FULL INTERVIEW: MTOTO GUMZO ANTHONY KAONGEA TUSIYOYAJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 мар 2018
  • MICHANGO YA KUMSAIDIA ANTHONY INAPOKELEWA KWENYE M-PESA 0756 884 884 JINA NI MILLARD AYO.
    Anthony Petro ni mtoto wa miaka 11, mwanafunzi wa Darasa la kwanza shule ya msingi Ndungusi kata ya Kabanga wilaya ya Ngara Kagera.
    Ni mtoto gumzo kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akiongea kuhusu kumpeleka Baba yake Polisi kwa kisa cha kutaka kuuza shamba.

Комментарии • 3,3 тыс.

  • @millardayoTZA
    @millardayoTZA  6 лет назад +812

    Namba kwa ambaye angependa kumsaidia Anthony Petro ni 0756884884, Asante

    • @lusese1
      @lusese1 6 лет назад +27

      Asante kwa namba, nitachangia kidogo nilichonacho najua kitaleta utofauti, ndugu zangu Tumchangie ili atimize ndoto zake si lazima pesa nyingi hata ndogo uliyonayo itatosha kutimiza ndoto zake, hakika huyu nin kiongozi wa kesho. Mungu ni mwema.

    • @pabliz_
      @pabliz_ 6 лет назад +17

      Millard Ayo asante kwa hii Nambari nafikiri mgetupatia jina lake hata kusitokee matapeli wa mtandaoni tukituma pesa kwenye muamala itamfikia Nani....!

    • @AcklandackyMichael
      @AcklandackyMichael 6 лет назад +8

      Jina la hiyo namba

    • @mohamedrajabu524
      @mohamedrajabu524 6 лет назад +13

      Please Millard aya naomba mtupe namba yakueleweka tuweze kumsaidia huyu mtoto hata kidogo tulivyo navyo wenyekuguswa

    • @janejames1899
      @janejames1899 6 лет назад +7

      Millard Ayo je wale tupo outside the country how can we help this son

  • @jacksonjoakim4115
    @jacksonjoakim4115 3 года назад +110

    Kama leo umeona leo huyo mtoto yuko shuleni gonga like nyingi mungu awabariki sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +52

    Mtoto anaakili sana, ni mdogo lakini ajifikirii mwenyewe bali na familia yake, nimempenda sana na kaniliza sana uyu mtoto, cjawahi kumuona mtoto mwenye hali ngumu na bado anachokipata yupo pamoja na familia yake, mama yao amefariki kwa kuangukiwa na nyumba, serikali yake na mtendaji hawajaliona hili jamani, mtajibu nini viongozi cku ya kiyama, cyo kuwa kaugua kafa bali kaangukiwa na nyumba, hata iliyopo bado ni mbovu sana, japo sote tutakufa, pole sana mdogo wangu😨😭😭😭 inauma sana kwakweli.

  • @johnmwanisenga5650
    @johnmwanisenga5650 5 лет назад +20

    Kweli mtoto huyu Mungu atamjalia maisha marefu kutokana na upendo wake kwa jamii na wazazi

  • @reubenedward6559
    @reubenedward6559 2 года назад +13

    Huwezi ukatumwa shida ndio inakutuma na huwezi kwenda shule kusoma ukiwa njaa good Mungu bless huyu jiniaz tafadhal mtoto ana akili Hadi shetani anaona wivu 😃🙏🙏🙏🙏

  • @festonelee8509
    @festonelee8509 5 лет назад +27

    ''Baba akikucapa amna shida,alikuzaa, kabla wewe ni mtoto wake'' Anthony nakupenda sana,mungu akubaliki sana,God knows all your problems !

  • @Jabalpetersan
    @Jabalpetersan 2 года назад +11

    This kid is a God sent.Naturally bright.Future leader.May God turn things around in this family

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +20

    Kama hutopenda wazazi wako utapenda nan,,,,,Huwez kusoma kama umelala njaa 😭😭 God bless Smart Boy 🙏

  • @shukriolati4633
    @shukriolati4633 3 года назад +12

    kisa ya mtoto huyu imenihuzunisha sana .MashaAllah Ana Akili Sana.
    Naomba Allah Amjalie Apate Usaidizi Zaidi....

  • @hagaimtagwa9233
    @hagaimtagwa9233 3 года назад +14

    Baba akikuchapa haina shida kwa sababu yey ndio kakuzaa dah one love Antony mdogo wangu 😭😭😭 chozi limenitoka asee

  • @reginamacharia5494
    @reginamacharia5494 Год назад +8

    Oh this young boy is full of wisdom may the Almighty God Bless him and the entire family .

  • @shirucate2535
    @shirucate2535 3 года назад +22

    I just cried.....felt so challenged by this boys duties...I envy him so much.May God open all ways for him.

    • @pip_rake
      @pip_rake 3 года назад

      Tough situations make one brighten the mind to survive

  • @mukasadaniel3319
    @mukasadaniel3319 6 лет назад +14

    His fluency, word play and maturity in the way he responds is far beyond his age.. Bravo

  • @yusuphmadebari1987
    @yusuphmadebari1987 6 лет назад +205

    "huwezi kutumwa, shida ndio itakayokutuma" mtoto genius sana Huyu🙏🙏🙏🙏🙏

    • @salmaadam708
      @salmaadam708 6 лет назад +4

      yaaani,Dogo hatari sana

    • @chrispinemichael8062
      @chrispinemichael8062 6 лет назад +5

      Hakuna elimu kubwa duniani kama elimu ya mtaani by D knob

    • @neemajavan4125
      @neemajavan4125 6 лет назад +2

      Yusuph Madebari yani sana sijaona

    • @paulsylvester7877
      @paulsylvester7877 6 лет назад +2

      Yusuph Madebari dogo anakili sanaaa yaan daaaaa

    • @nasmarasheed8857
      @nasmarasheed8857 6 лет назад +4

      saaana anaakili huyu mtoto mungu amsaidie atakuja kuwa MTU mkubwa sana baadae

  • @ibrahimmasara7209
    @ibrahimmasara7209 3 года назад +11

    Mwenyezi Mungu amjalie mtoto huyu pamoja na familia Yao,, he is more than a teacher

  • @eliaselieza2459
    @eliaselieza2459 3 года назад +36

    Anae tizama 2021 tujuane kwa likes

  • @Jesserose807
    @Jesserose807 6 лет назад +59

    Daaah!!,baba akikuchapa Haina shida,c alikuzaa..... love you baby 😍

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe3156 6 лет назад +41

    With all those difficulties you are going through but you remain positive to your family! You are actually a genius true leader! It's really touching. By any means we should support this child. The biggest lesson I got from this poor child is to be positive in life no matter how! We should stop blaming other people. Km tunamsaidia let's play our part and not judging other for their inconsiderate.

  • @austinematunga9141
    @austinematunga9141 5 лет назад +162

    it will be very shameful if the media left that place without helping this lovely soul

  • @angelajovin2020
    @angelajovin2020 4 года назад +20

    I'm just crying Mungu wangu jaman🙏🙏🙏🙏Msikie uyu mtoto

  • @allannaftal5200
    @allannaftal5200 5 лет назад +9

    Mungu mtangulie huyu mtoto, hakika huyu mtoto atakuja kuwa na mafanikio makubwa sana

  • @yucabedgwaya7577
    @yucabedgwaya7577 6 лет назад +6

    Hongera sana Ayo T.V. Mungu ambariki Anthony Petro, maana ni mtoto wa kipekee. Shukrani

  • @janemwende6154
    @janemwende6154 4 года назад +8

    Nimelia Sana huyu mtoto ni kioo cha jamii....love from kenya

  • @joycewambui6957
    @joycewambui6957 5 лет назад +69

    May GOD remember that boy and BLESS him he mad me cry he is very strong and he never give up no matter what am Kenya but watching from Bahrain 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢

  • @eunicelumonya3325
    @eunicelumonya3325 6 лет назад +35

    😢😢😢 am in tear ooooh no.This boy has wisdom beyond his years

  • @sharewisdomKE
    @sharewisdomKE 5 лет назад +31

    This is so emotional,touching,inspirational.May Allah grant this kid and his family a good future.

  • @user-gs1gy5bu4g
    @user-gs1gy5bu4g 6 месяцев назад +2

    Asante Sana Mwenyezi Mungu Akufanyie Wepesi Wewe Pamoja Na Familia Yako Mama yako Aendelee Kupumzika Kwa Amani Na Mwenyezi Mungu Ambaliki Baba yako Mpaka Pale Atakapo Yaona Mafanikio yako. 🙏🙏🙏@ Antony

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 9 месяцев назад +4

    Jamani nimerud tena kuangalia baada ya huyu mtoto kuwa darasa la 6 sasa mwenyez mungu ambariki sana aliemsaidia huyu mtoto jamani 😭😭

  • @hamidahHammy254
    @hamidahHammy254 2 года назад +6

    😭😭😭Ya Allah wakumbuke mayatima wote wabariki na uwaepushe na maovu...watendee mema tu🤲🤲🤲

  • @sylviahmbithi4683
    @sylviahmbithi4683 5 лет назад +37

    GOD..I PRAY TO MAKE THIS FAMILY A LIVING TESTIMONY TO MANY

  • @colmanonunga4977
    @colmanonunga4977 2 года назад +6

    "usipopenda babako, utapenda nani?" Touching.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 2 года назад +7

    This is a great in comming leader. Iam impressed by his wisdom at his age. And the great faith in him he has mentioned God almost in every sentence in this conversation!

  • @christinekababy324
    @christinekababy324 6 лет назад +48

    pole sana Antony mungu atusaidie aki uweze kulea wadogo wako

  • @martinkoome4157
    @martinkoome4157 6 лет назад +29

    This is so emotional and no kid is supposed to go through all this. It's so sad such a gifted kid can't access quality education, food, shelter and clothing. My heart pains for this little angels and others. Wake up African governments and be servants of your people. Tap these brains and make our continent great.

  • @twinlydia1692
    @twinlydia1692 4 года назад +5

    Am a Ugandan but trying to pick some words
    I love the confidence of this young boy

  • @shakilahassani7377
    @shakilahassani7377 5 лет назад +13

    Mashaallah. Nimempenda uyu mtoto anamuongoza mungu kwakila hatua. Mwenyezi mungu hakufanyie wepesi utimize ndoto zako🙏

  • @kigenkibet9225
    @kigenkibet9225 6 лет назад +82

    The wisdom in this child is above, I so hope Tanzanians are able to back this boy.

  • @peterobat1306
    @peterobat1306 6 лет назад +78

    Just in love with the kid.... He is even clever than the interviewer

  • @nooor1120
    @nooor1120 4 года назад +11

    Maa shaa Allah huyu mtoto ana akili
    Allah akujaalieni maisha mazuri

  • @carolinekinoti7914
    @carolinekinoti7914 4 года назад +12

    I am in tears sometimes i wish these kind of people were more fortunate but i know that God sees it all. God please help this family

  • @watemaesua2621
    @watemaesua2621 5 лет назад +12

    He's just a kid but in his eyes you can see someone looking to fight for a brighter future. He already felt the responsibility already in his hand seeing that his father is getting old. God bless his family.

  • @graceisaack1790
    @graceisaack1790 6 лет назад +32

    Huyu mtoto ana akili kuliko hata huyu mtangazaj anaemuhoji....kweli we dogo ni mwalimu hata kabla hujafika chuo!!🙌🙌

  • @agneskitalima7928
    @agneskitalima7928 4 года назад +9

    Kwajili huyu dogo Ana akili ya maishaa🙏🙏 God help this young boy💓💓

  • @precioussambale1964
    @precioussambale1964 4 года назад +6

    Katika interview ya Millard Ayo ambayo huwa inaniliza Kila Mara nii hongera Sana kwakuwafikia wanyonge😭😭

  • @lilkimani4795
    @lilkimani4795 6 лет назад +80

    From Kenya,this kid is very clever and my prayers President Magufuli heard his cries.

  • @musasiame2776
    @musasiame2776 6 лет назад +507

    acha like kama unamkubali huyu mtoto

    • @nasirapasical4685
      @nasirapasical4685 5 лет назад +1

      very very good

    • @manzis3275
      @manzis3275 5 лет назад +2

      @@nasirapasical4685 q

    • @marvinlibale9685
      @marvinlibale9685 5 лет назад

      Youre seizing the moment to satisfy your crave for attention aren’t u...ndugu yako anaumia and all you can do is beg for likes from random youbers right..? You should be arrested n thrown to the gallows

    • @valenciamusilah2533
      @valenciamusilah2533 4 года назад

      Musa Siame goo

    • @valenciamusilah2533
      @valenciamusilah2533 4 года назад +1

      good boy Aki ameweza

  • @manassehayako1820
    @manassehayako1820 5 лет назад +36

    Historians ya huyu mtoto yanitia machonzi..naomba Mungu ambariki.

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +11

    Mtoto anaakili sana Mungu awatunze

  • @emmaangelinu6438
    @emmaangelinu6438 5 лет назад +7

    Am a namibian n i truly don't understand the language but the video can tell it's. Heart touching story, Lord have mercy on him...

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад +91

    Kiukwel huyu mtoto nmetokea kumpenda Sana pia kaniumiza Sana kutokana na maneno yake 😥😥

    • @asmabintikiwashatz9321
      @asmabintikiwashatz9321 6 лет назад

      hata mm vle nipo dubai ila ningekua tz ningeenda kumuomba huyu mtoto muhimu tujitolee kumsaidia

    • @dicksonissa5066
      @dicksonissa5066 6 лет назад

      Zenna Kailo
      Dogo.nomaaa

  • @lkn3349
    @lkn3349 3 года назад +3

    I'm Haïtien 🇭🇹I not Understand , But i like this langage , The Boy is very Strong 🤗😳🙌God bless him

  • @christperson5717
    @christperson5717 4 года назад +21

    God will never leave his pple,he'll always be there for them.
    Thanks Tanzania media for airing this.You'll be blessed for the work you do.

  • @abdulsharafabdalla22
    @abdulsharafabdalla22 5 лет назад +111

    One day, my hand wil reach you Antony

  • @estherkagechu7550
    @estherkagechu7550 5 лет назад +64

    Pole Antony you make me cry

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 4 года назад +14

    So touching indeed...may God bless this young boy,,he's very clever

  • @wangariann9704
    @wangariann9704 2 года назад +1

    From Kenya. Na vile wengi wetu tuko na ma shamba na bado tunapngezea. What makes me happy Nile none will carry anything when we die. This boy anaomba tu a good shelter, Chloths n food for him n his family. Like the way anasema 'mungu akimnjalia', all his hope to God🙏

  • @jenniferwanguigachihi7715
    @jenniferwanguigachihi7715 5 лет назад +36

    From 🇰🇪 my Allah bless that young prince at the end of his life my his dream come true

  • @daudichrchristopher8564
    @daudichrchristopher8564 5 лет назад +56

    Uyu mtoto ana nitoa chozi hasa AKISEMA mama alikuwa wa mama wote 👍👍👍Shikamoo hakika ata mm namkumbuka mama japo nime kuwa mtu mzima😅😅😅

  • @user-li6be5rh5v
    @user-li6be5rh5v 8 месяцев назад +2

    Daaaa😢 mungu naomba unipe maisha marefu nilee wattoto wangu jaman inaumiza mnoo jmn mama wa muhimu mnooo mungu atakuongoza mtoto mzuriii😢😢😢

  • @neziadyona9902
    @neziadyona9902 Год назад +1

    Nimempenda Hana ubaguzi kwa wazazi wake kama wangekuwepo wote angependa wote alichokisema , fantastic bright kid may God hear your cry

  • @festuskathuki8229
    @festuskathuki8229 6 лет назад +14

    This boy has made me cry he can understand humanity far better than even some of us who think we know. He knows what is wrong and how to approach it; for instance he knows that selling the only land that belongs to them is bad, and that his father can cane him because he is his father. This is an angel, have never seen such a humanity in a person like i see in this boy.

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 6 лет назад +11

    tajiri mzuri sana wa baadae , MWENYEZI MUNGU mbariki Antony kwenye taaluma au kipaji chake aje atengeneze pesa nyingi xana

  • @thabithmrisho6212
    @thabithmrisho6212 4 года назад +4

    Mashallah!! Mtot anaakili e mungu mlinde MTT wako kadr ya mapenzi yako ili atimize ndoto zake amina

  • @esthernelson9514
    @esthernelson9514 4 года назад +7

    asantee mungu kwajili ya maisha yetu yote ya uai duuh nimeji kita nalia😭😭 tu

  • @carokhavalagwe363
    @carokhavalagwe363 6 лет назад +14

    This boy removed my tears.

  • @thesmilestv5302
    @thesmilestv5302 2 года назад +3

    Whoever listens to this,ukiwa na uweze kindly help this family....this is a genius boy indeed

  • @sheikhabdirizaqaley837
    @sheikhabdirizaqaley837 5 лет назад +24

    Antony you make me cry ..... ingawa nmewatch hii video too late ...... kwa sasa nko mbali but inshaAllah ntakufuatilia alfu nkusaidie ......May you be showered with more wisdom and I pray your life will change

    • @dhdbdhdhdhm3860
      @dhdbdhdhdhm3860 5 лет назад

      Sheikh Abdirizaq Aley

    • @luciakabui3151
      @luciakabui3151 4 года назад

      Wacha kuenjoy mtoto! Mbali ni wapi? The world is a village my friend! You can send money from the north or south pole. Mtumie pesa. Your presence isn't necessary.

  • @nehemiah6494
    @nehemiah6494 3 года назад +1

    Who is here watching this legend again in 2021? Love from Kenya.

  • @silaskorir1379
    @silaskorir1379 5 лет назад +7

    Man I teared up watching this video,Mungu akujalie dogo,may all your wishes come to fruition, From kenya

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy3571 6 лет назад +120

    Baba akinichapa hakunashid kwakua kanizaaa yaaani mtoto anabusara mpk rahaa

  • @doreennyoka5910
    @doreennyoka5910 4 года назад +8

    Only if I can understand this language God bless this child 😢🙏🙏

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 года назад +13

    sikjua hii story,made me cry,niko UK,nitumie namba gani isyo ya utapeli nisaidie kidogo..we take life for granted....what a lesson fro this kiddo.Bless him

    • @lydiahbarongo5079
      @lydiahbarongo5079 4 года назад

      I suggest uingie website ya Millard Ayo au Instagram yake atakufaa kumfikia Mtoto yule asante kwa nia yako ya kutaka kumsaidia

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад

      @@lydiahbarongo5079 namba haingii ndo maana nakua na wasi wasi kwamba,msaada utafikia mlengwa?nimejaribu Ayo pia,but,no response

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад

      @@lydiahbarongo5079 done so lakini,aint sure as u can see,most pple hawakuweza..thanz also..he really touched my heart

    • @diamondplatnumz4405
      @diamondplatnumz4405 4 года назад

      broh milard ukipata email ata respond

    • @blackishhunter4104
      @blackishhunter4104 4 года назад

      erry deo duh

  • @daviddaniel1797
    @daviddaniel1797 6 лет назад +36

    unaweza kuhemea kama umekosa?
    Mungu kasikia Mdogo wangu

  • @nanajoseph8515
    @nanajoseph8515 5 лет назад +7

    Good boy cjawah ona mtoto mwenye akili kama huyu mungu akukuze vyema mdogo angu kwel mungu akusaidie sana cna uwezo wa kukusaidia lakin nimeumia San

  • @sunset8001
    @sunset8001 3 года назад +8

    His answers are amazing full of wisdoms this boy will go far

  • @edwinkibet4779
    @edwinkibet4779 4 года назад +32

    He's a blessing to his family, may God bless them so much. With love from Kenya.

  • @sylviaboyani7805
    @sylviaboyani7805 6 лет назад +9

    Oh my God🤔🤔 this child is just blessed with WISDOM

  • @philipngila9941
    @philipngila9941 5 лет назад +4

    Kutoka Nairobi Kenya nimempenda huyu Mtoto.. Tafadhali msaidieni

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 4 года назад +2

    shukrani za dhati kwa Ayo Tv najua kwa kumpa nafas ya kuzungumza mtoto Anthony wapo wenye moyo watamsaidia.. Neno kubwa alilolisema Anthon ni " KAMA HUJAMPENDA MZAZI WAKO UTAMPENDA NANI" Mungu akubariki

  • @princessshannia4215
    @princessshannia4215 4 года назад +6

    Allahuakbar , hakika Mungu atakuinua inshaallah 🙏😘

  • @olivermusoga7336
    @olivermusoga7336 6 лет назад +12

    I love the courage of the kid, God bless him#kenya

  • @iFFOKMedia
    @iFFOKMedia 5 лет назад +75

    From Rwanda (+250), I can only understand few swahili words but even this emotional video makes me feel like I'm understanding everything. May God help this family and this kid seems to be successful in the future.

    • @verokihawa2590
      @verokihawa2590 5 лет назад +1

      Yap

    • @halunamgalama3836
      @halunamgalama3836 4 года назад +1

      Simba day

    • @peacemercy3413
      @peacemercy3413 2 года назад +1

      May God continue bless the family ,and the Nation to educate the children .Life without mother is so painful... this child is so great.I feel to him.God bless you!.

    • @christlife3540
      @christlife3540 2 года назад +1

      Hezagirwa

  • @mercyalmasi5889
    @mercyalmasi5889 3 года назад +4

    This is too touching, Mungu amsaidie huyu mtoto ananiumiza sana japo yupo imara kupambana ila inaniumiza

  • @samsonmwaipwisi313
    @samsonmwaipwisi313 3 года назад +5

    Huyu mtoto hakika anajua nini anakifanya naamini atakuja kuwa mwalimu mzuri sana na kiongozi bora sana mungu yu pamoja nawe popote uendapo mdogo wangu

  • @lungiao229
    @lungiao229 6 лет назад +11

    I'm crying I don't know what this child is saying but it's tuff God have mercy.🙏

  • @glorykarim1570
    @glorykarim1570 3 года назад +21

    Sifa na utukufu tunakurudishia mungu wetu baba yetu wa mbinguni ahsante sana Mungu kwa kila kitu hapa duniani 🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @celinemasinde1045
    @celinemasinde1045 5 лет назад +7

    woooii lord ,,,have mercy kwa orphans ,,,saidia uyu kijana pamoja na familia iliyo baki mungu wangu!

  • @a.k732
    @a.k732 5 лет назад +9

    It's a very emotional story,,,the boy is bright and a helper to his dad

  • @moribovincent
    @moribovincent 5 лет назад +4

    This is where leaders should show there leadership and mercy to this brilliant mind... Goo dogo.. My prayers to you, your brothers and your dad...
    May God hear your cry

  • @dennowderullow1118
    @dennowderullow1118 2 года назад +3

    This is a truly touching story about this Tanzanian boy(nataman ningekua nauwezo ningesaidia hii familia")I'm watching from Africa in Kenya at Kilifi")inauma sana

  • @suzannnesamwel4728
    @suzannnesamwel4728 3 года назад +2

    Dogo amenfurahixha Sana kipaji chako kizuriii endelea nacho name nitaku saport

  • @essymasaa
    @essymasaa 6 лет назад +12

    This interview is so wanting.. what kind of questions are these? So nonchalantly asking about his mum and all that!!
    But God bless this child and his family 💔 may our good God who has good plans for us, for a hope and a future provide them and may their cup never run empty 🙏🏽🙏🏽

  • @queenatusha2244
    @queenatusha2244 6 лет назад +120

    kama aupendi wa zazi wako uta penda nani. smart boy . mungu aku saidiye upate maisha mazuri.

  • @gulamvira3644
    @gulamvira3644 4 года назад +3

    This young boy is blessed by God and he has high potential. If helped by good hearted people can help to educate him he may become a future leader or a successful business man more then that His dream is to become a teacher and educate his fellow students. Allah fulfils his dream

  • @magdalinekingasia4385
    @magdalinekingasia4385 3 года назад +2

    Wow!! huyu mtoto anaongea Tu kama mtu mkubwa whaaaat!! So intelligent

  • @angienarsh9710
    @angienarsh9710 6 лет назад +83

    Mtoto: wewe waweza enda kusoma ukiwa umelala njaa😭😭😭😭😭😭,the interviewer has a long way to go,,,,,254 ndo home🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @thomaskipkemeituitoek949
    @thomaskipkemeituitoek949 5 лет назад +19

    Hello am in eldoret kenya.. I feel for thid young boy.. May God see him thro.. Am so touched 🇰🇪

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 лет назад +59

    Mtoto anaakili sana jmn huyu Ni wakumsaidia2 hakika analeta ladha jins anavo oongea

  • @estherbaxter5707
    @estherbaxter5707 5 лет назад +6

    Antony you are destined for greatness

  • @brendaluvanda3289
    @brendaluvanda3289 6 лет назад +10

    Am crying this boy is geneous may God have mercy on him