MWANAJESHI FEKI KANASA KWA KAMANDA MUROTO, ATAPATA CHA MTEMAKUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 175

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 5 лет назад +32

    ana moyo sana na kazi za usalama mpeni ajira ya jeshi kisha mpelekeni sudan akasaidie kulinda amani

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 5 лет назад +22

    mm naamin hao wanatokan na jeshi mlilo nalo kutokana na ajira hamuwap kwa wakt

    • @japharykassim6371
      @japharykassim6371 5 лет назад +1

      Umeambiwa alikua jkt akafukuzwa kutokana na utovu wa nidham

    • @mgangaevarist9760
      @mgangaevarist9760 5 лет назад +1

      Kwan jeshi. Ndo linatoa ajira? Laum serikali yako ya ccm

  • @brayotv03
    @brayotv03 5 лет назад +21

    "Usifanye kazi ambazo hazikuhusu brother,tumeelewana?"😁

    • @paulbruno5349
      @paulbruno5349 5 лет назад

      Bright TV kweli kabisa huyuu jamaa asifanyee kazi ambayo haimuusu

    • @karimmnyachi8206
      @karimmnyachi8206 3 года назад

      @@paulbruno5349 Bit

  • @athumanomary1171
    @athumanomary1171 5 лет назад

    Asante san jeshi letu ra polisi kwa kazi nzuri mwenyez MUNGU awazidishie nguvu

  • @stevenlugo8195
    @stevenlugo8195 5 лет назад +14

    Hayo yote Yanajili Baada ya Kukusanya watu na kuwapeleka Jkt Wakizani njia rahisi ya kupata ajira na hatimae kukatisha Malengo yao na kurudi mtaani kwa gazabu na kuanza maisha mapya..Msimuhukumu Mtu ikiwa Chanzo ni nyinyi jeshi la polisi kwa kuwapa mafunzo ya uwaskari vijana na kuwaacha Kwenye mataa..hata km amefanya kosa lakini nyinyi Ndio milio mpa ujasiri...

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад +1

      JKT IPO CHINI YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA NA SIO POLISI WE BOYA! Halafu kwa ye yo te aliyejiunga na JKT amefundishwa wajibu wake wa kiulinzi na uzalendo kwa taifa. Hawezi fanya hivyo. Isitoshe. Aliyejiunga na JKT anayo nafasi ya kujiunga na JWTZ baadae.. hata kama hakupata nafasi ya kujiunga moja kwa moja. Na pia, baadhi ya kambi za JKT zinafundisha masomo ya sekondari na stadi za aina mbalimbali kama vile kilimo, ujenzi, useremala , umeme, mchundo, ufundi wa magari na mengineyo.. kwa hiyo aliyeenda JKT kama anayo nia ya kujiendelea nafasi za aina hiyo ziko nyingi.. We ni boya.. hujui kitu. Uliza uelimishwe!

    • @stevenlugo8195
      @stevenlugo8195 5 лет назад

      Boya ni baba yako na mama Yako walio kuzaa...nahisi hujielewi na hujui na unacho kiongea...kwani jkt wanaenda wanajeshi tu?Alafu pia nahisi una ishara za ushoga baridi..coz unamtukana Mtu usie mjuwa na unatukana sehemu Ambayo haistahili kutukana jeheshimu kuma Wewe...Jiheshimu sio ukurupuke tu pasipo na sababu za msingi...elimisha Watu but sio kutukana Watu bila Sababu...@Joseph Gomalo

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад

      @@stevenlugo8195 Yamekufika. JKT muelekeo wake ni jeshi la wananchi. Polisi wana chuo cha CCP Moshi.. we boya! Huyo boya mwenzio kavunja sheria kwa uboya wake kama ulivyo wewe! Sio sababu ya JKT! Ambayo hakumaliza kwa kufukuzwa.. lakini bado unailaumu JKT.. We boya wa kutupwa! Lmao! Ukiambiwa ukweli unawaza kuwa shoga? Una tofauti gani na huyo unayemsifia..? Uliza uelimishwe we BOYA ! Halafu boya hajizai. Inaanzia kwa maboya waanzilishi (babako na mamako) .. na boya huwaza ushoga anapoambiwa ukweli..! Jiangalie ama sivyo nitamwambia DUDUBAYA..! BOYA WE.. kwendraaah!

    • @stevenlugo8195
      @stevenlugo8195 5 лет назад

      Kamuelimishe mama Yako na baba Yako fala Wewe mimi nahisi Wewe sio riziki kuma Wewe....Wewe mwenyewe Huna Mbele wala nyuma jielimishe Wewe kwanza Ndio uje kwangu mimi nahisi konk anakuhusu Wewe Joseph Gomalo jina lenyewe baya km ubongo wako usio jitambua

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад

      @@stevenlugo8195 Boya wee.. kwendraaah.. na ukome kuropoka. Uliza uelimishwe we boya! Ciao.

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 5 лет назад +11

    tatizo ilo la serikali kuwapeleka watu unateseka jkt mwaka unaludishwa nyumbani kazi gn atafanya kama sio ujambazi bunduki mmemfundisha kushika lazima aingie mtani

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 лет назад

      Mdogo wa darasa sio mwaka voo ni miaka

    • @masakaupdate1488
      @masakaupdate1488 5 лет назад

      Abdulkareem Seif nimiaka ee bro sasa umeonaa miaka mtu anasota JKT afu mnakuja mfukuza ukosefu wa nizam wanategemea kitugani atafanya mbinu zote amefunzwa zakutumia bunduki daa serikali bna tuwachee wenyewe

    • @zuuothman9170
      @zuuothman9170 5 лет назад

      Kweli maneno yko

  • @AmosiSulley
    @AmosiSulley 11 месяцев назад

    Hongera kamandaa kazi nzuri umefany

  • @mommary2424
    @mommary2424 5 лет назад +7

    Hicho ni moja kati ya kishindo kile cha awamu ya 5,wengine tumerudishiwa wtt wamekaa JKT kambini miaka 3,uzoefu wote wanao,ajira hakuna mnadhani tutawapeleka wapi?mtawakama Sana na gereza litajaa hadi limwagike 😏

    • @happykimaya2762
      @happykimaya2762 5 лет назад

      Kwa hiyo unaona vyema kutapeli? Mwambie naye akatapeli atakumbana na mkono wa sheria!

    • @rewaatesh4877
      @rewaatesh4877 5 лет назад

      JKT ni Uadilifu, Umoja na Mshikamano, kujitolea, Uzalendo, Nidhamu na Kupenda kazi. Huyo ni mhalifu kama wengine na JKT sio sababu ya uhalifu. Wangapi wamepita JKT na wamekuwa wafugaji wa mifugo -mbuzi na kondoo kwa wingi? pia wana mabwawa ya samaki?

    • @mommary2424
      @mommary2424 5 лет назад

      @@happykimaya2762acha siasa ww,Kama huna* za kusoma sms kausha,unadhani huyo aliwnza kutapeli leo?hadi amekamatwa na sare unadhani hakuna wahusika wengine yuko peke yake?unadhani ni mtandao mdg huo?don reply sms if u don understand well 🙄

    • @mommary2424
      @mommary2424 5 лет назад +1

      @@rewaatesh4877 sa unadhani wtt wote ni sawa?wengine wakirudi mitaani wanakua wahalifu kuliko huyo aliyekamatwa.kwanza ieleweke mtu wa kawaida hawezi kuitumia silaha na hawezi kuwa na ujasiri wa namna hiyo hadi kuvaa sare za jeshi na kutumia nafasi kwa ujasiri as if yuko kazini kihalali,hiyo ni cheni jamani huyo jamaa na wengi nyuma yake msifanye masihara kwa hilo

  • @khamisame4732
    @khamisame4732 5 лет назад +1

    Honger kamanda ruto kwa kaz mzuri

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 5 лет назад +4

    Mtu anamaliza mafunzo ya Jkt akitegemea kwamba atapata ajila lkn matokeo yake mnawarudisha nyumbani bila hata kuangalia kuwa amehangaika na kila aina ya changamoto yakiwemo maumivu makali kwaajili ya mazoezi magumu aliyokuwa akiyapata huko, sasa wameona bora wawe wanajiajili wao wenyew. ....

    • @salestinengina294
      @salestinengina294 5 лет назад

      True said

    • @luperbukuku2659
      @luperbukuku2659 5 лет назад

      Kwa taratibu Za jkt sio ajira kuna mkataba unasain mwenyew

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад

      Alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu. Kwa kijana hodari JKT kwa utendaji kazi na mbinu za medani anayo nafasi kubwa ya kubakizwa jeshini. MImi mwenyewe niliambiwa na sergent wangu nibaki jeshini lakini nilipendelea kuendelea na masomo ya chuo..! Utovu wa nidhamu umemfanya awe mhalifu. Wacheni kuchanganya mambo. Maumivu ya mazoezi humfanya kijana kuwa jasiri wa kutoogopa kufanya kazi za kujipatia kipato. Kama hujaenda jeshini ulizwa ufahamishwe. isitoshe kuna nafasi nyingi za kujifunza kwa vitendo na kwa mwenye nia.. maafande wangweza hata kumpa recommenations za kujiunga na vyuo vya stadi baada ya mafunzo yake..! Acheni hizo. JKT ni mahala patamu sana na penye nafasi mbalimbali. huyo ni mhalifu. Na mpaka ufukuzwe JKT ni kwamba huyo ni jinga-sugu. Kijana aliyefuzu JKT ni jasiri akirudi uraiani kwani haogopi kazi.. Huyo hana nidhamu. kama alifukuzwa JKT basi hata maisha.. yamemfukuza! kama hujaenda jeshini uliza uelimishwe!

    • @lazarojr8923
      @lazarojr8923 5 лет назад

      Kwani nani kakwambia ukienda jkt utapata ajira?! Watu wengine bwana

    • @mariammichael9773
      @mariammichael9773 5 лет назад

      Lazaro Joseph Linda wew nae ndo wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na inaonyesha wazi wew nikiongozi mmojawapo ambao huwa mnawafanyia hivyo. . mtu mzima ovyooooo. .

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад

    Subhannallah, mnakwama wapi vijana wa leo, Hatareee sana.

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 5 лет назад

      @@askofwadar9127 uwa nakosekana mbona, Sema tu nikiwa karibu na WI-FI ndio ugonjwa wangu kufutilia mambo ya home.

  • @georgealoyce7280
    @georgealoyce7280 5 лет назад +2

    Kazi nzuri

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад

    Kazi nzuri,kamata na wezi was vifaa vya magari Nyerere square

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +2

    Kaz nzr wakomeshwe iyo tabia imezidi wakamatwe weka ndani itakua funzo kwa wengine...

  • @mundhirhemed6495
    @mundhirhemed6495 3 года назад

    Me nashauri atakaepita JKT na kuhitimu mafunzo mafunzo yote ni bora aajiriwe tu akikosa jexh Tanapa au police bac Suma JKT sio kukosa kabisa

  • @rwechungurajohn3592
    @rwechungurajohn3592 5 лет назад +3

    Haaaaa huyu kijana mkizubaika atawashinda mbona anacofindence

  • @fatumayahaya3896
    @fatumayahaya3896 3 года назад

    Hongeren sana jeshi polis mkowa wa dodoma Kwa kazin kubwa mnayo ifamyaa

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 5 лет назад

    Murotoooo we mzee unawaotea sanaa jibwa hao

  • @calvinismcharlz6519
    @calvinismcharlz6519 5 лет назад +3

    Dodoma siyo sehemu salama👀

  • @anethbudude72
    @anethbudude72 5 лет назад +3

    Huyo MUSSA gereza kashalizoea hapo kwake kutwa wamejaa mateja

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Maashallah Jeshi LA polisi kazkaz ongereni

  • @gsmligoonlinetv9787
    @gsmligoonlinetv9787 3 года назад

    Polisi bwana mnachekesha kijana huyo kweli hamuwezi kumjua mtamjua mahakamani,,hii ndo tz bana nch inawalinzi wasiojuana

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd819 5 лет назад +2

    Duuh huyo mkaka alie jifanya polisi na doctar sura lake tu balaa

  • @samsonpeleka5275
    @samsonpeleka5275 3 года назад

    Hamna aliye juu ya sheria Asanten jesh la police

  • @kiki-ko8vi
    @kiki-ko8vi 5 лет назад +2

    Huyu mvulana ana vyeo vingi jaman 😅😅😅😅

  • @KasmBange
    @KasmBange Месяц назад

    Mpigen had anye

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 4 месяца назад

    Mpen ajir kijan uyo sio kumfifish kipaj awez kututmikia

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa203 5 лет назад +3

    Hao ndiyo wale tigotigo wanao kamata watu hovyo mtaani na kuwanyanga Mali zao.

  • @nrwawanndeny7394
    @nrwawanndeny7394 3 года назад

    Kijana ni mbunifu sana.tumia ubunifu huo kufanya kazi nyingine utafanikiwa

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 19 дней назад

    mumpe aende depo kazi ya police

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 5 лет назад +14

    Stress hiziii za kukosa kazi, kaona bora aji ajiri mwenyewe😂

  • @mwanawatusalum5766
    @mwanawatusalum5766 2 года назад

    Polic pongez kwenu

  • @k461productionmtwara2
    @k461productionmtwara2 3 года назад

    Afande minamkubali saana awaoneshetu live

  • @USHINDIFARAJA
    @USHINDIFARAJA 5 месяцев назад

    Nabii bushiri

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba3470 5 лет назад +1

    Huyo ni kinyonga anabadilikabadilika

  • @fabianmoses3105
    @fabianmoses3105 5 лет назад +3

    Xawa xawa msombe zao la kilimo primary school mbeya moja ma boy kamua mzee

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 3 года назад

    Ila anatia huruma sema wangempeleka sudan huko au kongo akaendelee na kaz ya ulinzi ,kumbe alishafukuzwa khaaa

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 3 года назад

    Kwani amejifanya polisi au mwanajeshi? Kichwa Cha habari kinasomeka MWANAJESHI FEKI lkn anaonekana ni polisifeki hata maelezo yako hivyo,Bora angeandika jeshi la polisi,

  • @linusleonard7432
    @linusleonard7432 5 лет назад +3

    Ameamua kujiajri sio mbaya

  • @hanujoseph8809
    @hanujoseph8809 5 лет назад

    Safi sana kamanda,chapa kaz kwakwel unafaa

  • @johnpaul6523
    @johnpaul6523 5 лет назад

    Mpeni kazi

  • @dominashirima873
    @dominashirima873 5 лет назад

    Haaaaa,so creative

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 5 лет назад +1

    Mpeni kazi ana kipaji huyo mwamba,na anaipenda Kaz ya jesh😊

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 года назад

    Hivi ujasiri wa kuvaa nguo za police uingie mtaani wanaupata wapi

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 5 лет назад +4

    Boarguard umenenepa du!

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 5 лет назад +2

    Ndugu mtangazaji ni sare sio jezi .
    Jezi ni nguo za michezo .

    • @kacherosimba5762
      @kacherosimba5762 5 лет назад

      Haha haha asee kiswahili wamezaliwa nacho lakini nishida

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 лет назад

      KACHERO SIMBA
      Ni shida .
      Sijui ni walimu au wanafunzi ???

  • @mussakizingiti3552
    @mussakizingiti3552 5 лет назад +2

    sasa mkimuhukumu ndio mnamfundisha au mnatakiwa mumpe ajira mtu mwenyewe mnamuona mkakamavu kweli sasa si mumuajiri tu kabisa??

  • @niwemugenimediatrice5640
    @niwemugenimediatrice5640 3 года назад

    Hawa ndo wanaibaga watoto wachanga!😱

  • @rajabeliud8137
    @rajabeliud8137 5 лет назад

    Siyo Mwana jeshi mue munatambua jwtz na pt

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 5 лет назад +3

    Kijana ana moyo kwel katumia fursa ya jkt

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 3 года назад

    No comment Vive la police tanzanienne.

  • @marymajula5351
    @marymajula5351 3 года назад

    kichwa cha habari ni upumbavu

  • @keitamnyama7955
    @keitamnyama7955 3 года назад

    Tatizo akuna ajila

  • @Being_Hussein
    @Being_Hussein 3 года назад

    Huyu mzee anataka kupewa cheo tu maana kila siku dodoma tu... Anaongana ajitengezee juna hana lolote ataka magufuli ampandiahe cheo tu hana lolote na uso wake uloungua

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 5 лет назад +1

    Mtangazaji ‘ sio jezi ni dare za polisi

  • @johariswau5783
    @johariswau5783 5 лет назад +2

    Hahahaaaa viongiz fek,jesh limeingiliwa na askar fek,watumish wa kiroho feki, tunaish kifek fek hii ndo Tanzania ya mjombaaaaaaà

  • @mahamudmhawi2731
    @mahamudmhawi2731 5 лет назад +1

    Huyu sio mwanajeshi bhaaana badilisha kichwa cha habari pliz

  • @jumaipanda1884
    @jumaipanda1884 3 года назад

    😆😆😆😆😆😆 Mwandishiiii Jezi au Uniform

  • @abdallahabubakar5410
    @abdallahabubakar5410 2 года назад

    Huyo amekwisha

  • @emmyjohn3192
    @emmyjohn3192 5 лет назад +3

    mnawaonea tu hizo jez kazitoa wapi kwan!!!

    • @mrnelly667
      @mrnelly667 3 года назад

      Hpna wala haonewi watu wa hvyo wapo wengi san

  • @jabe-tv
    @jabe-tv 5 лет назад

    Kijana mkakamavu, naona ana afya kweli. nimpambanaji

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 лет назад

    Dah yani kila kazi ina wenyewe km huhusiki na mchezo watakunasa tu

  • @shabanimsangi3899
    @shabanimsangi3899 5 лет назад

    Reporter sio JEZI sio ni SARE za polisi

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE 5 лет назад

    Safi Sana mutoro

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 5 лет назад +1

    hahahahah.....Musa Alfani Pumbu ...majina yetu wabantu bhana .....

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 5 лет назад

    Tanzania bana !

  • @elpinarichard1884
    @elpinarichard1884 5 лет назад +2

    😲😳😳

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 5 лет назад +1

    #Kama unaimani kuwa huyu muroto hii #anayofanya ni mchezo wa kupata #KIKI GONGA LIKEEEEE

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 3 года назад

    Jomn eheee

  • @learnselfdefense765
    @learnselfdefense765 5 лет назад +1

    Watapata tabu sana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад

    Haaa. Kazi ipo

  • @gunjemakulile2808
    @gunjemakulile2808 5 лет назад

    Ahooo waendlee kushikwa tyuu kwanii wanachafua nchii

  • @innocentmakundi2690
    @innocentmakundi2690 5 лет назад +2

    Jes ya jeshi imepatikana wapi Kama police hawahusiki?

  • @naperiantv7297
    @naperiantv7297 5 лет назад

    Ayo ndo madhara ya kuwafunza vijana mafunzo ya uaskari na Kuto waajiri

  • @therealashlove
    @therealashlove 5 лет назад +1

    Wakomeshwe hao watu

  • @mishanyangassa9124
    @mishanyangassa9124 5 лет назад

    Sheria ichukue mkondo wake kwa huyo polisi feki

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 3 года назад

    Sasa nguo ametoa wp

  • @emmyjohn3192
    @emmyjohn3192 5 лет назад +2

    kumbe walikuwa waajil wamefukuzwa hata wewe utafukuzwa mwishowe lazima uwe tapel wewe mzee😏😏😏

  • @Mambathetraveller
    @Mambathetraveller 5 лет назад +1

    4:48 😂😂😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад

    Weee jamani maabara zote na dispensary za ki binafsi zikaguliwe kwasababu huko ndio wata kimbilia wengi.

  • @giterongabajuta1381
    @giterongabajuta1381 5 лет назад

    Mmmmmmmh hali ni mbay

  • @mkwenyachristopher9310
    @mkwenyachristopher9310 5 лет назад

    Ooosh!!Utakiona cha mtemakuni

  • @adelphinusbikonya8534
    @adelphinusbikonya8534 5 лет назад

    skendo za kutengeneza

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад

    Duuuh 🤔🤔🤔

  • @christianshoki2422
    @christianshoki2422 5 лет назад

    Jamann mloto

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 5 лет назад

    Season za kikorea zimemponza hyoo

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 4 месяца назад

    Si haula ana degree na hana kazi

  • @mussajuma38
    @mussajuma38 5 лет назад

    kaiva

  • @magigealbinus3076
    @magigealbinus3076 5 лет назад

    Siku hizi NIDA wanaandikisha wapiga kura

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 5 лет назад

    Apewe ajira huyo soldier copy kakosa namna na analipenda jeshi kaamua kujiajiri !!

  • @alfanmkulile1237
    @alfanmkulile1237 5 лет назад

    Balaa

  • @japhetcrispine5067
    @japhetcrispine5067 5 лет назад

    kazi ipo tz yetu

  • @happymkenda9837
    @happymkenda9837 5 лет назад

    Bora mumajiri

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 лет назад

    Mchukuen atumikie jeshi LA polisi.

  • @salimhussain8382
    @salimhussain8382 5 лет назад

    Hii ni balaa

  • @wisperfect8413
    @wisperfect8413 5 лет назад

    Sawa mroto upo poa

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 5 лет назад

    Kila mtanzaniani ni mjeshi

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 5 лет назад

    Waache tu wafanye cz mtu kasota jkt. Mwisho wasiku analudishwa nyumban...mnazan hapo nn kinafata

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад

      Kafukuzwa kwa kushindikana. hiyo ni dalili ya kuwa mhalifu..

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 5 лет назад

    Nao ni ubunifu hahaaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад

    Jela inamuhusu huyo hakuna namma