FULL INTERVIEW: MTOTO GUMZO ANTHONY KAONGEA TUSIYOYAJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MICHANGO YA KUMSAIDIA ANTHONY INAPOKELEWA KWENYE M-PESA 0756 884 884 JINA NI MILLARD AYO.
    Anthony Petro ni mtoto wa miaka 11, mwanafunzi wa Darasa la kwanza shule ya msingi Ndungusi kata ya Kabanga wilaya ya Ngara Kagera.
    Ni mtoto gumzo kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akiongea kuhusu kumpeleka Baba yake Polisi kwa kisa cha kutaka kuuza shamba.

Комментарии • 3,3 тыс.

  • @millardayoTZA
    @millardayoTZA  6 лет назад +814

    Namba kwa ambaye angependa kumsaidia Anthony Petro ni 0756884884, Asante

    • @lusese1
      @lusese1 6 лет назад +27

      Asante kwa namba, nitachangia kidogo nilichonacho najua kitaleta utofauti, ndugu zangu Tumchangie ili atimize ndoto zake si lazima pesa nyingi hata ndogo uliyonayo itatosha kutimiza ndoto zake, hakika huyu nin kiongozi wa kesho. Mungu ni mwema.

    • @pabliz_
      @pabliz_ 6 лет назад +17

      Millard Ayo asante kwa hii Nambari nafikiri mgetupatia jina lake hata kusitokee matapeli wa mtandaoni tukituma pesa kwenye muamala itamfikia Nani....!

    • @AcklandackyMichael
      @AcklandackyMichael 6 лет назад +8

      Jina la hiyo namba

    • @mohamedrajabu524
      @mohamedrajabu524 6 лет назад +13

      Please Millard aya naomba mtupe namba yakueleweka tuweze kumsaidia huyu mtoto hata kidogo tulivyo navyo wenyekuguswa

    • @janejames1899
      @janejames1899 6 лет назад +7

      Millard Ayo je wale tupo outside the country how can we help this son

  • @jacksonjoakim4115
    @jacksonjoakim4115 3 года назад +113

    Kama leo umeona leo huyo mtoto yuko shuleni gonga like nyingi mungu awabariki sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +54

    Mtoto anaakili sana, ni mdogo lakini ajifikirii mwenyewe bali na familia yake, nimempenda sana na kaniliza sana uyu mtoto, cjawahi kumuona mtoto mwenye hali ngumu na bado anachokipata yupo pamoja na familia yake, mama yao amefariki kwa kuangukiwa na nyumba, serikali yake na mtendaji hawajaliona hili jamani, mtajibu nini viongozi cku ya kiyama, cyo kuwa kaugua kafa bali kaangukiwa na nyumba, hata iliyopo bado ni mbovu sana, japo sote tutakufa, pole sana mdogo wangu😨😭😭😭 inauma sana kwakweli.

  • @reubenedward6559
    @reubenedward6559 2 года назад +15

    Huwezi ukatumwa shida ndio inakutuma na huwezi kwenda shule kusoma ukiwa njaa good Mungu bless huyu jiniaz tafadhal mtoto ana akili Hadi shetani anaona wivu 😃🙏🙏🙏🙏

  • @festonelee8509
    @festonelee8509 5 лет назад +28

    ''Baba akikucapa amna shida,alikuzaa, kabla wewe ni mtoto wake'' Anthony nakupenda sana,mungu akubaliki sana,God knows all your problems !

  • @johnmwanisenga5650
    @johnmwanisenga5650 5 лет назад +23

    Kweli mtoto huyu Mungu atamjalia maisha marefu kutokana na upendo wake kwa jamii na wazazi

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +21

    Kama hutopenda wazazi wako utapenda nan,,,,,Huwez kusoma kama umelala njaa 😭😭 God bless Smart Boy 🙏

  • @yusuphmadebari1987
    @yusuphmadebari1987 6 лет назад +205

    "huwezi kutumwa, shida ndio itakayokutuma" mtoto genius sana Huyu🙏🙏🙏🙏🙏

    • @salmaadam708
      @salmaadam708 6 лет назад +4

      yaaani,Dogo hatari sana

    • @chrispinemichael8062
      @chrispinemichael8062 6 лет назад +5

      Hakuna elimu kubwa duniani kama elimu ya mtaani by D knob

    • @neemajavan4125
      @neemajavan4125 6 лет назад +2

      Yusuph Madebari yani sana sijaona

    • @paulsylvester7877
      @paulsylvester7877 6 лет назад +2

      Yusuph Madebari dogo anakili sanaaa yaan daaaaa

    • @nasmarasheed8857
      @nasmarasheed8857 6 лет назад +4

      saaana anaakili huyu mtoto mungu amsaidie atakuja kuwa MTU mkubwa sana baadae

  • @musasiame2776
    @musasiame2776 6 лет назад +507

    acha like kama unamkubali huyu mtoto

    • @nasirapasical4685
      @nasirapasical4685 6 лет назад +1

      very very good

    • @manzis3275
      @manzis3275 6 лет назад +2

      @@nasirapasical4685 q

    • @marvinlibale9685
      @marvinlibale9685 6 лет назад

      Youre seizing the moment to satisfy your crave for attention aren’t u...ndugu yako anaumia and all you can do is beg for likes from random youbers right..? You should be arrested n thrown to the gallows

    • @valenciamusilah2533
      @valenciamusilah2533 5 лет назад

      Musa Siame goo

    • @valenciamusilah2533
      @valenciamusilah2533 5 лет назад +1

      good boy Aki ameweza

  • @hagaimtagwa9233
    @hagaimtagwa9233 3 года назад +15

    Baba akikuchapa haina shida kwa sababu yey ndio kakuzaa dah one love Antony mdogo wangu 😭😭😭 chozi limenitoka asee

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe3156 6 лет назад +40

    With all those difficulties you are going through but you remain positive to your family! You are actually a genius true leader! It's really touching. By any means we should support this child. The biggest lesson I got from this poor child is to be positive in life no matter how! We should stop blaming other people. Km tunamsaidia let's play our part and not judging other for their inconsiderate.

  • @eliaselieza2459
    @eliaselieza2459 3 года назад +36

    Anae tizama 2021 tujuane kwa likes

  • @shukriolati4633
    @shukriolati4633 4 года назад +12

    kisa ya mtoto huyu imenihuzunisha sana .MashaAllah Ana Akili Sana.
    Naomba Allah Amjalie Apate Usaidizi Zaidi....

  • @mukasadaniel3319
    @mukasadaniel3319 6 лет назад +14

    His fluency, word play and maturity in the way he responds is far beyond his age.. Bravo

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 3 года назад +93

    Kama umekuja nauku tena kuangalia tujuane jamani

  • @shirucate2535
    @shirucate2535 4 года назад +23

    I just cried.....felt so challenged by this boys duties...I envy him so much.May God open all ways for him.

    • @findinglela
      @findinglela 4 года назад

      Tough situations make one brighten the mind to survive

  • @eunicelumonya3325
    @eunicelumonya3325 6 лет назад +34

    😢😢😢 am in tear ooooh no.This boy has wisdom beyond his years

  • @austinematunga9141
    @austinematunga9141 5 лет назад +161

    it will be very shameful if the media left that place without helping this lovely soul

  • @ibrahimmasara7209
    @ibrahimmasara7209 4 года назад +11

    Mwenyezi Mungu amjalie mtoto huyu pamoja na familia Yao,, he is more than a teacher

  • @graceisaack1790
    @graceisaack1790 6 лет назад +32

    Huyu mtoto ana akili kuliko hata huyu mtangazaj anaemuhoji....kweli we dogo ni mwalimu hata kabla hujafika chuo!!🙌🙌

  • @yucabedgwaya7577
    @yucabedgwaya7577 6 лет назад +7

    Hongera sana Ayo T.V. Mungu ambariki Anthony Petro, maana ni mtoto wa kipekee. Shukrani

  • @wangariann9704
    @wangariann9704 2 года назад +2

    From Kenya. Na vile wengi wetu tuko na ma shamba na bado tunapngezea. What makes me happy Nile none will carry anything when we die. This boy anaomba tu a good shelter, Chloths n food for him n his family. Like the way anasema 'mungu akimnjalia', all his hope to God🙏

  • @sylviahmbithi4683
    @sylviahmbithi4683 6 лет назад +36

    GOD..I PRAY TO MAKE THIS FAMILY A LIVING TESTIMONY TO MANY

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Год назад +5

    Jamani nimerud tena kuangalia baada ya huyu mtoto kuwa darasa la 6 sasa mwenyez mungu ambariki sana aliemsaidia huyu mtoto jamani 😭😭

  • @angelajovin2020
    @angelajovin2020 5 лет назад +21

    I'm just crying Mungu wangu jaman🙏🙏🙏🙏Msikie uyu mtoto

  • @martinkoome4157
    @martinkoome4157 6 лет назад +29

    This is so emotional and no kid is supposed to go through all this. It's so sad such a gifted kid can't access quality education, food, shelter and clothing. My heart pains for this little angels and others. Wake up African governments and be servants of your people. Tap these brains and make our continent great.

  • @kigenkibet9225
    @kigenkibet9225 6 лет назад +82

    The wisdom in this child is above, I so hope Tanzanians are able to back this boy.

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 4 года назад +3

    shukrani za dhati kwa Ayo Tv najua kwa kumpa nafas ya kuzungumza mtoto Anthony wapo wenye moyo watamsaidia.. Neno kubwa alilolisema Anthon ni " KAMA HUJAMPENDA MZAZI WAKO UTAMPENDA NANI" Mungu akubariki

  • @joycewambui6957
    @joycewambui6957 5 лет назад +68

    May GOD remember that boy and BLESS him he mad me cry he is very strong and he never give up no matter what am Kenya but watching from Bahrain 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 3 года назад +7

    This is a great in comming leader. Iam impressed by his wisdom at his age. And the great faith in him he has mentioned God almost in every sentence in this conversation!

  • @nehemiah6494
    @nehemiah6494 3 года назад +2

    Who is here watching this legend again in 2021? Love from Kenya.

  • @watemaesua2621
    @watemaesua2621 6 лет назад +12

    He's just a kid but in his eyes you can see someone looking to fight for a brighter future. He already felt the responsibility already in his hand seeing that his father is getting old. God bless his family.

  • @peterobat1306
    @peterobat1306 6 лет назад +78

    Just in love with the kid.... He is even clever than the interviewer

  • @colmanonunga4977
    @colmanonunga4977 2 года назад +7

    "usipopenda babako, utapenda nani?" Touching.

  • @lilkimani4795
    @lilkimani4795 6 лет назад +79

    From Kenya,this kid is very clever and my prayers President Magufuli heard his cries.

  • @allannaftal5200
    @allannaftal5200 5 лет назад +10

    Mungu mtangulie huyu mtoto, hakika huyu mtoto atakuja kuwa na mafanikio makubwa sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 лет назад +15

    sikjua hii story,made me cry,niko UK,nitumie namba gani isyo ya utapeli nisaidie kidogo..we take life for granted....what a lesson fro this kiddo.Bless him

    • @lydiahbarongo5079
      @lydiahbarongo5079 5 лет назад

      I suggest uingie website ya Millard Ayo au Instagram yake atakufaa kumfikia Mtoto yule asante kwa nia yako ya kutaka kumsaidia

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 5 лет назад

      @@lydiahbarongo5079 namba haingii ndo maana nakua na wasi wasi kwamba,msaada utafikia mlengwa?nimejaribu Ayo pia,but,no response

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 5 лет назад

      @@lydiahbarongo5079 done so lakini,aint sure as u can see,most pple hawakuweza..thanz also..he really touched my heart

    • @diamondplatnumz4405
      @diamondplatnumz4405 5 лет назад

      broh milard ukipata email ata respond

    • @blackishhunter4104
      @blackishhunter4104 4 года назад

      erry deo duh

  • @christinekababy324
    @christinekababy324 6 лет назад +48

    pole sana Antony mungu atusaidie aki uweze kulea wadogo wako

  • @angienarsh9710
    @angienarsh9710 6 лет назад +84

    Mtoto: wewe waweza enda kusoma ukiwa umelala njaa😭😭😭😭😭😭,the interviewer has a long way to go,,,,,254 ndo home🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @precioussambale1964
    @precioussambale1964 5 лет назад +7

    Katika interview ya Millard Ayo ambayo huwa inaniliza Kila Mara nii hongera Sana kwakuwafikia wanyonge😭😭

  • @daudichrchristopher8564
    @daudichrchristopher8564 5 лет назад +56

    Uyu mtoto ana nitoa chozi hasa AKISEMA mama alikuwa wa mama wote 👍👍👍Shikamoo hakika ata mm namkumbuka mama japo nime kuwa mtu mzima😅😅😅

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy3571 6 лет назад +120

    Baba akinichapa hakunashid kwakua kanizaaa yaaani mtoto anabusara mpk rahaa

  • @hamidahHammy254
    @hamidahHammy254 2 года назад +7

    😭😭😭Ya Allah wakumbuke mayatima wote wabariki na uwaepushe na maovu...watendee mema tu🤲🤲🤲

  • @festuskathuki8229
    @festuskathuki8229 6 лет назад +15

    This boy has made me cry he can understand humanity far better than even some of us who think we know. He knows what is wrong and how to approach it; for instance he knows that selling the only land that belongs to them is bad, and that his father can cane him because he is his father. This is an angel, have never seen such a humanity in a person like i see in this boy.

  • @shakilahassani7377
    @shakilahassani7377 5 лет назад +14

    Mashaallah. Nimempenda uyu mtoto anamuongoza mungu kwakila hatua. Mwenyezi mungu hakufanyie wepesi utimize ndoto zako🙏

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 4 года назад +14

    So touching indeed...may God bless this young boy,,he's very clever

  • @estherkagechu7550
    @estherkagechu7550 6 лет назад +64

    Pole Antony you make me cry

  • @janemwende6154
    @janemwende6154 5 лет назад +8

    Nimelia Sana huyu mtoto ni kioo cha jamii....love from kenya

  • @MartinThomas-n2c
    @MartinThomas-n2c 9 месяцев назад +2

    Asante Sana Mwenyezi Mungu Akufanyie Wepesi Wewe Pamoja Na Familia Yako Mama yako Aendelee Kupumzika Kwa Amani Na Mwenyezi Mungu Ambaliki Baba yako Mpaka Pale Atakapo Yaona Mafanikio yako. 🙏🙏🙏@ Antony

  • @emmaangelinu6438
    @emmaangelinu6438 6 лет назад +7

    Am a namibian n i truly don't understand the language but the video can tell it's. Heart touching story, Lord have mercy on him...

  • @NorahMduda
    @NorahMduda Год назад +3

    Daaaa😢 mungu naomba unipe maisha marefu nilee wattoto wangu jaman inaumiza mnoo jmn mama wa muhimu mnooo mungu atakuongoza mtoto mzuriii😢😢😢

  • @neziadyona9902
    @neziadyona9902 2 года назад +2

    Nimempenda Hana ubaguzi kwa wazazi wake kama wangekuwepo wote angependa wote alichokisema , fantastic bright kid may God hear your cry

  • @iFFOKMedia
    @iFFOKMedia 6 лет назад +76

    From Rwanda (+250), I can only understand few swahili words but even this emotional video makes me feel like I'm understanding everything. May God help this family and this kid seems to be successful in the future.

    • @verokihawa2590
      @verokihawa2590 5 лет назад +1

      Yap

    • @halunamgalama3836
      @halunamgalama3836 5 лет назад +1

      Simba day

    • @peacemercy3413
      @peacemercy3413 2 года назад +1

      May God continue bless the family ,and the Nation to educate the children .Life without mother is so painful... this child is so great.I feel to him.God bless you!.

    • @christlife3540
      @christlife3540 2 года назад +1

      Hezagirwa

  • @carolinekinoti7914
    @carolinekinoti7914 4 года назад +12

    I am in tears sometimes i wish these kind of people were more fortunate but i know that God sees it all. God please help this family

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +12

    Mtoto anaakili sana Mungu awatunze

  • @nooor1120
    @nooor1120 4 года назад +12

    Maa shaa Allah huyu mtoto ana akili
    Allah akujaalieni maisha mazuri

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад +92

    Kiukwel huyu mtoto nmetokea kumpenda Sana pia kaniumiza Sana kutokana na maneno yake 😥😥

    • @asmabintikiwashatz9321
      @asmabintikiwashatz9321 6 лет назад

      hata mm vle nipo dubai ila ningekua tz ningeenda kumuomba huyu mtoto muhimu tujitolee kumsaidia

    • @dicksonissa5066
      @dicksonissa5066 6 лет назад

      Zenna Kailo
      Dogo.nomaaa

  • @wetuboyinthestreet
    @wetuboyinthestreet 5 лет назад +26

    Antony you make me cry ..... ingawa nmewatch hii video too late ...... kwa sasa nko mbali but inshaAllah ntakufuatilia alfu nkusaidie ......May you be showered with more wisdom and I pray your life will change

    • @dhdbdhdhdhm3860
      @dhdbdhdhdhm3860 5 лет назад

      Sheikh Abdirizaq Aley

    • @luciakabui3151
      @luciakabui3151 4 года назад

      Wacha kuenjoy mtoto! Mbali ni wapi? The world is a village my friend! You can send money from the north or south pole. Mtumie pesa. Your presence isn't necessary.

  • @essymasaa
    @essymasaa 6 лет назад +13

    This interview is so wanting.. what kind of questions are these? So nonchalantly asking about his mum and all that!!
    But God bless this child and his family 💔 may our good God who has good plans for us, for a hope and a future provide them and may their cup never run empty 🙏🏽🙏🏽

  • @kelg-ga400
    @kelg-ga400 6 лет назад +383

    hapo ndipo utajua kuwa watoto wa kimasikini tuna akili kuliko watoto wa kitajili

    • @fbhj443
      @fbhj443 6 лет назад +1

      full moves kwakweli

    • @nafisamohamad3182
      @nafisamohamad3182 6 лет назад +2

      full moves kabsa kulingana na zile changamoto mnazoziona katka maisha yenu ya kimaskini lazma ujitahidi kupambana sana kwaajili ya kuyabadilisha yale maisha unayoyaona hapo nyumbani inafkia siku unasema natamani kuishi maisha flani na uwezo hauna ndio sasa inabidi ung'ang'ane kadri uwezavyo ilimradi uyabadilishe maisha hayo uliokua ukiishi.

    • @issamohamed1253
      @issamohamed1253 6 лет назад +5

      Hilo ni Kweli watt wa kimaskini Tuko vzr sn.... Eti usipomjua magufuri we ni mrundi

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 лет назад

      full moves nikweli kabisa

    • @saidimkombe1380
      @saidimkombe1380 6 лет назад

      kweli kabisa

  • @christperson5717
    @christperson5717 4 года назад +21

    God will never leave his pple,he'll always be there for them.
    Thanks Tanzania media for airing this.You'll be blessed for the work you do.

  • @abdulsharafabdalla22
    @abdulsharafabdalla22 6 лет назад +112

    One day, my hand wil reach you Antony

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 6 лет назад +12

    tajiri mzuri sana wa baadae , MWENYEZI MUNGU mbariki Antony kwenye taaluma au kipaji chake aje atengeneze pesa nyingi xana

  • @manassehayako1820
    @manassehayako1820 5 лет назад +37

    Historians ya huyu mtoto yanitia machonzi..naomba Mungu ambariki.

  • @angiemuinde9446
    @angiemuinde9446 6 лет назад +11

    God thank you for the wisdom in this boy u are so wonderful! Bless him n his family. Grant my children wisdom like this.

  • @jenniferwanguigachihi7715
    @jenniferwanguigachihi7715 6 лет назад +36

    From 🇰🇪 my Allah bless that young prince at the end of his life my his dream come true

  • @gulamvira3644
    @gulamvira3644 4 года назад +4

    This young boy is blessed by God and he has high potential. If helped by good hearted people can help to educate him he may become a future leader or a successful business man more then that His dream is to become a teacher and educate his fellow students. Allah fulfils his dream

  • @silaskorir1379
    @silaskorir1379 6 лет назад +8

    Man I teared up watching this video,Mungu akujalie dogo,may all your wishes come to fruition, From kenya

  • @olivermusoga7336
    @olivermusoga7336 6 лет назад +13

    I love the courage of the kid, God bless him#kenya

  • @thabithmrisho6212
    @thabithmrisho6212 5 лет назад +5

    Mashallah!! Mtot anaakili e mungu mlinde MTT wako kadr ya mapenzi yako ili atimize ndoto zake amina

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 лет назад +207

    Uyu mtoto nitampa milioni mbili baada ya miezi miwili na nusu nikija Tanzania.

    • @faybaibe9023
      @faybaibe9023 6 лет назад +1

      shemela ruhinda and God will bless you

    • @faridymkandala1767
      @faridymkandala1767 6 лет назад +4

      shemela ruhinda inshaallah

    • @supertal2943
      @supertal2943 6 лет назад +9

      Ukitoa kwa mkono wa kulia hakikisha washoto HAUJUI !!!#shemela ruhinda

    • @claraemmanuel4169
      @claraemmanuel4169 6 лет назад +3

      shemela ruhinda na mimi nina shida na m1 tu ninunue mashine

    • @shemelaruhinda6113
      @shemelaruhinda6113 6 лет назад +5

      Clara Emmanuel Acha kejeri aikusaidii kitu

  • @Chillaxingpics
    @Chillaxingpics 6 лет назад +10

    It's a very emotional story,,,the boy is bright and a helper to his dad

  • @mercyalmasi5889
    @mercyalmasi5889 3 года назад +5

    This is too touching, Mungu amsaidie huyu mtoto ananiumiza sana japo yupo imara kupambana ila inaniumiza

  • @carokhavalagwe363
    @carokhavalagwe363 6 лет назад +15

    This boy removed my tears.

  • @realmeamyna30
    @realmeamyna30 6 лет назад +19

    so precious and amazing boy God bless him

  • @agneskitalima7928
    @agneskitalima7928 4 года назад +9

    Kwajili huyu dogo Ana akili ya maishaa🙏🙏 God help this young boy💓💓

  • @sylviaboyani7805
    @sylviaboyani7805 6 лет назад +10

    Oh my God🤔🤔 this child is just blessed with WISDOM

  • @moribovincent
    @moribovincent 6 лет назад +5

    This is where leaders should show there leadership and mercy to this brilliant mind... Goo dogo.. My prayers to you, your brothers and your dad...
    May God hear your cry

  • @glorykarim1570
    @glorykarim1570 3 года назад +22

    Sifa na utukufu tunakurudishia mungu wetu baba yetu wa mbinguni ahsante sana Mungu kwa kila kitu hapa duniani 🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @tedyo.cwrong5059
    @tedyo.cwrong5059 6 лет назад +33

    😢😢 that made me cry for real,
    He is like 7 years old but he was acting like 78 years old. God will be with him forever I wish to help him but I got no money I still a student😂😂

  • @estherbaxter5707
    @estherbaxter5707 5 лет назад +7

    Antony you are destined for greatness

  • @edwinkibet4779
    @edwinkibet4779 5 лет назад +33

    He's a blessing to his family, may God bless them so much. With love from Kenya.

  • @thesmilestv5302
    @thesmilestv5302 2 года назад +3

    Whoever listens to this,ukiwa na uweze kindly help this family....this is a genius boy indeed

  • @doreennyoka5910
    @doreennyoka5910 5 лет назад +9

    Only if I can understand this language God bless this child 😢🙏🙏

  • @everlinemsodah8783
    @everlinemsodah8783 6 лет назад +9

    Very inteligent boy, may God open doors for him and the family

  • @lungiao229
    @lungiao229 6 лет назад +12

    I'm crying I don't know what this child is saying but it's tuff God have mercy.🙏

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786
    @tazamamaajabuyaulimwengu2786 4 года назад +3

    Gonga like yako Kama umesikia neno kwajili......

  • @brendaluvanda3289
    @brendaluvanda3289 6 лет назад +11

    Am crying this boy is geneous may God have mercy on him

  • @denniskabui3128
    @denniskabui3128 6 лет назад +22

    This broke my heart

  • @princessshannia4215
    @princessshannia4215 4 года назад +6

    Allahuakbar , hakika Mungu atakuinua inshaallah 🙏😘

  • @philipngila9941
    @philipngila9941 5 лет назад +5

    Kutoka Nairobi Kenya nimempenda huyu Mtoto.. Tafadhali msaidieni

  • @aminaharapaharapah2174
    @aminaharapaharapah2174 6 лет назад +57

    It's so touching may Allah hear u'r cry Anthony

  • @gracemd2072
    @gracemd2072 5 лет назад +10

    This is serious 😢😢please try and help this intelligent young boy 👦🏿 I can’t hold my tears 😭

  • @albertmutenyu1163
    @albertmutenyu1163 6 лет назад +97

    What I know God is watching this family one day poverty will end

  • @celinemasinde1045
    @celinemasinde1045 5 лет назад +8

    woooii lord ,,,have mercy kwa orphans ,,,saidia uyu kijana pamoja na familia iliyo baki mungu wangu!

  • @esthernelson9514
    @esthernelson9514 4 года назад +7

    asantee mungu kwajili ya maisha yetu yote ya uai duuh nimeji kita nalia😭😭 tu

  • @daviddaniel1797
    @daviddaniel1797 6 лет назад +37

    unaweza kuhemea kama umekosa?
    Mungu kasikia Mdogo wangu

  • @carolinengugi2569
    @carolinengugi2569 2 года назад +3

    This child is genius highly knowledgeable at his age may God remember him and save him from his situation

  • @samsonmwaipwisi313
    @samsonmwaipwisi313 3 года назад +6

    Huyu mtoto hakika anajua nini anakifanya naamini atakuja kuwa mwalimu mzuri sana na kiongozi bora sana mungu yu pamoja nawe popote uendapo mdogo wangu

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 лет назад +60

    Mtoto anaakili sana jmn huyu Ni wakumsaidia2 hakika analeta ladha jins anavo oongea