MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 дек 2019
  • MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...
    Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, amesalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani katika sherehe za miaka 58 ya uhuru akiwemo Lazaro Nyarandu, John Heche, Boniface Jacob, Sugu, pamoja na Godbless Lema katika uwanja wa CCM kirumba Jijini Mwanza
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    ruclips.net/user/playlist?li

Комментарии • 95

  • @yassinkabingwa8915
    @yassinkabingwa8915 4 года назад +4

    CCM ni kioo cha Democracia nchini na katika bara la Africa. Mungu ibariki Tanzania pia mbariki Raisi wetu JPM daima

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 года назад +14

    Ni Jambo jema kuwaachia huru BINAADAMU hususan walioingia gerezani bila ya hatia.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад +9

    Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 4 года назад +2

    Da
    Safi sana imejenga taswira nzuri sana kwa Taifa letu hasa wale wasiopenda Taifa letu wapo kimaslahi zaidi

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 3 года назад +1

    Yaani Magufuli amepatana na Wahuni Face to face...Safi sana Bongo poa

  • @emanuelmrema3970
    @emanuelmrema3970 4 года назад +6

    Kama kuna aliemuona mwinyi akisimama kila SAA kuonyesha kuabudu agonge like

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 4 года назад +6

    Imaleta raha. Moyo unafurahia mno

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 4 года назад +3

    Hii ndio Tanzania ya wote sasa hakika MUNGU ni mkuu sana.Maendeleo bila umoja na upendo hata ktk familia ni kasoro kubwa.Hongera baba Magufuri wewe ni baba wa wote na MUNGU akupe wepesi ktk kusimamia majukumu yako.

    • @abdallhaibrahim3816
      @abdallhaibrahim3816 4 года назад

      Mimi kilicho nifulahisha viongozi wote kufika bila jujali tofauti zao hakika mungu atuongoze tusije chukiana sababu ya vyama nawapa hongela viongozi wote kwa ujumla

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад +12

    Asante mheshimiwa rais kwa kuwasamehe,wafungwa

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 4 года назад

      Magufuli ana akili finyu sana. Unasamehe Wafungwa kwa upendeleo. Magereza kumejaa wagonjwa wa maradhi sugu na Wazee amemwachia nani wakuu wa Magereza.

  • @sabinashabani9742
    @sabinashabani9742 4 года назад +9

    Hongera sana raisi wetu

  • @deokessy4714
    @deokessy4714 4 года назад +9

    JPM utazidi kuwa juuuuuuu,like hapa Kama unaamini hivyo

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 года назад

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 года назад

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

    • @teddykanondo5753
      @teddykanondo5753 4 года назад

      Wafungwa wa Arusha na Kilimanjaro una visa nao?

  • @mako331
    @mako331 4 года назад +6

    I just love this President, hata kuwasalimia tu wapinzani is a good gesture for the peace of the nation

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 года назад +10

    Mmemuons LEMA ANAVYOUTAFUTA MKONO WA MAGUFULI ILI MRADI AMSALIMIE HALAFU KESHO UTAMSIKIA ANAMPONDA

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 4 года назад +3

    Nmefurahisaana kuona vngozi waupinzani wakiwa kitukimoja

  • @user-nj1jd6zy8e
    @user-nj1jd6zy8e 4 года назад +2

    Mungu ibarik Tanzania, Mungu mbarik Rais wetu amiiin

  • @edwardmagori6630
    @edwardmagori6630 4 года назад +2

    Safi sana Rais wetu... Nimekiona pale ulipo wasalim wale jamaa pale chini Na Rangi zao za kaki.. Haaaaaaa

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 года назад +3

    Msamaha niufunguo... Raisi wetu Mungu akubarikisana

  • @adrianondumbaro3933
    @adrianondumbaro3933 4 года назад +2

    Loyce Akim usilete wongo wako. Sio kila mtu alinyoosha mkono amsalimie ila baada ya raisi kumsalimia nyalandu alimsalimia pia yule mwanamke na alimpa mkono. Acha uzushi.

  • @hebronkilimanjaro6724
    @hebronkilimanjaro6724 4 года назад +2

    Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii

  • @jimjam7687
    @jimjam7687 4 года назад +3

    Jambo la busara Sana.

  • @ntemikingi3531
    @ntemikingi3531 4 года назад +2

    Asante MUNGU kwa kukutanisha viongozi wrote kwa ubora huu

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 4 года назад +2

    Sungu nimemuona hapo Tanzania mungu aiyongoze tanzania amani

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 4 года назад

    hiki ndicho tunachokihitaji babaaa ktk taifaletuuu i like it

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 года назад +6

    YAPO MENGI YA KUIGA HAPO NA UMOJA NI NGUVU SANA...HONGERA JPM

    • @ntemikingi3531
      @ntemikingi3531 4 года назад

      Safi sana tuendeleeni kudumu kwenye UPENDO na UMOJA huu mzuri daima

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 года назад

      Tanzania tusipokuwa na umoja, mshikamano, undugu, na amani Maadui watatufanya hakuna maana Tanzania inazo rasilimali ambazo hata zingine hatujazitumia. Tuwe makini sana na Siasa za chuki.

  • @mchungajijesse4593
    @mchungajijesse4593 4 года назад +1

    Safi sana kusalimiana na wapinzani

  • @yassinkabingwa8915
    @yassinkabingwa8915 4 года назад

    Pongezi kwenu kazi nzuri

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 4 года назад +1

    Mm Bnafsi Nampenda Cna Rais Wangu Magu Mwamba Wa Ziwa Victoria Mungu Hakuweke tu Umefanya Makubwa Ndani Ya Kipindi Kifupi Hongera Watanzania Wenzangu tuendelea Kumsaport Rais Wetu Nimungu Katupa

    • @fransicsamson106
      @fransicsamson106 4 года назад

      Joseph Materu mungu hajamuleta jpm acha ujinga mungu hayuko upande Wa dikiteta.

    • @josephmateru8892
      @josephmateru8892 4 года назад +1

      @@fransicsamson106 Cwa Kaka Mm Kweli Mjinga Ww Mwelevu Cna Coz Unataka Mm Nifate Mtazamo Wako Mm Kusema Jpm Kaletwa Na Mungu Nimtazamo Wangu Mjinga Na Mpumbavu Niyule Mwenye Kupinga Mtazamo Wa Mtu Mwingine Coz Mm C Ww Na Wa C Mm Nandio Maana Hata Levo Za Maisha 2potofauti 😂😂😂😂Haaaahaaahaa😂😂😂😂☝️☝️☝️

  • @fredpiter4657
    @fredpiter4657 2 года назад

    Uliku naupendo sana

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 года назад +3

    Msiopenda nchi yetu Hasa wale wakoloni wanaotaka kutugawa mtateseka sanaaaa, kwa nini mtesekee, tuacheni tu, thank you Mr President JPM chief in commander.., vyama tupa hukooo, nchi kwanza.. , twenzetu wote...

  • @luqmanalmas2166
    @luqmanalmas2166 4 года назад

    Nani kamuona yuke mdada anamuangalia rais vibaya au macho yangu

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 года назад

    Bango linasomeka miaka 57 maandishi yanasema 58!

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 года назад

    Naona haina haja ya uchaguzi mwaka 2020

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 года назад +3

    Mzee malichela wanasema tukitaka kuona maendeleo tuende dodoma kwani maendeleo yanastahiki dodoma pekee!! Au nchi ni dodoma tuu??

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 года назад

      Mm ntaenda nyumbani kwangu na eneo nililopo

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад

      Utaelewa tu ni kwa nini babu tulia

    • @mikemotikas8145
      @mikemotikas8145 4 года назад

      Wewe ni profesor wa nini MALICHELA ni nini??

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 года назад

    Kesho Kenya. Miaka 55 ya uhuru

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 года назад +1

    Viva JPM

  • @eriezarichardmbeya1233
    @eriezarichardmbeya1233 4 года назад

    Msukuma sijaewa alichozungumza wamemuelewa wasukuma lkn sio mbaya,,,,,,,

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 года назад

    mkiteuliwa mkafanye kaz sasa muache uchama...sisisote tunajenga nchi moja.

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 года назад

    Which is which, 57 years or 58 years?!!

  • @massawejacob
    @massawejacob 4 года назад

    Sasa kipi tena tunataka ? Tuijenge Tanzania twendeni mbele

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 года назад +1

    Mtani upovzri

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 4 года назад +1

    Kwani hawa wa uamsho katiba hairuhusu kuachiwa ?? Au hawaonekani??

    • @mapundaone9380
      @mapundaone9380 4 года назад +2

      Kwa ninavyofahamu Mimi kisheria kwa mujibu wa ibara ya 45 na viprngere vyake, kwamba mhe.raisi ana haki /nguvu ya kisheria kuwaachia wafungwa *waliopewa hukumu* au wiokwisha hukumiwa,
      Sasa tatizo ninaloliona Mimi ni kwamba mahakama haijaamua kuisikiliza hiyo kesi wala kutoa hukumu ,raisi hatakiwi kusamehe mahabusu kwakua atakua anaingilia muhimili wa mahakama kisheria,
      Kwahiyo kwa mtazamo wangu naona kama kuna ucheleweshwaji basi inawezekana ukawa upo mahakamani ,huo ndo ufahamu wangu Mimi kisheria

    • @mapundaone9380
      @mapundaone9380 4 года назад

      Labda kama kuna anayefahamu zaidi anaweza akafafanua kwa undani tukajifunza kitu na kuongeza uelewa

  • @shadiasalumu8503
    @shadiasalumu8503 4 года назад

    sasa wana adabu magu mwamba buana

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 4 года назад +2

    Mungu amekuchagua Raisi mwema

    • @mlawajafari5741
      @mlawajafari5741 4 года назад

      Mh magufuli wa pizani wamesha kuelewa chapa kaziiiiii

  • @loyceackim4296
    @loyceackim4296 4 года назад +1

    Wangapi wamemuona mwanamke aliyesimama na Nyarandu hakutaka kumsalimia Raisi

  • @ambokilesilwani4074
    @ambokilesilwani4074 4 года назад

    Baba umeeleweka no comment yako ni mapya kila iitwapo leo

  • @richardtungaraza7509
    @richardtungaraza7509 4 года назад

    Ukiangalia kwa makini zaidi utagundua kabisa my rais hana tatizo na wapinzani na hana ubaya nao kabisa,nadhani wapambe ndio vichonganishi sana,binafsi naomba rais aendelee kuongoza nchi hii,ila kuwepo na wanachama wengine kwenye kuongoza nchi,ana upendo sana na watu wote,Mungu ambariki sana mh rais na kumpa maisha marefu,.

    • @fransicsamson106
      @fransicsamson106 4 года назад

      richard tungaraza acha ushamba jpm akomee hii mitano inamtosha

    • @richardtungaraza7509
      @richardtungaraza7509 4 года назад

      @@fransicsamson106 hujaelewa kaka,kabla hujapanic na kuongea hovyo tafakari maneno yako,mtandaoni humu,jpm ataongoza kwa mujibu wa katiba na si vinginevyo

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 4 года назад

    Wamesamehewa majambazi lakini mashehe wetu wasio na hatia wanasota kwa dhulma ,mungu amlani makufuli amin

  • @salaamclinicoftraditionalm3641
    @salaamclinicoftraditionalm3641 4 года назад

    Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa karibu kituoni kwetu Chanika kwa Dadi jijini Dar-es-Salaam.
    0716651640/0685074983/0742671603

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 4 года назад

    Magufuli anaonyesha kutimilisha maadili ya watanzania na halwa wanyonge na pia hana ubaguzi dhidi ya wapinzani mungu wabariki watanzania wote wazidishe upendo baina ya wote kwaumoja AMIN

  • @lucasjacob9733
    @lucasjacob9733 4 года назад

    Wasukuma wanapenda sifaa

  • @lauriansimon2566
    @lauriansimon2566 4 года назад +3

    Uzalendo jukwaani ofsini watekeni hao

  • @mussamgonela
    @mussamgonela Год назад

    No one like you

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 года назад

    Haoooo jamaaaa tuwavishe jezi zakijani ,tu wasitudanganye,

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 4 года назад +4

    Mbowe ni zaidi ya wote hapo.hakuna wa kumfikia

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 года назад +1

    Bado ni kiwango cha chini kabisa kupeana mikono hakumaanishi kwamba nchi haina matatizo kauli ya raisi kama kweli anataka ukiona nchi ni huru basi tamko lake ni muhimu kwa matukio yaliyotokea ya hujuma kwa wapinzani.

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 4 года назад

      Wapinzani mtaisoma No pofu itawatoka sana

  • @mussamgonela
    @mussamgonela Год назад

    No like you

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад +8

    Shukrani amri jeshi mkuu kwa kuwasamee wafungwa

  • @hebronkilimanjaro6724
    @hebronkilimanjaro6724 4 года назад +1

    Tanzania Taifa langu viongozi mbali mbali nawapongeza Sana! kwa kuwa Pamoja katika siku hii