Funga wote hao wala rushwa ndio wanaharibu nchi ....Makonda Upo vzr kiongozi tukipata watu kama ww nchi itakuwa nzuri na salama na watu itafika mbali..
Mwanangu hapo fedha m.l 600 hizo wamekula halafu kisima wamekitelekeza bila maji. Kuna maana gani hapo kuwepo hicho kisima. Hao Mwanangu:Mtan wangu hao kula nao sahan moja:wezi tu.❤❤❤❤❤👍👍
Nyie watumishi muwe na huruma na binaadam wenzenu mpo kwenye wizi utazani hamfi ukifa kila kitu utaacha makaazi yako chini ya ardhi na unawekwa porini mjitasmini watumishi wa uma dunia mapito tu
Huzikwi na kitu lakin sielewei biandam tutalidhika na lipi watu wanaishi vizuri lakin hata kidogo cha jamii wanakilamba chote mwisho ukifa wanaobaki ni migogoro na hakuna faida yoyote
Dkt Samia woyeeee makonda woyeeee kzi iyenderee na c morogoro tunatamin mkuu wetu wa mkoa awe kma makonda, akika morogoro uwozo mwingi na upgaji mwingi,
Kwa kweli Mimi nafikilia tungemuomba mhe rais wetu dkt Samia kma ingempendeza angependekeza makonda hawe mkuu wa mikoa wote ya Tanzania azunguke Ili kutatua changamoto mbali mbali za wananch Hawa wanyonge na masikin akika wanamengi ya kesema ila akuna pakusemea mi Namin Ili linawezekana mama akiamua kma alivyo Fanya kw nafasi ya mhe naibu waziri mkuu Veo viwili na tunaona kazi nzuri ya mhe naibu waziri mkuu umeme sa unaptkana dkt Samia dkt biteko woyeeee kzi iyenderee?
Nauliza Rais wetu Dr Samia,hayayanayo fanywa nawatumishi wake kwenye miradi wanavyo watesa watanza nia kunywa maji ya hovyo je anaona, pesa zinavyo liwa anaona, napatapicha ndio maana makonda alipokuwa katibu mwenezi kunawatu wameona wata haibika ,wakaamua kumpa ushauri Rais amtoe kumpeleka makonda kuwa rc arusha, kumbewanao fanya wizi sio hawa watumishi wadogo hawa kuna wajuu yao wanaiba pamoja nao, angekuwa naile nafasi tanzania nzima ingenyooka, okay sio mbaya tulikuwa tunamfutilia kila anapokuwepo makonda, lakini sasa tumeamia Arusha ndio kwenye habari, Mungu aitetee Tanzania
Ndio utawala walio wanautaka Sana watumishi usio fatilia hayo JPM alichukiwa kwa ufutiliaji wake acha wajipigie Sasa makonda pekeake ana pambana wengine wanetulia tu mikoa mingine Sana wanamjadili kwa ubaya tu kuwa anajipendekeza .makonda chapa kazi mungu atakulinda
Mpambanaji Makonda Hapa Ndipo Nchi Yetu Ya Tanganyika Imefikishwa Na Hao Viongozi Wa Juu Wa Taifa Letu.Kumbuka Huu Usemi:Kila Mtu Ale Kulingana Na Urefu Wa Kamba Yake.Je Unaukumbuka Huu Msemo????
Yani mheshimiwa huo ni wizi mkubwa sana milioni mia sita zimeisha na maji hayatoki daa kweli hii nchi imekuwa shamba la bibi kwanza waulize kina urefu gani😭😭😭😭
Duh 🙄 mbona huku mitaani kuchimba kisima kuweka pampu na tank mbona ht haifiki milioni 6 watumish wa serekali mnatuumiza sisi wananchi walipa kodi na ndyo maana kla siku kodi zinazidi tu tuhurumieni na sisi
Hivi hichi kisima ni Mt ngapi zinachimbwa kwa mil 600?wakati wachimbaji kawaida wanachimba Mt kw sh 100000,150000,na Kuna magari ya kuchimba maji ya serikali ,tufafanulieni vizuri mil 600 kwa kisima kimoja inakuwaje?
Hii, hivi km 900 ndio kupeleka Maji. Hii ni zaidi ya kisima kipo Mtende Kusini Unguja Zanzibar upeleke maji Makuwe Kaskazini Pemba bado ni karibu. Nani aliyesema tuungane.
Sasa ukimsikia Aweso anavyojielezea kumbe utapeli mtupu jamani kazi kumdanganyaa tu nakumsifia eti anaupigawingi kumbe wanamuibia ma wa watudah nimekata tamaa labisa na nchi hii kabisa sina hamau na chamachangu cha ccm kazi kupambana tu kupata vyeo lln lazi zerp ulaji tu
Funga wote hao wala rushwa ndio wanaharibu nchi ....Makonda Upo vzr kiongozi tukipata watu kama ww nchi itakuwa nzuri na salama na watu itafika mbali..
Mwanangu hapo fedha m.l 600 hizo wamekula halafu kisima wamekitelekeza bila maji. Kuna maana gani hapo kuwepo hicho kisima. Hao Mwanangu:Mtan wangu hao kula nao sahan moja:wezi tu.❤❤❤❤❤👍👍
Inchi ipo sawa tukiwa na Mkuu wa mikoa yote Makonda 🎉
Nyie watumishi muwe na huruma na binaadam wenzenu mpo kwenye wizi utazani hamfi ukifa kila kitu utaacha makaazi yako chini ya ardhi na unawekwa porini mjitasmini watumishi wa uma dunia mapito tu
umemaliza kbs I like your comment!
Huzikwi na kitu lakin sielewei biandam tutalidhika na lipi watu wanaishi vizuri lakin hata kidogo cha jamii wanakilamba chote mwisho ukifa wanaobaki ni migogoro na hakuna faida yoyote
Anko alikuwa akifukuza watu mnasema dicteta Kwa hari hiii Anko alikuwa sahii
Mh.Makonda Mungu akuweke mzee unaijua kazi sana...taratibu mpaka kieleweke
Makonda....maswali Yako ni ya msingi Hadi panapovuja panaonekana hata kwa kipofu....ofsini kalamu inaiba sana
Bora tu mtumbuliwe kwa sababu mnafaidika na pesa ya wananchi bado hamuwathamini
Njia ni moja tu MH Makonda.Tuweke sheria kali kwa ubadilfu wa fedha za wananchi.sheria itakapokuwa ni kunyongwa,wataishimu hizo fedha
Viongozi wengi wa hii nchi ni wezi
Hongera makonda.kwautumishi wako mugu yupo pamojanaww amee
Huu mwaka mtasema,na mtasema sana....MAKONDA VIVAAAA
Dkt Samia woyeeee makonda woyeeee kzi iyenderee na c morogoro tunatamin mkuu wetu wa mkoa awe kma makonda, akika morogoro uwozo mwingi na upgaji mwingi,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣milioni miasita jamani mtuurumie jamani hizo nikodi zetu daah😭😭😭
😂😂😂
Ni kweli kabisa.
It's very, very sad.
Wanajisahau tu wakishapewa ofici ndo wanakuwa wao sasa
Wanajisahau tu wakishapewa ofici ndo wanakuwa wao sasa
Kwa kweli Mimi nafikilia tungemuomba mhe rais wetu dkt Samia kma ingempendeza angependekeza makonda hawe mkuu wa mikoa wote ya Tanzania azunguke Ili kutatua changamoto mbali mbali za wananch Hawa wanyonge na masikin akika wanamengi ya kesema ila akuna pakusemea mi Namin Ili linawezekana mama akiamua kma alivyo Fanya kw nafasi ya mhe naibu waziri mkuu Veo viwili na tunaona kazi nzuri ya mhe naibu waziri mkuu umeme sa unaptkana dkt Samia dkt biteko woyeeee kzi iyenderee?
Arusha hatimaye tumefikiwa 🤸♂️🤸♂️
Maswali ya msingi sana asiyeona panapovuja ana lake jambo😊
Tunataka viongozi wa Tanzania waige mfano wa makonda,na si kulinda ufisadi, RIP JPM
Nauliza Rais wetu Dr Samia,hayayanayo fanywa nawatumishi wake kwenye miradi wanavyo watesa watanza nia kunywa maji ya hovyo je anaona, pesa zinavyo liwa anaona, napatapicha ndio maana makonda alipokuwa katibu mwenezi kunawatu wameona wata haibika ,wakaamua kumpa ushauri Rais amtoe kumpeleka makonda kuwa rc arusha, kumbewanao fanya wizi sio hawa watumishi wadogo hawa kuna wajuu yao wanaiba pamoja nao, angekuwa naile nafasi tanzania nzima ingenyooka, okay sio mbaya tulikuwa tunamfutilia kila anapokuwepo makonda, lakini sasa tumeamia Arusha ndio kwenye habari, Mungu aitetee Tanzania
Ndio utawala walio wanautaka Sana watumishi usio fatilia hayo JPM alichukiwa kwa ufutiliaji wake acha wajipigie Sasa makonda pekeake ana pambana wengine wanetulia tu mikoa mingine Sana wanamjadili kwa ubaya tu kuwa anajipendekeza .makonda chapa kazi mungu atakulinda
Kwa kweli mama yetu anatakiwa awe mkali hii ichi bila kuwa mkali uiwezi majizi ni mengi sana
Aweso aweso
The next president
Kazi iendeleee
Hii nchi ngm
Am from kenya lakini nauliza 600 million ya tanzania inachimba kisima moja
Mungu yupo pamoja nasi
M.l.600 mhmhmhmh Mwanangu hapo si kweli
Kweli jamani kima cha milioni mia sita hata maji wanaichi hawapati hii ni shida ya watumishi wengi wanapenda wizi kuliko kuwajibika kwa wanaichi
Hii inaitwa jino kwa jino makonda lala nao sambamba hao watumishi wa hovyo
HeLa xinachexewa wanafungwa wexi wa kuku jela. Duu eeemwenyexi mungu
Nashangaa😢😢
Mpambanaji Makonda Hapa Ndipo Nchi Yetu Ya Tanganyika Imefikishwa Na Hao Viongozi Wa Juu Wa Taifa Letu.Kumbuka Huu Usemi:Kila Mtu Ale Kulingana Na Urefu Wa Kamba Yake.Je Unaukumbuka Huu Msemo????
Pole makonda baba...mungu akulinde ktk yote.
Nchi ya wapigaji
Kwa Tanzania niifahamuyo hiyo siyo news, ni kitu Cha kawaida kabisa!!
Kwani Mkaguzi mkuu wa hesabu za umma C.A.G na kazi gani?
Kaz indelea
Ni Shida madudu ya mafinyofinyo watu wanaramba asali
Mwiziiiiiiiiihuyoooooooo
😢wakaguliwe mali zao hao
Yani mheshimiwa huo ni wizi mkubwa sana milioni mia sita zimeisha na maji hayatoki daa kweli hii nchi imekuwa shamba la bibi kwanza waulize kina urefu gani😭😭😭😭
Ivi mama kwann ulimtoa makonda kwenye uenezi ungemwacha aendelee kuzunguka nchi nzima
Makonda kiukweli upo vizuri 🎉
Dada anajua km 900 hiyo Dar to Songea
Duh 🙄 mbona huku mitaani kuchimba kisima kuweka pampu na tank mbona ht haifiki milioni 6 watumish wa serekali mnatuumiza sisi wananchi walipa kodi na ndyo maana kla siku kodi zinazidi tu tuhurumieni na sisi
Hivi hichi kisima ni Mt ngapi zinachimbwa kwa mil 600?wakati wachimbaji kawaida wanachimba Mt kw sh 100000,150000,na Kuna magari ya kuchimba maji ya serikali ,tufafanulieni vizuri mil 600 kwa kisima kimoja inakuwaje?
Hatari!
Hii, hivi km 900 ndio kupeleka Maji. Hii ni zaidi ya kisima kipo Mtende Kusini Unguja Zanzibar upeleke maji Makuwe Kaskazini Pemba bado ni karibu. Nani aliyesema tuungane.
Baadae wanataka Kodi
600 Ml?? 😳😳😳😳
Wizi mkubwa huyo nomwizi kwakawaida tunachimbiwa visima milioni kumi ishilini hicho kinaulefu gani kinafika kenya ulefu
Makonda hadanganyiki hanajuwa maswali kweli
Wamezoea kupiga funga tu miaka 40.mje na morogoro
hivi wakuu wa wilaya wako wapi na wanafanya nini mpaka mkuu wa mkoa tena mgeni aje aulizie hayo.
Nchi inaliwa
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
Wameshatajirika hao sisi ni mateso tu
Watu wanapiga mno awana huruma na wanawatumikia
Waliruhusiwa kula urefu wa kamba zao 😢😢😢😢😢😢
Duuh kisima kikitumia garama sana ni milion 30 tu duuh milion 600😂😂😂😂
Nchi yetu upigaji tu vijana wetu wakionyesha uaminifu tu ni maadui wa hata viongozi
Funga hao wezi
Milioni 600? 😮
Sasa ukimsikia Aweso anavyojielezea kumbe utapeli mtupu jamani kazi kumdanganyaa tu nakumsifia eti anaupigawingi kumbe wanamuibia ma wa watudah nimekata tamaa labisa na nchi hii kabisa sina hamau na chamachangu cha ccm kazi kupambana tu kupata vyeo lln lazi zerp ulaji tu
JAMAN KWELI HIKI KISIMA TSH MILION 600??????? AU NMESKIA VBAYA
Wewe uliona wapi kisima kuchimbwa kwa milioni 600? He he he!!
Kisima kina Bluetooth!ukikaa home una share tu maji yanatoka kwa kazi sanaaa.😂😂😂😂
Wezi tu nyie
MAKONDA TATUA NA MATATIZO YA MIKOA MINGINE
Jamani hawa WaTZ ni majizi sanq hakuna wakumuamini hata huyo awesu ni shida tu
Million mia sita jamani mwee cyo kwa kuzitafuna hukofwezwa dah nyny NY nyiny .million mia sita kwa kakisima hicho ?