VIDEO KUTOKA KOREA: RAIS SAMIA ALIVYOWASILI na KUPOKELEWA kwa HESHIMA HII KUBWA - CHEKI MSAFARA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • VIDEO KUTOKA KOREA: RAIS SAMIA ALIVYOWASILI na KUPOKELEWA kwa HESHIMA HII KUBWA - CHEKI MSAFARA....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 97

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 3 месяца назад +3

    Mama kaza kamba usiwe na hofu Allah yupo pamoja na wewe tunaona matunda yako ❤❤

  • @mohdbrown
    @mohdbrown 3 месяца назад +21

    Samia in korea thats amazing,,wapi likes za mama

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 месяца назад +5

    Love mama ukija naomba nikuone ,nina shida ya kaz nina lampuni ya ujenzi mwanamke mwenzako sipat kaz . ila najua ipo siku nitakuona nikueleze ninamna gani nataka kaz na kusaidia yatima ndo lengo langu kubwa

  • @VictorDominick-qg5qq
    @VictorDominick-qg5qq 3 месяца назад +3

    Nimesikia kosimita yani ahsante kwa kiswahili 🇰🇷🇹🇿🙏🇹🇿🇹🇿🇰🇷🇰🇷

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisye 3 месяца назад +3

    Mama niletee zawadii💕💕

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 месяца назад +6

    Respect kwake mama na kwa wa korea walivyompokea

  • @raymondmichael8805
    @raymondmichael8805 3 месяца назад +5

    Magufuli hata hakuweza kusafiri japo ndege yeye alizinunua wananchi ni wengi wakitanzania wanaoteseka na halingumu ya maisha Rest in peace President MAGUFULI

    • @Sakinaamani-o1t
      @Sakinaamani-o1t 3 месяца назад

      Mmmmmh hayo tu alikatazwa?

    • @jombadulla
      @jombadulla 3 месяца назад

      shaur yake,maisha mafupi

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 3 месяца назад

      Africa haitakaa iendelee mpaka ipate viongozi wa zalendo kma Ibrahim traore rest in peace rais wa miaka yote wa Tanzania nchi imerudi kwenye madudu atuzioni zile ziara zako ulizokuwa unazifanya kutatua kero za wananchi

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 3 месяца назад

      Africa itabakia kuwa koloni la wazungu Kwa sababu ya viongozi wa shenzi wasiojali maskini wa nchini mwake

  • @mkude
    @mkude 3 месяца назад +2

    Hongera mama Samia piga kazi

  • @KeffaKibaara
    @KeffaKibaara 3 месяца назад +2

    Rais wetu kenya anatembea na air force one na Apache ch60 black hawk..ilhali shule hazina vioo😭😂🤣🤣🤣

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 месяца назад +3

    Kila la kher mama yangu mh Rais wangu

  • @hawa6052
    @hawa6052 3 месяца назад +2

    Hongera Mama

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema278 3 месяца назад

    Mama usisahau connection ❤

  • @JackSolomon-oy7kb
    @JackSolomon-oy7kb 3 месяца назад

    Safi Sana mama 🎉 mungu akupe maisha malefu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 3 месяца назад

    Hongera mama ,mitano tena.Naomba zawadi ya Tv.

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 3 месяца назад +3

    Korea ziko 2 kusini na kaskazini jamani duh

  • @shaban6644
    @shaban6644 3 месяца назад +4

    Mama ni mwanaharakti sana.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 месяца назад +2

    Hivi kwanini tusifanye msafara mdogo kama huu hapa nyumbani badala ya magari mrengo wakati matajiri wanatumia gari 5 tu, ushauri tu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 месяца назад +2

    Mpk.raha mama hana baya usisahau zawadi ya cm

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 3 месяца назад +2

    In Korea, mama atalete neema, labda 2090. Nchi zote zina matatizo y uchumi. Hizo hela za safari would build a Muhimbili in each village. Samia anakula nchi as if there is no tomorrow! Poleni

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 3 месяца назад +4

    Hongera zako mama Allah akufanyie wepesi kila hatua yako unayopita

  • @BrianMuroki-xp1uu
    @BrianMuroki-xp1uu 3 месяца назад +1

    They couldn't find a better background song.

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 3 месяца назад

    Anyang aseyoo. Othman imnida. Kimchi❤

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 3 месяца назад +1

    Mama ww na father k Nani katembea sana

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 3 месяца назад

    Mashaallah

  • @MohamadHamza-hb2qv
    @MohamadHamza-hb2qv 3 месяца назад +1

    Wabongo wapo huko

  • @USAIDforRichardMooresAgency
    @USAIDforRichardMooresAgency 3 месяца назад

    Yes TANZANIA NEEDS MONEY 💰✌️

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 3 месяца назад

    Anatafuna pesa za nchi huy mama

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 3 месяца назад +1

    NI PONGEZI SANA: ILA KUNA SWALI MOJA.
    - KWA NINI ,VIONGOZI WA HUKO NCHI ZA NJE,HAWANA VITAMBI AU MWILI MZITO...ILA HUKU KWETU...DAAAH...NDIO BALAA...VITAMBI MBELE ,MBELE?

  • @iddygilla
    @iddygilla 3 месяца назад +2

    South Korea, North ni kiduku

  • @amoskatana702
    @amoskatana702 3 месяца назад

    Afrika yang'ang'aniwa tena, umoja wa nchi za Afrika na kujumlishwa kwa wananchi sio wanasiasa pekee litakua jambo muhimu sana mara hii, kuhakikishia Afrika yenyewe na watu wake inafaidi zaidi

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 3 месяца назад

    hawa ndio marafiki,sio EU na USA

  • @DoroselaBijandi-os9bn
    @DoroselaBijandi-os9bn 3 месяца назад +1

    Sterling wa royal tour

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 3 месяца назад +2

    Na ndan ya hyo ndege utakuta wako kumi tu,hv si garama kubwa Sana ndege kwenda na kurudi kutoka Korea?mm sjui ingekuwa pkpk Ningejua inatumia mafuta Kia's gan

    • @Nuru-zr2yv
      @Nuru-zr2yv 3 месяца назад

      Ulitaka aende kwa miguu😂😂

    • @alexitosimpatico5996
      @alexitosimpatico5996 3 месяца назад

      Dar korea ni lita lakimbili na nusu inachoma boeng lita moja sh elfu 3 piga hesabu mwnyewe

    • @mkude
      @mkude 3 месяца назад

      Unapokwenda nchi kama hizo kuna faida kubwa tutapata kuliko hata hizo gharama za mafuta.

    • @staanstaan8722
      @staanstaan8722 3 месяца назад

      Vizuri unanielewa na bajeti ya pikipiki so usisumbuke sana

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 3 месяца назад

    Mbona kwa wenzetu akuna mambo mengi barabarani

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 3 месяца назад

    Amepokelewa kijijini.😮

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 3 месяца назад

    Mmmh ndege hii si ya raisi kwa nini kuwe na matumizi kama haya?

  • @SamsonHamis-rp6by
    @SamsonHamis-rp6by 3 месяца назад +2

    Mama wasalimie bts

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 месяца назад

    nmekja kugunduwa akli za watanzania bado sanaa kodi zetu znatmka bila maana yoyote kaz yenu kmsfia tuu

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 3 месяца назад

    Hamsamida mama

  • @asiaruhasha5561
    @asiaruhasha5561 3 месяца назад

    Nitumie form

  • @frashconnect.1
    @frashconnect.1 3 месяца назад

    background Music it show we are not serious

  • @katwigayona8041
    @katwigayona8041 3 месяца назад +1

    Nimeamini watu weupe wanambinu nyingi sana za kuliteka bara la afrika na kuwa mikononi mwao. Wanatumia kila mbinu za kuhakkkisha mwafrika anaingia kwenye 18 zao. Mambo haya kuyajua kiundani inahitaji hekima ya hali ya juu sana, nje ya hapo utaona kama hao watu wanahitaji sana kulikomboa bara la afrika , kumbe wanalao jambo.

    • @mkude
      @mkude 3 месяца назад

      Ulichoongea hakiendani na hili tukio,akili yako Iko timamu kweli wewe,mama kaenda Korea,na Korea sio weupe.hivi utapataje maendeleo ulisema ujitenge?

    • @staanstaan8722
      @staanstaan8722 3 месяца назад

      Una akili nyengine zaid ya hzi bro?

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 3 месяца назад

      @@mkude ndo maana nikasema wenye akili pekee ndio wenye uwezo wa kuyajua haya,, wewe huna akili utayajuaje,, kwahiyo Korea inawatu weusi au? Kwahiyo Korea inakaliwa na waafrika? Akili huna wewe

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 3 месяца назад

      Huelewi hata yanayoendelea,, kukuelimisha wewe ni kama nawapa mbwa chakula cha watoto,, kwahiyo baki na kile unachokifahamu

    • @mkude
      @mkude 3 месяца назад

      @@katwigayona8041 ok sawa wewe unaakili sanaa gombea urais tutakupigia kura.

  • @nouraynaasheikhunkabir3749
    @nouraynaasheikhunkabir3749 3 месяца назад

    Uzuri wa Raisi wa Tanzania anapoenda safari zake kimataifa hakodi ndege kama majirani Zetu Kenya 😂😂😂😂, Tuna ndege zetu

  • @yussufyussuf7686
    @yussufyussuf7686 3 месяца назад

    Dah africa tue na aibu jmn 🏌️na hii mikopo

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 3 месяца назад +1

    Mmmmmmmm

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад

    Mama anaupiga mwingi huko Sasa mama kizmkaz

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 месяца назад

    Hii Korea yawapi kaskazini au Kusini hamjasema

  • @EdwardMghuna-rg8rx
    @EdwardMghuna-rg8rx 3 месяца назад

    Korea ipi rais wetu kaenda

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад +1

    NDO MAANA TUNASEMA TUNUNUE NDEGE YA RAIS HIVI NYIE MNAO PINGA HAMUON KAMA TUNATUMIA GHARAMA KUBWA KUJAZA MAFUTA HILO LINDEGE LOTE EM SELIKAL FANYEN MAAMUZI MSIWASIKILIZE HAO WAPINZAN WANAO PINGA SWALA HILI😢😢😢😢

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 месяца назад

      Sasa ukienda na ndege kubwa hiv utaombaje msaada?

    • @AlexChonanga
      @AlexChonanga 3 месяца назад

      Acheni ujinga nyie tatizo sisi tumekalia kuwazia misaada tu kama vile walemavu wakati tungejipanga tungeweza kujitegemea vyema kabisa Burkina Faso wanatushindaje kwa mfano ?ni aibu kubwa alafu inaabidi tubadilike Kila siku tunawazia mikopo uchwara tu sisi Wana ccm inabidi tubadilike Ili kuliponya taifa Mimi siungi mkono hata kidogo upumbavu wa kuwazia misaada hasa u
      Inayotolewa na nchi za mashoga Hawa daa Korea kusini hakuna kitu mhe nenda Korea kaskazini msidanganywe eti wale masikini sio kweli

    • @NdilanhaBoniphace
      @NdilanhaBoniphace 3 месяца назад

      Wanunue ndege kwaajri gan

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 3 месяца назад

    Hivi akupata ajali huyu samia!!

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo4956 3 месяца назад

    Samia don’t sale out country

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад

    Wandugu wa kenya mukuje mujifunz uchumi hapa kwa Samia na hauzi roho zetu hahahah

  • @isaacorengo1404
    @isaacorengo1404 3 месяца назад +1

    Korea gani? Kaskazini au

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 3 месяца назад

    Hii Korea hipi ya kingjomping

    • @ombenijulius4640
      @ombenijulius4640 3 месяца назад

      Sio ya kim we ya kim haingiliki kizembe mtata

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад

    kafata nn uko Sasa sisi uku tinateseka na sukari😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 месяца назад

    malikia wa anga

  • @valerianrwebandiza754
    @valerianrwebandiza754 3 месяца назад +1

    Historia inaonyesha kuwa Kikwete alifanya ziara hiyo nchini Korea na akafanikiwa kupewa mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Mloganzira na daraja la Tanzanite!

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 3 месяца назад

      Mawazo ya mikopo ni mfu, tuwaze kodi. Mikopo ni kodi za wengine

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Pumbavu tanganyika inaweza bila mikopo

    • @valerianrwebandiza754
      @valerianrwebandiza754 3 месяца назад

      ​@@majaliwabwitonde6900. Sidhani unachokiongea kama umekitafakari kwa kina ndugu yangu!

  • @ChristinaKembe
    @ChristinaKembe 3 месяца назад

    MAMA NAOMNA NIKUONE

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 3 месяца назад

    Imepemdeza

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 3 месяца назад +1

    Acheni I Shamba nyie mnaopinga rais kutumia ndege kubwa nyie Mnajua faida italayopatikana katika ziara hii? Acheni kumfanya kiongozi Hana akili nyie

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 3 месяца назад

    🚮

  • @jacksonruitiari9245
    @jacksonruitiari9245 3 месяца назад +2

    Hope wakenya wataiona hii filamu.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 месяца назад +1

    Niaibu kwenda na ndege kubwa kama hii halafu unaenda kupiga ukware

  • @MaugadoMaugado
    @MaugadoMaugado 3 месяца назад +4

    congratulations mom y2

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 3 месяца назад

    Watoto wa mafisadi wanashangilia tu.

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 3 месяца назад

    Aaah!mama jamaanh!nakupenda mama