Othman Masoud aelezea kilichomtowa bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 40

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 года назад +3

    Bigup sana
    Unamjuwa kiongozi wetu Othman masoud
    Allah SW atakuwezesha akupe nguvu na uwezo wa kuitetea nchi yetu ya Zanzibar

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +1

    Kichwa ichi hamna apa zanzibar akili nyingi apa talent

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 года назад +2

    Ile siku ilitupa somo kubwa omo uliwapa somo mawakala wa ukoloni wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 2 года назад +2

    Duh Allah Akulinde kwa kila balaa

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 года назад

      Sio amlinde ,kasha mlinda kikubwa niwatu kumuunga mkono ,kufa au kuwa hai,,,la sivyo yatakuwa Yale Yale ya Maalim sefu,baada ya kuona watu wenyewe wanaokopa kufa ilimbidi awe anawatuliza Tu,

  • @allenmazera4929
    @allenmazera4929 9 месяцев назад

    Viva Zanzibar

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +1

    Wazanzibari mfike pahala mfanye kama palestina mtakuwa wanyonge mpaka lini

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 года назад +1

    Inasikitisha sana... May Allah akupe nguvu upiganie uwatani wetu... May Allah akujaze kila la kheri OMO Allahumma ameen

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 2 года назад +3

    Hamad masoud angeyajua haya

  • @sultantany6091
    @sultantany6091 2 года назад +2

    Omo nakukubali sana

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 года назад

    UKAAZI KWAKWELI ..UNASHANGAZA🤣😂😂😂KWAIYO SIKU AKIAMUA ANATUFUKUZA WAKAZI

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 2 года назад +1

    Goooood gooooooooooood
    Love zanzibar
    Love OMO

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 2 года назад +1

    Pamoja sana

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 года назад

    My usifukuwe Makaburi na Ndivyo Tulivyoambizana au!

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 2 года назад

      Lazima awaambie nyinyi muliolala wenye akili ndogo kuna kera sana .

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 года назад

    Katiba Mpya ndo itaongea

  • @alimansourali8871
    @alimansourali8871 2 года назад

    Kila la kheir baba

  • @seifmohamedkhalfan907
    @seifmohamedkhalfan907 2 года назад

    kina hamza hasan juma

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 2 года назад

    Mtihani mkubwa naona

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 года назад

    WAZANZIBARI NA NCHI YAO

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 года назад

    Excellent job OMO 👍

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 года назад

    💪💪💪💪

  • @jumarajab2754
    @jumarajab2754 2 года назад

    Haya.shkh si uyazungumze kwenye Baraza la Mapinduzi unachokifanya ni uchonganishi baina ya jamii na Serikali yao

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 года назад

      Kada

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 года назад

      Wewe kenge kweli uyo alizungumza bado ni mwanasheria mkuu wa serkali,sijui ulikuwa hujazaliwa bado

    • @fakihdarusi4385
      @fakihdarusi4385 2 года назад

      HAKUNA UCHONGANISHI ILO LINAJULIKANA ZAMANI ....ILO BARAZARA LA MAPINDUZI NDIO LILIOPITISHA ENZI ZILE ETI AU

    • @picksdelightfulkitchen2420
      @picksdelightfulkitchen2420 2 года назад

      Kuelimisha watu ndo muhimu sio barazani

    • @patimabilali7820
      @patimabilali7820 2 года назад

      @@medimisi6930🤣🤣🤣🤣 kada