IVI KUMBE OTHMAN MASOUD ANAWEZA KUMWAMBIA RAIS MWINYI MANENO HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 14

  • @wahidmuhidin1713
    @wahidmuhidin1713 Год назад +4

    Allah akupe umri mrefu inshallah 2025 ww ndo raisi wetu biiznillah

  • @baraghash4964
    @baraghash4964 2 месяца назад +1

    💜💜💜💜💜

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2gi 5 дней назад

    ❤❤❤2025 inshaallah

  • @aliyzahor777
    @aliyzahor777 Год назад +1

    Mtihani kweni hii nchii ngumu Sana mana tiyali ishanzaa kunukaa njaa sasa

  • @AhmedAhmed-bz1re
    @AhmedAhmed-bz1re Год назад +1

    Wewe ndie Raisi mwaka 2025 Inshaalalh

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Год назад

    Kweli haha ni maneno adimu kutoka kwenye vinywa vya viongozi wa CCM hawawezi kuwaamsha wananchi Ila wao wanataka wananchi walale Kwa nini

  • @baraghash4964
    @baraghash4964 2 месяца назад

    Ccm kubadilika ni mwiko kwa maana wanakua wanaitwa vikao vya usiku, kupewa maonyo na kutishiwa. Ndio maana ccm wamekaza vichwa hawataki kubadilika ktk kuidai mamlaka yetu kamili.

  • @kassim1262
    @kassim1262 Год назад +1

    Znzbr inavyama viwili chama chakufumbua nakuamsha wznzbar kwamaslahi yawaznzbar nachama chakupotosha nakuikandamiza znzbr kwaniaba yatanganyika ccm akikaa jukwaani mapinduzi daima ccm oyee tutashinda kwakishindoo lakin maneno yakukuamsha akili hasa hawana

  • @HamidaHamad-rj5wq
    @HamidaHamad-rj5wq Год назад

    Kumbe najua aliyepewa kapewa

  • @ahmedseif9461
    @ahmedseif9461 Год назад +2

    Tanganyika

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Год назад

    Video inakata maneno