SUGU AOMBA KAZI KWA RAIS MAGUFULI "NIONDOE MAFUNDO FUNDO YA SIASA" | ASHIKWA MKONO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 111

  • @charryrking9380
    @charryrking9380 5 лет назад +26

    kama umekubari siasa ya sugu. gonga like hapa

  • @anjelangaiza6258
    @anjelangaiza6258 5 лет назад +4

    Mungu saidia icho kiongereo kiwe salama. Twakupenda sugu.

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati9592 5 лет назад +15

    Mhe sugu Huo ndio u Tanzania wadamu

  • @jocenocha8846
    @jocenocha8846 5 лет назад +15

    Leo Sugu umetisha sana hizo ndio siasa nzuri duniani kote

  • @ammymhagama5483
    @ammymhagama5483 5 лет назад +13

    Safii sana kamanda sugu ujumbe umefika wezetu wanaona kama upinzani niuadui kumbe ndio kioo chawatawala kujua wapi wanakosea wajisahihishe

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 5 лет назад +25

    Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana

  • @mwaminifungo4665
    @mwaminifungo4665 5 лет назад +9

    huo ndo ustaarabu kaka sugu au Rais wa mbeya unastaili kua kua kiongozi wewe ni jasiri mungu atutunzie amani hii

  • @kwamemchauru4141
    @kwamemchauru4141 5 лет назад

    Asante sana kaka.. God Bless you always.

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu4964 5 лет назад +8

    Sugu Sugu, amehakikisha ubunge wake kuwa endelevu pale Mbeya #MVMP

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 5 лет назад +9

    Sugu /magufuli hapa kaz tu maendeleo hayana chama

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 5 лет назад +3

    Hongera sana sugu

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 5 лет назад +13

    Ndiyo faida ya ujasiri!
    Ameongea vema, kwa heshima bila jazba !!

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 5 лет назад +5

    Huyoo jama mwenye suti nyeusi alivyokimbia yani angeanguka ndoo angekomaa na kihere here chake

  • @djkaka5580
    @djkaka5580 5 лет назад

    safi sana mh sugu hiyo ndo siasa hakika nimefu
    rahi sana mh rais atakuruhusu kuondoa mafindofindo ya kisiasa big up bro bravo!!!!!!!!!!

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 5 лет назад +2

    Leo kaongea vizuri

  • @tolutolu2970
    @tolutolu2970 5 лет назад +10

    Ajaomba kazi. Ayo siasa inaaza kukupoteza bro. Juzi boni kakulalamikia Leo tena

  • @rosezumba6318
    @rosezumba6318 5 лет назад +4

    Safi sana mbunge

    • @ireneemanuel9501
      @ireneemanuel9501 5 лет назад +1

      Sugu upo vizuri Sana umeongea point Sana Mimi ni mwana ccm ila umetisha wangu bigp san

  • @kaspunerick5696
    @kaspunerick5696 5 лет назад +2

    RAIS MaGUfuli uzinduzi wa barabara ya chunya

  • @yasinmuona7335
    @yasinmuona7335 5 лет назад +2

    Howo ndio uzalendo na adabu kwa mkuu wa nchi yeko

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 5 лет назад +2

    Chadema wabunge bunge lijaro, sugu, jay haule lazima

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +12

    Mbunge gani wa ccm anaweza kuwa jasiri kama sugu kutoa hoja ?

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 5 лет назад

      Huo ujasili wake angojee kikao kikuu cha wakuu wa juu ya chadema wakushughulikia wanaomuunga mkono rais kikiongozwa na mbowe

  • @edwinkimambo5086
    @edwinkimambo5086 5 лет назад +1

    Sugu juu

  • @woltabenadi2184
    @woltabenadi2184 5 лет назад +2

    Ayoo ushaza kufeli kaombawapikazi tunakuamini bwana

  • @stanilupelele2793
    @stanilupelele2793 5 лет назад

    Yani Rais yupo vizuri sana sasa waliovaa suti shida hadi kichefuchefu

  • @godfreymasondaabel1904
    @godfreymasondaabel1904 3 дня назад

    Mwamba sanaaa huyu😂

  • @eng.danielwinani7439
    @eng.danielwinani7439 5 лет назад +2

    umewazd kete akna lissu

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 года назад

    Safi sungu

  • @anganilemichael2283
    @anganilemichael2283 5 лет назад +12

    Ameomba kazi gani hapo ayo au na wewe umeanza kama vimedia vingine kuongopa

  • @mofathool4158
    @mofathool4158 5 лет назад +6

    Rais wetu mpendwa nakukubari sana watanyooka wote ila zidisha tena kukaza heshima itarudi tu

    • @fredreckmwakalinga3475
      @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +1

      Mofat Hool akili finyi kutafakari mambo

    • @emanuelsamkinda4228
      @emanuelsamkinda4228 5 лет назад

      Hongera kwa upumbav wako,, we box kwl,,, mwambie akukazie we

    • @mofathool4158
      @mofathool4158 5 лет назад

      @@emanuelsamkinda4228 mwenzio kafyata wewe unasubiria usuguliwe km shoga mwenzio lisu

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 5 лет назад +3

    sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia

  • @juvenalymnyama735
    @juvenalymnyama735 5 лет назад +8

    Ayo umeshakuwa mkuda kwa nn unakata sauti wewe au umeshakuwa kibaraka

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 5 лет назад +1

    Hii ndio ukomavu Wa siasa

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 5 лет назад +1

    Huyuuuu jamaa namkubali

  • @mwanaidosanga5547
    @mwanaidosanga5547 5 лет назад +3

    Siasa ndivyo inavyotaka

  • @johnngowi8481
    @johnngowi8481 5 лет назад +5

    Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani

  • @alicegeorge3401
    @alicegeorge3401 5 лет назад

    AIBU shuuuu kiongeleo unashida

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 5 лет назад +2

    Dah mbna mabodi wanyanyasaji sana

  • @alicegeorge3401
    @alicegeorge3401 5 лет назад

    Kiongeleo ana Kera Sana

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 5 лет назад +1

    Raisi wa mbea.

  • @hassangaudence1814
    @hassangaudence1814 5 лет назад +1

    SUGU HAKIKA FAHARI YA MBEYA

  • @boazmtileghe9161
    @boazmtileghe9161 5 лет назад

    😂😂😂 BIG UP Sana mzee Baba umeongea vizuri

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 5 лет назад +2

    Yani mamboyamaana wanawapa muda mdogo sana

  • @sokaupdate5545
    @sokaupdate5545 5 лет назад +2

    First to comment

  • @vanyjunior1708
    @vanyjunior1708 5 лет назад +1

    Nilikwmbia lakin sugu,kaka mkubwa uko mkweli

  • @kaspunerick5696
    @kaspunerick5696 5 лет назад

    Rais magufuli uzinduz wa barabara ya chuny

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 5 лет назад +1

    Kamanda

  • @aloycelosyekui9078
    @aloycelosyekui9078 5 лет назад

    SUGU Ukosawa kabisa kwa maongezi yako

  • @amanimariki7631
    @amanimariki7631 5 лет назад +1

    alafu Ayo unatumiwa na CCM mbona unabana bana sauti bhana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад

    Mc unaongea sana punguz kihelehele huyo mbna muelewa acha amalize mazur yaliyofanyika mbeya basi tuyajue

  • @sokaupdate5545
    @sokaupdate5545 5 лет назад +2

    Wakwanz jamb

  • @izhadiabuu593
    @izhadiabuu593 4 года назад

    Mipango ya bilget

  • @wazirijuma7621
    @wazirijuma7621 5 лет назад

    ongera muexhiwa

  • @grecehuyukibanishida5595
    @grecehuyukibanishida5595 5 лет назад

    acheni unafiki wandishi was habari kenge nn

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +3

    NAOGAPA ANAELEKEA CCM

  • @sekakigala3613
    @sekakigala3613 5 лет назад +1

    Kaomba wapi kazi acheni ufala nyie ayo TV, alaf mbona sugu alivyanza kuongea kuhusu wafuasi wa chadema kutengwa ulianza kukata sauti

  • @georgeangyelile7016
    @georgeangyelile7016 5 лет назад

    Mwenye sura ya uvumilivu

  • @ibraahmbena
    @ibraahmbena 5 лет назад

    Unazingua tittle yako mbovu.

  • @zakariampembela7100
    @zakariampembela7100 5 лет назад +3

    Mbeya Sisi ni watu wa Amani tu. Ila hatupendi maonezi au uvunjwaji wa haki

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 5 лет назад

      Akuna anayependa maonezi au uvunjwaji wa haki duniani kote

  • @majadotto9513
    @majadotto9513 4 года назад

    Sugu anachapa kazi sana sio kama mr konyagi huyu akishinda ni juhudi zake za uchapa kazi huyu ni wapili kwa professor j

  • @dc39139
    @dc39139 5 лет назад

    Hata kama sipendi tabia za watu wa CDM Sugu nimekukubali wewe una chembe za uzalendo kabisa bila unafiki

  • @zakariampembela7100
    @zakariampembela7100 5 лет назад +1

    Upo sahihi Mhe. Mbunge

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 5 лет назад

    Wale wa kushughulikia kamati kuu ya wakuu wa juu wanakusikia unampongeza rais utaitwa kikaoni siku si nyingi na mbowe ushughulikiwe

  • @osweggemwakajumba3390
    @osweggemwakajumba3390 5 лет назад +1

    Blogger acha ukuwadi wa kiboya.

  • @babarenee4797
    @babarenee4797 5 лет назад

    Sugu mtu.....!!!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 5 лет назад +2

    Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe.
    Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.

    • @lemumsesa5039
      @lemumsesa5039 5 лет назад +2

      Unaongea nn mzee

    • @lemumsesa5039
      @lemumsesa5039 5 лет назад +1

      Ww ukiwa mwl au mwanasheria serikalin huwez kufanya biashara au uyo mbunge angekuwa kaka yako ungependa awe anasubr mshahara tu

    • @alfaniismail529
      @alfaniismail529 5 лет назад

      Dunia ya leo siyo ya miaka ya 1960's angalia nyakati mzee

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 лет назад

      @@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa.
      Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya?
      Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara.
      Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 лет назад

      @@lemumsesa5039 Vyeo vya kisiasa ni vyo kujitolea zaidi.

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 5 лет назад +4

    sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia