Polisi Dodoma ilivyombananisha mkulima wa bangi “Nilienda kwa mganga”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Kamanda wa Polisi Dodoma Gilles Muroto alifunga safari hadi katika msitu wa Wotta uliopo kijiji cha Mwanawotta Wilaya ya Mpwapwa mkoani humo na kuendesha Operation ya kufyeka na kuchoma mashamba ya bangi ambapo pia katika tukio hilo Askari walifanikiwa kumkamata mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Luagala mwenye umri wa miaka 51 kwa tuhuma za kujihusisha na kilimo cha zao hilo.

Комментарии • 288

  • @vyakula_na_tiba4997
    @vyakula_na_tiba4997 6 лет назад +4

    kama huwa mnatumia hicho kiungo cha mboga gonga like

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад +36

    mbona huyu mzee hkuna haja ya kumfunga pingu,Tufanye research tujue why watu walime bangi badala ya mazao mengine?

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 6 лет назад +53

    Sasa mnachoma bangi mpo hapo c mnavuta na nyinyi😂😂😂😂😂😂

    • @karimmwinakarimmwina7560
      @karimmwinakarimmwina7560 6 лет назад +1

      vizuri afande KO mesh a wamezidi

    • @zainabboo3205
      @zainabboo3205 6 лет назад +1

      Habily BoyTz ha ha ha watatangulia wenyewe kituoni kujishitaki

    • @destiny4life439
      @destiny4life439 6 лет назад +1

      +Zainab Boo sawa na ww lima upate tabu

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 6 лет назад +1

      Habily BoyTz kweli kabisa😯😂😂😂😂😂😂

    • @deadcrush
      @deadcrush 6 лет назад +1

      Hapana! Ni mpaka ivutwe jinsi inavyotakiwa.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Месяц назад

    Mungu akulinge na akuweke kamanda kazi mzr sana piga kazi baba 🙏

  • @EDGAR-i3z
    @EDGAR-i3z 11 месяцев назад +2

    huyo mzee dish sidhan kama liko sawa

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 4 года назад +1

    Kalima kubwa asee, uo utajiri wake

  • @sciencearusha5951
    @sciencearusha5951 6 лет назад +29

    RPC Murotto maswali yako huwa yananikosha sana

    • @fredymagida7382
      @fredymagida7382 6 лет назад +3

      Science Arusha Kamanda hata Me namkubali

    • @myself4128
      @myself4128 6 лет назад +1

      Science Arusha HANA KAZI....ANAACHA MASUALA YA KIUSALAMA ANAKIMBILIA KESI ZA BANGE??? KWANI JESHI LA POLISI HALINA MSEMAJI??MZEE MSAKA KIKI TU HUYU HANA JIPYA NA SURA YAKE KAMA BUNDUKI

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele5414 6 лет назад +13

    daaah nani hapo mzee sasa halafu nyinyi mnawakamata hao watoto wakati mapapa mnawaacha wanao uza madawa ya unga

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 6 лет назад +1

    Bangi is medicine

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +2

    Safi sana kamanda 🙏

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 лет назад +1

    Daah inawezekana Uyu ndie aliyekuwa anamuuzia Wema Sepetu na Rayc maana sio mchezo hizo ni nomaaa

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 лет назад +5

    watanzania nawambien ukwel hua naumia napowaona wez kama kina tibaijuka,change,nawengine wakitamba mtaani lkn masikini wakifanywa ivo,mungu tuokoe.

  • @jumashabani7068
    @jumashabani7068 6 лет назад +13

    Bangi tamu sanaaaa ,Mimi naipenda mno

    • @charlesmushi5350
      @charlesmushi5350 6 лет назад

      Juma Shabani acha utaahira wewe sifa za kijinga

    • @josephmtenga582
      @josephmtenga582 6 лет назад

      😂 😂 Njooni mumkamate uyu ukuuuuuu

    • @petromwinyi4955
      @petromwinyi4955 6 лет назад

      Juma Shabani yaani napata kaharufu kwa mbaaalii duuuu utamu Wa bangi banaaaa

    • @EricMligo
      @EricMligo Месяц назад

      😢njoo uchukue cha arusha

  • @saidishehoza150
    @saidishehoza150 6 лет назад +1

    kazi nzuri.

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 6 лет назад +9

    Muacheni tu maana hana msaada

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 лет назад +3

    Kwenye kushika bangi namba moja VP wezi na mafisadi walioiba taifa na mnawajua

    • @EricMligo
      @EricMligo Месяц назад

      Polisi ni Kama nyumbu

  • @mzikiwetulyricsofficiall5003
    @mzikiwetulyricsofficiall5003 5 лет назад

    RPC murotto hkk unambana mtu ile ile hkk maswali yk nimeyapenda kazi nzuri kamanda nakubari na na mm naunga mkono juu ya hilo

  • @hashimuchikayuma
    @hashimuchikayuma 4 месяца назад

    wa mtwara ongera sana jeshi la polic

  • @posterfarjarman967
    @posterfarjarman967 2 года назад

    siasa,,,

  • @danielpaschal554
    @danielpaschal554 6 лет назад +1

    Nakubali

  • @alhabibunjuu715
    @alhabibunjuu715 6 лет назад +33

    Wangapi mnafurahishwa na kamanda muruto kwa mikato yake,, ya kuuliza maswali

  • @khadijayasir8532
    @khadijayasir8532 4 года назад

    Ligalise it....... In love with weed from kenya

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 6 лет назад

    hongera

  • @landlord440illuminate8
    @landlord440illuminate8 6 лет назад +11

    Hiyo ni dawa ya degedege. Mkakamate wauwaji na watekaji. Konyagi ina madhara kuliko bangi.

  • @_.andy1andy685
    @_.andy1andy685 4 года назад

    Medication

  • @HalikiRasuli-ko9rv
    @HalikiRasuli-ko9rv 6 месяцев назад +1

    Mahouse gelo

  • @abdulrazakshaali4994
    @abdulrazakshaali4994 3 года назад +1

    bangi mimea t kam mimea nyengine mbn wasanii wakubwa hwakmatw n wnvuta bangi kam afande sele

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 лет назад +6

    mnafanya kazi nzuri,lkn kwann msiwakamate mafisadi nawezi Wa escro ambao kila MTU anajua waliiba nchi nzima na nchi ishudie wakifungwa na sio kuishia mahabusu nn manake.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 года назад

      Kwel kabisa wakamate na mafisadi

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 5 лет назад

    Katazeni sigara,ruhusuni bangi,Bangi Haina madhara yoyote,tafuteni daktari yeyote awaambie,bangi haina madhara

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 лет назад

    Mzee mroto nakukubari sana sana

  • @yasinamos3365
    @yasinamos3365 Месяц назад

    Mngekuwa mnawakamata nawanao kula hela za umma zingependeza

  • @AminosALLY-ub5gw
    @AminosALLY-ub5gw 2 месяца назад

    KAZI. IPO

  • @goodnessexcellence707
    @goodnessexcellence707 6 лет назад +1

    Ongera Sana kamanda kwalazi unazozipiga lkn angalia wasikuue maana unaokiereere sana

  • @haikam4272
    @haikam4272 6 лет назад +1

    Huyu dingi namkubali sana, Tanzania maafisa wote wawe na moyo wa kulipenda Taifa kama alivio basi, kwa kila MTZ atapata amani.

  • @yahayaalex6605
    @yahayaalex6605 6 лет назад +1

    Ajira hakuna jamani akiiba nizambi napia bangi ndo inamfanya endeshe maisha yake chaku ishauli selikali kama wamekata bangi napia hawataki aendelee na kulima bangi inabidi wampe mtaji ili aweze kuendesha familia yake maana kwa umli alio fikia hawezi kufanya biashala nyingine zaidi ya bangi mazao hayana faida napia hakuna bei lasmi ya mazao

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 года назад

    Ingekuwa dhahabu ingekuwa ya police ila kwakuwa nibangi basi niyako mzee wey weka tu mkono juuh

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 лет назад

    Hapo mm ndoo nachoka wangekuwa vijana mnasema vijana umri mdogo kama huu ndoo mnajishilikisha na kulima bangi wawe na mri mkubwana umri mkubwa ndoo unajishikisha na kula bangi sasa walime wa umri gani

  • @babawa2633
    @babawa2633 6 лет назад

    Mh raisi aliagiza askar wake wasifyeke bangi.kamanda kamata kijiji chote vitu vngne haviitaji huruma afande mtoro

  • @kikameme5054
    @kikameme5054 6 лет назад +2

    izi ndizo mambo za kudanganyana eti kacha bani kumbe kawa muzaji

  • @abelbiswaro8018
    @abelbiswaro8018 6 лет назад

    Polen mungu awape kaz za kufany zipo nying

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 года назад

    Bangi hiyalalishwe n ipande beai uwone km watu watatumia
    Nambn sijawahi muon mtu aliye haribik kwakuvuta bangi

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 4 года назад +1

    Bangi ni mbaya kwakwel

  • @nasraKauzeni
    @nasraKauzeni 4 месяца назад

    Sio vzur kumzalilisha huyu baba masikin mbona matajir wanaouza madawa ya kulevya hamuwasubui na wengine ni wafanyakaz serikalin au Kwa sababu Sheria inabagua inatekelezwa Kwa masikin tu, kama angekuwa kigogo asingedharirishwa

  • @EricMligo
    @EricMligo Месяц назад

    Afande mbona na ww kama una vuta bangi nikiona sura yako

  • @lamalama5239
    @lamalama5239 5 лет назад

    Muroto go Back to school na ufanye reseach,Bangi ni Dawa! Wazungu wanawadanganya wakati huku ulaya ndio Bangi wanatengeneza dawa,nakuja kuwauzia, Hao washamba kama Muroto! Nenda Uganda wanalima Bangi kwa ajili da dawa!

  • @farajibugi9924
    @farajibugi9924 6 лет назад

    Aah huyu kamanda bhana ana sifa sana kwenye mambo yasiyo na maana

  • @joshuapaschal5541
    @joshuapaschal5541 5 лет назад

    Sample amepatikana dah

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад

    Kazi nzuri

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 4 года назад

      baba wwatu mumuache kuna vitu vingi sana vipo kwenye jamii mbona hamuvikemei

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 Год назад

    Wanaharibu hela hawa!

  • @sojaruben1757
    @sojaruben1757 3 года назад

    jamani bangi sio mbaya mbn gamaika wanatumia mfano bob male ilikuwa anavuta bangi na kacha history kubwa duniani tufanye uchunguz kubain bangi pengine ni tiba

  • @bolizozoshirima8088
    @bolizozoshirima8088 6 лет назад +14

    Aliye mpiga lisu mmeshampata au?

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 6 лет назад +14

    huyu Mzee anapenda camera

    • @ayubudaniel8222
      @ayubudaniel8222 6 лет назад

      kweli kwahuyu mzee kamera kwake kiki tosha

    • @saidkaoneka2648
      @saidkaoneka2648 6 лет назад

      Jeremiah Sengasu 😂😂😂umeonae

    • @omarymbalala6224
      @omarymbalala6224 6 лет назад

      hadi anakera

    • @linussebastian6856
      @linussebastian6856 6 лет назад

      😂😂😂😂😂nimeshuka kwenye comment niseme hivyo nikakuta mshasema😂😂😂😂 au anatafuta msemo mwingine

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 6 лет назад

      Jeremiah Sengasu Mzee Tupi anapendwa Kramer’s au huoni anaopiga kaz? Au unaweza kupigwa kaz kama yake?

  • @SHELYnaitakiasimbaushndipointB
    @SHELYnaitakiasimbaushndipointB 3 года назад

    Na pombe nayo wangekuwa wanafanya kama wanavyofanya kwenye bange nchi ingesonga mbere maana pombe baya kuliko bangi

  • @hamisimarandu5627
    @hamisimarandu5627 6 лет назад

    Kamanda huyu no safi sana

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 5 лет назад +1

    Ila apo kunamaafande wanavuta mkuu

  • @MkendaMchungaji
    @MkendaMchungaji Год назад

    Hapanakabisa kamanda katakabis hatari hio

  • @raygunmaterial1344
    @raygunmaterial1344 6 лет назад +1

    Dah, shaza zinapigwa moto hadi roho inaniuma

  • @emmanuelkayogolo9397
    @emmanuelkayogolo9397 6 лет назад +1

    Dodoma mtapata tabu saana maana huu moto wa RPC wenu sopoaaa!!!

  • @charlesgithiri0017
    @charlesgithiri0017 3 года назад

    Sasa mnachoma weezenu watengeza pesa Duniani Haina haja kuwataja ,Pia ya kutumia ,?uliza Agrey mwanri Alie kua mkuu was mkoa waTabora
    .

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 лет назад +2

    yaani imestawi mpka natamani,il hapo kapata hasara kweli

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan5814 Год назад

    Kamanda muroto ninoma ukiingia kwenye kumi na nanezake umeenda ndugu yangu

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 6 лет назад

    Kwelii kamanda wanakua wamelegea

  • @ausimbwana26
    @ausimbwana26 6 лет назад

    Hawa jamaa si walikatazwa kuchoma na kung'oa bangi wakiwa na sare za jeshi.

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice5952 6 лет назад

    Jmn siyo poa ivyo ...we kamanda ☹️☹️

  • @rashidhussein6152
    @rashidhussein6152 3 года назад

    Kilimi cha kawaida mnazuiaa watuu kuuza njee...na bado mauxo ya ndan makodi kibaaoo sa mtu afanyeje sasa..

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 6 лет назад

    RPC upo vizuri

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 6 лет назад +1

    Bangi dawa ya wtoto mulize bangine mboga

  • @HuaweiPhone-om7qy
    @HuaweiPhone-om7qy 6 лет назад

    Sasa unamius nni bangi yake mpeni kazi basi Maisha yake nimagumu

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 3 месяца назад

    Moshi nao vipi apo sikuvuta pia au mm ndio sielew

  • @kenedynashon9717
    @kenedynashon9717 6 лет назад

    Huyu kamanda ana maswali ya mitego balaa😁😁😁😁

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 6 лет назад

    #kwa nn tusilime tukasafilisha ktk nchi ambazo wanatumia bangi?

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 лет назад +1

    juzi raisi kasema asikari msikate bangi alielima na wanakijiji wa sehemu hiyo ndo wazikate

  • @ShabaniRamadhani-e5r
    @ShabaniRamadhani-e5r Месяц назад

    Mwachen

  • @galakxytzofficial5004
    @galakxytzofficial5004 6 лет назад

    😁😁😁umze ana nifurahisha sana

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 6 лет назад +1

    Ifanywe zao la biashara

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 2 года назад

    Tumekusi afande

  • @jumachire3485
    @jumachire3485 6 лет назад +1

    Punguzeni kodi basi.. Watu tuchape kazi

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 6 лет назад

    RPC anaweza fukuzwa kazi baada ya kuupuza agizo LA rais
    Rais alisema hajaajil polis kwa ajil ya kufyeka bangi
    Ukikuta shamba LA bangi kama wa husika au kijiji kizima wafyeke mpaka mwenye shamba apatikane
    Kamanda katumia polis kufyeka bang kuchoma
    Polis wametuta bangi Leo kupitia moshi

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 6 лет назад

    mzee acha kuuliza maswali mengi huyo ni mzee mwenzio

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 6 месяцев назад

    unatetea liba nawakat wewe umeisoma dini tukufu mbona Kaz ziponyingitu wewe matangazo yalibayanini mcheallah achana naliba achana namatangazo yamuzik

  • @josephcharlemagne3577
    @josephcharlemagne3577 6 лет назад

    Amen and Amen jesus

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 6 лет назад +4

    Mi nina swali nisaidieni wadau.hivi hapo wanapochoma bangi hyo yote huo moshi wakiuvuta hauwazulu? Au mpaka bangi iwe kavu? Mana naona hapo huyo afande anaechoma anajifanya anawasha kiberiti mara mbili huku moshi unamfunika usoni wala hakwepeshi😂😂😂.huo moshi si haujawadhuru hao walichoma na majirani kweli?

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 лет назад

    Hivi Rais alisema askari wasikate bangi au nilisikia vibaya...amedharau amri ya mkuu wa nchi

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 3 года назад

    Kwetu mpwapwa kwa bangi hatujambo 😁😁

  • @alengeswedi6962
    @alengeswedi6962 6 лет назад

    Huyu babu ni muigizaji kweli kweli yaani kanikumbusha majuto marehemu

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 6 лет назад

    Wata pata tabu sana na rudia tena wata pata tabu sana iseeeee hahaaaaaa nakukubari sana mzee Mroto

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi1085 4 года назад

    Mkasome bangi ni dawa! Na dawa ya kichwa au maumivu inatengenezwa na Bangi! Huku ulaya wazungu wasiwadanganye, wewe mkuu wa polisi hujui chochote, please mulize raisi Magufuli amesoma sayansi,atakwambia hiyo dawa hata waganda wanajua.

  • @EdwardMajor08
    @EdwardMajor08 6 лет назад

    Ila mheshimiwa Raisi ameshakataa Polisi wake kwenda kukata bangi

  • @adinanjanuzaj6142
    @adinanjanuzaj6142 6 лет назад

    huu ni uonevu madawa ya kulevya una yaacha. nyinyi ndo eaingizaiji bangi ndo munajitia mupo makini

  • @abdullahimoxamed6248
    @abdullahimoxamed6248 3 года назад

    Bangi ni dawa isipokuwa wengi hufanya mambo ndio wasifiwe , lkn mbn Askari wachome mali ya mtu na baadaye utawaona wakinunua hizo bangi

  • @goldendesertmrgolden5976
    @goldendesertmrgolden5976 6 лет назад

    Afande mbwa koko raisi magu alishasema hataki kiona asikali wake wanafieka bangi sasa ww unaludi hukohuko kwenye makosa
    Harafu bangi ni dawa Mwenyezimugu hakuteremsha vitu kwa makosa mungu ni mkamilifu kwa kilakitu kuliko binadamu Tanzania etabaki kuwa inchi masikini duniani

  • @tonyalabamatz8628
    @tonyalabamatz8628 2 года назад

    Daah atar vuta tu Babu usiuze

  • @thadeymligo2109
    @thadeymligo2109 6 лет назад

    unafeli kamanda bangi tam mnoo mwachie tu. jaman a MWe. we kamanda misifs

  • @emmanuelbenedicto589
    @emmanuelbenedicto589 6 лет назад

    hii ni ya lini mnakiuka maagizo ya mkuu was Kaya askari wasikatishwe bangi wakusanyeni watu was maeneo hayo wakafyeke ili wamlaumu aliyelima agizo LA mkuu wa kaya ni amri.

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 6 лет назад

    Kwan mmesahau maaagizo ya JPM ya kuacha kukata bangi wakate wenyew..

  • @dimondplatnumz3658
    @dimondplatnumz3658 6 лет назад

    Mzee anaumwa mafua

  • @sombimussa1476
    @sombimussa1476 6 лет назад

    ila ukweli ni kwamba bangi na konyagi ; hailife haina tofaut jmn ni bora waruhucin kutumia ila wasizidishe

  • @hanskidd2290
    @hanskidd2290 6 лет назад

    Apo dodoma sehem gn mbn kun kjan kbch sana duh

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 6 лет назад

    Rais alisema polis wasifyeke bangi. Alisema kamata kijiji kizima wafyeke

  • @yohanamaugila743
    @yohanamaugila743 6 лет назад +1

    Mzee wa media