HATORUHUSIWA MTU KUINGIA NA SILAHA, SGR HAIKUJA KUCHUKUA NAFASI YA TRENI YA ZAMANI, MKURUGENZI TRC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Mkurungenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa leo amefanya uzinduzi kampeni la Reli Tanzania Jijini dar es salaam ambapo lengo ni kuelekea safari za Treni ya SGR inayotarajiwa kuanza July mwishoni huku akieleza kuwa Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya treni ya zamani na kuwaonya wale wanaotaka kuhujumu mradi

Комментарии • 67