Hapa Duniani cha muhimu nikufuata tu mapenzi ya Mungu Muumba mengine yasiingilie kazi ya Mungu maana madhara ya mwanadamu kujitegemea ndiyo kama haya pale tu mwanadamu anaposema mimi ninauwezo na Hamtegemei Mungu mwenye Enzi basi atarajie maumivu tu Baba Mungu katika Jina La Yesu Naomba uturehemu.
God blss dubai
Allah iponye dubai
Hapa Duniani cha muhimu nikufuata tu mapenzi ya Mungu Muumba mengine yasiingilie kazi ya Mungu maana madhara ya mwanadamu kujitegemea ndiyo kama haya pale tu mwanadamu anaposema mimi ninauwezo na Hamtegemei Mungu mwenye Enzi basi atarajie maumivu tu Baba Mungu katika Jina La Yesu Naomba uturehemu.
Duh,, hatari
warudishe bandari ya watanzania laana hiyo
Ishu SIO bandari ishu kufungua mlango WA dhambi mipira namenine
Warudi katika dini waachane na tabia a kimaghalibi la sivyo watazalilika