Hotuba ya Othman Masoud, asisitiza Zanzibar haiwezi kuendelea ikiwa chini ya Mkoloni Tanganyika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 50

  • @salyali7807
    @salyali7807 Год назад +3

    OMO 🔥🔥🔥🔥🔥 May Allah akuhifadhi utuvushe kwa salama ... Allahumma ameen

  • @omarsaid7153
    @omarsaid7153 Год назад +5

    Elimu kubwa hii. Asante Mh.Raisi tumaini la Wazanzibari

  • @harounramadhan9771
    @harounramadhan9771 Год назад +4

    Inshallah Allah atufanyie wepesi

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Год назад +4

    Chama bora kwa sasa

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 Год назад +2

    Furaha yko itakuwa kubwa zaidi Ishallah 2025utapokamilisha kzi aliowach Maalim Seif😊

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Allahumma Aamiin Fadhila dua yako iwe Maqboul Yaarabiy

  • @user-nv9pz6pr1z
    @user-nv9pz6pr1z Год назад +2

    Mungu atupe mwisho mema

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb Год назад +4

    ❤❤❤

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 Год назад +3

    Hakika allah akimuondosh mt hueka mt allah akupe ulinz mzur kwenye kupambania haki zete wanzanzibar naamin 20_ 25 wataondk t haoo mafisadi nakuomb raisi wet utakare kuja ongoz nch yet tukiipata dola kamili basi paspt iwe yenye hazi mzur pambo lake lamnje iwe chapa yakarafuu nandn yke kenye kurasa iwe waekwe wale waloipigania nch so wanyama km passport ya mungano Amn inshaallah tutashinda

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад

      Ili tuwe na mamlaka kamili ni LAZIMA Muungano usiwepo. Napenda sana Muungano uvunjike lakini nina maswali magumu kichwani kwangu:-
      1. Tutaweza kuushi bila Uunguja na Upemba?
      2. Kuna kasoro nyingi zetu wenyewe na uzembe nje ya Muungano tutaweza kujirekebisha?
      3. Nini hatma ya wenzetu na mali zao waliopo Tanganyika?
      4. Vipi hatma ya Wastaafu wa Muungano na pension zao atalipa nani, vipi. Nakumbuka EAfrica Community ilipovunjika Wafanyakazi hawakulipwa na hakuna wa kuwalipa.

    • @shaabanmakame2690
      @shaabanmakame2690 Год назад

      Mi nahisi kuwepo kw uunguj na upemba unasababishw na muungano, hii ni kisudi la kuwagawa wazanzibari ili kuwatawala

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 11 месяцев назад

    ACT-WAZALENDO!!! AMKENI
    Kura za 2025, zinaweza kupigwa kwa SIRI Tanganyika, na kuletwa kwa SIRI Zanzibar.

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Год назад

    Kweli kabisa tonga si tu km wanavyodhani watanganyika

  • @thuwenmbarouk2694
    @thuwenmbarouk2694 Год назад +1

    Tumekuelewa asiejua mwache apite

  • @w4058
    @w4058 Год назад

    Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil we need to stand with this dua and many others to defeat the dhalimum

  • @jumarajab2754
    @jumarajab2754 Год назад

    Hamuheshimu hata Rais aliemuweka hapo panapompa kibri cha kusema

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 Год назад

      Kwa sababu si raisi ndio maana haheshimiwi nani alimchagua mnajitia upofu mijizi ya kura nyinyi pumbavu kweli nyinyi watanzania

  • @w4058
    @w4058 Год назад

    Hao wanata kupigiwa dua za kweli kweli

  • @SalehRashid-zz7dc
    @SalehRashid-zz7dc 4 месяца назад

    unasemaje ww Ccm dude gani?

  • @jumarajab2754
    @jumarajab2754 Год назад

    Umemshinda uwana sheria ataiweza Zaanzibar

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 11 месяцев назад

      MUUNGANO WA KIKOLONI
      @jumarajab2754.Hakushindwa Uwana Sharia, lakini alipinga Sharia za kuifanya Zanzibar kuwa Koloni ya Tanganyika.
      Ndio sababu ya Wakala wa Ukoloni wa Tanganyika Rais Sheni alimvua Uwana Sharia.
      Kabla ya yeye Mwana Sharia Mkuu wa Zanzibar Wolfgang Dourado alisema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si Halali.
      Ndio sababu Rais Nyerere alimfunga siku 104 Tanganyika.

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 11 месяцев назад

      Watu km wewe ndio muloupokea ukoloni mukawauza watu yaan mtu anatetea vitu ambavo vipo wazi kbc

  • @RashidiHassani-in9rb
    @RashidiHassani-in9rb Год назад

    Si wasusie hata uchaguzi watupishe tuchukue urais iliwaje watukosoe

  • @labanigalusi874
    @labanigalusi874 Год назад

    muungano wann

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Год назад

    Naona mnisaidie sijui hili, Rais wa zanzibar, na makamo wake wote 2 wakinda bara katika serekali hii ya mungano wanakua ni kama nani wao Tanganyika ? Yoyote anae jua

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn Год назад

      Rais anakuwa mkuu wa mkoa na makamo wanakuwa manaibu zake

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Год назад

      @@IbnuAlly-cg2gn 🙄🙄😁 Mungano oyeee

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Год назад

    Omo upo kwelini? maalim sefu alikuwa anatufanya kama mizukule Sisi wengine tulimjuwa mapema je wewe je sio CCM no 2?

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Год назад

      Kura za vitambulisho vya maerehemu na za wizi ndio zinazo kutieni ujeuri nyie wazanzibara😂😂

  • @jumarajab2754
    @jumarajab2754 Год назад

    Mwambieni na huyo Masoud hana uwezo wa kuongeza watu labda kondo na mbuzi

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Hasbiyallah Waneemal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah ndio atakaedeal na wewe hasidi mmoja juma

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Angalau yeye ataongeza kondo na mbuzi wanyama halali nyie mmeharamushwa kama nguruewe maana hamjashindapo ila kuiba kura kubadilisha matokeo Alaysa llahu biahkamulihakimin inatosha

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Fasayakfika humu llah wahuwa samiul aleem na ubaya wako

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Dhalim asomuogopa Allaah ndio kama wewe mkosefu wa imani

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Mijitu mshenzi kama wewe ndio sababu ya kujaa matatizo yasiokwisha kwa ajili ya roho zenu mbovu zilojaa chuki Subhanallah Allaah awageuzie maana munatusemesha maneno tusiyoyataka laysa laha mindulahi kashifat

  • @jumarajab2754
    @jumarajab2754 Год назад

    Mungu apishe mbali popo mtawale Zanzibar kwa uwezo wake Allah na nia zenu mbaya kwa wazanzibar CCCm iitaendelea kuongoza mpaka Mungu apende

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Huna lolote maridhiano tumbo tele ccm no 2

    • @salyali7807
      @salyali7807 Год назад

      Akili zenu zimo kwenye matumbo tu.. typically CCM

    • @salyali7807
      @salyali7807 Год назад

      Kama huna la kusema usituletee utumbo

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Год назад

    Acha fitna mjinga wewe, huna hata mvuto wa kisiasa. Tumechoka siasa za chuki Tanzania ni moja

    • @WeyaniTvonline
      @WeyaniTvonline  Год назад

      Tanzania ipi moja? Hii ya bandari ambayo mnasema wazi Rais Mzanzibari anauza mali za Tanganyika?

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Год назад

      @@WeyaniTvonline mie pia mzanzibar lakini Tanzania ni moja tokea asili na asili na sio kwa muungano WA Nyerere na Karume

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn Год назад

      ​@@mhogomchungu7168acha upumbavu km Tanzania ni mmoja huu muungano ulikujaje na nani aliyeigawa hapo mwanzo kabla ya kila nchi kuwa na mamlaka yake kamili

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn Год назад

      ​@@mhogomchungu7168Mukishapata vitambulisho vya mkaazi munajifanya wazanzibar, mzanzibar gan anayejielewa anayekubali muungano huu wa kihuni

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Год назад

      ​@@mhogomchungu7168Labda Mtanganyika unayeishi Zanzibar ila kwa Mzanzibari halisi hawezi kuongea utumbo huo