Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Othman Masoud azungumzia mtazamo wake kuhusu uongozi, Muungano | GUMZO MAALUM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024
  • Kwenye mazungumzo haya maalum na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, tunazungumzia mtazamo wake kuhusu uongozi, Muungano, na mustakabali wa Zanzibar.

Комментарии • 17

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Месяц назад +4

    Jamaa yupo vizuri sana nampenda sana kusimkiliza.

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +4

    Mashaallah Mh Othman.. May Allah akuhifadhi ... utuvushie jahazi letu tufikie zanzibar kamili ... Allahumma ameen Allahumma ameen

  • @Bintkilabe
    @Bintkilabe Месяц назад +3

    Thanks comrade.....that is an apostolic philosophy.....vivaaaa

  • @omarkb6775
    @omarkb6775 Месяц назад +4

    Mtu kma huyu anazaliwa kila baada ya miaka 50 heshima kwako fundi mkuu

  • @Foodgrower112
    @Foodgrower112 Месяц назад +6

    Akili kubwa mno 🫡

  • @buchbeats5337
    @buchbeats5337 Месяц назад +5

    Diaspora Zanzibar kutamu Ishllh ACT ichukue nchi

  • @allyalially4963
    @allyalially4963 Месяц назад +3

    Unatufaa kuwa rais wetu

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu Месяц назад +3

    Rais wangu 2025

  • @w4058
    @w4058 Месяц назад +3

    Hatuwezi kuwa na mapenzi makubwa kwa na kwetu mpaka mtukubalie raia pacha nyengine hamtaweza kututambuwa

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +1

    OMO is an asset for zanzibarians lakini penye miti hakuna wajenzi

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su Месяц назад +3

    Huyu ni kiongozi wa mfano kabisa

  • @w4058
    @w4058 Месяц назад +3

    Tunaweka wazi ni siasa tu hakuna chengine wanajaza jamaa zao wenyewe uccm umekithiri

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Месяц назад +2

    Wa N'zambarau-Takao wan'kutana, ela vichwa vyao vin'jaa pomoni

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Месяц назад +3

    Hii interview ni ya zamani kidogo sio mpya kama sikosei

    • @RashidAli-rn3ro
      @RashidAli-rn3ro Месяц назад +1

      C ya zaman hpo tyr ashakua MWENYEKÌTI taìfa ACT

  • @omarhusna1766
    @omarhusna1766 Месяц назад +2

    Tanzania or zanzibar muheshimiwa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    👊✌️👍.