Mwanasheria wenu aende shule... criminal zina life span kwenye baadhi ya nchi.... tayari LAPD wamesha sema assault kwenye jimbo la Calif. haipaswi kuzidi miaka 6.
Ndio kwakipigo kile kessi nilazima p Diddy lazima imletee shida ..mana sikwakipigo kile ..nimejifunza Sana hata ukifanya nini ipo siku mungu akiamua kukuumbua lazima utoke jasho
Cassie alikua anamfichia siri Didi asiharibu brand yake alikua anatishiwa maisha yake Didi angeweza kutuma panya rodi wakamfanyie fujo, Cassie kajitahidi yamemzidi mpaka kashitaki
Mume wa Cassie amesema mwanaume mkumbushe mwanaume mwenzako, kumbusha kaka rafiki na wanaume wa familia yako wasifanye ukatili kwa wanawake badala yake muwalinde na wajisikie na amani
Selekari y’a américain kwahakika aina haya ikiwa didy anafaida kwako bc sio ajabu kuona kesi inapindishwa pindishwa nakupotea or maybe kuwe na wahusika wengi kwenye jambo moja linalohusisha watu mashuri bc sio ajabu kuona kesi imepote,, km shauri la shitaka la South Africa juu y’a israél
Inavyoonekana Didy kaishiwa pesa sasa anakosa kiasi cha kutosha kuwapatia wabaya wake ili wasimuharibie. Didy alikuwa anajitengenezea bomu kubwa kuliko
Tanzania tumekua sugu wa ukatili yaani wanaume wanne wanajadiliana kwenye kipindi hakuna hata mmoja anakemea ukatili wala kusikitika kwa kipigo alichopigwa Cassie wala husikii wanaume wakitoa onyo kwa wenzao kwamba acheni fikra za ukatili wa aina hii, badilikeni mioyo yenu msiuzoee ukatili
Dola elfu hamsini hata laki haiwezi kuficha ukatili wa mtu, tena aliyeficha video alaaniwe kabisa, unaficha ukatili unalalaje usiku na kupata usingizi?
Sns nawakubali sana bhagosha
Kessy hata akatae inaonekana DIDDY anazo kesi nyngi
Not kessy is Cassie
Mwanasheria wenu aende shule... criminal zina life span kwenye baadhi ya nchi.... tayari LAPD wamesha sema assault kwenye jimbo la Calif. haipaswi kuzidi miaka 6.
Mpenzi lkn boss same to Achibu and Zuu @?
SNS for my life 🙌🙌🙌
kwenye ile video p didy anaonekana ni mwenye roho mbaya sn
Dooo jamaa alikua na hasila
@@piusdeo9380Hasira hasara, ukiwa mnyanyasaji siku yake utaishia aibu na majanga
Dem alitaka kukimbia na maelekezo ya msela
Mwamba akasanuka akiwa cjui anaoga atoka natauli nahasir km zote😂
Evel 😭💔
Ishu ya Lil Wayne kuhusu Diddy ilikuwa voice over ya watu wa internet . Original voice Lil Wayne hakusema hivyo
Sns forever sky giant Men
DIDDY HE IS DEVO ☹️☹️
Nakukubali sky
Dj Sma katoa uchambuzi bora sana,Sma is a genius
uyo mtangazaji....ni mali,,,,
//
Nomasana
Kesi ndogo sana 😂😂 hamjui sheria
Ndio kwakipigo kile kessi nilazima p Diddy lazima imletee shida ..mana sikwakipigo kile ..nimejifunza Sana hata ukifanya nini ipo siku mungu akiamua kukuumbua lazima utoke jasho
Didy naye ana mengi
Mm sijaiyona video
Ilukuwa nguvu ya pesa.
👊✌️👍.
Jela sina huwakika lakini kibiashara kajimaliza! Siyo yeye tu hata watoto wake haswa wale wakiume.
Gman ndio nakuona sauti Yako na mwili wako hauendani
Cassie alikua anamfichia siri Didi asiharibu brand yake alikua anatishiwa maisha yake Didi angeweza kutuma panya rodi wakamfanyie fujo, Cassie kajitahidi yamemzidi mpaka kashitaki
We don't have Panya rodi
Mume wa Cassie amesema mwanaume mkumbushe mwanaume mwenzako, kumbusha kaka rafiki na wanaume wa familia yako wasifanye ukatili kwa wanawake badala yake muwalinde na wajisikie na amani
Aende jela tu
Selekari y’a américain kwahakika aina haya ikiwa didy anafaida kwako bc sio ajabu kuona kesi inapindishwa pindishwa nakupotea or maybe kuwe na wahusika wengi kwenye jambo moja linalohusisha watu mashuri bc sio ajabu kuona kesi imepote,, km shauri la shitaka la South Africa juu y’a israél
Inavyoonekana Didy kaishiwa pesa sasa anakosa kiasi cha kutosha kuwapatia wabaya wake ili wasimuharibie. Didy alikuwa anajitengenezea bomu kubwa kuliko
Diddy forgot to pay his Illuminati bills 😂
diddy pia ni mende
Didd mbona kashamaliza huo mchongo
Tanzania tumekua sugu wa ukatili yaani wanaume wanne wanajadiliana kwenye kipindi hakuna hata mmoja anakemea ukatili wala kusikitika kwa kipigo alichopigwa Cassie wala husikii wanaume wakitoa onyo kwa wenzao kwamba acheni fikra za ukatili wa aina hii, badilikeni mioyo yenu msiuzoee ukatili
Swala la kutetea wanawake kila wakati linaharibu dunia sana😢
We mwanamke kama hana adabu wacha apigwe
Mdomo ukizidi unatakiwa Ubondwe na sio kupigwa tu
Akili zimeshazoea ukatili unavyozema mwanamke Hana adabu au abondwe hapo weka picha ni Mama yako Mzazi utambonda?
@@marlonstudios4408 kuna dira Lako huku jikoni njoo tuchanbue mchele wewe sio mwanaume
Dola elfu hamsini hata laki haiwezi kuficha ukatili wa mtu, tena aliyeficha video alaaniwe kabisa, unaficha ukatili unalalaje usiku na kupata usingizi?
mbona izo kesi ni za zamani au aliwatuliza kibunda sasa wamerudi kivingine kumfilisi kbs
Marekani akunaga kesi ya zamani endapo mwanamke kakustaki ataiwe miaka 100 kaburi lako litafuatwa.
Hakuna kesi ya zamani My friend apa tu Tanzania kama uliuwa mtu mika 10 ilopita na ushahidi upo kesi inaanza upya. Haki ya mtu haipotei ata ufe
Warudi tu Afrika wamarekani weupe hawatupendi ss weusi. Wanatuona minyani tu
Umpige binadamu mwenzako halafu usingizie ubaguzi wa rangi? Acha ujinga wewe
@@darajalakidatukilomgi2362anjamanisha ivio
Ufanye uhalifu usingizie ngozi nyeusi? Usituaibishe
Uyu kaka sauti yake nilikua. Nadhani ni jamaa mmoja wa kibabe sana dah! 😂😂
Diddy hawamuezi.