Polisi Dodoma ilivyombananisha mkulima wa bangi “Nilienda kwa mganga”
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Kamanda wa Polisi Dodoma Gilles Muroto alifunga safari hadi katika msitu wa Wotta uliopo kijiji cha Mwanawotta Wilaya ya Mpwapwa mkoani humo na kuendesha Operation ya kufyeka na kuchoma mashamba ya bangi ambapo pia katika tukio hilo Askari walifanikiwa kumkamata mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Luagala mwenye umri wa miaka 51 kwa tuhuma za kujihusisha na kilimo cha zao hilo.
kama huwa mnatumia hicho kiungo cha mboga gonga like
mbona huyu mzee hkuna haja ya kumfunga pingu,Tufanye research tujue why watu walime bangi badala ya mazao mengine?
mtanzania mzalendo acha uk... hyo hairuhusiwi.... akalime karanga.. aache upunguani
Best comment ever
Uko sasa
Sasa mnachoma bangi mpo hapo c mnavuta na nyinyi😂😂😂😂😂😂
vizuri afande KO mesh a wamezidi
Habily BoyTz ha ha ha watatangulia wenyewe kituoni kujishitaki
+Zainab Boo sawa na ww lima upate tabu
Habily BoyTz kweli kabisa😯😂😂😂😂😂😂
Hapana! Ni mpaka ivutwe jinsi inavyotakiwa.
Mungu akulinge na akuweke kamanda kazi mzr sana piga kazi baba 🙏
huyo mzee dish sidhan kama liko sawa
Kalima kubwa asee, uo utajiri wake
RPC Murotto maswali yako huwa yananikosha sana
Science Arusha Kamanda hata Me namkubali
Science Arusha HANA KAZI....ANAACHA MASUALA YA KIUSALAMA ANAKIMBILIA KESI ZA BANGE??? KWANI JESHI LA POLISI HALINA MSEMAJI??MZEE MSAKA KIKI TU HUYU HANA JIPYA NA SURA YAKE KAMA BUNDUKI
daaah nani hapo mzee sasa halafu nyinyi mnawakamata hao watoto wakati mapapa mnawaacha wanao uza madawa ya unga
Bangi is medicine
Safi sana kamanda 🙏
Daah inawezekana Uyu ndie aliyekuwa anamuuzia Wema Sepetu na Rayc maana sio mchezo hizo ni nomaaa
watanzania nawambien ukwel hua naumia napowaona wez kama kina tibaijuka,change,nawengine wakitamba mtaani lkn masikini wakifanywa ivo,mungu tuokoe.
Daa! inaskitisha kweli
Bangi tamu sanaaaa ,Mimi naipenda mno
Juma Shabani acha utaahira wewe sifa za kijinga
😂 😂 Njooni mumkamate uyu ukuuuuuu
Juma Shabani yaani napata kaharufu kwa mbaaalii duuuu utamu Wa bangi banaaaa
😢njoo uchukue cha arusha
kazi nzuri.
Muacheni tu maana hana msaada
Kwenye kushika bangi namba moja VP wezi na mafisadi walioiba taifa na mnawajua
Polisi ni Kama nyumbu
RPC murotto hkk unambana mtu ile ile hkk maswali yk nimeyapenda kazi nzuri kamanda nakubari na na mm naunga mkono juu ya hilo
wa mtwara ongera sana jeshi la polic
siasa,,,
Nakubali
Wangapi mnafurahishwa na kamanda muruto kwa mikato yake,, ya kuuliza maswali
Deey Salvado mm nampongeza
Deey Salvado 😂😂😂 watapata tabu sana
Deey Salvado i
Deey Salvado mm
Deey Salvado mi binafsi nape da maswali ya Rpc
Ligalise it....... In love with weed from kenya
hongera
Hiyo ni dawa ya degedege. Mkakamate wauwaji na watekaji. Konyagi ina madhara kuliko bangi.
Medication
Mahouse gelo
bangi mimea t kam mimea nyengine mbn wasanii wakubwa hwakmatw n wnvuta bangi kam afande sele
mnafanya kazi nzuri,lkn kwann msiwakamate mafisadi nawezi Wa escro ambao kila MTU anajua waliiba nchi nzima na nchi ishudie wakifungwa na sio kuishia mahabusu nn manake.
Kwel kabisa wakamate na mafisadi
Katazeni sigara,ruhusuni bangi,Bangi Haina madhara yoyote,tafuteni daktari yeyote awaambie,bangi haina madhara
Mzee mroto nakukubari sana sana
Mngekuwa mnawakamata nawanao kula hela za umma zingependeza
KAZI. IPO
Ongera Sana kamanda kwalazi unazozipiga lkn angalia wasikuue maana unaokiereere sana
Huyu dingi namkubali sana, Tanzania maafisa wote wawe na moyo wa kulipenda Taifa kama alivio basi, kwa kila MTZ atapata amani.
Ajira hakuna jamani akiiba nizambi napia bangi ndo inamfanya endeshe maisha yake chaku ishauli selikali kama wamekata bangi napia hawataki aendelee na kulima bangi inabidi wampe mtaji ili aweze kuendesha familia yake maana kwa umli alio fikia hawezi kufanya biashala nyingine zaidi ya bangi mazao hayana faida napia hakuna bei lasmi ya mazao
Ingekuwa dhahabu ingekuwa ya police ila kwakuwa nibangi basi niyako mzee wey weka tu mkono juuh
Hapo mm ndoo nachoka wangekuwa vijana mnasema vijana umri mdogo kama huu ndoo mnajishilikisha na kulima bangi wawe na mri mkubwana umri mkubwa ndoo unajishikisha na kula bangi sasa walime wa umri gani
Mh raisi aliagiza askar wake wasifyeke bangi.kamanda kamata kijiji chote vitu vngne haviitaji huruma afande mtoro
izi ndizo mambo za kudanganyana eti kacha bani kumbe kawa muzaji
Polen mungu awape kaz za kufany zipo nying
Bangi hiyalalishwe n ipande beai uwone km watu watatumia
Nambn sijawahi muon mtu aliye haribik kwakuvuta bangi
Bangi ni mbaya kwakwel
Sio vzur kumzalilisha huyu baba masikin mbona matajir wanaouza madawa ya kulevya hamuwasubui na wengine ni wafanyakaz serikalin au Kwa sababu Sheria inabagua inatekelezwa Kwa masikin tu, kama angekuwa kigogo asingedharirishwa
Afande mbona na ww kama una vuta bangi nikiona sura yako
Muroto go Back to school na ufanye reseach,Bangi ni Dawa! Wazungu wanawadanganya wakati huku ulaya ndio Bangi wanatengeneza dawa,nakuja kuwauzia, Hao washamba kama Muroto! Nenda Uganda wanalima Bangi kwa ajili da dawa!
Aah huyu kamanda bhana ana sifa sana kwenye mambo yasiyo na maana
Sample amepatikana dah
Kazi nzuri
baba wwatu mumuache kuna vitu vingi sana vipo kwenye jamii mbona hamuvikemei
Wanaharibu hela hawa!
jamani bangi sio mbaya mbn gamaika wanatumia mfano bob male ilikuwa anavuta bangi na kacha history kubwa duniani tufanye uchunguz kubain bangi pengine ni tiba
Aliye mpiga lisu mmeshampata au?
BOLIZOZO SHIRIMA ,?????????????
BOLIZOZO SHIRIMA hahaaa
Lisu acha afie mbele
+Isack Baton ww utaish milele punda ww
huyu Mzee anapenda camera
kweli kwahuyu mzee kamera kwake kiki tosha
Jeremiah Sengasu 😂😂😂umeonae
hadi anakera
😂😂😂😂😂nimeshuka kwenye comment niseme hivyo nikakuta mshasema😂😂😂😂 au anatafuta msemo mwingine
Jeremiah Sengasu Mzee Tupi anapendwa Kramer’s au huoni anaopiga kaz? Au unaweza kupigwa kaz kama yake?
Na pombe nayo wangekuwa wanafanya kama wanavyofanya kwenye bange nchi ingesonga mbere maana pombe baya kuliko bangi
Kamanda huyu no safi sana
Ila apo kunamaafande wanavuta mkuu
Hapanakabisa kamanda katakabis hatari hio
Dah, shaza zinapigwa moto hadi roho inaniuma
Dodoma mtapata tabu saana maana huu moto wa RPC wenu sopoaaa!!!
Sasa mnachoma weezenu watengeza pesa Duniani Haina haja kuwataja ,Pia ya kutumia ,?uliza Agrey mwanri Alie kua mkuu was mkoa waTabora
.
yaani imestawi mpka natamani,il hapo kapata hasara kweli
Kamanda muroto ninoma ukiingia kwenye kumi na nanezake umeenda ndugu yangu
Kwelii kamanda wanakua wamelegea
Hawa jamaa si walikatazwa kuchoma na kung'oa bangi wakiwa na sare za jeshi.
Jmn siyo poa ivyo ...we kamanda ☹️☹️
Kilimi cha kawaida mnazuiaa watuu kuuza njee...na bado mauxo ya ndan makodi kibaaoo sa mtu afanyeje sasa..
RPC upo vizuri
Bangi dawa ya wtoto mulize bangine mboga
Sasa unamius nni bangi yake mpeni kazi basi Maisha yake nimagumu
Moshi nao vipi apo sikuvuta pia au mm ndio sielew
Huyu kamanda ana maswali ya mitego balaa😁😁😁😁
#kwa nn tusilime tukasafilisha ktk nchi ambazo wanatumia bangi?
juzi raisi kasema asikari msikate bangi alielima na wanakijiji wa sehemu hiyo ndo wazikate
Mwachen
😁😁😁umze ana nifurahisha sana
Ifanywe zao la biashara
Tumekusi afande
Punguzeni kodi basi.. Watu tuchape kazi
RPC anaweza fukuzwa kazi baada ya kuupuza agizo LA rais
Rais alisema hajaajil polis kwa ajil ya kufyeka bangi
Ukikuta shamba LA bangi kama wa husika au kijiji kizima wafyeke mpaka mwenye shamba apatikane
Kamanda katumia polis kufyeka bang kuchoma
Polis wametuta bangi Leo kupitia moshi
mzee acha kuuliza maswali mengi huyo ni mzee mwenzio
unatetea liba nawakat wewe umeisoma dini tukufu mbona Kaz ziponyingitu wewe matangazo yalibayanini mcheallah achana naliba achana namatangazo yamuzik
Amen and Amen jesus
Mi nina swali nisaidieni wadau.hivi hapo wanapochoma bangi hyo yote huo moshi wakiuvuta hauwazulu? Au mpaka bangi iwe kavu? Mana naona hapo huyo afande anaechoma anajifanya anawasha kiberiti mara mbili huku moshi unamfunika usoni wala hakwepeshi😂😂😂.huo moshi si haujawadhuru hao walichoma na majirani kweli?
Anny Onesmo mmm
Anny Onesmo Lol
Hivi Rais alisema askari wasikate bangi au nilisikia vibaya...amedharau amri ya mkuu wa nchi
Kwetu mpwapwa kwa bangi hatujambo 😁😁
Huyu babu ni muigizaji kweli kweli yaani kanikumbusha majuto marehemu
Wata pata tabu sana na rudia tena wata pata tabu sana iseeeee hahaaaaaa nakukubari sana mzee Mroto
Mkasome bangi ni dawa! Na dawa ya kichwa au maumivu inatengenezwa na Bangi! Huku ulaya wazungu wasiwadanganye, wewe mkuu wa polisi hujui chochote, please mulize raisi Magufuli amesoma sayansi,atakwambia hiyo dawa hata waganda wanajua.
Ila mheshimiwa Raisi ameshakataa Polisi wake kwenda kukata bangi
huu ni uonevu madawa ya kulevya una yaacha. nyinyi ndo eaingizaiji bangi ndo munajitia mupo makini
Bangi ni dawa isipokuwa wengi hufanya mambo ndio wasifiwe , lkn mbn Askari wachome mali ya mtu na baadaye utawaona wakinunua hizo bangi
Afande mbwa koko raisi magu alishasema hataki kiona asikali wake wanafieka bangi sasa ww unaludi hukohuko kwenye makosa
Harafu bangi ni dawa Mwenyezimugu hakuteremsha vitu kwa makosa mungu ni mkamilifu kwa kilakitu kuliko binadamu Tanzania etabaki kuwa inchi masikini duniani
Daah atar vuta tu Babu usiuze
unafeli kamanda bangi tam mnoo mwachie tu. jaman a MWe. we kamanda misifs
hii ni ya lini mnakiuka maagizo ya mkuu was Kaya askari wasikatishwe bangi wakusanyeni watu was maeneo hayo wakafyeke ili wamlaumu aliyelima agizo LA mkuu wa kaya ni amri.
Kwan mmesahau maaagizo ya JPM ya kuacha kukata bangi wakate wenyew..
Mzee anaumwa mafua
ila ukweli ni kwamba bangi na konyagi ; hailife haina tofaut jmn ni bora waruhucin kutumia ila wasizidishe
Apo dodoma sehem gn mbn kun kjan kbch sana duh
Rais alisema polis wasifyeke bangi. Alisema kamata kijiji kizima wafyeke
Mzee wa media