RAIS SAMIA ASHTUKIZA KARIAKOO / ABAINI MADUDU / AAGIZA UONGOZI WA SOKO USIMAMISHWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 341

  • @kulthumcadir5425
    @kulthumcadir5425 3 года назад +1

    Allah akujalie heri rais wetu akupe na mguvu afia njema🌻🌻🌻🌻🌻🌻

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 4 месяца назад

    Maashallah
    Nakukubali sana mama
    Ila mm naona mama utumie salamu ya Allah itampendeza Allah
    Amani ya Allah huwaenea walio waislam na wasio waislam.
    Mkubwa amkumbusha mdogo na mdogo amkubusha mkubwa
    Samahani mama yetu nakukumbusha tu na isijeeleweka namfundisha rais.

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele7687 3 года назад +10

    Mimi sina Rais Zaidi ya Mama Samia ndio Mungu ametupa,Mungu hana upendeleo humpa yeyote amtakaye..big up Mh.Rais

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад

      Wewe umenena vema

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад +1

      🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 года назад +12

    R.I.POWER MAGUFULI WETU TUTAKUKUMBUKA MIASHA.

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 3 года назад

      Sisi tushasahau hizo shida

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@abdulkareemseif1892 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝🤝🤲

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 3 года назад +22

    Mim namkumbuka magufuli kila siku kwakweri hakuna wa kumfikia hata kidog pumzika kwa amani baba maan ungekwepo ungewatumbuwa wote

    • @musamusa5432
      @musamusa5432 3 года назад +5

      Hata kikwete hakuna wa kumfikia kila kiongoz na uongoz wk

    • @mwitachacha480
      @mwitachacha480 3 года назад +2

      Furaha yako n kuona watu wanapoteza kazi , very sad

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад +6

      Jitambue weyeee Acha kukalilishwa, yani nyinyi tm chato mna mihahoo, lazima mkubari hii Ni awamu ya sita halafu kila zama na mtume wake

    • @sarahnyambaka5885
      @sarahnyambaka5885 3 года назад +1

      ungekuwa wewe umetumbuliwa ungefanya nini.tupendaneni jameni

    • @fransavinhonacmela827
      @fransavinhonacmela827 3 года назад

      Jembe letu la chato jamoni linge kuwepo!!!

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 года назад +1

    Wamachinga tunawapenda sana mnaturaisishia bidhaa kua raisi sana ila tufuate taratibu ili mambo yaende vzr ndugu zetu msije mkaraumu mkuu wa mkoa Amosi Makala ilo agizo kutoka kwa Raisi kama tunampenda kweli na tunamueshim sana tutii maagizo atakayokuja nayo mkuu wa mkoa Amosi Makala tusiwe na fujo kila la kheri wafanya biashara wadogo wadogo mungu awabariki sana🙏🙏

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад

    Mashallah inapendeza sana kwenda kusikiliza kero za wananchi alhamdulillahi allah ametuzawadiya zawadi ya viongozi wazuri

  • @marconakomolwa3917
    @marconakomolwa3917 3 года назад

    Mungu.ndo.kila.kitu

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 3 года назад +9

    Binafs nimejikuta nimetoka.na machozi Sana nimekumbuka hatari rais magufur namuona mama anajikuta ana kaz kubwa ya kurudisha iman na upendo uke Ambao tulihis baada ya kifo chake tusingeyaona haya

  • @mutalemwafaridu5341
    @mutalemwafaridu5341 3 года назад +1

    Thanks for the good work madam president to the citizens

  • @faithphanuel259
    @faithphanuel259 3 года назад +1

    Mama barakoa ya nni siuvui

  • @amanisima9357
    @amanisima9357 3 года назад +2

    Ulisema wewe na JPM nikitu kimoja sasa Mimi nilikuwa nasubiri vitendotu. Hongera Mama endelea kutembea kufikia sehemu husika ili ujionee mwenyewe na ujue nijinsi gani utashugulikia.

  • @raboymziki336
    @raboymziki336 3 года назад +5

    Njoo na huku Kilimanjaro "Moshi mjini" wajasiliamali wanajambo lao

  • @zakayoraymond1699
    @zakayoraymond1699 3 года назад +9

    Angekuwepo angesolve papo hapo. Haina haja ya kukaa. Pumzika kwa Amani JEMEDARI WETU.

    • @jim12306
      @jim12306 3 года назад

      Live na kile unacho, Mungu anamipango yake, wakati wa mangu kapita! tukubali tu!

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 3 года назад +2

    Mungu AKUONGOZE KTK jina la Yesu🙏

    • @msabahkhamis9438
      @msabahkhamis9438 4 месяца назад

      Mamaetu muislam
      Usimuombee kwa yesu
      Sisi waislam itakadi yetu yesu ni mtume

  • @hassnhaji8585
    @hassnhaji8585 3 года назад +1

    hongera sana mama kazi iendeleee

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 3 года назад

    Naona wembe ni ule ule Mama Mungu akubariki

  • @ericklaurent1484
    @ericklaurent1484 3 года назад +5

    Mama TANZANIA tunataka tujue makusanyo ya mwez mama

  • @atimanamanga6289
    @atimanamanga6289 3 года назад +3

    Asipovaa barakoa hataenda Ulaya. Wale wapigaji wa 400mil kila dei sijui imefikia wapi

  • @carlosn_tz
    @carlosn_tz 3 года назад +13

    Sawa mama haya ndio mambo watanzania ndio wanataka.Nenda mama nenda wewe ndio tegemeo lao na letu

  • @j.c.maxima816
    @j.c.maxima816 3 года назад +2

    Kazi iendelee... Big up Rais Samia... Mama Mama Mama!!! 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 3 года назад +6

    Nice one..oh wow !..👍🇹🇿❤️🌴

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 4 месяца назад

    Unaposifia chakula cha jana maana yake ni kukidharau chaleo
    Mungu anatutaka tuwaheshimu viongozi wetu

  • @dennismwambenja6399
    @dennismwambenja6399 3 года назад +3

    unazuga tu mama nchi inaliwa hii

  • @fransavinhonacmela827
    @fransavinhonacmela827 3 года назад +2

    Wame vaa Barakoa zao Kama waganga wa Kienyeji. Waone kwanza

  • @michelatakalinga1993
    @michelatakalinga1993 3 года назад +3

    Hizo balakoa jamaa hata akiongea huyo raisi. Kwanza najiuliza anajisikia yeye kava balakoa wananchi hawajavaa. Samia hana imani na mungu aliye muumba.

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 года назад

      Maandiko yanasema,jisaidie naye atakusaidia.Sasa ww hata lililo ndani ya uwezo wako unataka Mungu akusaidie.?Eti unataka kufaulu mtihani halafu husomi.Unategemea Mungu akusaidie.Duuuh.

    • @fransavinhonacmela827
      @fransavinhonacmela827 3 года назад

      @@yakobokuzenza6837 Acha uongo wewe hayo mafundisho ya mashetani.

    • @fransavinhonacmela827
      @fransavinhonacmela827 3 года назад

      Hajiamini huyo anapelekwa pelekwa Kama upepeo

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад +1

      Huna akili wewe

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      HATA WEWE HUMWAMINI

  • @maganyagati3251
    @maganyagati3251 3 года назад +4

    Huyu mama kila siku barakoa anatutisha sana mi simuelewi

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 3 года назад

      nenda pia uvae, yuajua afanyacho

    • @janemakemo5635
      @janemakemo5635 3 года назад

      Jamani toa ajira za waalim nyingi Kama ulivyotoa za idara ya afya ndipo tutajuwa wewe ni mchapa kazi

    • @claudekorosso8918
      @claudekorosso8918 3 года назад

      Kwakuwa hujataka kuchukua tahadhari! Israel - taifa teule la Mungu limewachanja watu wake dhidi ya COVID-19. Saudi Arabia vile vile imechanja watu wake. Sijui kama kuna taifa teule lingine la Mungu.? Mama anaonyesha njia tu- huo ndio ukweli

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад

      Barakoa tutavaa tu wacha ushamba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад

    Mama peke yake ndio anaweza kufua nguo za muhindi ilmradi wanae wapate kushiba, we loves mama.

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад

      Ww kelele hata kina baba WANAWEZA kugonga kokoto pesa yote wanaancha nyumbani anaenda kazini na nauli tu akipata balaa njiani imekua kwake

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад +6

    She is a leader

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +1

    Mungu akusimamie Mama kazi na inderee

  • @emeliusdominickkyaluz7569
    @emeliusdominickkyaluz7569 3 года назад +11

    Kuvaa balakoa ni unafiki sisi hatuna korona magufuri oyeeeeee

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 3 года назад

      wewe wataka maendeleo ama watishwa na barakoa, ukitaka nenda uvae pia

    • @shaurimtanda8285
      @shaurimtanda8285 3 года назад

      Mambo ya afya hayataki mzaha

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад

      Ndugu Nina wasiwasi na ukristo wako, umekalilishwa ujinga na huyo marehemu wenu yaani nitaabuuu tupu!, Ndomaana Hosea kwa kuongozwa na Bwana alisema, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, jitambue Kaka hii Ni awamu ya 6

    • @hildantandu5909
      @hildantandu5909 3 года назад

      @@pastornongoli4388 Maarifa gani unayo wewe?

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад

      @@hildantandu5909 hatakujitambua tu Ni maarifa tosha

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад +6

    Mama wakutengenezee kifungo tu hapo mbele ktk koti lako, linakusumbua nasisi hatutaki usumbuke....

  • @aminahabib4450
    @aminahabib4450 3 года назад

    Thanks

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 3 года назад +1

    Fanya kwa nafasi yako mama Daima Magu alikuwa wa aina yake R.I.P magufuri

  • @papamonyonchotv
    @papamonyonchotv 3 года назад +1

    Huyu Mama Mheshimiwa Raisi ni zaidi ya Marais wengi Africa#Kazimzuri . Asante sana.

  • @felixjarome6652
    @felixjarome6652 3 года назад +1

    Piga kazi mama

  • @najugames8270
    @najugames8270 3 года назад +2

    Nice samia

  • @emanuelmuna1242
    @emanuelmuna1242 3 года назад +18

    Mama hayo mabarakoa ya nini sasa???? Mnatutia uogaa wakati sisi hatuna uoga tena

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 3 года назад +2

      huyo mama yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 3 года назад +1

      Dunia inataka corona....
      Weye naniiiii ukatae hata ungekuwe weye ndo yeye ungefanya nini??

    • @sarahnyambaka5885
      @sarahnyambaka5885 3 года назад +2

      kwani umelasimishwa kuvaa.anavaa kwa maslahi yake.nani waja hiyo

    • @sankofaman4112
      @sankofaman4112 3 года назад +1

      Ameivaa ki makosa. Pua yote iko nje, sasa ya nini?

    • @hildantandu5909
      @hildantandu5909 3 года назад

      @@sankofaman4112 umeona ee.

  • @plumbervampire4675
    @plumbervampire4675 3 года назад

    hii nimeipenda enderea hivyohvyo mama

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 3 года назад +8

    Huyu mbona anapita tu haulizi shida za wananchi wake??? Halaf hilo libarakoa lanini?

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 4 месяца назад

    Nduguzangu kumsifia mke ulomuacha au alokufa mbele ya ulienae sasa nikumdharau aliepo
    Usmsifie mbele yake baki nayo moyoni
    Kwahio nakuombeni dhibitini hisia zenu kujenga amani ya nchi
    Sababu tumpende aliepo
    Alokuwa hayupo mda wake umepita nadhani mnaonesha dharau kwa mamaetu sisi vipenzi vyake tupo tutamsemea na hapo tutaanza kutengeneza makundi

  • @bonangatuni8077
    @bonangatuni8077 3 года назад +2

    Mungu akulinde mama yetu

  • @edsonmruma4833
    @edsonmruma4833 3 года назад

    Mama wewe ni mtu wa watu unatutembelea hata sisi Aksante Sana mama.

  • @ezekielpaul3129
    @ezekielpaul3129 3 года назад +5

    Hakuna kitu hapo jpm hoyeeee

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад +1

      Ongeza sauti... Labda maiti itaamka...

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 года назад

      Jpm ameshakufa.Hata umsifie vipi hawezi kurudi

    • @ibnismail8831
      @ibnismail8831 3 года назад

      @@j.c.maxima816 😂😂😂😂😂😂

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@yakobokuzenza6837 LABDA MAGU AKIMPELEKEA CHAKULA CHA BURE MAMAKE.

  • @amashasanga2724
    @amashasanga2724 3 года назад +2

    Tujlijua tuuu daa,, R.I.P jpm

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 3 года назад +3

    kupigiwa makofi haiongezi uchumi.Nenda kule wanakopiga mabilioni achana na wananchi wa chini.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад +2

      Angeenda kule bado ungelalamika haendi kwa wananchi wa chini!! tunachojua kuwa ni kazi ngumu kumridhisha mwanadamu!!

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 года назад

    Mungu amusimamie akupe nguvu na azidi kukupa hekma ya kutatua matatizo ya watanzania we love you mama Soo much stay blessed

    • @ruwaidasleiman8327
      @ruwaidasleiman8327 3 года назад

      Sikilizaga mama ukaziba uwo mdomo na iyo pua kunatutia woga na suwe wengine

  • @edwardsoteli9075
    @edwardsoteli9075 3 года назад +2

    Barakoa zimerudi

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      zimeanza...

    • @fransavinhonacmela827
      @fransavinhonacmela827 3 года назад

      Wapumbavu ndio wana vaa Barakoa ila!!! Wajinga hatuvai. Barakoa.
      Kwani #Bibi Corona mshamba wa pemba

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@fransavinhonacmela827 CHOMA MIHOGO MASIKINI WEWE MAITI YA MUMEO IKO CHATO

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      @@fransavinhonacmela827 Wewe mshamba wa wapi? Mbona mmelewa na ubaguzi jamaani?

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 3 года назад +2

    mama tumekusikia lakini nyie wa barabarani nahisi muandae maeneo mengine, mazingira yanatengenezwa siku zinahesabika zakuwepo maeneo hayo. RIP JPM.

    • @peterakora5543
      @peterakora5543 3 года назад

      Tunakupongeza Mama Samia, lakini bado uhitaji wa miundo Mbinu kwa wauzaji wadogo barabarani unahitajika sana kwani kwa sasa ni vurugu mechi tupu mama.

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад +3

    Kazi iendelee Mama yangu

  • @apollotee1929
    @apollotee1929 3 года назад +1

    Furaha imerudi

  • @reyctv6966
    @reyctv6966 3 года назад

    Noma

  • @jescaizengo9722
    @jescaizengo9722 3 года назад +2

    I LOVE YOU MAMA MUNGU AKUBARIKI 💖

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc 3 года назад +2

    God bless Tanzania 🙏

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад +5

    Eti amevaa balakoa mmmmmh huuu ni mtihani huu cjui tutauvuka lini daaaah mungu wetu tusaidie

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 3 года назад

      nenda pia nawe uvae si mjinga yeye kuvaa barakoa yuajua afanyalo, ukitaka pia wewe kavae

    • @hamisialfani590
      @hamisialfani590 3 года назад

      amina

    • @mohamedasaid7910
      @mohamedasaid7910 3 года назад

      Jee Tanzania ni Kisiwa na inchi zote zingine ndio wasivae barakoa

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 года назад

      Una wivu tu.Sioni hata unachokilalamikia hapo.

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 3 года назад

      @@yakobokuzenza6837 Ama kweli kwenye msafala wa kenge na mijusi pia ipo mmmmmh

  • @taitatimotheo3075
    @taitatimotheo3075 3 года назад

    Barakoa Ni za Nini sasa

  • @abdiabdullah8564
    @abdiabdullah8564 3 года назад

    Tuseme ukweli tu rais magufuli alikuwa ni rais . He was very powerful man to his people.

    • @issanjinjo38
      @issanjinjo38 3 года назад

      Alikuwa powerful KWA tumbua tumbua zake hakupata heshima ya dhati zaidi ya woga amewatesa wananchi waliokosa amani na tabasamu ndani yanchi unamsifi butruhuru utu wa ulitoweika unamsifi ukiukaji wa katiba na kuwatesa watu wako wapi WATU WASIOJULIKANA?

    • @abdiabdullah8564
      @abdiabdullah8564 3 года назад

      @@issanjinjo38 kwani !!!, Wakati alipokuwa hai rais magufuli, huyu mama ambae ndie rais alikuwa wapi?. Tunavyojua yeye ndie alikuwa mshauri wake mkuu katika utekelezaji sera zao. Sasa unapomsifia na kumkandamiza hayati magufuli hapo bado sijakuelewa. Magufuli ni wazi kabisa alikuwa mzalendo na alikuwa akipenda maendeleo tena kwa vitendo. Tumpe mda tu huyu rais wetu wa sasa labda mambo yanaweza kuwa sawa.

  • @user-gv7sd4oi6q
    @user-gv7sd4oi6q 3 месяца назад

    Hakuna kama jpm unakumbukuka shuka kumekucha

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +1

    Saf Sana Mama nimeanza kukuelewa ALLAH akulinde 🙏🙏🙏🙏

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo6259 3 года назад +1

    Duh

  • @verrynicemushi2563
    @verrynicemushi2563 3 года назад +1

    Safi Raisi nyayo za JPM

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 3 года назад

    Akitoka hapa anaenda kufanya uteuzi na wakati miradi inakwama

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 3 года назад +1

    Daaah watanzania jamani (r I p mag u)

  • @athmaniidd437
    @athmaniidd437 3 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏

  • @mtaalamshekidele4822
    @mtaalamshekidele4822 3 года назад +1

    Ziara ya matumaini

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 3 года назад +3

    Mbona hawaimizi watu wafanye kazi kwa bidii wanaangalia kufukuza watu tuu

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      UMESIKIA KUNA MTU KAFUKUZWA.

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 3 года назад

      @@salimsaid7200 hapo lazima tu watu watafukuzwa kuna dalili zote

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 3 года назад +1

      Hujasikia aliposema nawasalimu kwa salamu ya jamhuri,,watu wakaitikia kazi iendelee au ww unataka kazi gani

  • @festophilimon5529
    @festophilimon5529 3 года назад

    Mama askie kilio cha wananchi

  • @queen-yx8uo
    @queen-yx8uo 3 года назад +3

    Mama yan utembee had mahosptln sio nje ya nchi tuu mama yetu pambana ivo ivo tunateseka

  • @happysanga6595
    @happysanga6595 3 года назад +1

    Tz viongozi nabalakoa wananchi tumerithi kwa chuma hatuzijui balakoa

    • @marymakoi8604
      @marymakoi8604 3 года назад

      Fanya hapo kwa hapo sio mpaka mkakae kikao r.i.p Magu

  • @hassanmohammed9153
    @hassanmohammed9153 3 года назад

    Kweli mama wasaidie

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад +1

    👌🏾💐

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 3 года назад +3

    Hana hata mvuto huyo mama yenu

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад

      Wataka Nini sisi hatuna haja ya mvuto sisi tulitaka kiongozi nasio mtawara na kiongozi tumepata mama la mama

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 года назад

      Basi kuwa raisi ww mwenye mvuto

    • @mdimimdimi4282
      @mdimimdimi4282 3 года назад

      @@yakobokuzenza6837 mkundu wako mweusi

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 3 года назад

      @@mdimimdimi4282 mazezeta ndivyo mlivyo

    • @fransavinhonacmela827
      @fransavinhonacmela827 3 года назад

      @@pastornongoli4388 Acha ushoga wewe

  • @jumskibona3261
    @jumskibona3261 3 года назад +4

    Waliosema watanzania atukuelewi naona wameona Sasa kuwa sisi tumekuelewa

  • @msingida33
    @msingida33 3 года назад

    kweli gharama zingine serikali angalieni namna ya kumsaidia mwananchi

  • @jonathandossantos7216
    @jonathandossantos7216 3 года назад +1

    Hii ndio maana ya siasa wanazidi kutufanya wajinga,wizara ya fedha kuna aibu kubwa sana ya ubadhilifu wa fedha anafanya ziara za kushtukiza ili zi trend kutusahaulisha hoja za kimsingi,tunapiga kwata kwenye upepo hakuna tunapoenda watu wanalindana,kuna kazi za kufanya waziri wa TAMISEMI na sio rais ,taifa linapigwa

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      HIZO HABARI ZA KUPIGWA PESA ULOZISIKIA TARIFA HIYO ULIPEWA NA JIRANI YAKO AU NA SERIKALI BASI USIPANGE KAZI TULIZA MSHONO.

  • @Kenyan_Duke
    @Kenyan_Duke 3 года назад

    Kweli huyu Mama ni Magufuli kweeliii!!!

  • @abaskhatoon9425
    @abaskhatoon9425 3 года назад

    NANI KAMA MAMA??ALHAMNDULILAH.PROUD TO B MAMA.

  • @patrickmkunda7421
    @patrickmkunda7421 3 года назад

    Mm niseme ukweli Mama umemfufua MAGUFULI kweli. Pamoja na changamoto za wafanya biashara wadogo bado naomba wasibugudhiwe Kama Baba yt hayati MAGUFULI.

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 3 года назад +1

    Mukitaka huyu ndo raisi mukinuna huyu ndo raisi na matusi muache mue na adabu kumtukana huyu ..aheshimiwe

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      HAO WANAO MTUKANA NI MLAYA NA WATOTO WA MALAYA HAWA TUSHUGULISHI.

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 года назад +1

    Safi sana

  • @arbaab9337
    @arbaab9337 3 года назад

    TWAKUPENDA ZAIDI NA ZAIDI.
    HUNA KIBURI MAMA YETU *** HUNA HASIRA MAMA YETU *** ...✍

  • @rizikiwaadee8790
    @rizikiwaadee8790 3 года назад +2

    Eneo Kama hili linaitaji ulinzi wa Hali ya juu , na intelligence kubwa kidogo maana amezungukwa na magorofa so inabidi ulinzi uwepo Hadi juu ya hayo maghorofa

    • @ethansapili5038
      @ethansapili5038 3 года назад +1

      Tanzania hatuna hofu iyo boss

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад +1

      Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure,

    • @ummimohammed9359
      @ummimohammed9359 3 года назад

      alhamdulilah Tanzania imani na amani bado ipo。Mungu ibariki Tanzania yetu wabariki viongozi wetu。

    • @halimaamani8958
      @halimaamani8958 3 года назад

      Lazima watakuwepo watakuwa walikuwa hapo mapema zaid yake

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад

      Uyo ni raisi sio diwani kila sehemu apo kuna ulinzi

  • @johnkessy4966
    @johnkessy4966 3 года назад +1

    Big up mama.

  • @upendoshoo3898
    @upendoshoo3898 3 года назад

    Mnamuita mama ndo kasha lipua sasa

  • @pakobrand5321
    @pakobrand5321 3 года назад

    Jiji lichukue uongozi au mnaonaje wananchi

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 3 года назад +6

    mabarakoa ya nini? nonsense

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 3 года назад +2

    Watanzania asa mshangilia banacoa huyu atawauwa na corona

  • @ditrickmtega2802
    @ditrickmtega2802 3 года назад +8

    Ameshitukiza na mabango yameandikwa saa ngapi?

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 3 года назад

    Tume inatohusika na suala moto kariakoo lianze na viongozi walitumbuliwa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 года назад +9

    msaliti unavalia wanainchi wako barakoa kwani uliwaona wana Corona ?
    mkusanyiko mkubwa huu wote alafu chanjo umeagiza kama Corona ingekuwa jins mnavyo tuogopesha siwatu wote hao wangekuwa tayari washakufa... fwata njia zote JPM watu Africa tutakuelewa njinsi tulivyo mwelewa JPM shujaa wa Africa dawa ya mabeberu wana alisi wa Africa alietumwa na Mungu kukomboa fikra ya mwafrika

    • @starniceofficial5492
      @starniceofficial5492 3 года назад

      Daaaa mbona wajinga Ni wengi tz... Nawewe n miongoni

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 3 года назад +1

      @@starniceofficial5492 kama wewe rais wawajinga ulimwenguni

    • @issazakaria863
      @issazakaria863 3 года назад

      Wengine ni wanyonge hadi akili

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 3 года назад +1

      Kwani UWEPO wake madarakan unakura YAKO uliyompigia?Acha maneno Kwani umelazimishwa uvae

    • @saidboykamuheza1997
      @saidboykamuheza1997 3 года назад

      Sawamama sisipia wamachinga wa wamhezatanga tunanyanyaswa Sana navioozi

  • @timotheohongera1738
    @timotheohongera1738 3 года назад +3

    Kitu kikiwa hakitoki rohoni kinaonekana tu. Very cheap politics with less information

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      KWANI MPAKA AFOKE

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 3 года назад +2

      Shida yako umezoea kufokewa

    • @kavumanicholas564
      @kavumanicholas564 3 года назад

      mm nimekuelewa. Mzee alikua akienda sehem tayari anajua kila kitu na afanye nn yaani anaondoka watu wakishangilia

    • @pastornongoli4388
      @pastornongoli4388 3 года назад

      Tatizo lako wewe umezowea kupelekwa pelekwa, kufokewa, kutukanwa, na ubabe ubabe wa kikoroni, badirika weyeeee dunia nayo inakwenda kasi,

    • @kavumanicholas564
      @kavumanicholas564 3 года назад

      @@pastornongoli4388 pastor ni jina lako au kweli ww ni mchungaji. Bac upastor ni ukoloni ni zao halisi la ukoloni

  • @mohamedimsuya9761
    @mohamedimsuya9761 3 года назад

    Asantee mama

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 3 года назад +5

    I thought you'll go BOT or TPA... How much revenue's coming there?

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 3 года назад

      hapangiwi kwa kuanzia popote pale ni sawa,mlisema asikae ofisini aje kwa wananchi,,ameanza kwenda kwa wananchi mnasema angeanza bot au bandarini "nonsense" bandarini alimuagiza wazir mkuu na ameshaenda na rais alishapata feedback

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 года назад +1

      YOU are FOOLISH. She's the President; you can not dictate to her what and Where to go.

    • @user-oq3dd5xj9m
      @user-oq3dd5xj9m 3 года назад

      @@abdulkatalango2890 you don't get my point and you know absolutely nothing. I wish you could

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 3 года назад

      @@user-oq3dd5xj9m kwahiyo wewe kwa ujahili wako na ujinga uliotopea unafikiri rais hawezi kujua mapato yanayoingia kupitia bandari au sehemu yoyote mpaka aende huko,kwani akienda anauliza watendaji waliokabadhiwa dhamana hiyo au yeye mwenyewe anakaa kwenye system na kuanza kukokotoa mahesabu? tambua kuwa rais akitaka taarifa yoyote na kwa muda wowote hana sababu ya kwenda sehemu yoyote ili kupata anachohitaji,bali kitamfikia popote alipo ikiwa anahitaji ndio maana ya neno rais na amiri jeshi mkuu,vyombo vyote na wizara zote vipo chini yake anapata taarifa za nchi muda wote,

    • @user-oq3dd5xj9m
      @user-oq3dd5xj9m 3 года назад

      @@abdulkatalango2890 yes cos she hasn't got a clue what's going on

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 3 года назад

    Duuuu kwenye barakoa hpo jmn ktiana hof tuuuu kwa kweli aya bhn mung tsaidie

  • @omaryomary3541
    @omaryomary3541 3 года назад

    Y

  • @anitakamene4656
    @anitakamene4656 3 года назад +1

    Nice

  • @mjimtakatifu4300
    @mjimtakatifu4300 3 года назад +1

    Jamaji tufanye maombi corona iondoke ikulu

  • @S.A_media1
    @S.A_media1 3 года назад

    Huyo mama so poa

  • @danizoxhualez2851
    @danizoxhualez2851 3 года назад

    Chirstani mwaipaja

  • @noramkendamunishi6902
    @noramkendamunishi6902 3 года назад

    Yaani natamani aongee na uongozi wa bandari, tra, benki kuu, immigrartion, wizara ya utalii etc. Huku kunanyooka tu ni samaki wadogo sana hawa