UAMUZI WA RAIS SAMIA KUHUSU HALIMA MDEE NA WENZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • UAMUZI WA RAIS SAMIA KUHUSU HALIMA MDEE NA WENZAKE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 32

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Год назад +3

    Mama ni mkomavu wa kisiasa hongera sana. Dr. Mwinyi na wewe fata nyayo za Mama kuwa mwanasiasa wacha safura. Ukiambia pahala pabaya wajibu kufatilia na sio una panik.

  • @raitonykunzugala1039
    @raitonykunzugala1039 Год назад +3

    Kwa hili Mama yuko vizuri na ulichofanya hakijawahi fanywa na kiongozi mkuu hapo siasa ya kidemockrasia umeeleweka kweli mama anaweza Sanaa

  • @luseshelomwangole2408
    @luseshelomwangole2408 Год назад +3

    Inapendeza sana Kwa kweli

  • @zabibuking8704
    @zabibuking8704 Год назад +2

    Powerful women , umeonesha kuwa sisi wote Tuko chini ya Sheri a hakuna aliye juu hata wewe Mungu akupe maisha marefu Mh. Dr. SAMIA SULUHU HASSAN wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wengi 🫶🏽 Viva mama Viva 👏🏾

    • @catherineHenryMalila
      @catherineHenryMalila Год назад

      Vivaaaaa

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Год назад +1

      Nikweli Mama Anajitambua Sana Maana Hatumii Mabavu Hapana Bali Sheria tyu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Sheria gani ya kumfuta kesi ya Lema na kutoingilia ya COVID 😂! Wengine tunaona mbali tunajua kinacho endelea. Big up Mama

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад +1

    Ktk nchi hii tukiendelea kupata viongozi wenye hekima na wapenda amani kama mama Samia , nchi yetu itaendelea kuitwa kisiwa cha amani...najua wapo ambao hawatanielewa, lkn tukilinganisha hii nchi na nyingine zenye migogoro, cc tuna amani na tumeona vile kiongozi mkuu anajitahidi kuilinda..
    ......kumaliza Mambo mezani ( mazungumzo)....hii nii hekima naiona kwake...

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Год назад +3

    Samia super woman

  • @jumamsukwa6244
    @jumamsukwa6244 Год назад

    Comaa two

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Rais wangu wewe unaona mbali sana'ongera sana MAMA wewe.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад

    Mimi sipendi Siasa lkn nawapenda sana kina Mdee na Bulaya nk! Napenda wanawake wanaojiamini! Ni kati ya wanawake wanaojiamini majasiri, wanaosimamia kile wanachoamini !!
    Wanawake tunatakiwa kujiamini,na kuwafikiria wengine, na kuwakubali wenzetu pale wanafanya jambo zuri!
    Siisi ni madereva wazuri na makini hata tuwapo barabarani tunaendesha gari zetu...ndivyo Alivyo mama Samia, yupo makini sana gari usiende mtaroni👏👏👏

  • @killysamky9373
    @killysamky9373 Год назад

    mungu awalinde wote pamoja tunaweza 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @mwanamambokimbwara9733
    @mwanamambokimbwara9733 Год назад +1

    Mama covid ya wap tena unavitumo kweli hahahaha

  • @hajikilopher7357
    @hajikilopher7357 Год назад

    Independence of judiciary

  • @mwanamambokimbwara9733
    @mwanamambokimbwara9733 Год назад

    Mama jaman

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Год назад +1

    Angejichangany vita ingeanz upy kin lissu wangeibuk nayee kajib vizur🙏

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Год назад

      Watsibuka tu najingine uchaguzi siunakuja

  • @mabulaluhemeja-jx3kr
    @mabulaluhemeja-jx3kr Год назад

    Sawakabisa nakuuga mukono kwahilo

  • @octaviorlucky6928
    @octaviorlucky6928 Год назад +2

    Uamuzi wa raisi juu ya kina halima mdee yeye kama nani..???

    • @expert5898
      @expert5898 Год назад +2

      Maana yeye sio chadema, sasa atasema nini juu yao?

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Год назад

      Wanajua Kqbisa Sema tunaitaga kuchomekea tu

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 Год назад +1

      Mama ana akili huyu kawachomekea na covid ya ugonjwa kajifanya haelewi.hahahaaaa.

    • @adamfundikila
      @adamfundikila Год назад +2

      ​@@gracemwakibolwa7910 ndo muelewa mama ni mjanja sanaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Wanajuana hao, siasa ni mchezo mchafu, kama alimfuatia kesi Lema hiyo ya COVID inamshindwa nini au hiyo ya Lema haikuwa mahakamani?

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Год назад +2

    Mama una vituko kweri👉🤣🤣🤣🤣🤣 covd

  • @francojason5242
    @francojason5242 Год назад +1

    Ndoo siasa yawana siasa duuu

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Год назад

    Chadema ni pachawa C.C..M aunindiomaanayake.

  • @soudia9084
    @soudia9084 Год назад +1

    Hahahahaha