dah..gari la nyumban kaliua hilo...nimeumia sana kwa taarifa hii😢 Fahari ya Kaliua imepitia changamoto kubwa sana Allah awafanyie wepesi waliofariki na kheri kwa wote walioumia🙏
Poleni sana Dereva ambaye ni mmoja wa wamiliki wa gari amefariki pia! Ajali hizi ziwafanye wadau waendelee kuwa making wakiwa barabarani na wachukue tahadhari ya maeneo hatarishi kama Kona na miteremko nk. RIP
Poleni Sana ndugu zetu mliopata Majeruhi Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi Na Mliotangulie Mbele Za haki Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema Awapumzishe Mahala pema panapostahiki
Poleni sana wafiwa kwa ajali hiyo iliyopoteza ndugu zetu. Mainjinia wetu mpo mbali sana kwenye kuchora barax2 hasa sehemu zenye kona kali mnalinganisha gari ndogo na kubwa kuwa ni kitu 1. Mpaka mama wa kijijini anawaamsha
Mmeshaanza ile miezi yenu jaman wachawi tupunguzieni adhabu kidogo wengine tunajipanga kusafiri na familia ndiyo hivyo mnakutana na ajali kama hii tutaisha😭😭🙆
Poleni asikali tuokoeni kwasabu Gali zatabola sio seemu yamasaa saa 8 wanatumia 5 x tutaisha kifo kawaida ila kunakingine. Kinalazimisha. Selekali. Magali yatabola nichangamoto
Kiongozi sio uzembe wa dreva lemebisheni Barbara Kona nikari mno kwamasio you Wenyeji wanasema wiki haipiti bila ajari sasa tunashindwa kuelewa , ukweli tunaomba pafanyiwe matengenezo
Jaman leo Mbeya kuna nn Super Feo nayo ilikuwa inatoka Mbeya inaelekea Mtwara imepata ajari Maeneo ya Tunduru watu zaid ya 14 wamepoteza maisha na majeruhi kama wote
Uskari kila siku ni uzembe wa dereva . Hawajawai kili ni uzembe wao pia.mbeya ni tatizo sana Kwa ajari. Mabarabara ni mabovu pia askari wao ni WA hovyo .izo sehemu za hatari wanatakiwa wawe wanakaa .Mbona iringa kitonga askari Wanakaa.wao wanashindwa nini
Serikali inatakiwa nayo wawe wakali hizi ajali zimeanza kuwa nyingi,kuna kipindi hapo nyuma zilipungua tulikuwa tunasikia habari kampuni imefungiwa leseni,madereva wanakuwa na adabu
MADERA KUWEKA MAKINI BANA MNACHOSHA XX KILA CKU NINYI TU NA HARAKA ZENU ND MAANA MNAPIGWA HADI KUFA MNACHOSHA AISEE MNAGHARIMU XNA MAISHA YA WATU HAAAA MUDA WOTE HARAKA TU KAMA BODADOBA INATOSHA XX AJALI NYINGI BARABARAN N MADEREVA WA MABASI KUWENI MAKINI BANA TUMECHOKA XX
Dah😭😭😭😭 mungu wasamehe makosa yao kwa jina la baba na la mwana amen!!🙏🙏🙏 Mungu awatie nguvu wafiwa polen sana jaman!!
Polen watanzania kwa ajali ya bus iliyotokea Leo mbeya mungu atupe moyon wa uvumilivu
dah..gari la nyumban kaliua hilo...nimeumia sana kwa taarifa hii😢
Fahari ya Kaliua imepitia changamoto kubwa sana Allah awafanyie wepesi waliofariki na kheri kwa wote walioumia🙏
Poleni sana
Dereva ambaye ni mmoja wa wamiliki wa gari amefariki pia!
Ajali hizi ziwafanye wadau waendelee kuwa making wakiwa barabarani na wachukue tahadhari ya maeneo hatarishi kama Kona na miteremko nk. RIP
Poleni Sana ndugu zetu mliopata Majeruhi Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi Na Mliotangulie Mbele Za haki Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema Awapumzishe Mahala pema panapostahiki
Abiria musikae kimywa tuuu kama deleva anakimbizaa , muwe machoo , poleni sana
Huyo bibi kaniacha hoi ati anashangaa kitu inajibu.. RIP marehemu poleni kwa wafiwa
Poleni sana wafiwa kwa ajali hiyo iliyopoteza ndugu zetu. Mainjinia wetu mpo mbali sana kwenye kuchora barax2 hasa sehemu zenye kona kali mnalinganisha gari ndogo na kubwa kuwa ni kitu 1. Mpaka mama wa kijijini anawaamsha
Poleni sana wote mlioathirika na hiyo ajali
Mwisho wa meaka huo unaingia ajali kila siku hee mungu tuokoe waja wako
Mungu azilaze mahari pema peponi roho za marehem
daah Inauma snaa mungu azilaze mahli pema pemoni roho zamarehemu
Hadi gari imechanika nusu ,Hiyo ajal mmh ilikuwa yakutisha xana ,waliopona inabidi waokoke kabx
Duuh polen pia mungu atusaidie kabisa katka ajali hiz
Mmeshaanza ile miezi yenu jaman wachawi tupunguzieni adhabu kidogo wengine tunajipanga kusafiri na familia ndiyo hivyo mnakutana na ajali kama hii tutaisha😭😭🙆
Poleni sana, Mungu awarehemu
Tunaomba Tan load, Kona kama hizi muwe mnaweka matuta kadhaa makubwa mwanzo wa Kona Hadi mwisho wa kona
Tatizo likitokea mnawalaumu MA dereva acheni hizo swagger ni bahati mbaya tu
Aslimia 90% ni uzembe kwenye Corner unakwenda speed 100
Duuuuh! Naogpa kusafiri jmn😭😭😭 bibi wawatu amenijichokea kitu kinajibu nyuma😅
Hata ukijifungia ndani ipo siku yako inakuja UTAKUFA tu.
Daaah Mungu atuhurumie jamn poleni sana wapendwa
Khaaa kumbe gari ni mapambo tu Yan ni kuaribika ivooo😢😢😢😢 aisee waliopona kweli siku yao baado ..poleniii
Poleni asikali tuokoeni kwasabu Gali zatabola sio seemu yamasaa saa 8 wanatumia 5 x tutaisha kifo kawaida ila kunakingine. Kinalazimisha. Selekali. Magali yatabola nichangamoto
😢😢😢 daah poleni jmn kwa ajali Mungu awasimamie
Daah polen san
Jaman plen sana Mungu awaponye na marehm awalaze mahali pema 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭
Poleni sana kwa ajali mbaya.
Dah gari hii nimeiona live hii gari ila serikali ile kona waitanue ni mbaya mbaya sana
Kiongozi sio uzembe wa dreva lemebisheni Barbara Kona nikari mno kwamasio you Wenyeji wanasema wiki haipiti bila ajari sasa tunashindwa kuelewa , ukweli tunaomba pafanyiwe matengenezo
Jaman leo Mbeya kuna nn Super Feo nayo ilikuwa inatoka Mbeya inaelekea Mtwara imepata ajari Maeneo ya Tunduru watu zaid ya 14 wamepoteza maisha na majeruhi kama wote
Pole Sana ndugu zangu
Ewe mwenyezimungu tunusuru na majanga ,marehem mungu awasamehe makosa yao
Jamani siku za karibuni ajali zimezidi sana na kila siku unapata taarifa ni uzembe wa dereva tutaisha hiii kitu ni ya kuangalia kwa jicho la pili
Poleni sana😢
Polisi wana jua michezo yote ya madereva wamabasi,nimarafiki zao,polis wawe wanahamishwa wasikae muda sna ,njia moja
Kwanza iyo barabara mbaya sana. Naijua
Poleni kwa majeruhi
Duu mbeya ajari azikomi
Jamani madereva mtatumaliza kwa uzembe wenu
Waeke kibao hapo cha kupunguza speed jamani!!!
Pole sana
Poleni wafiwa
Poleni ndugu zangu
Polen sana jaman
Au mimi ndio sijui, hivi Dereva Kushindwa kulimudu Gari ni Uzembe au? 1:23 1:25
Uskari kila siku ni uzembe wa dereva . Hawajawai kili ni uzembe wao pia.mbeya ni tatizo sana Kwa ajari. Mabarabara ni mabovu pia askari wao ni WA hovyo .izo sehemu za hatari wanatakiwa wawe wanakaa .Mbona iringa kitonga askari Wanakaa.wao wanashindwa nini
Poleni
Poleni sana
Wekena sgr nchi nzima
MUNGU awapumzishe Kwa amani na awape faraja wafiwa
Jamani poleni sana
Kugonga "Ngema" ndio kufanyaje
Magari yanayotoka mbeya kwenda tabora,singida na mwanza ni mabovu sana😮
Na wanaendesha hovyo sana ile njia😢
Kabisa
Hasa kampuni ya Ally's wanaendesha vbaya usiku Kwa spidi kali
@@SalumuKomba na barabara ndogo na nyembamba magar ni mengi
Dah jamani r .i .p kwao
So sad 😢
😢😢😢😢😢Poleni sana
Inna Lillah waina Lillah rajiun
Sasa iv abiria mta tusikia kwenye bomba kwa kweri tuwez panda bas boda tupande zetu tren tu😊
Hii nchii kulikoni mbona haya matukio yanafuliliza mweeee!
😢😢😢😢wapumzike kwa amani 😢😢😢
Mimi nanasemaga kabisa hawa madereva wa mabasi ni shida pasipo sheria Kali za kuwabana watauua sana.
Mbeya kuna nini kila siku ajali
Kitu kinajibu Duu hatali 😮😮😢
Msiba mzito Kwa Wana Kaliua😢😢
RIP🕊
R. I. P ndugu zetu
Uzembe wa dereva kuto mudu gari dah!Rungha gani hiyo RC apo ume tuangusha aise gari ikiferi una weza kuimudu she wangu
Uchaguzi una tupeleka pabaya u😢😢
Inaumaas
Serikali inatakiwa nayo wawe wakali hizi ajali zimeanza kuwa nyingi,kuna kipindi hapo nyuma zilipungua tulikuwa tunasikia habari kampuni imefungiwa leseni,madereva wanakuwa na adabu
Njia ni moja kila mtu ana njia yake
Madereva walio wengi kama so vilevi wanavuta bangi
Nilikuwa nauliza hivi hawa Madereva huwa wanalala saangapi maana kipindi kile tunasafiri Mchana hakukuwa na shida
R i p
R I p ndugu zetu daaah
mbona hamna abiria alie hojiwa? Wote ni mashuhuda
Inaonekana ilifeli breki
Tafali
Huyu bibi jaman eti "Nashangaa kitu kimejibu nyuma"
😂
Jman
Uzembe wa serekali, Sio dereva, warekebishe hapo
Hapa uzembe ni wa dereva na nani?????????
Ujinga wa madereva wengi wanajua gar ni jiwe😢😢
MADERA KUWEKA MAKINI BANA MNACHOSHA XX KILA CKU NINYI TU NA HARAKA ZENU ND MAANA MNAPIGWA HADI KUFA MNACHOSHA AISEE MNAGHARIMU XNA MAISHA YA WATU HAAAA MUDA WOTE HARAKA TU KAMA BODADOBA INATOSHA XX AJALI NYINGI BARABARAN N MADEREVA WA MABASI KUWENI MAKINI BANA TUMECHOKA XX
Ajali haina Kinga lakini madereva wanachangia asilimia kubwa,wanaendesha magari kwa mazowea na sifa za kijinga!
Binadamu tunatembea tukiwa marehemu
𝙼𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚊𝚠𝚊𝚙𝚎 𝚞𝚟𝚞𝚖𝚒𝚕𝚒𝚟𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚠𝚊𝚕𝚒𝚘 𝚙𝚊𝚝𝚠𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚔𝚊𝚜𝚊 𝚑𝚞𝚞
Pole sana
Kwanza iyo barabara mbaya sana. Naijua
Kabisa njia mbaya mno kuna mahar unashikilia roho, ndo mana gari za huko zikiua zinaua hasa