🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 11

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 месяца назад

    Kwakweli tundu lissu ahsantee kwakweli Yako..wewe nimsema kweli mungu akulinde

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h 3 месяца назад

    Ni kweli kabisa anachosema lisu ametawala mwinyi kauza loliondo Saša katawala Samoa kauza ngorongoro na bandari halafu wapo watanganyika ambao wanajua lakini bado wanasapot mfano wabunge wote watanganyika waziri mkuu hao ni viongozi manyumbu

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 3 месяца назад

    Mm naona bora tuvunje muungano Zanzibar iwe na mamlaka yake na Tanganyika iwe na mamlaka yake

  • @user-kn1uf7wj9h
    @user-kn1uf7wj9h 4 месяца назад

    Sema kitokacho moyoni mwako,,uonevu hauna tija katika Tanzania yetu huru

  • @axmedcali5097
    @axmedcali5097 3 месяца назад

    Msijiite sauti ya watanzania jiiteni sauti ya watanganyika

  • @axmedcali5097
    @axmedcali5097 3 месяца назад

    Wacheni kuwadanganya watu nyinyi watanganyika ndio mnaikalia kwa mabavu Zanzibar

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 3 месяца назад

    Nyinyi ni watanzania au watanganyika mbna munajitia uwehu wakati sisi wanzazibari tunajitambua na wazanzibari na sio watanzania asili yetu ni Zanzibar baadae kilichotuunganisha ni muungano tu

  • @fahadomar5809
    @fahadomar5809 3 месяца назад

    Pia bora tuwe majirani wema

  • @LucasCharles-vm5ig
    @LucasCharles-vm5ig 4 месяца назад

    Lissu ongea Kwa hekima acha mihemko

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 месяца назад

    Mbona kama hawataki kuitikia