AJALI MBAYA: WATU 12 WAFARIKI HAPOHAPO, GARI LAACHA NJIA NA KUGONGA NGEMA, MASHUHUDA WAELEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 95

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 9 дней назад +4

    Dah😭😭😭😭 mungu wasamehe makosa yao kwa jina la baba na la mwana amen!!🙏🙏🙏 Mungu awatie nguvu wafiwa polen sana jaman!!

  • @DubaiKibelenge
    @DubaiKibelenge 9 дней назад +9

    Polen watanzania kwa ajali ya bus iliyotokea Leo mbeya mungu atupe moyon wa uvumilivu

  • @amirinestory
    @amirinestory 9 дней назад +6

    dah..gari la nyumban kaliua hilo...nimeumia sana kwa taarifa hii😢
    Fahari ya Kaliua imepitia changamoto kubwa sana Allah awafanyie wepesi waliofariki na kheri kwa wote walioumia🙏

  • @alexkomba3100
    @alexkomba3100 9 дней назад +3

    Poleni sana
    Dereva ambaye ni mmoja wa wamiliki wa gari amefariki pia!
    Ajali hizi ziwafanye wadau waendelee kuwa making wakiwa barabarani na wachukue tahadhari ya maeneo hatarishi kama Kona na miteremko nk. RIP

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 9 дней назад +1

    Poleni Sana ndugu zetu mliopata Majeruhi Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi Na Mliotangulie Mbele Za haki Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema Awapumzishe Mahala pema panapostahiki

  • @vero57
    @vero57 9 дней назад +1

    Abiria musikae kimywa tuuu kama deleva anakimbizaa , muwe machoo , poleni sana

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 9 дней назад +6

    Huyo bibi kaniacha hoi ati anashangaa kitu inajibu.. RIP marehemu poleni kwa wafiwa

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 9 дней назад

    Poleni sana wafiwa kwa ajali hiyo iliyopoteza ndugu zetu. Mainjinia wetu mpo mbali sana kwenye kuchora barax2 hasa sehemu zenye kona kali mnalinganisha gari ndogo na kubwa kuwa ni kitu 1. Mpaka mama wa kijijini anawaamsha

  • @shamiramsoke1365
    @shamiramsoke1365 9 дней назад +3

    Poleni sana wote mlioathirika na hiyo ajali

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 9 дней назад +3

    Mwisho wa meaka huo unaingia ajali kila siku hee mungu tuokoe waja wako

  • @majaliwapeterSimon-vl6ym
    @majaliwapeterSimon-vl6ym 9 дней назад +3

    Mungu azilaze mahari pema peponi roho za marehem

  • @SOPHYMOHAMADY
    @SOPHYMOHAMADY 8 дней назад

    daah Inauma snaa mungu azilaze mahli pema pemoni roho zamarehemu

  • @storytownTv
    @storytownTv 9 дней назад +2

    Hadi gari imechanika nusu ,Hiyo ajal mmh ilikuwa yakutisha xana ,waliopona inabidi waokoke kabx

  • @RamadhanmasolwaNkwabi
    @RamadhanmasolwaNkwabi 9 дней назад

    Duuh polen pia mungu atusaidie kabisa katka ajali hiz

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 9 дней назад

    Mmeshaanza ile miezi yenu jaman wachawi tupunguzieni adhabu kidogo wengine tunajipanga kusafiri na familia ndiyo hivyo mnakutana na ajali kama hii tutaisha😭😭🙆

  • @EmmanuelMatogolo-l2y
    @EmmanuelMatogolo-l2y 9 дней назад

    Poleni sana, Mungu awarehemu
    Tunaomba Tan load, Kona kama hizi muwe mnaweka matuta kadhaa makubwa mwanzo wa Kona Hadi mwisho wa kona

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 9 дней назад

    Tatizo likitokea mnawalaumu MA dereva acheni hizo swagger ni bahati mbaya tu

    • @froma3732
      @froma3732 9 дней назад

      Aslimia 90% ni uzembe kwenye Corner unakwenda speed 100

  • @KemmyPrince-r4l
    @KemmyPrince-r4l 9 дней назад +1

    Duuuuh! Naogpa kusafiri jmn😭😭😭 bibi wawatu amenijichokea kitu kinajibu nyuma😅

    • @abumuhammad9615
      @abumuhammad9615 9 дней назад +1

      Hata ukijifungia ndani ipo siku yako inakuja UTAKUFA tu.

  • @VeronicaAloyce-n8l
    @VeronicaAloyce-n8l 9 дней назад

    Daaah Mungu atuhurumie jamn poleni sana wapendwa

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 9 дней назад

    Khaaa kumbe gari ni mapambo tu Yan ni kuaribika ivooo😢😢😢😢 aisee waliopona kweli siku yao baado ..poleniii

  • @Happyjoseph-wd9mk
    @Happyjoseph-wd9mk 9 дней назад +1

    Poleni asikali tuokoeni kwasabu Gali zatabola sio seemu yamasaa saa 8 wanatumia 5 x tutaisha kifo kawaida ila kunakingine. Kinalazimisha. Selekali. Magali yatabola nichangamoto

  • @JumannePoland
    @JumannePoland 9 дней назад

    😢😢😢 daah poleni jmn kwa ajali Mungu awasimamie

  • @user-ox4lp8kk4d
    @user-ox4lp8kk4d 2 дня назад

    Daah polen san

  • @EmmanuelKamala-wy1ot
    @EmmanuelKamala-wy1ot 9 дней назад

    Jaman plen sana Mungu awaponye na marehm awalaze mahali pema 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭

  • @MungeteMwampulo
    @MungeteMwampulo 9 дней назад

    Poleni sana kwa ajali mbaya.

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 9 дней назад

    Dah gari hii nimeiona live hii gari ila serikali ile kona waitanue ni mbaya mbaya sana

  • @IndalesioHenery
    @IndalesioHenery 9 дней назад +1

    Kiongozi sio uzembe wa dreva lemebisheni Barbara Kona nikari mno kwamasio you Wenyeji wanasema wiki haipiti bila ajari sasa tunashindwa kuelewa , ukweli tunaomba pafanyiwe matengenezo

  • @scopy0428
    @scopy0428 9 дней назад

    Jaman leo Mbeya kuna nn Super Feo nayo ilikuwa inatoka Mbeya inaelekea Mtwara imepata ajari Maeneo ya Tunduru watu zaid ya 14 wamepoteza maisha na majeruhi kama wote

  • @TeleziaMwaipopo
    @TeleziaMwaipopo 9 дней назад

    Pole Sana ndugu zangu

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 9 дней назад

    Ewe mwenyezimungu tunusuru na majanga ,marehem mungu awasamehe makosa yao

  • @santosinza9785
    @santosinza9785 9 дней назад

    Jamani siku za karibuni ajali zimezidi sana na kila siku unapata taarifa ni uzembe wa dereva tutaisha hiii kitu ni ya kuangalia kwa jicho la pili

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 8 дней назад

    Poleni sana😢

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 9 дней назад

    Polisi wana jua michezo yote ya madereva wamabasi,nimarafiki zao,polis wawe wanahamishwa wasikae muda sna ,njia moja

  • @LucyJoseph-be2ez
    @LucyJoseph-be2ez 9 дней назад

    Kwanza iyo barabara mbaya sana. Naijua

  • @emmanuelluhendesimbamnatup4347
    @emmanuelluhendesimbamnatup4347 9 дней назад

    Poleni kwa majeruhi

  • @edwardmapunda6169
    @edwardmapunda6169 9 дней назад

    Duu mbeya ajari azikomi

  • @PauloNassary
    @PauloNassary 9 дней назад

    Jamani madereva mtatumaliza kwa uzembe wenu

  • @vero57
    @vero57 9 дней назад

    Waeke kibao hapo cha kupunguza speed jamani!!!

  • @IkungasyaUswege
    @IkungasyaUswege 9 дней назад

    Pole sana

  • @user-kl6gk9gt9k
    @user-kl6gk9gt9k 9 дней назад

    Poleni wafiwa

  • @BahatiRutumo
    @BahatiRutumo 9 дней назад

    Poleni ndugu zangu

  • @MusaMlenga
    @MusaMlenga 9 дней назад

    Polen sana jaman

  • @elliudyayubu
    @elliudyayubu 9 дней назад

    Au mimi ndio sijui, hivi Dereva Kushindwa kulimudu Gari ni Uzembe au? 1:23 1:25

  • @hancymaganga631
    @hancymaganga631 9 дней назад

    Uskari kila siku ni uzembe wa dereva . Hawajawai kili ni uzembe wao pia.mbeya ni tatizo sana Kwa ajari. Mabarabara ni mabovu pia askari wao ni WA hovyo .izo sehemu za hatari wanatakiwa wawe wanakaa .Mbona iringa kitonga askari Wanakaa.wao wanashindwa nini

  • @elia5475
    @elia5475 9 дней назад

    Poleni

  • @MohamedNgonyani
    @MohamedNgonyani 9 дней назад

    Poleni sana

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 9 дней назад

    Wekena sgr nchi nzima

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 9 дней назад

    MUNGU awapumzishe Kwa amani na awape faraja wafiwa

  • @GiftMtweve
    @GiftMtweve 9 дней назад

    Jamani poleni sana

  • @simeontwiyogohe2727
    @simeontwiyogohe2727 9 дней назад

    Kugonga "Ngema" ndio kufanyaje

  • @SalumuKomba
    @SalumuKomba 9 дней назад +1

    Magari yanayotoka mbeya kwenda tabora,singida na mwanza ni mabovu sana😮

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 9 дней назад

    Dah jamani r .i .p kwao

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 9 дней назад

    So sad 😢

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 9 дней назад

    😢😢😢😢😢Poleni sana

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy 9 дней назад

    Inna Lillah waina Lillah rajiun

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 9 дней назад

    Sasa iv abiria mta tusikia kwenye bomba kwa kweri tuwez panda bas boda tupande zetu tren tu😊

  • @thirdsigntzofficial
    @thirdsigntzofficial 9 дней назад

    Hii nchii kulikoni mbona haya matukio yanafuliliza mweeee!

  • @elviraemmanuelpankaras1890
    @elviraemmanuelpankaras1890 9 дней назад

    😢😢😢😢wapumzike kwa amani 😢😢😢

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 9 дней назад

    Mimi nanasemaga kabisa hawa madereva wa mabasi ni shida pasipo sheria Kali za kuwabana watauua sana.

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 9 дней назад

    Mbeya kuna nini kila siku ajali

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 9 дней назад

    Kitu kinajibu Duu hatali 😮😮😢

  • @BerthaEdward
    @BerthaEdward 9 дней назад

    Msiba mzito Kwa Wana Kaliua😢😢

  • @gracemmbaga8059
    @gracemmbaga8059 9 дней назад

    RIP🕊

  • @weiryalema8057
    @weiryalema8057 9 дней назад

    R. I. P ndugu zetu

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 9 дней назад

    Uzembe wa dereva kuto mudu gari dah!Rungha gani hiyo RC apo ume tuangusha aise gari ikiferi una weza kuimudu she wangu

  • @NasmaJafary
    @NasmaJafary 9 дней назад

    Uchaguzi una tupeleka pabaya u😢😢

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 9 дней назад

    Inaumaas

  • @missp1814
    @missp1814 9 дней назад

    Serikali inatakiwa nayo wawe wakali hizi ajali zimeanza kuwa nyingi,kuna kipindi hapo nyuma zilipungua tulikuwa tunasikia habari kampuni imefungiwa leseni,madereva wanakuwa na adabu

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 9 дней назад

    Njia ni moja kila mtu ana njia yake

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 9 дней назад

    Madereva walio wengi kama so vilevi wanavuta bangi

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 9 дней назад

    Nilikuwa nauliza hivi hawa Madereva huwa wanalala saangapi maana kipindi kile tunasafiri Mchana hakukuwa na shida

  • @rodrickibrahim
    @rodrickibrahim 8 дней назад

    R i p

  • @GastoMlwafu
    @GastoMlwafu 9 дней назад

    R I p ndugu zetu daaah

  • @GodfreyMushi-kn3nb
    @GodfreyMushi-kn3nb 9 дней назад

    mbona hamna abiria alie hojiwa? Wote ni mashuhuda

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 9 дней назад

    Inaonekana ilifeli breki

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv 8 дней назад

    Tafali

  • @mcdanford5389
    @mcdanford5389 9 дней назад

    Huyu bibi jaman eti "Nashangaa kitu kimejibu nyuma"

  • @PetroMpunga-rt7hv
    @PetroMpunga-rt7hv 9 дней назад

    Uzembe wa serekali, Sio dereva, warekebishe hapo

  • @muromuro8037
    @muromuro8037 9 дней назад

    Hapa uzembe ni wa dereva na nani?????????

  • @gerevasliyunga9831
    @gerevasliyunga9831 9 дней назад

    Ujinga wa madereva wengi wanajua gar ni jiwe😢😢

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 9 дней назад

    MADERA KUWEKA MAKINI BANA MNACHOSHA XX KILA CKU NINYI TU NA HARAKA ZENU ND MAANA MNAPIGWA HADI KUFA MNACHOSHA AISEE MNAGHARIMU XNA MAISHA YA WATU HAAAA MUDA WOTE HARAKA TU KAMA BODADOBA INATOSHA XX AJALI NYINGI BARABARAN N MADEREVA WA MABASI KUWENI MAKINI BANA TUMECHOKA XX

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 9 дней назад

    Ajali haina Kinga lakini madereva wanachangia asilimia kubwa,wanaendesha magari kwa mazowea na sifa za kijinga!

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 9 дней назад

    Binadamu tunatembea tukiwa marehemu

  • @NtegaLusana-j5k
    @NtegaLusana-j5k 9 дней назад

    𝙼𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚊𝚠𝚊𝚙𝚎 𝚞𝚟𝚞𝚖𝚒𝚕𝚒𝚟𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚠𝚊𝚕𝚒𝚘 𝚙𝚊𝚝𝚠𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚔𝚊𝚜𝚊 𝚑𝚞𝚞

  • @MohamedNgonyani
    @MohamedNgonyani 9 дней назад

    Pole sana

  • @LucyJoseph-be2ez
    @LucyJoseph-be2ez 9 дней назад

    Kwanza iyo barabara mbaya sana. Naijua

    • @zelearisasi
      @zelearisasi 9 дней назад

      Kabisa njia mbaya mno kuna mahar unashikilia roho, ndo mana gari za huko zikiua zinaua hasa