Hayo yote Yanajili Baada ya Kukusanya watu na kuwapeleka Jkt Wakizani njia rahisi ya kupata ajira na hatimae kukatisha Malengo yao na kurudi mtaani kwa gazabu na kuanza maisha mapya..Msimuhukumu Mtu ikiwa Chanzo ni nyinyi jeshi la polisi kwa kuwapa mafunzo ya uwaskari vijana na kuwaacha Kwenye mataa..hata km amefanya kosa lakini nyinyi Ndio milio mpa ujasiri...
JKT IPO CHINI YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA NA SIO POLISI WE BOYA! Halafu kwa ye yo te aliyejiunga na JKT amefundishwa wajibu wake wa kiulinzi na uzalendo kwa taifa. Hawezi fanya hivyo. Isitoshe. Aliyejiunga na JKT anayo nafasi ya kujiunga na JWTZ baadae.. hata kama hakupata nafasi ya kujiunga moja kwa moja. Na pia, baadhi ya kambi za JKT zinafundisha masomo ya sekondari na stadi za aina mbalimbali kama vile kilimo, ujenzi, useremala , umeme, mchundo, ufundi wa magari na mengineyo.. kwa hiyo aliyeenda JKT kama anayo nia ya kujiendelea nafasi za aina hiyo ziko nyingi.. We ni boya.. hujui kitu. Uliza uelimishwe!
Boya ni baba yako na mama Yako walio kuzaa...nahisi hujielewi na hujui na unacho kiongea...kwani jkt wanaenda wanajeshi tu?Alafu pia nahisi una ishara za ushoga baridi..coz unamtukana Mtu usie mjuwa na unatukana sehemu Ambayo haistahili kutukana jeheshimu kuma Wewe...Jiheshimu sio ukurupuke tu pasipo na sababu za msingi...elimisha Watu but sio kutukana Watu bila Sababu...@Joseph Gomalo
@@stevenlugo8195 Yamekufika. JKT muelekeo wake ni jeshi la wananchi. Polisi wana chuo cha CCP Moshi.. we boya! Huyo boya mwenzio kavunja sheria kwa uboya wake kama ulivyo wewe! Sio sababu ya JKT! Ambayo hakumaliza kwa kufukuzwa.. lakini bado unailaumu JKT.. We boya wa kutupwa! Lmao! Ukiambiwa ukweli unawaza kuwa shoga? Una tofauti gani na huyo unayemsifia..? Uliza uelimishwe we BOYA ! Halafu boya hajizai. Inaanzia kwa maboya waanzilishi (babako na mamako) .. na boya huwaza ushoga anapoambiwa ukweli..! Jiangalie ama sivyo nitamwambia DUDUBAYA..! BOYA WE.. kwendraaah!
Kamuelimishe mama Yako na baba Yako fala Wewe mimi nahisi Wewe sio riziki kuma Wewe....Wewe mwenyewe Huna Mbele wala nyuma jielimishe Wewe kwanza Ndio uje kwangu mimi nahisi konk anakuhusu Wewe Joseph Gomalo jina lenyewe baya km ubongo wako usio jitambua
tatizo ilo la serikali kuwapeleka watu unateseka jkt mwaka unaludishwa nyumbani kazi gn atafanya kama sio ujambazi bunduki mmemfundisha kushika lazima aingie mtani
Abdulkareem Seif nimiaka ee bro sasa umeonaa miaka mtu anasota JKT afu mnakuja mfukuza ukosefu wa nizam wanategemea kitugani atafanya mbinu zote amefunzwa zakutumia bunduki daa serikali bna tuwachee wenyewe
Hicho ni moja kati ya kishindo kile cha awamu ya 5,wengine tumerudishiwa wtt wamekaa JKT kambini miaka 3,uzoefu wote wanao,ajira hakuna mnadhani tutawapeleka wapi?mtawakama Sana na gereza litajaa hadi limwagike 😏
JKT ni Uadilifu, Umoja na Mshikamano, kujitolea, Uzalendo, Nidhamu na Kupenda kazi. Huyo ni mhalifu kama wengine na JKT sio sababu ya uhalifu. Wangapi wamepita JKT na wamekuwa wafugaji wa mifugo -mbuzi na kondoo kwa wingi? pia wana mabwawa ya samaki?
@@happykimaya2762acha siasa ww,Kama huna* za kusoma sms kausha,unadhani huyo aliwnza kutapeli leo?hadi amekamatwa na sare unadhani hakuna wahusika wengine yuko peke yake?unadhani ni mtandao mdg huo?don reply sms if u don understand well 🙄
@@rewaatesh4877 sa unadhani wtt wote ni sawa?wengine wakirudi mitaani wanakua wahalifu kuliko huyo aliyekamatwa.kwanza ieleweke mtu wa kawaida hawezi kuitumia silaha na hawezi kuwa na ujasiri wa namna hiyo hadi kuvaa sare za jeshi na kutumia nafasi kwa ujasiri as if yuko kazini kihalali,hiyo ni cheni jamani huyo jamaa na wengi nyuma yake msifanye masihara kwa hilo
Mtu anamaliza mafunzo ya Jkt akitegemea kwamba atapata ajila lkn matokeo yake mnawarudisha nyumbani bila hata kuangalia kuwa amehangaika na kila aina ya changamoto yakiwemo maumivu makali kwaajili ya mazoezi magumu aliyokuwa akiyapata huko, sasa wameona bora wawe wanajiajili wao wenyew. ....
Alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu. Kwa kijana hodari JKT kwa utendaji kazi na mbinu za medani anayo nafasi kubwa ya kubakizwa jeshini. MImi mwenyewe niliambiwa na sergent wangu nibaki jeshini lakini nilipendelea kuendelea na masomo ya chuo..! Utovu wa nidhamu umemfanya awe mhalifu. Wacheni kuchanganya mambo. Maumivu ya mazoezi humfanya kijana kuwa jasiri wa kutoogopa kufanya kazi za kujipatia kipato. Kama hujaenda jeshini ulizwa ufahamishwe. isitoshe kuna nafasi nyingi za kujifunza kwa vitendo na kwa mwenye nia.. maafande wangweza hata kumpa recommenations za kujiunga na vyuo vya stadi baada ya mafunzo yake..! Acheni hizo. JKT ni mahala patamu sana na penye nafasi mbalimbali. huyo ni mhalifu. Na mpaka ufukuzwe JKT ni kwamba huyo ni jinga-sugu. Kijana aliyefuzu JKT ni jasiri akirudi uraiani kwani haogopi kazi.. Huyo hana nidhamu. kama alifukuzwa JKT basi hata maisha.. yamemfukuza! kama hujaenda jeshini uliza uelimishwe!
Lazaro Joseph Linda wew nae ndo wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na inaonyesha wazi wew nikiongozi mmojawapo ambao huwa mnawafanyia hivyo. . mtu mzima ovyooooo. .
Kwani amejifanya polisi au mwanajeshi? Kichwa Cha habari kinasomeka MWANAJESHI FEKI lkn anaonekana ni polisifeki hata maelezo yako hivyo,Bora angeandika jeshi la polisi,
Huyu mzee anataka kupewa cheo tu maana kila siku dodoma tu... Anaongana ajitengezee juna hana lolote ataka magufuli ampandiahe cheo tu hana lolote na uso wake uloungua
ana moyo sana na kazi za usalama mpeni ajira ya jeshi kisha mpelekeni sudan akasaidie kulinda amani
🤭🤭😂😂😂😂bora kwenda lupango bongo sudan noma zaidi
CHAKOR
😂😂
mm naamin hao wanatokan na jeshi mlilo nalo kutokana na ajira hamuwap kwa wakt
Umeambiwa alikua jkt akafukuzwa kutokana na utovu wa nidham
Kwan jeshi. Ndo linatoa ajira? Laum serikali yako ya ccm
"Usifanye kazi ambazo hazikuhusu brother,tumeelewana?"😁
Bright TV kweli kabisa huyuu jamaa asifanyee kazi ambayo haimuusu
@@paulbruno5349 Bit
Asante san jeshi letu ra polisi kwa kazi nzuri mwenyez MUNGU awazidishie nguvu
Hayo yote Yanajili Baada ya Kukusanya watu na kuwapeleka Jkt Wakizani njia rahisi ya kupata ajira na hatimae kukatisha Malengo yao na kurudi mtaani kwa gazabu na kuanza maisha mapya..Msimuhukumu Mtu ikiwa Chanzo ni nyinyi jeshi la polisi kwa kuwapa mafunzo ya uwaskari vijana na kuwaacha Kwenye mataa..hata km amefanya kosa lakini nyinyi Ndio milio mpa ujasiri...
JKT IPO CHINI YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA NA SIO POLISI WE BOYA! Halafu kwa ye yo te aliyejiunga na JKT amefundishwa wajibu wake wa kiulinzi na uzalendo kwa taifa. Hawezi fanya hivyo. Isitoshe. Aliyejiunga na JKT anayo nafasi ya kujiunga na JWTZ baadae.. hata kama hakupata nafasi ya kujiunga moja kwa moja. Na pia, baadhi ya kambi za JKT zinafundisha masomo ya sekondari na stadi za aina mbalimbali kama vile kilimo, ujenzi, useremala , umeme, mchundo, ufundi wa magari na mengineyo.. kwa hiyo aliyeenda JKT kama anayo nia ya kujiendelea nafasi za aina hiyo ziko nyingi.. We ni boya.. hujui kitu. Uliza uelimishwe!
Boya ni baba yako na mama Yako walio kuzaa...nahisi hujielewi na hujui na unacho kiongea...kwani jkt wanaenda wanajeshi tu?Alafu pia nahisi una ishara za ushoga baridi..coz unamtukana Mtu usie mjuwa na unatukana sehemu Ambayo haistahili kutukana jeheshimu kuma Wewe...Jiheshimu sio ukurupuke tu pasipo na sababu za msingi...elimisha Watu but sio kutukana Watu bila Sababu...@Joseph Gomalo
@@stevenlugo8195 Yamekufika. JKT muelekeo wake ni jeshi la wananchi. Polisi wana chuo cha CCP Moshi.. we boya! Huyo boya mwenzio kavunja sheria kwa uboya wake kama ulivyo wewe! Sio sababu ya JKT! Ambayo hakumaliza kwa kufukuzwa.. lakini bado unailaumu JKT.. We boya wa kutupwa! Lmao! Ukiambiwa ukweli unawaza kuwa shoga? Una tofauti gani na huyo unayemsifia..? Uliza uelimishwe we BOYA ! Halafu boya hajizai. Inaanzia kwa maboya waanzilishi (babako na mamako) .. na boya huwaza ushoga anapoambiwa ukweli..! Jiangalie ama sivyo nitamwambia DUDUBAYA..! BOYA WE.. kwendraaah!
Kamuelimishe mama Yako na baba Yako fala Wewe mimi nahisi Wewe sio riziki kuma Wewe....Wewe mwenyewe Huna Mbele wala nyuma jielimishe Wewe kwanza Ndio uje kwangu mimi nahisi konk anakuhusu Wewe Joseph Gomalo jina lenyewe baya km ubongo wako usio jitambua
@@stevenlugo8195 Boya wee.. kwendraaah.. na ukome kuropoka. Uliza uelimishwe we boya! Ciao.
tatizo ilo la serikali kuwapeleka watu unateseka jkt mwaka unaludishwa nyumbani kazi gn atafanya kama sio ujambazi bunduki mmemfundisha kushika lazima aingie mtani
Mdogo wa darasa sio mwaka voo ni miaka
Abdulkareem Seif nimiaka ee bro sasa umeonaa miaka mtu anasota JKT afu mnakuja mfukuza ukosefu wa nizam wanategemea kitugani atafanya mbinu zote amefunzwa zakutumia bunduki daa serikali bna tuwachee wenyewe
Kweli maneno yko
Hongera kamandaa kazi nzuri umefany
Hicho ni moja kati ya kishindo kile cha awamu ya 5,wengine tumerudishiwa wtt wamekaa JKT kambini miaka 3,uzoefu wote wanao,ajira hakuna mnadhani tutawapeleka wapi?mtawakama Sana na gereza litajaa hadi limwagike 😏
Kwa hiyo unaona vyema kutapeli? Mwambie naye akatapeli atakumbana na mkono wa sheria!
JKT ni Uadilifu, Umoja na Mshikamano, kujitolea, Uzalendo, Nidhamu na Kupenda kazi. Huyo ni mhalifu kama wengine na JKT sio sababu ya uhalifu. Wangapi wamepita JKT na wamekuwa wafugaji wa mifugo -mbuzi na kondoo kwa wingi? pia wana mabwawa ya samaki?
@@happykimaya2762acha siasa ww,Kama huna* za kusoma sms kausha,unadhani huyo aliwnza kutapeli leo?hadi amekamatwa na sare unadhani hakuna wahusika wengine yuko peke yake?unadhani ni mtandao mdg huo?don reply sms if u don understand well 🙄
@@rewaatesh4877 sa unadhani wtt wote ni sawa?wengine wakirudi mitaani wanakua wahalifu kuliko huyo aliyekamatwa.kwanza ieleweke mtu wa kawaida hawezi kuitumia silaha na hawezi kuwa na ujasiri wa namna hiyo hadi kuvaa sare za jeshi na kutumia nafasi kwa ujasiri as if yuko kazini kihalali,hiyo ni cheni jamani huyo jamaa na wengi nyuma yake msifanye masihara kwa hilo
Honger kamanda ruto kwa kaz mzuri
Mtu anamaliza mafunzo ya Jkt akitegemea kwamba atapata ajila lkn matokeo yake mnawarudisha nyumbani bila hata kuangalia kuwa amehangaika na kila aina ya changamoto yakiwemo maumivu makali kwaajili ya mazoezi magumu aliyokuwa akiyapata huko, sasa wameona bora wawe wanajiajili wao wenyew. ....
True said
Kwa taratibu Za jkt sio ajira kuna mkataba unasain mwenyew
Alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu. Kwa kijana hodari JKT kwa utendaji kazi na mbinu za medani anayo nafasi kubwa ya kubakizwa jeshini. MImi mwenyewe niliambiwa na sergent wangu nibaki jeshini lakini nilipendelea kuendelea na masomo ya chuo..! Utovu wa nidhamu umemfanya awe mhalifu. Wacheni kuchanganya mambo. Maumivu ya mazoezi humfanya kijana kuwa jasiri wa kutoogopa kufanya kazi za kujipatia kipato. Kama hujaenda jeshini ulizwa ufahamishwe. isitoshe kuna nafasi nyingi za kujifunza kwa vitendo na kwa mwenye nia.. maafande wangweza hata kumpa recommenations za kujiunga na vyuo vya stadi baada ya mafunzo yake..! Acheni hizo. JKT ni mahala patamu sana na penye nafasi mbalimbali. huyo ni mhalifu. Na mpaka ufukuzwe JKT ni kwamba huyo ni jinga-sugu. Kijana aliyefuzu JKT ni jasiri akirudi uraiani kwani haogopi kazi.. Huyo hana nidhamu. kama alifukuzwa JKT basi hata maisha.. yamemfukuza! kama hujaenda jeshini uliza uelimishwe!
Kwani nani kakwambia ukienda jkt utapata ajira?! Watu wengine bwana
Lazaro Joseph Linda wew nae ndo wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa na inaonyesha wazi wew nikiongozi mmojawapo ambao huwa mnawafanyia hivyo. . mtu mzima ovyooooo. .
Subhannallah, mnakwama wapi vijana wa leo, Hatareee sana.
@@askofwadar9127 uwa nakosekana mbona, Sema tu nikiwa karibu na WI-FI ndio ugonjwa wangu kufutilia mambo ya home.
Kazi nzuri
Kazi nzuri,kamata na wezi was vifaa vya magari Nyerere square
Kaz nzr wakomeshwe iyo tabia imezidi wakamatwe weka ndani itakua funzo kwa wengine...
Me nashauri atakaepita JKT na kuhitimu mafunzo mafunzo yote ni bora aajiriwe tu akikosa jexh Tanapa au police bac Suma JKT sio kukosa kabisa
Haaaaa huyu kijana mkizubaika atawashinda mbona anacofindence
Hongeren sana jeshi polis mkowa wa dodoma Kwa kazin kubwa mnayo ifamyaa
Murotoooo we mzee unawaotea sanaa jibwa hao
Dodoma siyo sehemu salama👀
Huyo MUSSA gereza kashalizoea hapo kwake kutwa wamejaa mateja
Maashallah Jeshi LA polisi kazkaz ongereni
Polisi bwana mnachekesha kijana huyo kweli hamuwezi kumjua mtamjua mahakamani,,hii ndo tz bana nch inawalinzi wasiojuana
Duuh huyo mkaka alie jifanya polisi na doctar sura lake tu balaa
Hamna aliye juu ya sheria Asanten jesh la police
Huyu mvulana ana vyeo vingi jaman 😅😅😅😅
umempenda
Mpigen had anye
Mpen ajir kijan uyo sio kumfifish kipaj awez kututmikia
Hao ndiyo wale tigotigo wanao kamata watu hovyo mtaani na kuwanyanga Mali zao.
Kijana ni mbunifu sana.tumia ubunifu huo kufanya kazi nyingine utafanikiwa
mumpe aende depo kazi ya police
Stress hiziii za kukosa kazi, kaona bora aji ajiri mwenyewe😂
Hhhhhh
Polic pongez kwenu
Afande minamkubali saana awaoneshetu live
Nabii bushiri
Huyo ni kinyonga anabadilikabadilika
Xawa xawa msombe zao la kilimo primary school mbeya moja ma boy kamua mzee
Ila anatia huruma sema wangempeleka sudan huko au kongo akaendelee na kaz ya ulinzi ,kumbe alishafukuzwa khaaa
Kwani amejifanya polisi au mwanajeshi? Kichwa Cha habari kinasomeka MWANAJESHI FEKI lkn anaonekana ni polisifeki hata maelezo yako hivyo,Bora angeandika jeshi la polisi,
Ameamua kujiajri sio mbaya
Safi sana kamanda,chapa kaz kwakwel unafaa
Mpeni kazi
Haaaaa,so creative
Mpeni kazi ana kipaji huyo mwamba,na anaipenda Kaz ya jesh😊
Hivi ujasiri wa kuvaa nguo za police uingie mtaani wanaupata wapi
Boarguard umenenepa du!
Ndugu mtangazaji ni sare sio jezi .
Jezi ni nguo za michezo .
Haha haha asee kiswahili wamezaliwa nacho lakini nishida
KACHERO SIMBA
Ni shida .
Sijui ni walimu au wanafunzi ???
sasa mkimuhukumu ndio mnamfundisha au mnatakiwa mumpe ajira mtu mwenyewe mnamuona mkakamavu kweli sasa si mumuajiri tu kabisa??
Hawa ndo wanaibaga watoto wachanga!😱
Siyo Mwana jeshi mue munatambua jwtz na pt
Kijana ana moyo kwel katumia fursa ya jkt
No comment Vive la police tanzanienne.
kichwa cha habari ni upumbavu
Tatizo akuna ajila
Huyu mzee anataka kupewa cheo tu maana kila siku dodoma tu... Anaongana ajitengezee juna hana lolote ataka magufuli ampandiahe cheo tu hana lolote na uso wake uloungua
Mtangazaji ‘ sio jezi ni dare za polisi
Siyo dare ni sare
Hahahaaaa viongiz fek,jesh limeingiliwa na askar fek,watumish wa kiroho feki, tunaish kifek fek hii ndo Tanzania ya mjombaaaaaaà
Huyu sio mwanajeshi bhaaana badilisha kichwa cha habari pliz
Mwanajesh n nan? embu tutufanulie
😆😆😆😆😆😆 Mwandishiiii Jezi au Uniform
Huyo amekwisha
mnawaonea tu hizo jez kazitoa wapi kwan!!!
Hpna wala haonewi watu wa hvyo wapo wengi san
Kijana mkakamavu, naona ana afya kweli. nimpambanaji
Dah yani kila kazi ina wenyewe km huhusiki na mchezo watakunasa tu
Reporter sio JEZI sio ni SARE za polisi
Safi Sana mutoro
hahahahah.....Musa Alfani Pumbu ...majina yetu wabantu bhana .....
Hahahajaaaaa
Tanzania bana !
😲😳😳
Nitumie namba zako Tetema inama
#Kama unaimani kuwa huyu muroto hii #anayofanya ni mchezo wa kupata #KIKI GONGA LIKEEEEE
Jomn eheee
Watapata tabu sana
Haaa. Kazi ipo
Ahooo waendlee kushikwa tyuu kwanii wanachafua nchii
Jes ya jeshi imepatikana wapi Kama police hawahusiki?
Jezi za polis zinashonwa sio kama za jwtz
Ayo ndo madhara ya kuwafunza vijana mafunzo ya uaskari na Kuto waajiri
Wakomeshwe hao watu
Sheria ichukue mkondo wake kwa huyo polisi feki
Sasa nguo ametoa wp
kumbe walikuwa waajil wamefukuzwa hata wewe utafukuzwa mwishowe lazima uwe tapel wewe mzee😏😏😏
4:48 😂😂😂
Weee jamani maabara zote na dispensary za ki binafsi zikaguliwe kwasababu huko ndio wata kimbilia wengi.
Mmmmmmmh hali ni mbay
Ooosh!!Utakiona cha mtemakuni
skendo za kutengeneza
Duuuh 🤔🤔🤔
Jamann mloto
Season za kikorea zimemponza hyoo
Si haula ana degree na hana kazi
kaiva
Siku hizi NIDA wanaandikisha wapiga kura
Apewe ajira huyo soldier copy kakosa namna na analipenda jeshi kaamua kujiajiri !!
Balaa
kazi ipo tz yetu
Bora mumajiri
Mchukuen atumikie jeshi LA polisi.
Hii ni balaa
Sawa mroto upo poa
Kila mtanzaniani ni mjeshi
Waache tu wafanye cz mtu kasota jkt. Mwisho wasiku analudishwa nyumban...mnazan hapo nn kinafata
Kafukuzwa kwa kushindikana. hiyo ni dalili ya kuwa mhalifu..
Nao ni ubunifu hahaaa
Jela inamuhusu huyo hakuna namma