MWAKAJOKA AFICHUA SIRI UMAARUFU WA MSIGWA HADI KUHAMA CHADEMA.
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2024
- Katika mahojiano maalumu na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tunduma Frank Makajoka ameeleza namna alivyoshirikiana na aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya nyasa
Mwakanjoka kamanda komaa msiteteleke kuhama Kwa Msingwa kusiwavunje moyo Mungu awatangulie sana katika kipnd hiki kigumu
Mimi nasema Msigwa kuondoka amefanya vizuri sana kwasababu ametuachia Chama chetu salama sana alikua ni doa aliona kisha gundulika kua ni dumilakuwili.
Kata moja mpka kutoa kata 12 ama kweli ccm ni majambaz
Mwakajoka hongera
Kamanda Mwakajoka Kazi safi na Hongea kwa Ushindi wako wa kuongoza Nyasa yetu
Pamoja sana kamanda Mwakajoka wewe ni muhimu sana, Msigwa ni njaa tu ndio ilisababisha ahame chama, tuliambiwa mapema na Msukuma kwamba wameshammmlipa pesa nyingi ili ahame, Msigwa amejikosesha adabu kabisa.
Huyo kaisha kuwa kupe maana ccm niwanyonyaji wa kodi zamasikini nisawa na kupe kwenye ng'ombe
Wanachama wengi kuliko CCM huo ni uongo.
Hiyo ya kushinda kwenye kura za maoni usiteuliwe mbona hata haya majizi ya ccm yanaitumia hiyo Iko sawa unaweza kuwa namba1 lakini kwenye jamii inayokuzunguka una. O
Mwandishi ajiulize kwanini police wanapewa maagizo kuwafunga na kuwabambikizia kesi viongozi wa chadema ? Hiki chama ni moto kina watu tume na vyombo vya Dola vikae pembeni ndio utaijua chadema
Kwanza mnatakiwa mufahamu msigwa hakukurupuka alishajijuwa zaman km iposiku uwongozi ataukosa.na alisha jipanga nyie chadema hamujuwi ndan ya moyo wake.ktk uislam unaweza ukaondokewa na jambo unalo lipenda kumbe ni heri yako na km unaishi na rafiki akawa na unaf kifuwani na undan hata akuoneshe maoenzi ALLAH humuondowa .kwahiyo km mm nimefurah chadema kuondoka mtu angelibak mngehisi kukuamin kumbe akawa nyoka kwenu
Kama hakuna uhuru hiyo miaka 7ndani ya chadema akiwa kiongozi alishindaje?anauchu wa madaraka na amehongwa na mama abduri maana ndie alimupokea