Mashallah wanivutia kwamsimamo wako wadini ak nakuombea ALLAH akuhifadhi nakukujalia mkemwema inshaallah nakupenda bure Patrick Jihifadhi usiwekama wasanii wenzio walio jiharibu kitabia kisa ni usanii LOVE you ak💕
Sultana show Iko best than any show. Keep it up, I'm your best number one fan in Kenya and I wish you the best. Continue with your occupation of acting. I like it.
I really love this guy walahi,kijana mwenye hekima zake mpole na mwenye heshima anaonekana kwa mwonekano wake na mwendo na ni mcha Allah sana,, you're a good actor nakupenda sana #Othman wish to meet you one day face to face,,
Ndugu mtangazaji nna mashaka na ww unqvyojivunja vunja kwa mwanangu kwanza hiyo Miwani umeivaa Ili umuagalie yy tu yy asikuone mwanangu bado mdogo huyo usijivunje vunje hapo.
kama Kuna mtu aliemuona Patrik sauti na sura inataka kufanana na kanumba agonge like twende pamoja
Ndio
Huyu jj anaingiza Pazia Kama Jemo lakini real name Ni Othman Njaidi
Kabisa jamni haaa
Kunyoa pia
Kweli kabisaaa
Jamaa anajua kuongea vizuri,pliz kama umeliona hilo like naomba.
Othumani ni mpole ana heshima sana ok like it
Well behaved young man welcome to Kenya your acting is very impressive.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This man is highly talented. He's humble too.
Karbu kenya🇰🇪 Patrick we love you so much 💗❤💜♥💖
More love for you JJ or Jemo naipenda kazi yako wala sichoki kukufuatia ❤❤❤ following from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Karibu Kenya
Mashallah wanivutia kwamsimamo wako wadini ak nakuombea ALLAH akuhifadhi nakukujalia mkemwema inshaallah nakupenda bure Patrick Jihifadhi usiwekama wasanii wenzio walio jiharibu kitabia kisa ni usanii LOVE you ak💕
Big up Patrick Kenyans tunapenda kazi zako mkiwa wadogo pamoja na Jennifer
MashaaAllah kwakweli kakuwa huku kenya tunamuija Jeje kwenye sultana cetizen namependa sana kazi yao Allah awazidishie kila lahery
Huyu kijana naturally nimpole ,karibu Kenya young man and keep it up son!
Mpole sana walahi
Kabisa hajabalika toka utotoni wakiwa na kanumba
AKO Kenya angalia Citizen tv kipindi cha Sultana
Wow,anafanana kabisa na marehemu kanumba
Masha Allah karibu sana Adhuman ! Kenya Hakuna matata 💕💕
Jemo wa pazia
Karibu kenya
Patrick kanumba
Kama namuona kanumba vile
He is the reason i watch sultana 😁
JJ tunamenda kazi Yako sana songambele my Brother 🙏🇰🇪
Big up Bro Patric smart and nice actor 🤩🤩🤩😍😍😍
Kama support like for Bro Patric
Allah kakupa kila kitu jameni just say Alhamdulilah ❤️
Mtangazaji uwe na Adabu maswali unaemuuliza mtu ameshakwambia anapenda Heshima na juwa ana wazazi wanaangalia hiyo Habari
Huyu dada vipi,,,maswali mengine jaman au una Nia gan ???mwambie tu usiogope
Kaza kabisa kazi zizidi kiwaju nakuombe Mungu
Sultana show Iko best than any show. Keep it up, I'm your best number one fan in Kenya and I wish you the best. Continue with your occupation of acting. I like it.
Karibu Kenya 🇰🇪.....Nadhani huyu kijana atarudisha dhamana ya Bongo Movie jinsi ilivyokuwa wakati wa Marehemu Kanumba.....
🤣🤣ujui kwa nini wanaomba na kutuma jibu nzuri kaka✍
Jabali junior mwenyewe mob love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️💞💕♥️💖💗💓💚
Alaa kumbe jj ni mtz karibu sana 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪twapenda sana Sultana
This guy is amazingly intelligent wise and most of all self-effacing
Utafika mbali Bro
Utakuja kua mtukufu nchini TZ
Nikumbuke🌍👍
Masha Allah karibu sana zaidi ya sana Kenya 001
My favorite sultana actor, love from Kenya
This man is so talented I love him❤
Sisemi kitu waaah wafanana na marehemu kanumba mungu akuitie nguvu wendeleze kuingiza na mungu akubariki amen 🙏🙏🌹
N mimi naona hvyo kun mfnano
Like twende pamoja
Sai amefanana kanumba sana
Wooow finally umefika Kenya karibu kwetu Kenya ukiona uzuri pia mpashe mwenzio Jennifer naye pia atembee
Na wapenda sana mkiwa pamoja
Wooow,,,I like how you do your part in Sultana,,,,thumbs-up
Nipewe kama ako single natokea Mombasa I🙈🙈🙈🙈
Hongera sana unafanya vizuri nafatilia pazia vizuri congratulations jem 💪💪💪💪🥳🥳🥳🥳🔥
Welcome to Kenya much and mob love from this side,❤️❤️
Patrick hayo macho kwa mdada nahuyo dada kwa sauti hiyo sielewi
👌👌😂😂
waaah!!! Kumbe Patrick ndio jj,, kweli Mungu ni mkuu
Napenda anavongeaga
Oya tongoza uyo mdada kakuelewa anashindwa kukuchana uwon anajibebisha 💕💕💕💕💕💕💕
Kweliii
Ha ha ha
Welcm Kenya 001 Patrick mob love kwako ❤️
Una hekima sana OJ. I like that 👏👏👏👏 Karibu Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Karibu kenya
karibu kenya nakuangalia kutoka Lebanon muoe sultana umpeleke Tz
Patric VC és muito parecido com seu tio Steven kanumba, parabéns 💪 love you, Moçambique 🇲🇿
Welcome to Kenya were bro 👏👏👏
Mtanashati Kuongezeaa I Love You Jei Jey
Karibu sana kanumba mdongo 🙏
Kijana mwenye hekima zake feel at home anytime you're Kenya I like any of your movie acting.
Welcome jj in kenya .you are a nice actor in sultana congrats
Congratulations jj mungu akuzidishie ufanye zaidi y hayo
I love your work Patrick kanumba ❤
Vizuri sana kaka.karibu tena kenya.unakaa mta..mu sana.nimekupenda kaka naomba no.uko handiiiii sana
Huyu acha tu ni kanumba kabiza sura ,meno Hadi smile 💯
MashaAllah...u r fasting don't answer the question...🙏🙏🙏
JJ I like the way unà act wewe ndio unafanya nikifuatilia sultana Kila siku na unapenda sultana sana keep up
Tunakupenda JJ ....on sultana you make it so lite🔥🔥🔥 wakenya tunakupenda
Welldone Jj, may God protect you fr all calamities of your close friend live long you resemble Steve kannnumba, big up boy
Kijana pale sultana kazi nzuri jameni
U r welcome more end most in Kenya...our Lovely Country
Well done Othman
Mob love bro ..welcome to kenya
You are the best kaka braza keep it up.
Sultana is my favorite right now ❣️big up
Much love 😍 from kenya
Patrick ananenepa uku congo tuna mujua jina yake Patrick kanumba nakupendaga sana
Sauti ni ya kanumba kweli sura ni ya jj
Welcome to kenya big up sana I like the way ur playing ur part
Huy jamaa akikaza kikwel anaouwezo wakuchukua kama sio kutaifisha nafas ya Steven Charles kanumba 👍👍👍👍
Wew mzur angekuwep baba yako kanumba had raha🤔🤔
Kwani huyu ni mtoto wa kanumba
@@nassirmohamed8492 siy wake ila toka akiwa kweny movie watu tunapend kumuita Patrick kanumba namanisha angekuwep kanumba had rah.
Lakini Patrick ni handsome jaman
Sana uwiii😅
@@nancyg8664 mna mtaka ?
@@dismasstanslaus5985 eee
@@nancyg8664 nikutumie namba zake ,
Talented and blessed young man🙏 i love him ❤
JJ...chapa kazi beautiful ones not yet born... put this in your mind!!
I really love this guy walahi,kijana mwenye hekima zake mpole na mwenye heshima anaonekana kwa mwonekano wake na mwendo na ni mcha Allah sana,, you're a good actor nakupenda sana #Othman wish to meet you one day face to face,,
Weweee navyokuona ukimpata kijana huyu sijui utamfanya nini🤣🤣🤣 Inakaa ni crush wako
@@shemnyaka walahi tena si chocha mbona nidanganye yanitoka moyoni hizi ni hisia siwezi ficha
I'am Evalyine Salama from Kenya
Big up welcome to kenya
Tunakupenda JJ
I like your answers
Nakupenda bure
Welcome to Kenya much love 🇰🇪🇰🇪
Welcome to Kenya JJ
Amefanana na kanumba ni bro wake ama?
Very handsome young man
Maashaallah allah akukalia kila lakheri
Kazi nzuri JJ
Lkn nakuomba umuoe Sultana beautiful
Love u kanumba Patrick god bless u more
Pls God with capital letters
Wamefanana sana nakanumba
Very humble man
Nakupenda bure😊patlk jj
Hi salimia jjj tunampeda tunaona tukiwa isiolo no mama aurora shabiki sana wa sultan
Ma Sha Allah, Allah akuzidishie rizk na akujaalie upate mke mwema In Sha Allah
Anafaya vizuri sana kipaj ancho
Mashallaa karibu kenya🥰
Well come Kenya 🇰🇪
Sultana damu ❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Napenda Sana walivyoigiz kenya
I like it
Karibu kenya jisikie huru Bro
Ndugu mtangazaji nna mashaka na ww unqvyojivunja vunja kwa mwanangu kwanza hiyo Miwani umeivaa Ili umuagalie yy tu yy asikuone mwanangu bado mdogo huyo usijivunje vunje hapo.
You are good in acting
Talented & blessed young man, bringing joy to all of us old & young
Assalamu Alykum warhamatullah wabarakatuh
Patrick unekano wake nahiyo ana ongeya Yana fanana kabisa yu very serious namupenda sana huyo kijana
Karibu Sana Kenya pia mungu akujalie upate mke Kenya uoe