Maashallah Nakukubali sana mama Ila mm naona mama utumie salamu ya Allah itampendeza Allah Amani ya Allah huwaenea walio waislam na wasio waislam. Mkubwa amkumbusha mdogo na mdogo amkubusha mkubwa Samahani mama yetu nakukumbusha tu na isijeeleweka namfundisha rais.
Wamachinga tunawapenda sana mnaturaisishia bidhaa kua raisi sana ila tufuate taratibu ili mambo yaende vzr ndugu zetu msije mkaraumu mkuu wa mkoa Amosi Makala ilo agizo kutoka kwa Raisi kama tunampenda kweli na tunamueshim sana tutii maagizo atakayokuja nayo mkuu wa mkoa Amosi Makala tusiwe na fujo kila la kheri wafanya biashara wadogo wadogo mungu awabariki sana🙏🙏
Binafs nimejikuta nimetoka.na machozi Sana nimekumbuka hatari rais magufur namuona mama anajikuta ana kaz kubwa ya kurudisha iman na upendo uke Ambao tulihis baada ya kifo chake tusingeyaona haya
Ulisema wewe na JPM nikitu kimoja sasa Mimi nilikuwa nasubiri vitendotu. Hongera Mama endelea kutembea kufikia sehemu husika ili ujionee mwenyewe na ujue nijinsi gani utashugulikia.
Maandiko yanasema,jisaidie naye atakusaidia.Sasa ww hata lililo ndani ya uwezo wako unataka Mungu akusaidie.?Eti unataka kufaulu mtihani halafu husomi.Unategemea Mungu akusaidie.Duuuh.
Kwakuwa hujataka kuchukua tahadhari! Israel - taifa teule la Mungu limewachanja watu wake dhidi ya COVID-19. Saudi Arabia vile vile imechanja watu wake. Sijui kama kuna taifa teule lingine la Mungu.? Mama anaonyesha njia tu- huo ndio ukweli
Ndugu Nina wasiwasi na ukristo wako, umekalilishwa ujinga na huyo marehemu wenu yaani nitaabuuu tupu!, Ndomaana Hosea kwa kuongozwa na Bwana alisema, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, jitambue Kaka hii Ni awamu ya 6
Nduguzangu kumsifia mke ulomuacha au alokufa mbele ya ulienae sasa nikumdharau aliepo Usmsifie mbele yake baki nayo moyoni Kwahio nakuombeni dhibitini hisia zenu kujenga amani ya nchi Sababu tumpende aliepo Alokuwa hayupo mda wake umepita nadhani mnaonesha dharau kwa mamaetu sisi vipenzi vyake tupo tutamsemea na hapo tutaanza kutengeneza makundi
Alikuwa powerful KWA tumbua tumbua zake hakupata heshima ya dhati zaidi ya woga amewatesa wananchi waliokosa amani na tabasamu ndani yanchi unamsifi butruhuru utu wa ulitoweika unamsifi ukiukaji wa katiba na kuwatesa watu wako wapi WATU WASIOJULIKANA?
@@issanjinjo38 kwani !!!, Wakati alipokuwa hai rais magufuli, huyu mama ambae ndie rais alikuwa wapi?. Tunavyojua yeye ndie alikuwa mshauri wake mkuu katika utekelezaji sera zao. Sasa unapomsifia na kumkandamiza hayati magufuli hapo bado sijakuelewa. Magufuli ni wazi kabisa alikuwa mzalendo na alikuwa akipenda maendeleo tena kwa vitendo. Tumpe mda tu huyu rais wetu wa sasa labda mambo yanaweza kuwa sawa.
Hii ndio maana ya siasa wanazidi kutufanya wajinga,wizara ya fedha kuna aibu kubwa sana ya ubadhilifu wa fedha anafanya ziara za kushtukiza ili zi trend kutusahaulisha hoja za kimsingi,tunapiga kwata kwenye upepo hakuna tunapoenda watu wanalindana,kuna kazi za kufanya waziri wa TAMISEMI na sio rais ,taifa linapigwa
Mm niseme ukweli Mama umemfufua MAGUFULI kweli. Pamoja na changamoto za wafanya biashara wadogo bado naomba wasibugudhiwe Kama Baba yt hayati MAGUFULI.
Eneo Kama hili linaitaji ulinzi wa Hali ya juu , na intelligence kubwa kidogo maana amezungukwa na magorofa so inabidi ulinzi uwepo Hadi juu ya hayo maghorofa
msaliti unavalia wanainchi wako barakoa kwani uliwaona wana Corona ? mkusanyiko mkubwa huu wote alafu chanjo umeagiza kama Corona ingekuwa jins mnavyo tuogopesha siwatu wote hao wangekuwa tayari washakufa... fwata njia zote JPM watu Africa tutakuelewa njinsi tulivyo mwelewa JPM shujaa wa Africa dawa ya mabeberu wana alisi wa Africa alietumwa na Mungu kukomboa fikra ya mwafrika
hapangiwi kwa kuanzia popote pale ni sawa,mlisema asikae ofisini aje kwa wananchi,,ameanza kwenda kwa wananchi mnasema angeanza bot au bandarini "nonsense" bandarini alimuagiza wazir mkuu na ameshaenda na rais alishapata feedback
@@user-oq3dd5xj9m kwahiyo wewe kwa ujahili wako na ujinga uliotopea unafikiri rais hawezi kujua mapato yanayoingia kupitia bandari au sehemu yoyote mpaka aende huko,kwani akienda anauliza watendaji waliokabadhiwa dhamana hiyo au yeye mwenyewe anakaa kwenye system na kuanza kukokotoa mahesabu? tambua kuwa rais akitaka taarifa yoyote na kwa muda wowote hana sababu ya kwenda sehemu yoyote ili kupata anachohitaji,bali kitamfikia popote alipo ikiwa anahitaji ndio maana ya neno rais na amiri jeshi mkuu,vyombo vyote na wizara zote vipo chini yake anapata taarifa za nchi muda wote,
Allah akujalie heri rais wetu akupe na mguvu afia njema🌻🌻🌻🌻🌻🌻
Maashallah
Nakukubali sana mama
Ila mm naona mama utumie salamu ya Allah itampendeza Allah
Amani ya Allah huwaenea walio waislam na wasio waislam.
Mkubwa amkumbusha mdogo na mdogo amkubusha mkubwa
Samahani mama yetu nakukumbusha tu na isijeeleweka namfundisha rais.
Mimi sina Rais Zaidi ya Mama Samia ndio Mungu ametupa,Mungu hana upendeleo humpa yeyote amtakaye..big up Mh.Rais
Wewe umenena vema
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
R.I.POWER MAGUFULI WETU TUTAKUKUMBUKA MIASHA.
Sisi tushasahau hizo shida
@@abdulkareemseif1892 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝🤝🤲
Mim namkumbuka magufuli kila siku kwakweri hakuna wa kumfikia hata kidog pumzika kwa amani baba maan ungekwepo ungewatumbuwa wote
Hata kikwete hakuna wa kumfikia kila kiongoz na uongoz wk
Furaha yako n kuona watu wanapoteza kazi , very sad
Jitambue weyeee Acha kukalilishwa, yani nyinyi tm chato mna mihahoo, lazima mkubari hii Ni awamu ya sita halafu kila zama na mtume wake
ungekuwa wewe umetumbuliwa ungefanya nini.tupendaneni jameni
Jembe letu la chato jamoni linge kuwepo!!!
Wamachinga tunawapenda sana mnaturaisishia bidhaa kua raisi sana ila tufuate taratibu ili mambo yaende vzr ndugu zetu msije mkaraumu mkuu wa mkoa Amosi Makala ilo agizo kutoka kwa Raisi kama tunampenda kweli na tunamueshim sana tutii maagizo atakayokuja nayo mkuu wa mkoa Amosi Makala tusiwe na fujo kila la kheri wafanya biashara wadogo wadogo mungu awabariki sana🙏🙏
Mashallah inapendeza sana kwenda kusikiliza kero za wananchi alhamdulillahi allah ametuzawadiya zawadi ya viongozi wazuri
Mungu.ndo.kila.kitu
Binafs nimejikuta nimetoka.na machozi Sana nimekumbuka hatari rais magufur namuona mama anajikuta ana kaz kubwa ya kurudisha iman na upendo uke Ambao tulihis baada ya kifo chake tusingeyaona haya
Thanks for the good work madam president to the citizens
Mama barakoa ya nni siuvui
Ulisema wewe na JPM nikitu kimoja sasa Mimi nilikuwa nasubiri vitendotu. Hongera Mama endelea kutembea kufikia sehemu husika ili ujionee mwenyewe na ujue nijinsi gani utashugulikia.
Njoo na huku Kilimanjaro "Moshi mjini" wajasiliamali wanajambo lao
Angekuwepo angesolve papo hapo. Haina haja ya kukaa. Pumzika kwa Amani JEMEDARI WETU.
Live na kile unacho, Mungu anamipango yake, wakati wa mangu kapita! tukubali tu!
Mungu AKUONGOZE KTK jina la Yesu🙏
Mamaetu muislam
Usimuombee kwa yesu
Sisi waislam itakadi yetu yesu ni mtume
hongera sana mama kazi iendeleee
Naona wembe ni ule ule Mama Mungu akubariki
Mama TANZANIA tunataka tujue makusanyo ya mwez mama
Asipovaa barakoa hataenda Ulaya. Wale wapigaji wa 400mil kila dei sijui imefikia wapi
Sawa mama haya ndio mambo watanzania ndio wanataka.Nenda mama nenda wewe ndio tegemeo lao na letu
Kazi iendelee... Big up Rais Samia... Mama Mama Mama!!! 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nice one..oh wow !..👍🇹🇿❤️🌴
Unaposifia chakula cha jana maana yake ni kukidharau chaleo
Mungu anatutaka tuwaheshimu viongozi wetu
unazuga tu mama nchi inaliwa hii
nenda na wewe ukaliwe laaaan wewe
Wame vaa Barakoa zao Kama waganga wa Kienyeji. Waone kwanza
Usitushughulishe Bana
Kwendraaa
USHA SEMA ZAO TULIA UPIMWE MPASUKO.
Hizo balakoa jamaa hata akiongea huyo raisi. Kwanza najiuliza anajisikia yeye kava balakoa wananchi hawajavaa. Samia hana imani na mungu aliye muumba.
Maandiko yanasema,jisaidie naye atakusaidia.Sasa ww hata lililo ndani ya uwezo wako unataka Mungu akusaidie.?Eti unataka kufaulu mtihani halafu husomi.Unategemea Mungu akusaidie.Duuuh.
@@yakobokuzenza6837 Acha uongo wewe hayo mafundisho ya mashetani.
Hajiamini huyo anapelekwa pelekwa Kama upepeo
Huna akili wewe
HATA WEWE HUMWAMINI
Huyu mama kila siku barakoa anatutisha sana mi simuelewi
nenda pia uvae, yuajua afanyacho
Jamani toa ajira za waalim nyingi Kama ulivyotoa za idara ya afya ndipo tutajuwa wewe ni mchapa kazi
Kwakuwa hujataka kuchukua tahadhari! Israel - taifa teule la Mungu limewachanja watu wake dhidi ya COVID-19. Saudi Arabia vile vile imechanja watu wake. Sijui kama kuna taifa teule lingine la Mungu.? Mama anaonyesha njia tu- huo ndio ukweli
Barakoa tutavaa tu wacha ushamba
Mama peke yake ndio anaweza kufua nguo za muhindi ilmradi wanae wapate kushiba, we loves mama.
Ww kelele hata kina baba WANAWEZA kugonga kokoto pesa yote wanaancha nyumbani anaenda kazini na nauli tu akipata balaa njiani imekua kwake
She is a leader
Mungu akusimamie Mama kazi na inderee
Kuvaa balakoa ni unafiki sisi hatuna korona magufuri oyeeeeee
wewe wataka maendeleo ama watishwa na barakoa, ukitaka nenda uvae pia
Mambo ya afya hayataki mzaha
Ndugu Nina wasiwasi na ukristo wako, umekalilishwa ujinga na huyo marehemu wenu yaani nitaabuuu tupu!, Ndomaana Hosea kwa kuongozwa na Bwana alisema, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, jitambue Kaka hii Ni awamu ya 6
@@pastornongoli4388 Maarifa gani unayo wewe?
@@hildantandu5909 hatakujitambua tu Ni maarifa tosha
Mama wakutengenezee kifungo tu hapo mbele ktk koti lako, linakusumbua nasisi hatutaki usumbuke....
Thanks
Fanya kwa nafasi yako mama Daima Magu alikuwa wa aina yake R.I.P magufuri
Huyu Mama Mheshimiwa Raisi ni zaidi ya Marais wengi Africa#Kazimzuri . Asante sana.
Tena Sana mana anabusara hatumii nguvu
Mpumbavu mmoja tu
@@fransavinhonacmela827 Taja yeye usiogope
@@fransavinhonacmela827 MPUMBAVU MAMAKO MUUZA KUMA.
Piga kazi mama
Nice samia
Mama hayo mabarakoa ya nini sasa???? Mnatutia uogaa wakati sisi hatuna uoga tena
huyo mama yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae
Dunia inataka corona....
Weye naniiiii ukatae hata ungekuwe weye ndo yeye ungefanya nini??
kwani umelasimishwa kuvaa.anavaa kwa maslahi yake.nani waja hiyo
Ameivaa ki makosa. Pua yote iko nje, sasa ya nini?
@@sankofaman4112 umeona ee.
hii nimeipenda enderea hivyohvyo mama
Huyu mbona anapita tu haulizi shida za wananchi wake??? Halaf hilo libarakoa lanini?
Unataka aulize mara ngapi huyo ni raisi
nenda ukaulize wewe
Usiwe mtu wa kufanya kwa matukio au kwa mtu mmoja mmoja
@@sarahnyambaka5885 😁
Ame changanyikiwa huyu mama. Ame ambiwa ajikoshe kihivyo Labda Wananchi Wapumbavu wata mshangiliaaa
Nduguzangu kumsifia mke ulomuacha au alokufa mbele ya ulienae sasa nikumdharau aliepo
Usmsifie mbele yake baki nayo moyoni
Kwahio nakuombeni dhibitini hisia zenu kujenga amani ya nchi
Sababu tumpende aliepo
Alokuwa hayupo mda wake umepita nadhani mnaonesha dharau kwa mamaetu sisi vipenzi vyake tupo tutamsemea na hapo tutaanza kutengeneza makundi
Mungu akulinde mama yetu
Mama wewe ni mtu wa watu unatutembelea hata sisi Aksante Sana mama.
Hakuna kitu hapo jpm hoyeeee
Ongeza sauti... Labda maiti itaamka...
Jpm ameshakufa.Hata umsifie vipi hawezi kurudi
@@j.c.maxima816 😂😂😂😂😂😂
@@yakobokuzenza6837 LABDA MAGU AKIMPELEKEA CHAKULA CHA BURE MAMAKE.
Tujlijua tuuu daa,, R.I.P jpm
kupigiwa makofi haiongezi uchumi.Nenda kule wanakopiga mabilioni achana na wananchi wa chini.
Angeenda kule bado ungelalamika haendi kwa wananchi wa chini!! tunachojua kuwa ni kazi ngumu kumridhisha mwanadamu!!
Mungu amusimamie akupe nguvu na azidi kukupa hekma ya kutatua matatizo ya watanzania we love you mama Soo much stay blessed
Sikilizaga mama ukaziba uwo mdomo na iyo pua kunatutia woga na suwe wengine
Barakoa zimerudi
zimeanza...
Wapumbavu ndio wana vaa Barakoa ila!!! Wajinga hatuvai. Barakoa.
Kwani #Bibi Corona mshamba wa pemba
@@fransavinhonacmela827 CHOMA MIHOGO MASIKINI WEWE MAITI YA MUMEO IKO CHATO
@@fransavinhonacmela827 Wewe mshamba wa wapi? Mbona mmelewa na ubaguzi jamaani?
mama tumekusikia lakini nyie wa barabarani nahisi muandae maeneo mengine, mazingira yanatengenezwa siku zinahesabika zakuwepo maeneo hayo. RIP JPM.
Tunakupongeza Mama Samia, lakini bado uhitaji wa miundo Mbinu kwa wauzaji wadogo barabarani unahitajika sana kwani kwa sasa ni vurugu mechi tupu mama.
Kazi iendelee Mama yangu
Furaha imerudi
Noma
I LOVE YOU MAMA MUNGU AKUBARIKI 💖
God bless Tanzania 🙏
Eti amevaa balakoa mmmmmh huuu ni mtihani huu cjui tutauvuka lini daaaah mungu wetu tusaidie
nenda pia nawe uvae si mjinga yeye kuvaa barakoa yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae
amina
Jee Tanzania ni Kisiwa na inchi zote zingine ndio wasivae barakoa
Una wivu tu.Sioni hata unachokilalamikia hapo.
@@yakobokuzenza6837 Ama kweli kwenye msafala wa kenge na mijusi pia ipo mmmmmh
Barakoa Ni za Nini sasa
Tuseme ukweli tu rais magufuli alikuwa ni rais . He was very powerful man to his people.
Alikuwa powerful KWA tumbua tumbua zake hakupata heshima ya dhati zaidi ya woga amewatesa wananchi waliokosa amani na tabasamu ndani yanchi unamsifi butruhuru utu wa ulitoweika unamsifi ukiukaji wa katiba na kuwatesa watu wako wapi WATU WASIOJULIKANA?
@@issanjinjo38 kwani !!!, Wakati alipokuwa hai rais magufuli, huyu mama ambae ndie rais alikuwa wapi?. Tunavyojua yeye ndie alikuwa mshauri wake mkuu katika utekelezaji sera zao. Sasa unapomsifia na kumkandamiza hayati magufuli hapo bado sijakuelewa. Magufuli ni wazi kabisa alikuwa mzalendo na alikuwa akipenda maendeleo tena kwa vitendo. Tumpe mda tu huyu rais wetu wa sasa labda mambo yanaweza kuwa sawa.
Hakuna kama jpm unakumbukuka shuka kumekucha
Saf Sana Mama nimeanza kukuelewa ALLAH akulinde 🙏🙏🙏🙏
Duh
Safi Raisi nyayo za JPM
Akitoka hapa anaenda kufanya uteuzi na wakati miradi inakwama
Daaah watanzania jamani (r I p mag u)
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
Ziara ya matumaini
Mbona hawaimizi watu wafanye kazi kwa bidii wanaangalia kufukuza watu tuu
UMESIKIA KUNA MTU KAFUKUZWA.
@@salimsaid7200 hapo lazima tu watu watafukuzwa kuna dalili zote
Hujasikia aliposema nawasalimu kwa salamu ya jamhuri,,watu wakaitikia kazi iendelee au ww unataka kazi gani
Mama askie kilio cha wananchi
Mama yan utembee had mahosptln sio nje ya nchi tuu mama yetu pambana ivo ivo tunateseka
Tz viongozi nabalakoa wananchi tumerithi kwa chuma hatuzijui balakoa
Fanya hapo kwa hapo sio mpaka mkakae kikao r.i.p Magu
Kweli mama wasaidie
👌🏾💐
Hana hata mvuto huyo mama yenu
Wataka Nini sisi hatuna haja ya mvuto sisi tulitaka kiongozi nasio mtawara na kiongozi tumepata mama la mama
Basi kuwa raisi ww mwenye mvuto
@@yakobokuzenza6837 mkundu wako mweusi
@@mdimimdimi4282 mazezeta ndivyo mlivyo
@@pastornongoli4388 Acha ushoga wewe
Waliosema watanzania atukuelewi naona wameona Sasa kuwa sisi tumekuelewa
kweli gharama zingine serikali angalieni namna ya kumsaidia mwananchi
Hii ndio maana ya siasa wanazidi kutufanya wajinga,wizara ya fedha kuna aibu kubwa sana ya ubadhilifu wa fedha anafanya ziara za kushtukiza ili zi trend kutusahaulisha hoja za kimsingi,tunapiga kwata kwenye upepo hakuna tunapoenda watu wanalindana,kuna kazi za kufanya waziri wa TAMISEMI na sio rais ,taifa linapigwa
HIZO HABARI ZA KUPIGWA PESA ULOZISIKIA TARIFA HIYO ULIPEWA NA JIRANI YAKO AU NA SERIKALI BASI USIPANGE KAZI TULIZA MSHONO.
Kweli huyu Mama ni Magufuli kweeliii!!!
NANI KAMA MAMA??ALHAMNDULILAH.PROUD TO B MAMA.
Mm niseme ukweli Mama umemfufua MAGUFULI kweli. Pamoja na changamoto za wafanya biashara wadogo bado naomba wasibugudhiwe Kama Baba yt hayati MAGUFULI.
Mukitaka huyu ndo raisi mukinuna huyu ndo raisi na matusi muache mue na adabu kumtukana huyu ..aheshimiwe
HAO WANAO MTUKANA NI MLAYA NA WATOTO WA MALAYA HAWA TUSHUGULISHI.
Safi sana
TWAKUPENDA ZAIDI NA ZAIDI.
HUNA KIBURI MAMA YETU *** HUNA HASIRA MAMA YETU *** ...✍
Eneo Kama hili linaitaji ulinzi wa Hali ya juu , na intelligence kubwa kidogo maana amezungukwa na magorofa so inabidi ulinzi uwepo Hadi juu ya hayo maghorofa
Tanzania hatuna hofu iyo boss
Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure,
alhamdulilah Tanzania imani na amani bado ipo。Mungu ibariki Tanzania yetu wabariki viongozi wetu。
Lazima watakuwepo watakuwa walikuwa hapo mapema zaid yake
Uyo ni raisi sio diwani kila sehemu apo kuna ulinzi
Big up mama.
Mnamuita mama ndo kasha lipua sasa
Jiji lichukue uongozi au mnaonaje wananchi
mabarakoa ya nini? nonsense
Hakika mama anaboa hatukuzoea balakoa
Ujinga huo!
Watanzania asa mshangilia banacoa huyu atawauwa na corona
wewe ushawahi kufa
Utakufa wew bwege
Kwendraaaa
Ameshitukiza na mabango yameandikwa saa ngapi?
Mbona kwa jiwe ilikua hvyo hvyo
Ww watu wapo faster
KWANI WEWE ULIKUWA UNAZIJUWA KABLA.
Tume inatohusika na suala moto kariakoo lianze na viongozi walitumbuliwa
msaliti unavalia wanainchi wako barakoa kwani uliwaona wana Corona ?
mkusanyiko mkubwa huu wote alafu chanjo umeagiza kama Corona ingekuwa jins mnavyo tuogopesha siwatu wote hao wangekuwa tayari washakufa... fwata njia zote JPM watu Africa tutakuelewa njinsi tulivyo mwelewa JPM shujaa wa Africa dawa ya mabeberu wana alisi wa Africa alietumwa na Mungu kukomboa fikra ya mwafrika
Daaaa mbona wajinga Ni wengi tz... Nawewe n miongoni
@@starniceofficial5492 kama wewe rais wawajinga ulimwenguni
Wengine ni wanyonge hadi akili
Kwani UWEPO wake madarakan unakura YAKO uliyompigia?Acha maneno Kwani umelazimishwa uvae
Sawamama sisipia wamachinga wa wamhezatanga tunanyanyaswa Sana navioozi
Kitu kikiwa hakitoki rohoni kinaonekana tu. Very cheap politics with less information
KWANI MPAKA AFOKE
Shida yako umezoea kufokewa
mm nimekuelewa. Mzee alikua akienda sehem tayari anajua kila kitu na afanye nn yaani anaondoka watu wakishangilia
Tatizo lako wewe umezowea kupelekwa pelekwa, kufokewa, kutukanwa, na ubabe ubabe wa kikoroni, badirika weyeeee dunia nayo inakwenda kasi,
@@pastornongoli4388 pastor ni jina lako au kweli ww ni mchungaji. Bac upastor ni ukoloni ni zao halisi la ukoloni
Asantee mama
I thought you'll go BOT or TPA... How much revenue's coming there?
hapangiwi kwa kuanzia popote pale ni sawa,mlisema asikae ofisini aje kwa wananchi,,ameanza kwenda kwa wananchi mnasema angeanza bot au bandarini "nonsense" bandarini alimuagiza wazir mkuu na ameshaenda na rais alishapata feedback
YOU are FOOLISH. She's the President; you can not dictate to her what and Where to go.
@@abdulkatalango2890 you don't get my point and you know absolutely nothing. I wish you could
@@user-oq3dd5xj9m kwahiyo wewe kwa ujahili wako na ujinga uliotopea unafikiri rais hawezi kujua mapato yanayoingia kupitia bandari au sehemu yoyote mpaka aende huko,kwani akienda anauliza watendaji waliokabadhiwa dhamana hiyo au yeye mwenyewe anakaa kwenye system na kuanza kukokotoa mahesabu? tambua kuwa rais akitaka taarifa yoyote na kwa muda wowote hana sababu ya kwenda sehemu yoyote ili kupata anachohitaji,bali kitamfikia popote alipo ikiwa anahitaji ndio maana ya neno rais na amiri jeshi mkuu,vyombo vyote na wizara zote vipo chini yake anapata taarifa za nchi muda wote,
@@abdulkatalango2890 yes cos she hasn't got a clue what's going on
Duuuu kwenye barakoa hpo jmn ktiana hof tuuuu kwa kweli aya bhn mung tsaidie
Y
Nice
Jamaji tufanye maombi corona iondoke ikulu
Mtaani je?
Huyo mama so poa
Chirstani mwaipaja
Yaani natamani aongee na uongozi wa bandari, tra, benki kuu, immigrartion, wizara ya utalii etc. Huku kunanyooka tu ni samaki wadogo sana hawa
Immigration haswaa balaa liko huko