Watu wa TANZANIA ngumu kujua ukweli ambao yupo wazi na viongozi wote waliopo madarakani kwa Sasa hawataki kujua madhara ya inchi wanafanya kazi kujali mishahara Yao tu na ndio maana ngorongoro imeuzwa hawajaongea hata mmoja mpka lisu ndio aje aongee kwa uchungu na ukweli Bora TANZANIA tupiganie haki yetu
Jumbe alienda Dodoma akiwa Rais wa ZANZIBAR na Makamu wa kwanza wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano akarudi bila cheo chochote akaenda kufungiwa nyumbani kwake Mji mwema Kigamboni.. By Lissu
Kwa ushauri wangu tundu lisu hafai kuwa rais kutokana na mdomo wake mchafu hatuwezi kuwa na rais asietangaza sera kuwa ataifanyia nini Tanzania leo anakuja kuleta chuki ili watañzania wamchukie rais Samia suluhu hassan kwahiyo tundu lisu ni msaliti wa nchi nzima hafai kabisa kuwa rais.
Watanganyika wanaafiki, longolongo kibaaao upuuzi mtupu Hebu niwaulize maswali machache mafupi mafupi tu ::1) Kila ifikapo tarehe 9 Dec. M mnasherehekea uhuru wa nchi gani???? 2) Iko wapi hivi Sasa??? 3) Ikiwa haiko mnasherehekea nini? 4)Nchi hiyo iko wapi sasa??? 5) Mbona hamuidai nchi yenu??? 6) Jee, huo sio unaafiki????
Sema basi sera yako ni ipi juu ya msimamo wenu juu ya Muungano huu, ACHENI longolongo ZENU HIZO za ulalamishi Kama sio unaafiki kwa nn hamuungani/ hamshirikiani na waZNZ katika kuidai Tanganyika yenu na kuipa ZNZ Uhuru wao wenye mamlaka kamlaka KAMILI.
Bashir Kwauswanzi raia wa Ghana.... Kama na wewe ndio umemjua huyu mwamba leo dondosha likes hapa
Kweli tundu lisu yupo sasahihi sana lakini TANZANIA hawataki ukweli kabisa na muungano sio amri za mungu kwaiyo lazima ifunjwe
Watu wa TANZANIA ngumu kujua ukweli ambao yupo wazi na viongozi wote waliopo madarakani kwa Sasa hawataki kujua madhara ya inchi wanafanya kazi kujali mishahara Yao tu na ndio maana ngorongoro imeuzwa hawajaongea hata mmoja mpka lisu ndio aje aongee kwa uchungu na ukweli Bora TANZANIA tupiganie haki yetu
Viva Chadema viva Lissu
Jumbe alienda Dodoma akiwa Rais wa ZANZIBAR na Makamu wa kwanza wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano akarudi bila cheo chochote akaenda kufungiwa nyumbani kwake Mji mwema Kigamboni.. By Lissu
1,tanganyika 2, zanzibar na 3, ni tanzania au vipi wadau apo
Watanganyika tuache uzuzu, si halali wazanzibar wajitawale kwao na kwetu pia . Wao wauze vyetu na vyao vyao waviliñde
Kwa ushauri wangu tundu lisu hafai kuwa rais kutokana na mdomo wake mchafu hatuwezi kuwa na rais asietangaza sera kuwa ataifanyia nini Tanzania leo anakuja kuleta chuki ili watañzania wamchukie rais Samia suluhu hassan kwahiyo tundu lisu ni msaliti wa nchi nzima hafai kabisa kuwa rais.
Watanganyika wanaafiki, longolongo kibaaao upuuzi mtupu
Hebu niwaulize maswali machache mafupi mafupi tu ::1) Kila ifikapo tarehe 9 Dec. M mnasherehekea uhuru wa nchi gani????
2) Iko wapi hivi Sasa???
3) Ikiwa haiko mnasherehekea nini? 4)Nchi hiyo iko wapi sasa??? 5) Mbona hamuidai nchi yenu??? 6) Jee, huo sio unaafiki????
Of course brother nisahihi unacho kiongea tatzo waTANZANIA tunajizimaga data angalia tuna jua
Sema basi sera yako ni ipi juu ya msimamo wenu juu ya Muungano huu,
ACHENI longolongo ZENU HIZO za ulalamishi
Kama sio unaafiki kwa nn hamuungani/ hamshirikiani na waZNZ katika kuidai Tanganyika yenu na kuipa ZNZ Uhuru wao wenye mamlaka kamlaka KAMILI.