaaaaa

    • @ibrahimkisesa8340
      @ibrahimkisesa8340 5 лет назад

      Haaaaaaaa haaaaaaaa

    • @tadeymdota8480
      @tadeymdota8480 5 лет назад +2

      Huyu atakuja kupewa u IGP.

    • @rehemaahamadiahmadi566
      @rehemaahamadiahmadi566 5 лет назад

      Mudi madebe😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

    • @ibrahimaziz7158
      @ibrahimaziz7158 5 лет назад +2

      Hhhhhhhhh aiseee yani kweli kabisa unahic km mwisho wa mahojiano atakwambia nimekusamehe usirudie tena eeeeeeenh

  • @froliangrevigian9213
    @froliangrevigian9213 5 лет назад +20

    ,,,,,,Ahaaaa 😂😂😂 Daaaah Cheza na Operesheni #Hekaheka Kitaani ukione Cha mtema kuni #Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mpya....

  • @georgemafayo2797
    @georgemafayo2797 5 лет назад +53

    😂😂😂😂 punguza mdomo we Dada unakwenda mahakamani sasa hivi😂😂😂😂😂 ulitaka tukukamate saa ngapi😂😂😂😂 Afande Mroto .....hiyo ni #hekaheka yani unakimbia huku na kule😂😂😂😂😂🤗🤗

  • @shaimamabrouk9937
    @shaimamabrouk9937 5 лет назад +40

    Nampenda MUROTO.ananifuraishaga sana.huyu kamanda.Noma sana ukiingia kwenye18zake lazima uisome number

    • @ugaboy4736
      @ugaboy4736 5 лет назад

      Kamanda huyo maraya anaekujibu unge mkata kofi hsna adabu

    • @gaspafredi7437
      @gaspafredi7437 5 лет назад

      Safi San'a kamanda chapa kazi ivo ndivo inavo takiwa kazi njema

  • @josephsanga474
    @josephsanga474 5 лет назад +66

    Kama umemwonaa dem mzur coment like twende sawaa

  • @allenalex.8779
    @allenalex.8779 5 лет назад

    Good Job officer thank you

  • @allenalex.8779
    @allenalex.8779 5 лет назад

    Good officer nice talk tank you

  • @MUKHUSINI
    @MUKHUSINI 5 лет назад +16

    Big up sana Kamanda wa dodoma

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +40

    Jaman nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂punguza mdomo dada utaenda mahakaman 😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 5 лет назад +2

    Well done kamanda ukweli mnachapa kazi mnastahili pongezi.

  • @marcomasanja9763
    @marcomasanja9763 2 года назад

    Nawashukuru jeshi la polisi kwa kazi nzuri tuko pamoja

  • @elinaikeandrew1377
    @elinaikeandrew1377 5 лет назад +37

    Malaya fyeka
    Wapenda vya Bure fyeka
    Mashoga fyekelea mbali😂😂

  • @givensrhoden5647
    @givensrhoden5647 5 лет назад +18

    😂😂😂punguza mdomo utakwenda mahakamani sasa hivi 😂😂😂😂😂

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 4 года назад

    Hongera afande,kazi nzuri saana,wapeni shamba na majembe walime zabibu miaka (3)

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 5 лет назад

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 polen madada tafuteni kazi mungu yupo pamoja nayii

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +21

    Fyekeleeni mbali kamanda, watatuharibia watoto wetu, Safi sana, Njooni msugue hamamu Oman, wengine soon tutamiliki vibanda vyetu kwa kazi halal kabisa na Allah ataibariki kwa sababu tunatafuta kialali kabisa.

    • @aishaqasim2679
      @aishaqasim2679 5 лет назад

      kabisa saumu hassan hao ni wavivu wa fikra

    • @smaihsmaih2815
      @smaihsmaih2815 5 лет назад

      wasugue hamam wacha wee hiyo ni busara

    • @afiaaaa755
      @afiaaaa755 5 лет назад

      😀😀

    • @denickomba5058
      @denickomba5058 5 лет назад

      Fyekelea mbali hao mkuu!Watapata tabu sanaa

    • @mohameddamka922
      @mohameddamka922 5 лет назад

      Kusugua hamamu ndo kufanya nini naomba unielekeze dada

  • @ashadimpls495
    @ashadimpls495 5 лет назад +4

    Poleni kina dadapoa

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 2 года назад +2

    KAMANDA.. NIMEPENDA SANA ULIVOWAHOJI MHESHIMIWA KAMANDA.😀Jamaa wamejibu kwa kukiri 100%. Yani umemrahisishia Hakimu. Safi sana Kamanda wetu tunakupenda!!!

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 5 лет назад +1

    Safi sana. Allah awafanyie polisi wetu kwenye operesheni hii

  • @salehalisaleh7685
    @salehalisaleh7685 5 лет назад +4

    Nimecheka sana ila ni wkt wa kubalika maana maradhi ni mengi lkn pia Allah hakuhalalisha hii kitu kifanyike

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +7

    Mwili mkubwa mzuri 😂😆😆😜😜 wewe mbona hutumii, Kamanda Mroto harembi, mtanyooka safari hii.

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc 5 лет назад +1

    Wish this could also happen in Kenya

  • @cleopatraefatha3859
    @cleopatraefatha3859 5 лет назад +6

    Yaani we Kamanda nakupenda bure huyu ndio mwenye kujua asaidie vipi wananchi wake juu ya uhalifu

    • @hajivuai3454
      @hajivuai3454 5 лет назад

      Hio ndo kazi askari polisi na sio kupika raia waso na hatia

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe8280 5 лет назад +5

    Lakini faida Yao ni kwamba wamepunguza ubakaji kwa kiasi Kikubwa na madomo zenge hamtowatendea haki kabisa

  • @utaani1
    @utaani1 5 лет назад

    Nawapongeza polisi kwa kazi nzuri muloifanya

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 5 лет назад

    Afadhaliiii maaana iliylkuwa shida tupu ukipita saa moja2 jioni unayakuta kibao yamejipanga kujidhalilisha2 afadhali jamani Dodoma yetu iwe safiii jmn hongera kwa jeshi la polisi la Dodoma kwa kazi nzuri

  • @datiusdidace2173
    @datiusdidace2173 5 лет назад +7

    😁😁😁😁😁😁😁😁
    Nimechka sana nimemuona #JIRANi yangu Aisee...Operation Saka #DadaPoa

  • @merrymjema9022
    @merrymjema9022 5 лет назад +3

    Kama umeskia angalia kule gonga like tuende sawa

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 5 лет назад +1

    MUROTO Mungu anakuona, , atakukaribisha kwake, , mana hufanyi kwa kiki kama baadhi ya wengine. RECEİVE JESUS CHRİST

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara3502 5 лет назад

    piga kazi kamanda muroto nakukubari sana kwa kazi yako mkuu MUNGU akulinde

  • @felixgwalala8574
    @felixgwalala8574 5 лет назад +3

    Dah!!! Jamaa anarudi kupika jera tena!!!

  • @omanioman8952
    @omanioman8952 5 лет назад +13

    Wengine sio machangudoa wamewachanganya tu
    Kutaka sifa

    • @emanuelmlowe6854
      @emanuelmlowe6854 5 лет назад +2

      Omani Oman kamwambie mamako anataka sifa

    • @omanioman8952
      @omanioman8952 5 лет назад

      @@emanuelmlowe6854 ASTAGHAFILULAHI
      ASTAGHAFILULAHI
      ASTAGHAFILULAHI
      KWA MAMA YANGU KUMETOKEA WAPI
      SI UNIJIBU MM NILIOCOMENT
      SAWA ASANTE 🙏🙏🙏

    • @khannasiba8942
      @khannasiba8942 5 лет назад

      Kama yupi aliechanganywa? Acha serikal ifanye kazi yake

    • @lugendondayanse4910
      @lugendondayanse4910 5 лет назад

      Kwani unawajua wote hapo?

    • @suzanfelix8857
      @suzanfelix8857 4 года назад

      @@lugendondayanse4910 hahahaaaaaahaaa umenifurahisha aiseee

  • @ishamaliq5575
    @ishamaliq5575 5 лет назад +1

    Safi Sana afande MUROTO tunakukubali Sana baba £ndelea kuisafisha Dodoma....

  • @zikomlowe9850
    @zikomlowe9850 5 лет назад

    hongeren sana jesh lapolice kwakaz nzur hao ndiyo wanatuletea maradh mtaan

  • @carbon1435
    @carbon1435 5 лет назад +6

    Huyu afande huwa ananikosha na style zake

    • @daudyernesty2512
      @daudyernesty2512 3 года назад

      ukixikiya polis anae penda kiki ndio uyu Tanzania

    • @daudyernesty2512
      @daudyernesty2512 3 года назад

      halafu katiba ya jamuuli ya muugano wa Tanzania haitakiwi ivyo ww muluto punguza xifa ww

  • @georgepeter5481
    @georgepeter5481 5 лет назад +12

    itakua vizuri kufanya ivyoo maana wanachofanya hao dada zetu sio poa

  • @gideonmbata83
    @gideonmbata83 5 лет назад

    ahsante kamanda Mroto Mungu akutangulie

  • @hamzachande8198
    @hamzachande8198 3 года назад

    Sawa baba ubarikiwe sana tena sana Mzee wangu

  • @ericksangajr7173
    @ericksangajr7173 5 лет назад +4

    Daaah malaya wa dodoma wapo vizuri wanaonekana hawajatumika sana

  • @aggraypeter.5008
    @aggraypeter.5008 5 лет назад +5

    Hizo KAMATA KAMATA Utakuja Kukutamo Na Wake Zenu Halafu Hapo Ushahid Unakuwa Nn Wale Wanaojiuza

  • @abdallahrunwa1886
    @abdallahrunwa1886 5 лет назад

    Hongera kamanda watu mnatakiwa kufanya kazi mda was unjanja umepitwa na wakati hili ni jeshi la mzee JPM halitaki mchezo mtakoma...!

  • @adamkiba8082
    @adamkiba8082 5 лет назад

    Very nice strong leader

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +15

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani huyu polisi ananiua mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti mwili mkubwa

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +28

    Afande msingewaleta kwenye public kabla hawajathibitika kweli ni makahaba, tusiwadhalilishe dada zetu hivyo, wanaume wako wapi? Kwani hao wadada hawakuwa na wanaume?

    • @ashaahmed819
      @ashaahmed819 5 лет назад +2

      makoiga mg kweli kabisa wasisahau kua hao ndomama zetu kuwaleta hapo pia niudhalilishaji tosha sio poa

    • @iskiji5584
      @iskiji5584 5 лет назад +2

      Huu ni udhalilishaji mkubwa sana. Sasa mtu akikutwa hana hatia mbele ya mahakama watamlipa fidia kwa sababu wamemuaibisha

    • @yunusdilunga4049
      @yunusdilunga4049 5 лет назад +1

      Msijifanye ninyi ndo mnajua sana haki za kibinaadam.
      Kuna mtu asiyejua madhara ya Makahaba hapa? au na ninyi ni kazi zenu? Pumbavu wakamatwe na hata kama kuna adhabu ya kuwaua wauliwe tu.

    • @pielefrank7208
      @pielefrank7208 5 лет назад

      makoiga mg uyu jamaa anatafuta u IGP kwa nguvu sana. Uyu anatakiwa mtu akifika mahakamn ashinde alaf amrudie kwa kes ya udhalilishaj

    • @elishaaugustino7899
      @elishaaugustino7899 5 лет назад

      Nawewe mteja nn

  • @gracesiyon7976
    @gracesiyon7976 5 лет назад +1

    Nakuunga mkona miguu na kichwa kila kitu,viva mroto viva

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 5 лет назад

    Vizuri sana asie fanya kazi asile napia mkawapime atakae patikana na ugonja azidishiwe kichapo

  • @allylibaku5233
    @allylibaku5233 5 лет назад +3

    Sukuma ndaniiii

    • @estermayaya9320
      @estermayaya9320 5 лет назад

      Wachen wasomeshe watoto wao mmeshidwa kurida majabaz vibaka mnashika madada pow askar unachutwabia rais warusu madada pow wafanye kazi yao

  • @hassanmirambo5671
    @hassanmirambo5671 5 лет назад +4

    Jamani hizo sukari mnazipeleka wapi jamani ukikubaliana nae anafanya na kukuuliza unataka styre gani KHAAAA,Ndio maans MH JPM katuambia tuongeze wake maana hapo kuna visu vingine vimesimama hasa

  • @elisanteshedrack2018
    @elisanteshedrack2018 5 лет назад +13

    Muuza bangi imebd ajichekeshe tu.......hd kamchoma anko wake
    😂😂😂😂😂😂
    Mwili mkubwa mzuri lkn muhalifu wa madawa ya kulevya kuharibu afya za wenzako

    • @hongeramgaya714
      @hongeramgaya714 5 лет назад

      Huyu kamanda kiboko huwa anichekesha sana.anyway good job tho

    • @allykazoa7065
      @allykazoa7065 4 года назад

      Elisante Shedrack Nimecheka Mqaka Basi.Mjomba Ake Ndo Anamletea😁😁😁

  • @edsonmwambokela2865
    @edsonmwambokela2865 5 лет назад +21

    Kwa hilo nawapongeza sana jeshi is polis

    • @raymondmhimbano4459
      @raymondmhimbano4459 5 лет назад

      Edson Mwambokela kwani tanzania kuna Shelia ya kukamata wanao jiuza je na wanunuaji wakuapi

    • @molenikamunya5799
      @molenikamunya5799 5 лет назад

      Hapa kazi tu,ni wajasiriamali Kama wengine,hakuna changudoa hapa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 5 лет назад

    kazi nzuri sana kamanda...

  • @hamisijuma464
    @hamisijuma464 2 года назад

    Kamanda kazi nzuri

  • @mokhimji
    @mokhimji 5 лет назад +8

    Hao akina dada ndio wanapunguza frustration huko Dodoma. Bila wao watu wangerushana mingumi kila siku bungeni hahaha

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 5 лет назад +3

    Nilimiss kinoma

  • @lilakhhassan6896
    @lilakhhassan6896 5 лет назад

    Safii sana mzee safi sana sasa mfindishe kazi na huyu wa dar huku kwa sokota wako kama nyuki

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Год назад

      Yaaani apaaaaa husipite na boyfriend wako ni wanakutukana matusi atari aixeee uwa nawaona aixeee

  • @user-il1bv6vs9q
    @user-il1bv6vs9q 5 лет назад

    straight to kenya now to fire that business

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 5 лет назад +22

    hahaahahahahaha uyo mtu wa mwisho kiboko kaona bora hamchome mjomba wake kuliko akanyee debe peke yake

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 5 лет назад +63

    Chakula cha wa bunge hichoooooo

  • @paulojoseph2176
    @paulojoseph2176 5 лет назад

    Very nice

  • @udaudaa4051
    @udaudaa4051 5 лет назад

    Napenda movies zko camanda ata sikumbuki hii sehem yangapi😍😃

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 5 лет назад +10

    Mtu papa lake mwenywe, wangewacha tu wanasaidia sana ata ubakaj umepungua sababu ya hao viumbe

  • @devetgoodness2697
    @devetgoodness2697 5 лет назад +25

    First to comment gonga like kam unakubli ayo TV

  • @goodnessexcellence707
    @goodnessexcellence707 5 лет назад

    Very good

  • @petrojacob3509
    @petrojacob3509 5 лет назад +2

    Mroto njoo Geita,wizi wa pikipiki umezidi sana huku

  • @gentlethegentle9607
    @gentlethegentle9607 5 лет назад +5

    Kwanini unaumiza afya za wenzio afu wewe hauvuti😂😂😂

  • @mengibarbel5679
    @mengibarbel5679 5 лет назад +3

    Hawana kazi ya kufanya hao wanatumia vitega uchumi vyao

  • @burudaninamatukio5389
    @burudaninamatukio5389 2 года назад

    Kati ya makamanda ninaowakubali Tanzania you are best namba one!

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 5 лет назад

    Mzee hongera sana wanyooosheee

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 лет назад +5

    Hivi niulize mwili nao ni wa serikali, hauruhusiwi kujiuza

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 5 лет назад +13

    Jamani wadada wazuri tena mnanguvu kbs , kwanini muuze miili yenu? Ndoo kazi rais iyo yakujidharirisha polen na mkomeshwe tu.

    • @wakwetukabisa3150
      @wakwetukabisa3150 5 лет назад +1

      Muroto namkubali sana

    • @davidonesmo7024
      @davidonesmo7024 5 лет назад +1

      Kamata tu haina namna

    • @hanifajumla1492
      @hanifajumla1492 5 лет назад

      Waacheni wajiuze selekari wasiwahukumu wadada ao kwani Hakuna namna maana ukifungua biashara hatayakusuka tu unaambiwa ulipie mapato lakitatu unusu kwamwaka sasa tufanyaje wadada nibora kazi iyo yakudanga watuache tutafute kwajasho maana kama nipato walipe wafanyabiashara wakubwa sasa tunabanwa hatasisi vidagaa

    • @AliM-di8dz
      @AliM-di8dz 5 лет назад

      @@hanifajumla1492 mmmh maisha sasa magum kwa mtindo huu watu wataishije?? Serikali ilahisishe wafanya biashara wadogo2

  • @diwanilemomo4182
    @diwanilemomo4182 5 лет назад

    Safi sana hii opereshen ianza kufanyika mikoa yote wanao lewa wakati wa kazi nao wakamatwe wakashulikiwe vya kutosha

  • @enosh22wanyeche45
    @enosh22wanyeche45 5 лет назад

    Kaz zuri sana mkuu, ila waheshimiwa watapata tabu sana vyakula vyao vinaenda jela,

  • @veronicagerald2493
    @veronicagerald2493 5 лет назад +4

    Hao madada poa wenyewe😂😂wanaonekana wana hali mbaya. Hivi nani anawanunua🤣🤣🤣

  • @exaverymchilo5721
    @exaverymchilo5721 5 лет назад +12

    Jeshi la polisi kumbukeni kutenda haki kamata wote hao wamezoe wanatuua mjini hapa

  • @lucyzakaria1800
    @lucyzakaria1800 5 лет назад

    Peleka ndan hao wasiopenda kufanya kazi wamezoea dezo kwanza wanatuzaririsha wanawake peleka ndan hao wakarime mbogamboga na matunda gerezan

  • @kbdk3065
    @kbdk3065 5 лет назад

    Uyu Kamanda Muroto namkubali sana japo siko mtanzania ila namkubali kinoma.
    From Congo

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 лет назад +5

    Me ananikosha hapo anapouliza na kushika mtu bega

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 5 лет назад +4

    Ghafula bin gafula unamuona Mke wako au mumeo hahaha huyo mkurya hafaiiiiii

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 5 лет назад

    Asante baba safisha wataenda Dar-es -alaam wanaruhusiwa kule kujiuza it’s sad

  • @johnnkaicha5759
    @johnnkaicha5759 5 лет назад +1

    Damu ya Yesu kristo iwaponye wote amen

  • @geofreyndibalema6882
    @geofreyndibalema6882 5 лет назад +3

    Mimi binafsi naona bora muache maana wana tuseidia sisi ambao atujui kutongoza yaana (domo zege)plz naomba

  • @Micpiu
    @Micpiu 5 лет назад +4

    Hahahaha 😂kwanini unauza bhangi na wewe hutumii!??

  • @tuliajuma7101
    @tuliajuma7101 3 года назад

    Safi Sana wafanyie kazi

  • @anethlule4732
    @anethlule4732 5 лет назад

    Big up sana

  • @noelammari7850
    @noelammari7850 5 лет назад +3

    Kaz kwelkwel wauze nyanya

  • @annachesco1288
    @annachesco1288 5 лет назад +3

    malaya wakubwa nyie ndo mwatuibia waume zetu... looooooooooh msiye na haya wala mcyeona vibaya..... looooooooooooo.... mroto fyekeleaaaaaaaa mbali hao

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 5 лет назад +1

    Nakukubali Sana Kamanda, Watapata Tabu Sana.

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +8

    kama demu wako umemuona 😀😀😀 aibu

  • @lewiswanyama2596
    @lewiswanyama2596 5 лет назад +6

    Mara paa unamuona bi mkubwa wako duuuh cyo poa
    666™

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад

    Safi tukemee dhinaa Allah atatunusuru na maradhi. YARABI MJALIE KAMANDA WETU.

  • @saidbakongo4662
    @saidbakongo4662 5 лет назад +1

    Huyu kamanda angefanya kazi na Makonda ingekuwa safi sana,

  • @Respicius
    @Respicius 5 лет назад +3

    Mhhh hivi hiyo nikweli au anatafuta kiki tu huyo kamanda

    • @dogohemed9629
      @dogohemed9629 5 лет назад

      Respicius Revelian Chief kama kawaida yenu wazee wa kupings

    • @davidandrew9575
      @davidandrew9575 5 лет назад +1

      Ina maana huelewi au hujui kama watu wanajiuza au ndo upinzani hii sio siasa

    • @raymondmhimbano4459
      @raymondmhimbano4459 5 лет назад +1

      mbona haonenkani wanunuaji msipende kuhukum bila ushahidi maaan hata maandiko yana sema ukimkuta mtu anazini apigwe hadi kufa lakini kuna kipengere kinacho sema uwakute wakifanya dendo tena kwa ushahidi swali je muliwakuta je mtu akisema akikua na mpenzi wake utasemaje

    • @davidandrew9575
      @davidandrew9575 5 лет назад

      @@raymondmhimbano4459 usitumie maandiko vibaya.

    • @davidandrew9575
      @davidandrew9575 5 лет назад

      @@raymondmhimbano4459 we unaweza kwenda kusimama na mpenz wako sehemu wanapojiuza dada poa. Haya mambo yapo we jaribu kupita hayo maeneo yao utachoka yaani kuna wamama huwez amin kama wanajiuza mm nafanya kazi masaki njoo mitaa ya maisha club ya zamani hapa dar uone yanayofanyika au leaders. Hata neno linasema ole wake ataebadilisha neno la Mungu au kulitumia kwa faida yake

  • @elibarakambwambo5198
    @elibarakambwambo5198 5 лет назад

    Jembe la Dodoma Muroto nakukubali sana.

  • @christinamatrida6219
    @christinamatrida6219 5 лет назад

    Muokoke bhas YESU atawapa kazi kuliko kuteseka na vifungo vya kipepo jaman

  • @pambanomwadia4946
    @pambanomwadia4946 5 лет назад +17

    kamanda wafikirie hao madada poa wanasaidia kiasi flani ubakaji umepungua ukiwa na kiu wanapatikana fasta