WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 95

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 2 года назад +9

    Safi sana hakimu kwa kutenda haki hao halima na wenzake wapo kimaslai zaidi fukuzeni bungeni mbwa wasaliti wakubwa wanafiki na wazandiki hawafai kuliongoza taifa kwa nafasi yoyote Ile.

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 2 года назад +1

    Kunamwakili walizaliwa dunian kufanya kazi iliyo kweli .nawamebalikiw namungu kibatala hongra mungu akupiganie kila cku nakila saa

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 года назад +13

    Kibatala anafaa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwani Kibatala vita vya Kisheria anaviwezza sana

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 2 года назад

      Nampendekeza agombee URAIS kwa tiketi ya upinzani
      Chadema

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 2 года назад

      Anafaa sana huyu mwamba

    • @dereva0
      @dereva0 2 года назад

      atakuwa mwasheria mkuu chamachake kikicgukua nchi

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад

      @@dereva0 🤣

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Год назад

    Hongera msomi Kibatala.Twaungana nawe kwa kazi yako nzuri.

  • @giftphilip8357
    @giftphilip8357 2 года назад +3

    viva mama samia kaz iendelee

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 года назад +3

    Warudishe Fedha za Wananchi walizolipwa kwa vipindi vyote! Heko Jaji Mgeta👍👍👍

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 2 года назад +3

    Pamoja sana makamanda wetu mungu yupo pamoja nasi

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 2 года назад

    Hongereni cadema

  • @davidsaanane7939
    @davidsaanane7939 2 года назад +1

    Smart political party

  • @bunzalisisa6929
    @bunzalisisa6929 2 года назад +1

    hongera sana kibatara wkiri msomi

  • @samwelimadaha767
    @samwelimadaha767 2 года назад

    Ndivyo ilivyotakiwa iwe 100% SAHIHI.
    SUALA LILIKUWA MUDA TU 🇹🇿 💘 🌍
    LAZIMA TUJUE NCHI INA UTARATIBU NA SHERIA.
    VIONGOZI WANAONGOZI WANANCHI WALIOELIMIKA NA WANAOELIMIKA.
    Waheshimuni watu na sheria, sisi sio watoto waliopotea na kutojielewa.
    MUNGU IBARIKI TANZANIA, AFRICA NA AMANI DUNIANI

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 года назад

    Ninauwakika mahakama hongereni Sana mahakama

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 2 года назад +2

    Mnyika acha kuongea na kichwa , unaongea unatikisa kichwa ni ukorofi huo, sijui kwa nn chadema huwa wanaongea kwa hasira sana.

  • @uwezochayonga7142
    @uwezochayonga7142 2 года назад +1

    Mahakama imetenda haki, jina la Bwana libarikiwe.

  • @isayadarabe2337
    @isayadarabe2337 2 года назад

    Mungu pamoja nasi

  • @emanuelmichael4290
    @emanuelmichael4290 2 года назад

    Nivema 2

  • @emanuelidawite2399
    @emanuelidawite2399 2 года назад +4

    Warudishe fedha za serikali walizokuwa wanachukua kwa kofia za ubunge wa mchongo

    • @knight6757
      @knight6757 2 года назад

      Tena wazirudishe haraka mnoo...au wsfunguliwe kesi juu la hilo..!

  • @godfreypaul1997
    @godfreypaul1997 2 года назад +2

    Hiyo ndiyo haki tunayotaka mahakama nichombo Hulu mahakimu namajaji endereeni kutenda haki namungu atawapigania

  • @siminijohnmwakipesile3904
    @siminijohnmwakipesile3904 2 года назад +1

    mambo si hayo hawana chama watakaaje bungen

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 года назад

    Hii ndiyo siasa na hiyo ndiyo sheria!!!¡

  • @thomasleyan9273
    @thomasleyan9273 2 года назад

    we are together

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 2 года назад

    Kibatala hatatari.....

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 года назад

    Halima mdee na wenzio jipeni moyo vitamin kubwa kwa upande wenu lakini msiogope jipeni moyo mtasimama t mzee magu angekuapo msingetoka au hata mzee Ngungai

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 2 года назад

    Huyu kibatala chadema mkichukua dola anapaswa kuwa mwanasheria Wa serikali

  • @richarddaniel7922
    @richarddaniel7922 2 года назад

    Mmmm

  • @gililwise
    @gililwise 2 года назад

    Kibatala jamani sheria unaijua.mi namba Raisi wangu Kibatala awe ndo mwanasheria mkuu wa serikali.

  • @maimunashaban9538
    @maimunashaban9538 2 года назад

    Sawa sawa hao wanafkki

  • @michaelmizambwa1246
    @michaelmizambwa1246 2 года назад

    Leo mnasifia katiba,wakati mwingine mnataka ibadilishwe,siasa kweli ina usenge wa kiwango cha lami,...haya tuendelee na maisha

    • @zamdakimaro8040
      @zamdakimaro8040 2 года назад

      Hawajasifia Bali wamenukuu KUFUNGU kilichoko Sasa unataka watumie Nini wakati NDIO inatumika

    • @ibrahimkanuto3514
      @ibrahimkanuto3514 2 года назад

      Katiba ina udhaifu unaopaswa ubadilishwe na ina ubora unaopaswa utunzwe

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 2 года назад

      Pia wameomba katiba iheshimiwe. Kuomba katiba iheshimiwe, siyo kuisifia.

  • @aishamakala8045
    @aishamakala8045 2 года назад

    Mbona sijielewi mpaka Sasa wako bungeni wanafanya nn

  • @saidiselemani2481
    @saidiselemani2481 2 года назад +1

    Unaweza kibatata

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад

    Jamani Hawa Wah Wabunge wadada kumi na tisa hawakujipeleka bungeni kulikuwa na mchakato. Hatima ya waliousaidia mchakato kina nani?

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Imeonyesha kutupiliwa mbali ni imejulisha kwa sbb kina halima mdee wameishitaki serikali wajue walio kuwa juu ya viti hawa shitakiwi

  • @ndecknassarey7357
    @ndecknassarey7357 2 года назад +1

    Malaya wakubwa na wahujum uchumi wakatafute biashara nyingine sio bungeni tena.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 года назад

    Kama leo hawafurumishwa Bungeni kuna siri kubwa ndani ya bunge

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 2 года назад +1

    Mbowe ujifunze Hawa vijana mnaoenda kuwaokota vyuoni NI njaanjaa Sana, kanuni hizo zilifaa Sana enzi zile za upigania Uhuru ambapo watu walikuwa na Nia za dhati walipoyaendea Mambo.

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 2 года назад +1

      Hata wakati ule walikuwepo wasaliti. Hata sasa wapo, na wataendelea kuwepo. Ni hulka yetu sisi binadamu.

  • @josephsokhia
    @josephsokhia 2 года назад

    MUNGU ALISHA MALIZA ''ISHI NA MWANAMKE KWA AKILI''

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 2 года назад +4

    Kibatala hajawahi feli

    • @salehaliy7198
      @salehaliy7198 2 года назад

      Mheshimiwa kibatala huwa anapiga kwenye mshono lzm ukae

  • @ibrahimallymohd3645
    @ibrahimallymohd3645 2 года назад

    Mwisho wa dhulma aibu

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 2 года назад

    BORA NIMEFURAHI SANA ALAFU HALIMA UMETUANGUSHA SANA TULIKUWA TUNAKUAMINI SANA COMANDA ILA PESA ZIMEKUONDOA RELINI ,RUDISHENI HELA ZETU

  • @piusprospa8832
    @piusprospa8832 2 года назад

    Nimuda mwafaka sasa Kwa yona kutapikwa kutoka kwenye matumbo ya Akina mdee hawa magaidi

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 2 года назад

    Hukumu hii imewaweka hatarini maana sidhani Kama mawakili wa Chadema wataishia hapo,wakishatimuliwa bungeni kesi ya kughushi nyaraka za chama na za serikali na kumudu kujipatia mamilioni ya pesa kwa njia ya udanganyifu,inawahusu!,lazima Sheria ifuatwe,pesa za Kodi za Watanzania siyo pocket money ya Mamluki!

    • @samwelimadaha767
      @samwelimadaha767 2 года назад

      💘 ...usitoe siri weweeeee....😄 🤣
      Itabidi tujue Uhalali wao nyaraka zilizoenda na nani aliyesaini kwa mamlaka gani na utaratubu wa chama gani?!
      Wajifunze kuheshimiana.
      Watajua hawajui mengine.
      Chochote unachotaka kutendewa mtendee na mwingine hivyo?!

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 2 года назад +1

      Hilo ni sahihi,na siyo akina mdee peke yao,tume na spika wanastahili kushtakiwa pia,walihusika kukubwa katika kugushi na kulidhalilisha taiga,hongera kibatala,hongera mahakama.

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 года назад

    Chadema muriwai kusema mahakama ya nchi hii aitendi haki Sasa reo mnasemaje

  • @natayachris2245
    @natayachris2245 2 года назад

    Yuda mskariot.Vipande vichache vya sarafu vilimtoa relin.Akaukosa ufalme

  • @bunzalisisa6929
    @bunzalisisa6929 2 года назад

    jaji mugeta yuko sawa

  • @pauloalfayo1868
    @pauloalfayo1868 2 года назад

    WAmeshindwa mapepo hao

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 2 года назад

    Ilondilo fundisho kwamalaya wakisiasa

  • @ignatusjoseph4216
    @ignatusjoseph4216 2 года назад

    Nawashauri AWA wabunge 19 waombe samahani warudi ktk chama choo

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 2 года назад

      Wasirudi hatuwataki waende CCM huko ndiko walikofadhiliwa na kubaki bungeni kinyume Cha Sheria na baadae warudishe pesa zote walizo kula kinyume na sheria

  • @thomasleyan9273
    @thomasleyan9273 2 года назад

    Wakamanda

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад

    Huyu kibatala hakuna mfano wake africa masharika. Yaan tungekuwa na serikali inayojitambua . Huyu alitakiwa awe MWANASHERIA MKUU WA SEREKALI. maana angepambana na hawa waizi wa magharibi wanaoshirikiana na viongoz wetu kuandikishana mikataba feki ya kutuibia madini

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 2 года назад

      Huyo Lisu ndio ticha wale. Lisu hatari sana we huoni kipindi cha Kampeni alivyowapa tabu Nec

  • @michaelmizambwa1246
    @michaelmizambwa1246 2 года назад

    Mbona hawa wabunge mliowatoa ndio waliwapa nguvu sana chadema,..huko mnakokwenda mtafika kweli!?

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 2 года назад

      Hivi wewe unaielewa Katba yetu inasemaje kuhusu moja ya masharti ya kuwa mbunge? Kwa taarifa yako, anatakiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Kama siyo mwanachama wa chama cha siasa, hana sifa ya kuwa mbunge.

  • @mussayasini4130
    @mussayasini4130 2 года назад

    Shida hapo sio kuvuliwa ubunge ,shida ni Kwa nini wanapata sie tunakosa wanapendeza sie tunalia na ruzuku , shida yote Hapo maslahi Kwa nini wanapata

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 2 года назад +1

      mkiambiwa watanzania wengi uelewa wenu ni mdogo sana mnakasirika

    • @shamtenyambega2944
      @shamtenyambega2944 2 года назад

      MTU a

    • @shamtenyambega2944
      @shamtenyambega2944 2 года назад

      Tatzo sio kupata ,wanevunja Sheria tangu mwanzo wao kipindi mwendazake akiwepo,wakakingiwa kifua,
      Lakini Chadema hawajawahi kushindwa kwenye kumfukuza MTU uanachama.angalia ZITTO kabwe n.k

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 года назад

      kwan aliyekataa ruzuku ni nan, kwan aliyekataa kupeleka wabunge fake ni nan, kwan aliyekataa matokeo fake ya uchaguz fake ni nan choko wewe jiongeze au nenda kawasaidie hao mikundu malaya na makahaba.

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 2 года назад

      Mr Musa. Ni lini utakuwa mzalendo???

  • @jameschristian5876
    @jameschristian5876 2 года назад

    Hakuna tatizo watarekebisha makosa watafungua Kesi upya vile vile pia wanahaki Yarufaa mahakama yarufani

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Mahakama inatupa maombi ya mfungua kesi bila kusikiliza kauli zao yaani ajabu wenye haki huwekwa kwa miaka jela

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 года назад +1

    Kwahiyo mmefurahi mtashindwa TU halima , buraya wako Bomba zaidi yenu

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 2 года назад

    Warudishe mishahara yoteeee

  • @abubakarshabani6427
    @abubakarshabani6427 2 года назад

    Uu

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 года назад

    Kesi kesi tu....ruclips.net/video/wr4NLOcRbSc/видео.html

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 2 года назад

    Tena ndio nimefurahi kinoma tunawachukuwa sisi Magufuli UMOJA PATI hawa ni majembe kweli kweli tena kwenye kampeni ndio watamu sana 🤣🤣🤣🏃🏃🏃

    • @jafarimadunda5348
      @jafarimadunda5348 2 года назад

      Magufur c ndy aliyewaingiz bungen au unajisahaulish? Eb acha mam asimamie haki kaz iendelee

    • @sulaymanmohammed6448
      @sulaymanmohammed6448 2 года назад

      Jee pesa wata zirejesha mishahara walochukua ?

    • @amosmaswega2312
      @amosmaswega2312 2 года назад +1

      Nimekuelewa wakili msomi uko vzr sana, nimefurah sana hawa mbwa kupigwa chini maana hawafai tena