FULL INTERVIEW: MTOTO GUMZO ANTHONY KAONGEA TUSIYOYAJUA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- MICHANGO YA KUMSAIDIA ANTHONY INAPOKELEWA KWENYE M-PESA 0756 884 884 JINA NI MILLARD AYO.
Anthony Petro ni mtoto wa miaka 11, mwanafunzi wa Darasa la kwanza shule ya msingi Ndungusi kata ya Kabanga wilaya ya Ngara Kagera.
Ni mtoto gumzo kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akiongea kuhusu kumpeleka Baba yake Polisi kwa kisa cha kutaka kuuza shamba.
Namba kwa ambaye angependa kumsaidia Anthony Petro ni 0756884884, Asante
Asante kwa namba, nitachangia kidogo nilichonacho najua kitaleta utofauti, ndugu zangu Tumchangie ili atimize ndoto zake si lazima pesa nyingi hata ndogo uliyonayo itatosha kutimiza ndoto zake, hakika huyu nin kiongozi wa kesho. Mungu ni mwema.
Millard Ayo asante kwa hii Nambari nafikiri mgetupatia jina lake hata kusitokee matapeli wa mtandaoni tukituma pesa kwenye muamala itamfikia Nani....!
Jina la hiyo namba
Please Millard aya naomba mtupe namba yakueleweka tuweze kumsaidia huyu mtoto hata kidogo tulivyo navyo wenyekuguswa
Millard Ayo je wale tupo outside the country how can we help this son
Kama leo umeona leo huyo mtoto yuko shuleni gonga like nyingi mungu awabariki sana
Mtoto anaakili sana, ni mdogo lakini ajifikirii mwenyewe bali na familia yake, nimempenda sana na kaniliza sana uyu mtoto, cjawahi kumuona mtoto mwenye hali ngumu na bado anachokipata yupo pamoja na familia yake, mama yao amefariki kwa kuangukiwa na nyumba, serikali yake na mtendaji hawajaliona hili jamani, mtajibu nini viongozi cku ya kiyama, cyo kuwa kaugua kafa bali kaangukiwa na nyumba, hata iliyopo bado ni mbovu sana, japo sote tutakufa, pole sana mdogo wangu😨😭😭😭 inauma sana kwakweli.
Huwezi ukatumwa shida ndio inakutuma na huwezi kwenda shule kusoma ukiwa njaa good Mungu bless huyu jiniaz tafadhal mtoto ana akili Hadi shetani anaona wivu 😃🙏🙏🙏🙏
''Baba akikucapa amna shida,alikuzaa, kabla wewe ni mtoto wake'' Anthony nakupenda sana,mungu akubaliki sana,God knows all your problems !
This is so emotional....
Kweli mtoto huyu Mungu atamjalia maisha marefu kutokana na upendo wake kwa jamii na wazazi
Kama hutopenda wazazi wako utapenda nan,,,,,Huwez kusoma kama umelala njaa 😭😭 God bless Smart Boy 🙏
that is true
"huwezi kutumwa, shida ndio itakayokutuma" mtoto genius sana Huyu🙏🙏🙏🙏🙏
yaaani,Dogo hatari sana
Hakuna elimu kubwa duniani kama elimu ya mtaani by D knob
Yusuph Madebari yani sana sijaona
Yusuph Madebari dogo anakili sanaaa yaan daaaaa
saaana anaakili huyu mtoto mungu amsaidie atakuja kuwa MTU mkubwa sana baadae
acha like kama unamkubali huyu mtoto
very very good
@@nasirapasical4685 q
Youre seizing the moment to satisfy your crave for attention aren’t u...ndugu yako anaumia and all you can do is beg for likes from random youbers right..? You should be arrested n thrown to the gallows
Musa Siame goo
good boy Aki ameweza
Baba akikuchapa haina shida kwa sababu yey ndio kakuzaa dah one love Antony mdogo wangu 😭😭😭 chozi limenitoka asee
kweli
With all those difficulties you are going through but you remain positive to your family! You are actually a genius true leader! It's really touching. By any means we should support this child. The biggest lesson I got from this poor child is to be positive in life no matter how! We should stop blaming other people. Km tunamsaidia let's play our part and not judging other for their inconsiderate.
Anae tizama 2021 tujuane kwa likes
Nipo hap
2024
kisa ya mtoto huyu imenihuzunisha sana .MashaAllah Ana Akili Sana.
Naomba Allah Amjalie Apate Usaidizi Zaidi....
His fluency, word play and maturity in the way he responds is far beyond his age.. Bravo
Kama umekuja nauku tena kuangalia tujuane jamani
Niliwai kuiona miaka kadhaa rkn nmerud tena kuingalia ten
😀
Tumekuja kaka
Nipo nimekujaaa😅
Namm nimekuja kaka😂😂😂
I just cried.....felt so challenged by this boys duties...I envy him so much.May God open all ways for him.
Tough situations make one brighten the mind to survive
😢😢😢 am in tear ooooh no.This boy has wisdom beyond his years
A
it will be very shameful if the media left that place without helping this lovely soul
So painful. Mat God have mercy upon the family
This boy realy wise.
This boy realy wise.
God bless this family
Mungu atakumbuka mayatima
Mwenyezi Mungu amjalie mtoto huyu pamoja na familia Yao,, he is more than a teacher
Amiin
Huyu mtoto ana akili kuliko hata huyu mtangazaj anaemuhoji....kweli we dogo ni mwalimu hata kabla hujafika chuo!!🙌🙌
😂😂😂huna adabu we mwanamke
Nakuunga mkono
Grace nimekumbali uyo mtoto ana akili kuliko ata mimi amenishinda akili 😄 🤣 😂
@@babaswaggaboy2442 hahahaha kawazidii wengii
Mtoto ana akil ht mm nikiulizwa haya maswal siwez kujib km huyu mtt walh daaa
Hongera sana Ayo T.V. Mungu ambariki Anthony Petro, maana ni mtoto wa kipekee. Shukrani
From Kenya. Na vile wengi wetu tuko na ma shamba na bado tunapngezea. What makes me happy Nile none will carry anything when we die. This boy anaomba tu a good shelter, Chloths n food for him n his family. Like the way anasema 'mungu akimnjalia', all his hope to God🙏
GOD..I PRAY TO MAKE THIS FAMILY A LIVING TESTIMONY TO MANY
Mungu tupe wepesi wa maisha
Amen
Jamani nimerud tena kuangalia baada ya huyu mtoto kuwa darasa la 6 sasa mwenyez mungu ambariki sana aliemsaidia huyu mtoto jamani 😭😭
I'm just crying Mungu wangu jaman🙏🙏🙏🙏Msikie uyu mtoto
This is so emotional and no kid is supposed to go through all this. It's so sad such a gifted kid can't access quality education, food, shelter and clothing. My heart pains for this little angels and others. Wake up African governments and be servants of your people. Tap these brains and make our continent great.
Haruni
The wisdom in this child is above, I so hope Tanzanians are able to back this boy.
Iman we manyun
Yaan saf kabisa!
shukrani za dhati kwa Ayo Tv najua kwa kumpa nafas ya kuzungumza mtoto Anthony wapo wenye moyo watamsaidia.. Neno kubwa alilolisema Anthon ni " KAMA HUJAMPENDA MZAZI WAKO UTAMPENDA NANI" Mungu akubariki
May GOD remember that boy and BLESS him he mad me cry he is very strong and he never give up no matter what am Kenya but watching from Bahrain 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢
Nice one for you my young brother
This is a great in comming leader. Iam impressed by his wisdom at his age. And the great faith in him he has mentioned God almost in every sentence in this conversation!
Who is here watching this legend again in 2021? Love from Kenya.
He's just a kid but in his eyes you can see someone looking to fight for a brighter future. He already felt the responsibility already in his hand seeing that his father is getting old. God bless his family.
Just in love with the kid.... He is even clever than the interviewer
Peter Obat 😂😂😂😂😂
🤣🤣 aki
It's so true! How can you ask a child who he loves better between parents one of whom is dead?😳
😁 😁
Just imagine
"usipopenda babako, utapenda nani?" Touching.
From Kenya,this kid is very clever and my prayers President Magufuli heard his cries.
Oooh God tufungulie njia
Wonder how we can help from kenya
Wonder how we can help from kenya
😍😍
rayvanny sikupendi
Mungu mtangulie huyu mtoto, hakika huyu mtoto atakuja kuwa na mafanikio makubwa sana
sikjua hii story,made me cry,niko UK,nitumie namba gani isyo ya utapeli nisaidie kidogo..we take life for granted....what a lesson fro this kiddo.Bless him
I suggest uingie website ya Millard Ayo au Instagram yake atakufaa kumfikia Mtoto yule asante kwa nia yako ya kutaka kumsaidia
@@lydiahbarongo5079 namba haingii ndo maana nakua na wasi wasi kwamba,msaada utafikia mlengwa?nimejaribu Ayo pia,but,no response
@@lydiahbarongo5079 done so lakini,aint sure as u can see,most pple hawakuweza..thanz also..he really touched my heart
broh milard ukipata email ata respond
erry deo duh
pole sana Antony mungu atusaidie aki uweze kulea wadogo wako
AAMIN
Mtoto: wewe waweza enda kusoma ukiwa umelala njaa😭😭😭😭😭😭,the interviewer has a long way to go,,,,,254 ndo home🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Toto bgap
254 to the world
Katika interview ya Millard Ayo ambayo huwa inaniliza Kila Mara nii hongera Sana kwakuwafikia wanyonge😭😭
Uyu mtoto ana nitoa chozi hasa AKISEMA mama alikuwa wa mama wote 👍👍👍Shikamoo hakika ata mm namkumbuka mama japo nime kuwa mtu mzima😅😅😅
sorry
Duh inauma sana ila mungu ndio Mambo yote pole sana
Baba akinichapa hakunashid kwakua kanizaaa yaaani mtoto anabusara mpk rahaa
Allahu Akbar
hii iliniguza sana pia
mambo mwajina
Mungu atakusimamia
Wallah tena.
😭😭😭Ya Allah wakumbuke mayatima wote wabariki na uwaepushe na maovu...watendee mema tu🤲🤲🤲
This boy has made me cry he can understand humanity far better than even some of us who think we know. He knows what is wrong and how to approach it; for instance he knows that selling the only land that belongs to them is bad, and that his father can cane him because he is his father. This is an angel, have never seen such a humanity in a person like i see in this boy.
Mashaallah. Nimempenda uyu mtoto anamuongoza mungu kwakila hatua. Mwenyezi mungu hakufanyie wepesi utimize ndoto zako🙏
So touching indeed...may God bless this young boy,,he's very clever
Pole Antony you make me cry
Nimelia Sana huyu mtoto ni kioo cha jamii....love from kenya
Asante Sana Mwenyezi Mungu Akufanyie Wepesi Wewe Pamoja Na Familia Yako Mama yako Aendelee Kupumzika Kwa Amani Na Mwenyezi Mungu Ambaliki Baba yako Mpaka Pale Atakapo Yaona Mafanikio yako. 🙏🙏🙏@ Antony
Am a namibian n i truly don't understand the language but the video can tell it's. Heart touching story, Lord have mercy on him...
Daaaa😢 mungu naomba unipe maisha marefu nilee wattoto wangu jaman inaumiza mnoo jmn mama wa muhimu mnooo mungu atakuongoza mtoto mzuriii😢😢😢
Nimempenda Hana ubaguzi kwa wazazi wake kama wangekuwepo wote angependa wote alichokisema , fantastic bright kid may God hear your cry
From Rwanda (+250), I can only understand few swahili words but even this emotional video makes me feel like I'm understanding everything. May God help this family and this kid seems to be successful in the future.
Yap
Simba day
May God continue bless the family ,and the Nation to educate the children .Life without mother is so painful... this child is so great.I feel to him.God bless you!.
Hezagirwa
I am in tears sometimes i wish these kind of people were more fortunate but i know that God sees it all. God please help this family
Mtoto anaakili sana Mungu awatunze
Maa shaa Allah huyu mtoto ana akili
Allah akujaalieni maisha mazuri
Kiukwel huyu mtoto nmetokea kumpenda Sana pia kaniumiza Sana kutokana na maneno yake 😥😥
hata mm vle nipo dubai ila ningekua tz ningeenda kumuomba huyu mtoto muhimu tujitolee kumsaidia
Zenna Kailo
Dogo.nomaaa
Antony you make me cry ..... ingawa nmewatch hii video too late ...... kwa sasa nko mbali but inshaAllah ntakufuatilia alfu nkusaidie ......May you be showered with more wisdom and I pray your life will change
Sheikh Abdirizaq Aley
Wacha kuenjoy mtoto! Mbali ni wapi? The world is a village my friend! You can send money from the north or south pole. Mtumie pesa. Your presence isn't necessary.
This interview is so wanting.. what kind of questions are these? So nonchalantly asking about his mum and all that!!
But God bless this child and his family 💔 may our good God who has good plans for us, for a hope and a future provide them and may their cup never run empty 🙏🏽🙏🏽
hapo ndipo utajua kuwa watoto wa kimasikini tuna akili kuliko watoto wa kitajili
full moves kwakweli
full moves kabsa kulingana na zile changamoto mnazoziona katka maisha yenu ya kimaskini lazma ujitahidi kupambana sana kwaajili ya kuyabadilisha yale maisha unayoyaona hapo nyumbani inafkia siku unasema natamani kuishi maisha flani na uwezo hauna ndio sasa inabidi ung'ang'ane kadri uwezavyo ilimradi uyabadilishe maisha hayo uliokua ukiishi.
Hilo ni Kweli watt wa kimaskini Tuko vzr sn.... Eti usipomjua magufuri we ni mrundi
full moves nikweli kabisa
kweli kabisa
God will never leave his pple,he'll always be there for them.
Thanks Tanzania media for airing this.You'll be blessed for the work you do.
One day, my hand wil reach you Antony
Mmmmmh we mtoto kiboko aseeeee. 👏👏👏
Mmh mtoto ana akili sana nimempenda
@@mwajabumussa4860 i
tajiri mzuri sana wa baadae , MWENYEZI MUNGU mbariki Antony kwenye taaluma au kipaji chake aje atengeneze pesa nyingi xana
Historians ya huyu mtoto yanitia machonzi..naomba Mungu ambariki.
God thank you for the wisdom in this boy u are so wonderful! Bless him n his family. Grant my children wisdom like this.
From 🇰🇪 my Allah bless that young prince at the end of his life my his dream come true
Jennifer wangui Gachihi mamb VP mpendwa
Ameen
Jennifer mambo
Amiin
This young boy is blessed by God and he has high potential. If helped by good hearted people can help to educate him he may become a future leader or a successful business man more then that His dream is to become a teacher and educate his fellow students. Allah fulfils his dream
Man I teared up watching this video,Mungu akujalie dogo,may all your wishes come to fruition, From kenya
I love the courage of the kid, God bless him#kenya
Mashallah!! Mtot anaakili e mungu mlinde MTT wako kadr ya mapenzi yako ili atimize ndoto zake amina
Uyu mtoto nitampa milioni mbili baada ya miezi miwili na nusu nikija Tanzania.
shemela ruhinda and God will bless you
shemela ruhinda inshaallah
Ukitoa kwa mkono wa kulia hakikisha washoto HAUJUI !!!#shemela ruhinda
shemela ruhinda na mimi nina shida na m1 tu ninunue mashine
Clara Emmanuel Acha kejeri aikusaidii kitu
It's a very emotional story,,,the boy is bright and a helper to his dad
This is too touching, Mungu amsaidie huyu mtoto ananiumiza sana japo yupo imara kupambana ila inaniumiza
This boy removed my tears.
so precious and amazing boy God bless him
Kwajili huyu dogo Ana akili ya maishaa🙏🙏 God help this young boy💓💓
Oh my God🤔🤔 this child is just blessed with WISDOM
This is where leaders should show there leadership and mercy to this brilliant mind... Goo dogo.. My prayers to you, your brothers and your dad...
May God hear your cry
Sifa na utukufu tunakurudishia mungu wetu baba yetu wa mbinguni ahsante sana Mungu kwa kila kitu hapa duniani 🙏🙏🙏😭😭😭😭
Ameen 🙏🙏
Amen
😢😢 that made me cry for real,
He is like 7 years old but he was acting like 78 years old. God will be with him forever I wish to help him but I got no money I still a student😂😂
tedy o.c wrong You are such a Sweetheart yoself
tedy o.c wrong he is 11
JUDICATE SAWE z💍🕶
Nice boy and make me more sad now
tedy o.c wrong
you don't need millions to help him
just what little you have can help him a lot
Antony you are destined for greatness
He's a blessing to his family, may God bless them so much. With love from Kenya.
Whoever listens to this,ukiwa na uweze kindly help this family....this is a genius boy indeed
Only if I can understand this language God bless this child 😢🙏🙏
Very inteligent boy, may God open doors for him and the family
I'm crying I don't know what this child is saying but it's tuff God have mercy.🙏
Gonga like yako Kama umesikia neno kwajili......
Am crying this boy is geneous may God have mercy on him
This broke my heart
Allahuakbar , hakika Mungu atakuinua inshaallah 🙏😘
Kutoka Nairobi Kenya nimempenda huyu Mtoto.. Tafadhali msaidieni
It's so touching may Allah hear u'r cry Anthony
Aminah Arapah Arapah amin yarabi
Aminah Arapah Arapah inooro
So touching indeed
Aminah Arapah Arapah m
kwel ommy kafarik,?
This is serious 😢😢please try and help this intelligent young boy 👦🏿 I can’t hold my tears 😭
😭
What I know God is watching this family one day poverty will end
Only $$godknows
Thats True
Allah Qareem, kila kitu kitakua xawa In Shaa llah.
Amin
Amen 🙏🏻
woooii lord ,,,have mercy kwa orphans ,,,saidia uyu kijana pamoja na familia iliyo baki mungu wangu!
asantee mungu kwajili ya maisha yetu yote ya uai duuh nimeji kita nalia😭😭 tu
unaweza kuhemea kama umekosa?
Mungu kasikia Mdogo wangu
This child is genius highly knowledgeable at his age may God remember him and save him from his situation
Huyu mtoto hakika anajua nini anakifanya naamini atakuja kuwa mwalimu mzuri sana na kiongozi bora sana mungu yu pamoja nawe popote uendapo mdogo wangu
Mtoto anaakili sana jmn huyu Ni wakumsaidia2 hakika analeta ladha jins anavo oongea
Kweli