MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...
HTML-код
- Опубликовано: 9 дек 2019
- MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...
Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, amesalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani katika sherehe za miaka 58 ya uhuru akiwemo Lazaro Nyarandu, John Heche, Boniface Jacob, Sugu, pamoja na Godbless Lema katika uwanja wa CCM kirumba Jijini Mwanza
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
ruclips.net/user/playlist?li
CCM ni kioo cha Democracia nchini na katika bara la Africa. Mungu ibariki Tanzania pia mbariki Raisi wetu JPM daima
Ni Jambo jema kuwaachia huru BINAADAMU hususan walioingia gerezani bila ya hatia.
Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa
Da
Safi sana imejenga taswira nzuri sana kwa Taifa letu hasa wale wasiopenda Taifa letu wapo kimaslahi zaidi
Yaani Magufuli amepatana na Wahuni Face to face...Safi sana Bongo poa
Kama kuna aliemuona mwinyi akisimama kila SAA kuonyesha kuabudu agonge like
Imaleta raha. Moyo unafurahia mno
Hii ndio Tanzania ya wote sasa hakika MUNGU ni mkuu sana.Maendeleo bila umoja na upendo hata ktk familia ni kasoro kubwa.Hongera baba Magufuri wewe ni baba wa wote na MUNGU akupe wepesi ktk kusimamia majukumu yako.
Mimi kilicho nifulahisha viongozi wote kufika bila jujali tofauti zao hakika mungu atuongoze tusije chukiana sababu ya vyama nawapa hongela viongozi wote kwa ujumla
Asante mheshimiwa rais kwa kuwasamehe,wafungwa
Magufuli ana akili finyu sana. Unasamehe Wafungwa kwa upendeleo. Magereza kumejaa wagonjwa wa maradhi sugu na Wazee amemwachia nani wakuu wa Magereza.
Hongera sana raisi wetu
JPM utazidi kuwa juuuuuuu,like hapa Kama unaamini hivyo
Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?
Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?
Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?
I just love this President, hata kuwasalimia tu wapinzani is a good gesture for the peace of the nation
Naam
Mmemuons LEMA ANAVYOUTAFUTA MKONO WA MAGUFULI ILI MRADI AMSALIMIE HALAFU KESHO UTAMSIKIA ANAMPONDA
Mbona hivyo Ana utafuta una nin?
Nmefurahisaana kuona vngozi waupinzani wakiwa kitukimoja
Mungu ibarik Tanzania, Mungu mbarik Rais wetu amiiin
Safi sana Rais wetu... Nimekiona pale ulipo wasalim wale jamaa pale chini Na Rangi zao za kaki.. Haaaaaaa
Good to remember.
Msamaha niufunguo... Raisi wetu Mungu akubarikisana
Loyce Akim usilete wongo wako. Sio kila mtu alinyoosha mkono amsalimie ila baada ya raisi kumsalimia nyalandu alimsalimia pia yule mwanamke na alimpa mkono. Acha uzushi.
Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii
Jambo la busara Sana.
Asante MUNGU kwa kukutanisha viongozi wrote kwa ubora huu
Sungu nimemuona hapo Tanzania mungu aiyongoze tanzania amani
hiki ndicho tunachokihitaji babaaa ktk taifaletuuu i like it
YAPO MENGI YA KUIGA HAPO NA UMOJA NI NGUVU SANA...HONGERA JPM
Safi sana tuendeleeni kudumu kwenye UPENDO na UMOJA huu mzuri daima
Tanzania tusipokuwa na umoja, mshikamano, undugu, na amani Maadui watatufanya hakuna maana Tanzania inazo rasilimali ambazo hata zingine hatujazitumia. Tuwe makini sana na Siasa za chuki.
Safi sana kusalimiana na wapinzani
Pongezi kwenu kazi nzuri
Mm Bnafsi Nampenda Cna Rais Wangu Magu Mwamba Wa Ziwa Victoria Mungu Hakuweke tu Umefanya Makubwa Ndani Ya Kipindi Kifupi Hongera Watanzania Wenzangu tuendelea Kumsaport Rais Wetu Nimungu Katupa
Joseph Materu mungu hajamuleta jpm acha ujinga mungu hayuko upande Wa dikiteta.
@@fransicsamson106 Cwa Kaka Mm Kweli Mjinga Ww Mwelevu Cna Coz Unataka Mm Nifate Mtazamo Wako Mm Kusema Jpm Kaletwa Na Mungu Nimtazamo Wangu Mjinga Na Mpumbavu Niyule Mwenye Kupinga Mtazamo Wa Mtu Mwingine Coz Mm C Ww Na Wa C Mm Nandio Maana Hata Levo Za Maisha 2potofauti 😂😂😂😂Haaaahaaahaa😂😂😂😂☝️☝️☝️
Uliku naupendo sana
Msiopenda nchi yetu Hasa wale wakoloni wanaotaka kutugawa mtateseka sanaaaa, kwa nini mtesekee, tuacheni tu, thank you Mr President JPM chief in commander.., vyama tupa hukooo, nchi kwanza.. , twenzetu wote...
Nani kamuona yuke mdada anamuangalia rais vibaya au macho yangu
Bango linasomeka miaka 57 maandishi yanasema 58!
Naona haina haja ya uchaguzi mwaka 2020
Mzee malichela wanasema tukitaka kuona maendeleo tuende dodoma kwani maendeleo yanastahiki dodoma pekee!! Au nchi ni dodoma tuu??
Mm ntaenda nyumbani kwangu na eneo nililopo
Utaelewa tu ni kwa nini babu tulia
Wewe ni profesor wa nini MALICHELA ni nini??
Kesho Kenya. Miaka 55 ya uhuru
Viva JPM
Msukuma sijaewa alichozungumza wamemuelewa wasukuma lkn sio mbaya,,,,,,,
mkiteuliwa mkafanye kaz sasa muache uchama...sisisote tunajenga nchi moja.
Which is which, 57 years or 58 years?!!
Sasa kipi tena tunataka ? Tuijenge Tanzania twendeni mbele
Mtani upovzri
Kwani hawa wa uamsho katiba hairuhusu kuachiwa ?? Au hawaonekani??
Kwa ninavyofahamu Mimi kisheria kwa mujibu wa ibara ya 45 na viprngere vyake, kwamba mhe.raisi ana haki /nguvu ya kisheria kuwaachia wafungwa *waliopewa hukumu* au wiokwisha hukumiwa,
Sasa tatizo ninaloliona Mimi ni kwamba mahakama haijaamua kuisikiliza hiyo kesi wala kutoa hukumu ,raisi hatakiwi kusamehe mahabusu kwakua atakua anaingilia muhimili wa mahakama kisheria,
Kwahiyo kwa mtazamo wangu naona kama kuna ucheleweshwaji basi inawezekana ukawa upo mahakamani ,huo ndo ufahamu wangu Mimi kisheria
Labda kama kuna anayefahamu zaidi anaweza akafafanua kwa undani tukajifunza kitu na kuongeza uelewa
sasa wana adabu magu mwamba buana
Mungu amekuchagua Raisi mwema
Mh magufuli wa pizani wamesha kuelewa chapa kaziiiiii
Wangapi wamemuona mwanamke aliyesimama na Nyarandu hakutaka kumsalimia Raisi
Baba umeeleweka no comment yako ni mapya kila iitwapo leo
Ukiangalia kwa makini zaidi utagundua kabisa my rais hana tatizo na wapinzani na hana ubaya nao kabisa,nadhani wapambe ndio vichonganishi sana,binafsi naomba rais aendelee kuongoza nchi hii,ila kuwepo na wanachama wengine kwenye kuongoza nchi,ana upendo sana na watu wote,Mungu ambariki sana mh rais na kumpa maisha marefu,.
richard tungaraza acha ushamba jpm akomee hii mitano inamtosha
@@fransicsamson106 hujaelewa kaka,kabla hujapanic na kuongea hovyo tafakari maneno yako,mtandaoni humu,jpm ataongoza kwa mujibu wa katiba na si vinginevyo
Wamesamehewa majambazi lakini mashehe wetu wasio na hatia wanasota kwa dhulma ,mungu amlani makufuli amin
Mpuuzi mmoja wewe!!
Alewatuma walete usumbufu nani,jiangalie wewe!
Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa karibu kituoni kwetu Chanika kwa Dadi jijini Dar-es-Salaam.
0716651640/0685074983/0742671603
Magufuli anaonyesha kutimilisha maadili ya watanzania na halwa wanyonge na pia hana ubaguzi dhidi ya wapinzani mungu wabariki watanzania wote wazidishe upendo baina ya wote kwaumoja AMIN
Wasukuma wanapenda sifaa
Uzalendo jukwaani ofsini watekeni hao
Ni mawazo yako
Na hilo ndio tatizo lako toka mtoto
Na hilo neno
No one like you
Haoooo jamaaaa tuwavishe jezi zakijani ,tu wasitudanganye,
Mbowe ni zaidi ya wote hapo.hakuna wa kumfikia
Asante kwa kuwaachia huru watanzani wezentu
Umamacho ya akili
Uyo mbowe ni MUNGU AU MALAIKA eti ni zaidi Kama kweli ni zaidi aachie uwenyekiti alio kalia kwa myaka 15 na zaidi
Saana
Au chama chake na katiba nawafwasi wake kinamtaka awe mwenye kiti wa kudumu
Bado ni kiwango cha chini kabisa kupeana mikono hakumaanishi kwamba nchi haina matatizo kauli ya raisi kama kweli anataka ukiona nchi ni huru basi tamko lake ni muhimu kwa matukio yaliyotokea ya hujuma kwa wapinzani.
Wapinzani mtaisoma No pofu itawatoka sana
No like you
Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa
Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii