RC ATOA KAULI AJALI ILIYOUA MBEYA - "HATUTAKI BUKUBUKU/ KAMATA WEKA NDANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 авг 2022
  • RC ATOA KAULI AJALI ILIYOUA MBEYA - "HATUTAKI BUKUBUKU/ KAMATA WEKA NDANI"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 60

  • @irenelyamuya5466
    @irenelyamuya5466 Год назад

    Mungu wa rehema saidia , ww ndo mtetezi wetu 🙏,angalia break ,angalia gia lakin Mungu kwanza atangulizwe mbele ,Mtalaumu tuu madereva lakin the one who know the source of accident is Almight God ,..🙏

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 4 дня назад

    Mi naona kuwepo king,amzi chakuona wanaochukuwa bukubuku kuanzia tunduma Hadi mbeya

    • @EasterHezron
      @EasterHezron 4 дня назад

      Matrafic wamezd kupokea izo buku

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Год назад +1

    Haisaidii kustopisha magari sos. Barabara kuanzia igawa mpaka tunduma.4. haiwei

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 5 дней назад

    Mh,Mkuu wa Mkoa tumwombe tu Mh, Rais atupanuliye Barbara ili tuweze kunusuru maisha yetu

  • @user-dm6su5ii9b
    @user-dm6su5ii9b 3 дня назад

    Hakuna buku bara bara sirafiki

  • @mohamedmuhulila1871
    @mohamedmuhulila1871 Год назад +3

    SIYO DAWA TANUENI NJIA GARI ZINAZOPANDA NJIA NYEMBAMBA SANA

  • @tinolutonja8932
    @tinolutonja8932 Год назад

    Hii

  • @saidishabini2221
    @saidishabini2221 Год назад

    Mungu awarehemu wenetu waliotangulia amem

  • @hassanmkwama9900
    @hassanmkwama9900 Год назад

    Tatzo ni barabara ni nyembamba Sana, ijengwe kuanzia Igawa darajan mpk mbeya, iwe km kutoka igawa mpk mafinga ajali zitapungua

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 Год назад +1

    Ajali kuisha ni mpaka mamulaka zitakapokuwa na uchungu juu ya ROHO za watu. Tofauti na hapo tutazidi kupoteza ndugu ZETU daily. Zaidi ya yote Mungu tumtangulize Kwa Kila kitu...

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Год назад +2

    Kabarabara kutoka igawa kwenda tunduma kembamba alafu kabovu tofauti na igawa makambako

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 4 дня назад

    Maana hao jamaa wanasimamasehemu yakuchukuwa bukubuku hawasimami sehembaya ilikutoa maelekezo

  • @athumanmagulati1180
    @athumanmagulati1180 Год назад

    Tanueni barabara mweeee

  • @raphaelzablon7721
    @raphaelzablon7721 Год назад

    Kumbukeni speed ndogo ndo hatari kwan

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 Год назад

    Mkague siku mbili au tatu afu mrudi kwenye shughuli zenu. Mjifunze kutoka Nchi zingine, nendeni tu Rwanda kagame awafundishe. Buku buku imepoteza maisha ya watu

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 4 дня назад

    Minishauli kuwepo chombo Cha kuona buku zinavyotolewa wanakaa pazuri ilikuchukua hizobuku na Wana malengo kabisa

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Год назад +1

    Yaani sijui mimi siwezi kufikili tatizo sio madeleva mna walaumu bule tatizo serekali kushindwa kupanua barabara bas kama imeshindika bas anzieni ilongo mpaka Mbeya mjini

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Год назад

    Tanua Barabara hiyo speed na brake sio sana

  • @jamesmahondola5385
    @jamesmahondola5385 Год назад

    Jaman serikali angarien haya magari tulioletewa nimabovu sana kwakuyaangaria tunayaona nimapya lkn kiuwezo hayana mfumo mzuri kwa hzi safari ndefu kaeni namadreva wahayo magari yakichina watawaeleza baadhi yamapungufu yahayo magari haiwezekan gari kubwa liwe nakompuresa piston moja utafkiri bajaji hiyo nahari zanjia zetu nyingi nimilima sasa pengne mfumo waupepo unazidiwa kaen namdrive watawapa changamoto zahaya magari

  • @chinasimon1782
    @chinasimon1782 Год назад

    Jamani tunaomba balabala itanuliwe hiyo itakuwa suluhisho kwetu sisi wasafili, saivi tumejaa hofu tupu kusafili kwenye Barbara hii maisha yetu yenyewe utoke usafili ndipo upate kula tuoneeni huruma jamani

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Год назад +1

    Mungu Ndiye Mkubwa Wa Kutusimamia Sababu Rushwa Zinatolewa Wazi Wazi 🥺🥺 Harafu Mnasingizia Madereva Wakati Traffic Wanakusanya Rushwa Na Sheria Haifuatwi Ipasavyo 😡😡

  • @rojahman9971
    @rojahman9971 Год назад

    Bada ya kufa magufuli tu shid vingmuz kwenye mabasi wametuo jmn Allah anamuona Yani zamani gar kutoka mwaza Moro lilikua linafika saa 4 au 5 lkn sasahivi linafika saa 11 hioni kweli dar ilikua yanagika saa 6 usiku lkn cku hizi saa 1 au 2

  • @bamurwakana5452
    @bamurwakana5452 Год назад

    Ww mwenyewe unaipokea hilo buku andthen unasema utawavumilia wakati ata ww naweza kikupa buku tz mnamaneno mengi vitendo zero

  • @mirajamir1267
    @mirajamir1267 Год назад

    panua barabara kwenye hicho kipande,,gar ngap zitafanyiwa ukaguz???

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 Год назад

    Tumieni treni maroli yote yapaki mnashindwa kutoa kauli kwa wenye magali waongeze maileji na mishaala watu wengi wanamawazo ya uchumi majumbani kingine ndugu zenu mbeya mnavuna sana watu kwa sababu ya mali

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu346 Год назад

    Mbona kipindii cha magufuli ajali zilikuwa kidogo sana.

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Год назад +1

    Jamani tuoneeni huruma hadi mpaka sasa watu wanao gopa kusafili maana vifo vinavyo tokana na barabara ni vingi mno

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 Год назад

    Fanyeni ukarabati wa hiyo barabara, hiyo ni usumbufu tuu

  • @swedinjaidi4658
    @swedinjaidi4658 Год назад

    Buku tutatoa mwambieni huyo mwamba ukweli musimuogope hilo eneo litanuliwe Musiangalie Afya za Askari tuu

  • @kolojojames1665
    @kolojojames1665 Год назад +1

    Kuna pepo apo mkisema madreva sisi atuna kosa

  • @leadybrighton5814
    @leadybrighton5814 Год назад +1

    Madereva tuna mawazo sana mikataba atuna na serekali imetusahau kabisa so unakuta mtu upo kwenye stering lkn mawazo ayapo apo napo kuna sababisha izo ajali serekali ijalibu kuangalia nalo hili swala

  • @nelsongodfrey9952
    @nelsongodfrey9952 Год назад

    Matraffic mmezidi. Mnasimamisha magari ili mpewe hizo hela. Uzuri mmekili wenyewe

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Год назад

    Nazani ili hizo buku zisitoleww nikubdi askari.mara kwa mara na kuboresha maslahi ua askari maalu wa mbea kwanza

    • @ephraimmwandemange5083
      @ephraimmwandemange5083 Год назад

      Kwanza toka mlima nyoka mpaka igawa Barbara sio rafiki imeisha kila sehemu mashimo haya na wanao ziba vilak wanachimba mashimo wanayaacha wiki nzima hawazibi tuoneeni Huduma tumechoka kusikia ajali

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Год назад

    Saaa nyingine hadi nawaza vibaya mnashindwa nini kutengeneza barabara kumbwa na nzuli wakati magali mengi ya mizigo inayo kwenda malawi zambia kongo inapita hapo au gali hazilipi kodi

  • @maseleka2810
    @maseleka2810 Год назад

    Traffic wetu nao waache njaa lasivyo sheria zita endelea tu kuvunjwa kila siku

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Год назад

    Bado najiuliza ni kwann huwa serikali inasubili maafa makubwa yatokee ndio inagundua tatizo

  • @nyellasuwedisanga6929
    @nyellasuwedisanga6929 Год назад

    Tatizo wahusika hamfanyi majukumu yenu ayo mamuzi yalitakiwa yafanyike ilipotokea ajali ya kwanza, na shida nyingine leo mnaogea hivo mkiondoka, hamtaludi kujilizisha kama, maagizo mlio yatoa yanatekelezwa, mpaka watu wafe ndo tutawaona hii sio sawa mbona wakati wa magu mlikua mnna play pat zenu watumishi wa uma bila kusukumwa hamwendi yani kila idara ni shida, hii nchi MUNGU atusaidie,

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Год назад

    Kwa rushwa barabarani ilivyo kithiri tusitarajie mema barabarani,atakae bisha hili Wenda hasafiri malakwamana, mfano trafiki anasimamisha gari halafu dereva au kondo anashuku kumfuata traffic ,nisheria gani hili

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 Год назад

    Shida yenu mnaacha kuongea sosi ya tatizo mnaongea kutuzuga barabara nyembamba mbovu mnasema mareva wakamatwe basi kesho mnaanza kukamata wekeni arama za kukataza sio madereva ote ni watanzania wengi wageni wanaenda na arama mtawaonea bule

  • @daimanyakunga6293
    @daimanyakunga6293 Год назад

    Acheni ujinga nyinyi wachukuaji ninyinyi

  • @deograciakashaigili5973
    @deograciakashaigili5973 Год назад

    Mhe. Mgambo haruhusiwi kusimamisha magari barabarani kwa ukaguzi nadhani. Sasa apokea rushwa ya 1000 ya kazi gani??? Ni hawa Traffic wawe wazalendo tu. Leo jamaa yangu kataka kupigwa faini ya kubambikwa kawa mkali mpaka traffic alinywea. Hii ni shida sana kwa baadhi ya Traffic.

  • @denisnkoba7864
    @denisnkoba7864 Год назад

    Askari no1 chanzo cha ajali nalaum uongoz ngazi zote mpaka ikulu kwa mama hadi kwa siro kuna maswali meng yakujibu kwamungu nyie ivikumbe saiv nimwendo warushwa hadi mochwari haha haya bhana mingy akipenda

  • @eliagabriel4274
    @eliagabriel4274 Год назад

    Mkuu unazalilisha ngambo mugambi hasimamishi gari wahusika ni trafiki ndowanatoza

  • @kelvinmgongolwa8104
    @kelvinmgongolwa8104 Год назад

    Tengenezeni baraba sio dereva tuu nabalsbala muhi ndio changamoto

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Год назад +1

    Hcho kipande watengeneze mbili kushuka mbili kupanda.hakuta tokea hayo yote.

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Год назад

    Labuda zambia hapa kwetu kamanda umezingua Trafiki watakosa vitambi 1000 ziendele tu jela zitajaaa hahahaha

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Год назад

    Yule mhenga alikuwa ana akili sana alivyo sema kuwa ngoja inyeshe kwanza ndio tujue wapi panapo vuja. Aya sasa ndio isha nyesha nadhani tusha juwa ni wapi pana vuja 🙆🙆😄😃

  • @tinolutonja8932
    @tinolutonja8932 Год назад

    Hii

    • @ibadisije4208
      @ibadisije4208 Год назад

      Ninaiomba serikari ifanye uchunguzi wa Hilo ENEO ikiwezekana wawe na Tanroad watengeneze barabara nyengine kwa chini hapo chini mpaka juu

  • @saimonlaizer2732
    @saimonlaizer2732 Год назад

    Bila iyo bukubuku watakufa njaa labda serikali iwe inawapa posho kila siku Kama inawezekana .

    • @annamaanna1495
      @annamaanna1495 Год назад

      Sio sababu trafi ndio chanzo kuomba buku