Bi Mariam Hamdani, kichwa kilichojaaliwa mengi | GUMZO NA WALIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 27

  • @TheTarabist
    @TheTarabist 3 месяца назад +2

    Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 3 месяца назад +1

    Alhamdulilah.
    Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online.
    4rv uk 🇬🇧

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka5312 3 месяца назад +3

    Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 3 месяца назад +2

    Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 3 месяца назад +2

    MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu

  • @a.856
    @a.856 3 месяца назад +2

    Jazakallah khayran

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 3 месяца назад +2

    Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya

  • @bindawood978
    @bindawood978 3 месяца назад +1

    Mamaake Aida na Adila

  • @muhammedameir3582
    @muhammedameir3582 3 месяца назад +1

    Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.

  • @AhmedAlharthy-g4v
    @AhmedAlharthy-g4v 3 месяца назад +1

    O matamu

  • @AhmedAlharthy-g4v
    @AhmedAlharthy-g4v 3 месяца назад +1

    Shukran

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 3 месяца назад +2

    Mashallah, tabaarakallah

  • @yanyikawaterwelltanzania9600
    @yanyikawaterwelltanzania9600 3 месяца назад +1

    MashAllah,

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +1

    HONGERA KWA KUTUTAJIA USUL NA ASAS YAKO

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 месяца назад +1

    Mashaaallah

  • @rahamuha1932
    @rahamuha1932 2 месяца назад

    Hahaha eti mitoto ya zamani ilikua mizuzu😂

  • @TheTarabist
    @TheTarabist 3 месяца назад +1

    BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 Месяц назад

    Hiyo filamu inaitwaje

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 Месяц назад

    Hiyo senema initwaje

  • @laylayahya24
    @laylayahya24 3 месяца назад +1

    Bismillah Masha Allah

  • @KassimYakout
    @KassimYakout 3 месяца назад +1

    Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 3 месяца назад +1

    Nasra juma

  • @MassoudMaghwaly-jo8sh
    @MassoudMaghwaly-jo8sh 3 месяца назад +1

    Nice❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 месяца назад +1

    Wapi tutaiona film

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 3 месяца назад +1

    Ahsante