RAIS SAMIA ASIMULIA ALIVYOACHWA NA GARI, KAULI ALIYOAMBIWA "MAMA MKAPA ALINICHUKUA KWENYE GARI YAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 137

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 2 года назад +9

    Mungu anakukutanisha na watu wa hatma yako.Mama Anna Big Up sana.Hongera Mheshimiwa Rais

  • @shadrackmwakalinga865
    @shadrackmwakalinga865 2 года назад +6

    I always love your testimonies. God bless you Mh. Samia our President

  • @mustafahassan1837
    @mustafahassan1837 2 года назад +2

    Hongera sana RAIS WANGU WENGINE HUJIKWEZA hawezi kusema hayo wakipata .madaraka

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 2 года назад +2

    Madam present your so SMART

  • @piensiamulaki1470
    @piensiamulaki1470 2 года назад +11

    Mama tunakushukuru sana kwa kutupandisha madaraja watumishi ahsante sana mungu akupe umri mrefu,tunakupenda

    • @eliaichraymond1215
      @eliaichraymond1215 2 года назад +2

      Mungu amwongezee Baraka na hekima, kwakweli amejua kutufurahisha!

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 года назад +1

      @@eliaichraymond1215 we vip ..unajielewa kweli ?

    • @eliaichraymond1215
      @eliaichraymond1215 2 года назад +2

      @@salumumakombo9136 that's my point of view! Wewe unahusikaje hapo mm nikimpongeza Rais wangu?

    • @msanabukere7835
      @msanabukere7835 2 года назад +1

      Kwan sasahiv unalamba Bei gan Mkuu

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 2 года назад

      Njaa mbaya sana.

  • @enoskilongo7685
    @enoskilongo7685 2 года назад +5

    Mama unaupiga mwingi nani anabisha

  • @emmanuelybonifase4017
    @emmanuelybonifase4017 2 года назад +5

    Ni mpango wa mungu huo

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 2 года назад +4

    Tunakupenda sana sana sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +7

    Tunajivunia kua na wewe 😍😍😍🇹🇿.

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 2 года назад +5

    Mama Asante kwa kutupa ajira mana umetufuta machozi

    • @julianaramadhan2719
      @julianaramadhan2719 2 года назад +2

      Hongera mwaya wakati wa Mungu huwa hauwahi wala kuchelewa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 года назад +2

    Nani kama mama 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @teclahamidutv.2498
    @teclahamidutv.2498 2 года назад +4

    Daaah nimekumbuka mbali sana na mm nilifaidika na E.O.T.F, HONGERA MAMA ANNA MKAPA

  • @florianntulo5731
    @florianntulo5731 2 года назад +5

    Mama Safi Sana

  • @mohdmaalim8452
    @mohdmaalim8452 2 года назад +7

    Hongera sana mama Samia natamani siku moja nikuone live tuongee mengi.

  • @wamaemargaret3838
    @wamaemargaret3838 2 года назад +10

    Mi mkenya lakini nampenda mama Samia Bure.....

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 года назад

      Hivi wakenya c kuna ubaguzi Sana wahutu na Watusi,wakisihi wajaluho c kuna ubaguzi Sana mjaluo annaweza kuoa mmasai

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 2 года назад +2

      Mpeleke kwenu bure sis hatumtaki

    • @columbus2084
      @columbus2084 2 года назад +4

      @@highzacknnko9685 Heeeeeee acha kutuaibisha humu,,,, mhutu na mtusi Kenya? Kwani ungemjibu vizuri ungepungukiwa nini? Kibaya kipi ameandika hapo? Chuki nyingi kumbe kichwani hamna kitu vuvuzela tu,,,,, mnatuchoresha sana mitandaoni bora mkae kimya tu,,,,

    • @columbus2084
      @columbus2084 2 года назад +2

      @@highzacknnko9685 Heeeeeee acha kutuaibisha humu,,,, mhutu na mtusi Kenya? Kwani ungemjibu vizuri ungepungukiwa nini? Kibaya kipi ameandika hapo? Chuki nyingi kumbe kichwani hamna kitu vuvuzela tu,,,,, mnatuchoresha sana mitandaoni bora mkae kimya tu,,,,

    • @suleimanhamad9479
      @suleimanhamad9479 2 года назад +4

      @@wisperfect5320 humtaki peke yako na chuki zako. Umezoea ubabe na kiki. Rais yupo polite msikivu, watu wanajadili na kutoa maoni yao khs mwenendo wa serikali. Zama zile bunge halikuwa live, vyombo vya habari vilikuwa hoi. CAG Prof Assad kasema ukweli kafukuzwa kazi nk. Mama anajitahidi sn japokuwa anaiongoza nchi ktk kipind ambacho uchum wa duni unayumba

  • @henrickmbilinyi6231
    @henrickmbilinyi6231 2 года назад +7

    Hongeraa mama watumishi tulikua na hali mbaya lakini hekima na busara yako imetufanya tufurahie majukumu yetu na kuwa na imani nawe

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Год назад

    Safi

  • @Awadh098
    @Awadh098 2 месяца назад

    1:53

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 2 года назад +2

    Samia wewe ni Rais msomi wa kweli bila hata kujali elimu yako.

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 года назад +5

    Kweli shari haiji ila kuna kheir juu yako
    Kukimbiwa na gari imekuwa kheir juu yako umepata muelekezo wa kufika mbali👍🏻

    • @nurukwilabya2790
      @nurukwilabya2790 2 года назад +2

      Kabisa hii imenitokea siku chache mi nilitoka Dar kwenda Songwe kutafuta maisha tu mwenyeji wangu nilie mtegemea wakati Niko njiani akanipigia simu na kuniambia kua kwake wageni ni wengi basi nikafikia gest na hakuja hatakuniona Mungu ni waajabu nikakutana na Mama Tajiri anauza dhahabu akanipa chumba Cha kuishi bureeeeh na Sasa nimefungua biashara ya chakula na vinywaji ananileteaje wateja nauzaaa balaaa, so tunajifunza angenipokea yule mwenyeji wangu nisingekutana na yule Mama, simchukii Ila anaona aibu na anashangaa kwa Muda mfupi nafahamika balaaa

  • @CRMEDIA-yd7dp
    @CRMEDIA-yd7dp 2 года назад +5

    First like, first comment , Born ready🤛🤛

  • @asteriajoseph4969
    @asteriajoseph4969 2 года назад +2

    Wa tatu like😜

  • @ridhwanally3119
    @ridhwanally3119 2 года назад +2

    Wapili like

  • @simonsakibu5213
    @simonsakibu5213 2 года назад

    Hello Mimi naitwa simon tunasherehe ya wanayanga kesho naomba namba za milard ayo

  • @cnm2976
    @cnm2976 Год назад

    Hmmmmm

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 2 года назад +6

    Msicha machachali

  • @andrewlimbe-vo8tg
    @andrewlimbe-vo8tg Год назад

    Aaah hapo longo longo tu wanufaika wakubwa hapo ni wachaga tu,,Hawa wengne km wasindkzaji tu

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Mbona rangi ZA high table ni za bendera ya ushoga.

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад +1

    aslm mum ilikuwasababu ukiwekiongozi wananchii

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 2 года назад

    Fact

  • @alisaleh2507
    @alisaleh2507 2 года назад +3

    Alphonce achana na chuki ww, hata kama humpendi mama, ila mungu ameshamuweka

  • @januarymwanawima-lc9nq
    @januarymwanawima-lc9nq 7 месяцев назад

    Samia

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 года назад +1

    Hilo gari nilile la mbugani au😳😳

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 года назад +3

    Mungu akutunze mama ipo siku natamani nikuone ana kwa ana

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 2 года назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @brendasimbeye3200
    @brendasimbeye3200 2 года назад

    Bob marley

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 года назад

    E.O.T.F Amina 🙏🇹🇿🤔

  • @franklinassey6600
    @franklinassey6600 2 года назад +3

    Mama mkapa huwa hachek jamani

  • @panduhaji6129
    @panduhaji6129 2 года назад

    Wao tukiwaita wabongo wanakasirika sisi watuite wapemba

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 2 года назад +1

    Ninyi chagadema hamna chenu

  • @denisnkoba7864
    @denisnkoba7864 2 года назад

    Nelson mandela raise wa awam yatano tz

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Год назад

    Kumbe wewe ulishikwa mkono na mutu!!!
    Nimepata picha kwa Nini unapenda kuwabeba vijana.

  • @missangela6720
    @missangela6720 2 года назад +2

    Waliomwelewa huyu Bi Mikopo kasemaje tusaidizane jomoni😂😂😂

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 года назад +1

    RUDISHA ROHO ya jpm uliomuua

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 2 года назад +1

      Kumsingizia mtu jambo ni dhambi sana na unatakiwa uwe na ushahid

    • @salumusalumu4338
      @salumusalumu4338 Год назад

      Chunga mdomo kijana unaushahidi?

  • @justinamashili
    @justinamashili Год назад +1

    Hakuna mtanzania mkweli kama mama Samia raisi wetu kila mzazi au kionggozi huwa wanawaambia watoto au walio chini yao were mm mm hapa nilikua wa kwanza darasani msinichezee hua najiuliza nani aliekua wa mwisho darasani enzi hizo??????

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 2 года назад +5

    Unafiki huo watanzania atuupendi na mama ana mkapa anakujua vizur sana!!!! Na anajua mmeingiaje madarakani na anaijua zerikal iliopo madaraka iliingiaje sio raisi kuwalaghai mama janeth magufuf na mama anna mkapa!!achen unafiki!!!!!tens we samia ulitakiwa utumie muda mwingi kumshukuru hayatu maguful na sio yule beberu wa wawazungu kikwete ,nyinyi sasavi ibeni, choten mahela na watoto zenu ,tufanyeni sisi mazezeta wenu ,tutapelin ,lkn aibu yenu iko mbele yenu sana sana uchaguzi unaokuja ndo mtajua watanzania walijua mliingiaje madarakan.ata mkiwahonga kina zito na wengine lkn wengine wapo tar wamejipanga!!

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 2 года назад +4

      Ukiitwa ushaidi unao? 🤔 Wahayo maneno Yako.

    • @focuserick6162
      @focuserick6162 2 года назад +2

      @@eaglecrown1101 umeshavuta bangi choon!!

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 2 года назад

      @@focuserick6162 🤪🤪🤪🤪🤪😂😂😂😂🙋🙏🏿

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 2 года назад +3

      Acha chuki itakutesa ikulu ataingia tena na tena ..kadri unavyowachukia watu ndio wanazidi kubarikiwa...mama ameshukuru kwa kunguliwa ndoto yake na mama mwenzie.asoshukuru kwa kidogo hata kikubwa hatoshukuru..

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 2 года назад

      @@abdallahhuseinkabale7534 Amina 🙏

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +8

    Kusema ukweli huyu mama ni rais mzigo hana jipya, watanzania wanataka kuona unakuja na miradi mikubwa yenye tija na miji inabadilika kwa ujenzi wa miundo mbinu ya kisasa

    • @froma3732
      @froma3732 2 года назад +3

      Mzigo atautuwa mwaka 2030 suburi tuu usikate tamaaa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +3

      @@froma3732 hawezi kuchaguliwa 2025 wakijitahidi sana CCM kuiba kura itakuwa Serikali ya mseto

    • @froma3732
      @froma3732 2 года назад +1

      @@kabwelasutiviraka4765 Kwani ndugu yangu huwa kuna uchaguzi au anawekwa hkn mseto wala wali

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +2

      @@froma3732 nachosema mkuu Samia hawezi kushinda uchaguzi wa 2025 na CCM wakirudisha jina lake imekula kwao

    • @mariamponera6386
      @mariamponera6386 2 года назад +1

      duuuu chuki mbaya jmn

  • @alphonceephulaim1274
    @alphonceephulaim1274 2 года назад +1

    Tena unge koma kabisa

  • @alphonceephulaim1274
    @alphonceephulaim1274 2 года назад +2

    Huna akili ndiomana ukimbiwa

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 года назад

      Hahhahahaah ww hapo alipo utafika lini mwenye akili

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 года назад +1

      Sawirisha Huyo Unaemuambia Hana Akili Angekuwa Mama Yako.

    • @hannansdeliciousfood4261
      @hannansdeliciousfood4261 2 года назад +1

      @@nurdinmfamau3493 bora hasaa uwaambiee maana kumtusi mama wa mwenxio ni sawa umemtusi mama wa kwako ...kabisaa wanapenda maneno ya ovyo....

    • @salumusalumu4338
      @salumusalumu4338 Год назад

      We mwenyewe huna akili hata ukipewa nafasi ya mjumbe wanyumba kumi utashindwa kuongoza

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 года назад +1

    rudikwenu Zanzibar wewe mzazbar tu

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi9746 2 года назад +3

    Una chochot unachofany bor baba magufuri ww nikuzurura tuuu nchi ad nchi kila cku unatia asala nch atukupend ata kidog

    • @suleimanhamad9479
      @suleimanhamad9479 2 года назад +3

      Bora huyu kuliko Magufuli. Pesa ilikuwa haizunguki watu hawana shilingi mifukoni, wafanyakazi serikali walikuwa hoi hadi wamekata tamaa, hakuna kiinua mgongo wala ongezeko la mshahara, hakuna mradi uliokamilika, mifuko ya hifadhi ya jamii ilikuwa hoi, korosho kizungumkuti, mazao hayana wanunuzi yanaozea shambani nk. Hakuna nchi inayoweza kuendelea kwa kufata closed economy, una rasilimali bt huna fedha wala elimu ya kutumia rasilimali so kuna faida gani? Una ardhi bt huna zana za kulimia so kuna faida gani. Tafuta wawekezaji kubaliana nao mnufaike nyote na usiruhusu kukuibia. Bt kuwaaminisha watu km wawekezaji na wezi ni ufinyu wa akili

    • @mariamponera6386
      @mariamponera6386 2 года назад

      @@suleimanhamad9479 good

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад

      gunia tupu yule bibi

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад +1

      @@suleimanhamad9479 wafanyakazi serekalini walikuwa hoi , kwani mishahara walikuwa hawalipwi ? .
      kilio chini ya huyu zuzu ni kikubwa , ugumu wa maisha , mifumuko ya bei , machinga wanawidwa kwa tochi , wapigaji serekalini ndio wanafaidika na huyu hamnazo .

    • @suleimanhamad9479
      @suleimanhamad9479 2 года назад

      @@whatisthetruth.8793 kwani wapigaji hawachukuliwi hatua? Nan kapiga akaachwa bure bure? Mfumuko wa bei ni kwa sabab ya economic shock ya dunia iliyosababishwa na kupandwa kwa bei ya mafuta na viwanda vilishindwa kuzalisha coz ya corona so supply ya bidhaa imekuwa chache ulimwenguni. Kuna zimeyumba sn afadhal Tz. Kipindi cha Magu hali ilikuwa ngum sn hadi watu wakawa wanalia VYUMA VIMEKAZA leo kushasahau. Pesa watu walikuwa hawana so ununuzi wa bidhaa shida tupu biashara nyng zilifungwa mazao yalikauka shamban especially mahindi hakuna wanunuzi wafanyabiashara waliyumba sn. Machinga waliwekwa kisiasa, now wametungiw sheria kuwalinda. Machinga hawajawindwa bt wametengewa maeneo kisheria kuwalinda, haiwezekani waweke bidhaa barabarani kusumbua wapita njia ukikanyanga bidhaa zao wanakupiga km walivyomuuwa mtu Kariakoo alipokanyaga bidhaa zipo njiani. Sheria imewatambua machinga km kundi maalum kwa sasa. Ni wenda wazimu baba kujenga nyumba nzur watoto wanalia njaa. Wastaafu hawakupewa vinua mgongo vyao, marejesho mikopo elimu ya juu ilikuwa kwa dhulma na ubabe, watu walibambikiwa madeni nk, watu walipotea. Uchumi ulikuwa hoi anajidai anatumia pesa za ndan kumbe anakopa nje. Nashkuru alirejesha nidham serikalini bt nidham ya woga

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 года назад

    Bwawa la Umeme umeua Kuma wewe

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 года назад

    wewe JIUZURU ATUKUTAKI muuaji MKUBWA mbwa wewe

    • @safiaothman5175
      @safiaothman5175 2 года назад +1

      Mzee Suleiman,Amemuua nani
      Acha uzushi,mwogope Allaah.