Poleni Sana wengine acheni uchonganishi wakuilaum serikali huku. Oman piya nyumba zimezama na watu wamekufa jee huku serikali hiyo ni mipango ya mungu tu
Haya maeneo sio mazuri nilishawai mwaka fulani kupita hapo na hali ilikuwa km hvy ,, sija shangaa kuona hali hii kwa mda huu tena , Mungu azid kuwa nanyi na kuzifumbua akili zenu
Kitu ambacho malazote binaadam huwa nilaic sana kushangaa kitu ambacho sisiwenyewe tunakijuwa maji nikama tembo akipita Mahal miaka Mia kunasiku atapita Tena Ivo ukwel hayo maeneo niyamaji ilakwakuwa binaadam niwajeuli saiz wansema viwaja hapana maji hayajawai pita maeneo yasio yao.tujenge Ila siku yakitaka kipita njiazao pia tusitafute wakumlaum
Uko sahihi ndugu dhambi ninyingi sana dawa ni kutubu na kumrudia MUNGU WA UKWELI ili nchi isamehewe na Mungu. Kumbukeni Ninawi yaliyowakuta mpaka mfalme akatoa amri watu wote wafunge ili wapate kusamehewa inchi isiteketee tujifunze kwa Ninawi.
Ni kweli mwaka huu mvua zimekuwa nyingi, watuambie kama hali hii huwa inajitokeza mara kwa mara mvua zinapokuwa nyingi. Kama sivyo basi ufanyike utafiti nini kinasababisha, kitajulikana tu
Rufiji kwa jumla iko hivyo tambarare ina vyanzo vikubwa vya maji mito mikubwa milima ni michache wanahishi umo na kufanya shughuli za kilimo humo hata uvuvi ndo maisha yao sasa hili Allah ni mjuzi zaidi tuombe atupe mwisho mwema
Hakuna cha unabii hapo wala nin Maji yamefunguliwa makusudi hayo katika bwawa la umeme la mwalimu Nyerere na kila wanapoyafungulia huwa wanatangaza tatizo wametumia utaratibu mbovu kuyafungulia mbaka yameletamadhara makubwa ivo
😂😂😂...ati jeahi la allah.... hovyooooo...kwa hivyo wale mende makha kwenye al-kahba nao walikuwa ni jeshi la allah au??? Au wewe hukuona yale mafuriko Makka nayo ilikuwa jeshi la allah 😂😂
Poleni Sana wengine acheni uchonganishi wakuilaum serikali huku. Oman piya nyumba zimezama na watu wamekufa jee huku serikali hiyo ni mipango ya mungu tu
Mipango ya mungu mvua kipindi hiki Dunia mzima Allah atujaalie mwisho mwema
Duh! Poleni sana Allah sw awafanyieni wepes kwa mtihan ulowakuta
Hapo ndipo mungu anaonyesha uwezo wake,mrejeeni mungu.
Auja kosea
Poleni sana wenzetu,sallah zetu ziko pamoja nanyi amen
Poleni sana
Poleni sana, tutubieni kwa madhambi tunayofanya
We hujuwi tu rufiji maji sio mwaka huu tu mafuriko miaka yote yamvuwa mtihani
Dash aisee Mungu fantastic jambo
Aisee ndugu zanguni poleni sana, Mungu awalinde kwa malaika wake
Chami hivi wewe ni msabato
Hapana ndugu yangu
@@BenfilimonHapana ndugu yangu
Daa nyumbani ndo kumeefikia hali hii ram pole sana
Acha tu mpk nakosa la kusema mungu ndo jibu
Poleni sana ndugu zetu wa Rufiji kwa majanga ya mafuriko mungu awe pamoja nanyi.
Poleni namafuriko huko rufiji
Dah poleni wanarufiji, kwa kweli serikali iwasaidie sana.
Yesu ana kuja
Poleni sana wapendwa mkono wa MUNGU utulizao dhoruba utawaokoa na kuwareejeshea amani,mwaminini YESU tu,atawashindia hii vita.Amen
Daa poleni sana ndug zet
Dahhhh
Mungu awafanyie wepesi amin
pole yaooo
Mikondo ya maji hii itakuwa!! Poleni sana
Kwa kweli Rufiji poleni Mungu awasimamie
Poleni sana wananchi wenzetu MUNGU awasaidie
😢😢
duh polen sana
Mungu awajalie subira kwa mitihan uwo
Poleni sana jamani
Mungu awalinde
Poleni sana ndg zetu😢😢😢
Count me in
Polen Sn Ndugu Zetu
Polen san n dugu zetu eid imekuja vibay upande wenu
Polen sana Mungu awe nanyi 😢😢😢
Eee Mungu tunusuru
Poleni Sana rufiji
Polen sana 😢Mungu awe nanyi
Waombeni viongozi husika wayatengezee njia maji hayo.
Jimi nin miaka 53 nikiwa na iaka 8.kukikuwa na kitabu kikeandikwa.mafurikonya mto rufiji
Life jackets 🛟 please msije mkaanguka humo kwanini lakini
Polen saana
Polen ndg ze2.
Mlishaambiwa kuhama hapo siku nyingi sana mkashupaza shingo.
Haya maeneo sio mazuri nilishawai mwaka fulani kupita hapo na hali ilikuwa km hvy ,, sija shangaa kuona hali hii kwa mda huu tena , Mungu azid kuwa nanyi na kuzifumbua akili zenu
Upo sahi sana man sina ugeni napo hapo rufiji wasio juwa wanaona Rana mazambi sijuwi nani Kawa ambia
😮💨🤧
Kitu ambacho malazote binaadam huwa nilaic sana kushangaa kitu ambacho sisiwenyewe tunakijuwa maji nikama tembo akipita Mahal miaka Mia kunasiku atapita Tena Ivo ukwel hayo maeneo niyamaji ilakwakuwa binaadam niwajeuli saiz wansema viwaja hapana maji hayajawai pita maeneo yasio yao.tujenge Ila siku yakitaka kipita njiazao pia tusitafute wakumlaum
Simulia sana omba ya sikukute
Polen xana ndg zangu
😢😢😢😢😢😢
😢😢😢
Kuna vitu vyengine ukiviangalia kiuhalisia asa unakuwa impossible kutokea ila hizi ni dhambi zetu zinatutafuna turudini kwa MUNGU😢😢😢😢😢😢😢
Uko sahihi ndugu dhambi ninyingi sana dawa ni kutubu na kumrudia MUNGU WA UKWELI ili nchi isamehewe na Mungu. Kumbukeni Ninawi yaliyowakuta mpaka mfalme akatoa amri watu wote wafunge ili wapate kusamehewa inchi isiteketee tujifunze kwa Ninawi.
Hayo ni Maji yamefunguliwa makusudi huko seloo mloka katika bwawa la umeme wala sio bahati mbaya hiyo
Tanzania tunamwaga damu zisizo na hatia sana
@@aishajuma18Uko arusha Nako Kuna Bwawa la umeme?
@@dadamuebrania1539 Nimezungumzia ya hapo Mim sasa Arusha imeingiaje hapa
Jamani pore sana
😢😢😢😢
Pole wana Rufiji kwakweli huu ni msiba mzito. Kwani hilo bwawa limekatika au imekuwaje?
Ee Mungu utuhurumie sisi na dunia nzima
Amiin
Jamani mu gu awasaidie
Duuh polen jamani
Hata mto umbu,n balaa,kambare ndan nyumba,mafuriko,barabara imajaa maji,tunaomba caterpillar, kuchimba mitaro,
Ni kweli mwaka huu mvua zimekuwa nyingi, watuambie kama hali hii huwa inajitokeza mara kwa mara mvua zinapokuwa nyingi. Kama sivyo basi ufanyike utafiti nini kinasababisha, kitajulikana tu
Mafuriko yalikuwa yakitokea Sana tu. Mafuriko makubwa zaidi yaliyokea 1974 ambapo hadi Helkopta za Jeshi zilitumika. Kwahiyo ndio asili yake.
vijiji vimesombwa
Pollen jamn
Kuishi kwenye mikondo ya maji ni hatari
Rufiji kwa jumla iko hivyo tambarare ina vyanzo vikubwa vya maji mito mikubwa milima ni michache wanahishi umo na kufanya shughuli za kilimo humo hata uvuvi ndo maisha yao sasa hili Allah ni mjuzi zaidi tuombe atupe mwisho mwema
Mbona kama baharini maji hayatembei kiama
hamieni kigoma huku ni mirima TU, hakuna jam
Bahari imetema hiii. Kwa hiyo maji yamerudi
Huku Arusha kisongo magari watu wanasombwa
POLENI NDUGU ZETU HUKO MUHORO
Asar za mkupatwa kw jua
Yaar rabby wanusuru viumbe wako tunakuomba yarrabi
Unabii unatimia
Wewe unaunabii gani shetani mmoja wewe unaemuasi mungu kwatamaa zako zakidunia😂😂😂😂
Hakuna cha unabii hapo wala nin Maji yamefunguliwa makusudi hayo katika bwawa la umeme la mwalimu Nyerere na kila wanapoyafungulia huwa wanatangaza tatizo wametumia utaratibu mbovu kuyafungulia mbaka yameletamadhara makubwa ivo
kigogo alitoa tahadhari siku sio nyingi
Aaaaaaah
So sad. Ukiona umeamka salama bila shida yoyote. Sema Asante Mungu
Kuna nabii alisema hii kua dar itakumbwa na mafuriko
Ndo haya sasa yanatokea wanamuhasi mungu usiku na mchana mambo wanaofanya hadharani wanajua mungu hawoni
Kima
Poleni sana
Chamwenge imekua bahari😢
Hilooo ni jesh la Allah
😂😂😂...ati jeahi la allah.... hovyooooo...kwa hivyo wale mende makha kwenye al-kahba nao walikuwa ni jeshi la allah au???
Au wewe hukuona yale mafuriko Makka nayo ilikuwa jeshi la allah 😂😂
Poleni sana wenzetu,sallah zetu ziko pamoja nanyi amen
Poleni sana.
Poleni sana
Poleni sana
Poleni sana