RASMI TUNDU LISSU ANAZIJIBU KAULI ZA KINANA LEO TAREHE 8. KAFICHUA MAOVU MAZITO YA KINANA NA CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024

Комментарии • 12

  • @emakoresahili
    @emakoresahili 2 месяца назад +3

    Bashir Kwauswanzi raia wa Ghana.... Kama na wewe ndio umemjua huyu mwamba leo dondosha likes hapa

  • @LaisSailep
    @LaisSailep 2 месяца назад +2

    Kweli tundu lisu yupo sasahihi sana lakini TANZANIA hawataki ukweli kabisa na muungano sio amri za mungu kwaiyo lazima ifunjwe

  • @LaisSailep
    @LaisSailep 2 месяца назад +2

    Watu wa TANZANIA ngumu kujua ukweli ambao yupo wazi na viongozi wote waliopo madarakani kwa Sasa hawataki kujua madhara ya inchi wanafanya kazi kujali mishahara Yao tu na ndio maana ngorongoro imeuzwa hawajaongea hata mmoja mpka lisu ndio aje aongee kwa uchungu na ukweli Bora TANZANIA tupiganie haki yetu

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 2 месяца назад

    Viva Chadema viva Lissu

  • @emakoresahili
    @emakoresahili 2 месяца назад +1

    Jumbe alienda Dodoma akiwa Rais wa ZANZIBAR na Makamu wa kwanza wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano akarudi bila cheo chochote akaenda kufungiwa nyumbani kwake Mji mwema Kigamboni.. By Lissu

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 2 месяца назад

    1,tanganyika 2, zanzibar na 3, ni tanzania au vipi wadau apo

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 2 месяца назад

    Watanganyika tuache uzuzu, si halali wazanzibar wajitawale kwao na kwetu pia . Wao wauze vyetu na vyao vyao waviliñde

  • @parambaramadhani4203
    @parambaramadhani4203 2 месяца назад

    Kwa ushauri wangu tundu lisu hafai kuwa rais kutokana na mdomo wake mchafu hatuwezi kuwa na rais asietangaza sera kuwa ataifanyia nini Tanzania leo anakuja kuleta chuki ili watañzania wamchukie rais Samia suluhu hassan kwahiyo tundu lisu ni msaliti wa nchi nzima hafai kabisa kuwa rais.

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 2 месяца назад

    Watanganyika wanaafiki, longolongo kibaaao upuuzi mtupu
    Hebu niwaulize maswali machache mafupi mafupi tu ::1) Kila ifikapo tarehe 9 Dec. M mnasherehekea uhuru wa nchi gani????
    2) Iko wapi hivi Sasa???
    3) Ikiwa haiko mnasherehekea nini? 4)Nchi hiyo iko wapi sasa??? 5) Mbona hamuidai nchi yenu??? 6) Jee, huo sio unaafiki????

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 месяца назад

      Of course brother nisahihi unacho kiongea tatzo waTANZANIA tunajizimaga data angalia tuna jua

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 2 месяца назад

    Sema basi sera yako ni ipi juu ya msimamo wenu juu ya Muungano huu,
    ACHENI longolongo ZENU HIZO za ulalamishi
    Kama sio unaafiki kwa nn hamuungani/ hamshirikiani na waZNZ katika kuidai Tanganyika yenu na kuipa ZNZ Uhuru wao wenye mamlaka kamlaka KAMILI.