VIDEO KUTOKA KOREA: RAIS SAMIA ALIVYOWASILI na KUPOKELEWA kwa HESHIMA HII KUBWA - CHEKI MSAFARA...
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- VIDEO KUTOKA KOREA: RAIS SAMIA ALIVYOWASILI na KUPOKELEWA kwa HESHIMA HII KUBWA - CHEKI MSAFARA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mama kaza kamba usiwe na hofu Allah yupo pamoja na wewe tunaona matunda yako ❤❤
Samia in korea thats amazing,,wapi likes za mama
Daah😢😢
Not amazing
Love mama ukija naomba nikuone ,nina shida ya kaz nina lampuni ya ujenzi mwanamke mwenzako sipat kaz . ila najua ipo siku nitakuona nikueleze ninamna gani nataka kaz na kusaidia yatima ndo lengo langu kubwa
Nimesikia kosimita yani ahsante kwa kiswahili 🇰🇷🇹🇿🙏🇹🇿🇹🇿🇰🇷🇰🇷
Mama niletee zawadii💕💕
Respect kwake mama na kwa wa korea walivyompokea
Magufuli hata hakuweza kusafiri japo ndege yeye alizinunua wananchi ni wengi wakitanzania wanaoteseka na halingumu ya maisha Rest in peace President MAGUFULI
Mmmmmh hayo tu alikatazwa?
shaur yake,maisha mafupi
Africa haitakaa iendelee mpaka ipate viongozi wa zalendo kma Ibrahim traore rest in peace rais wa miaka yote wa Tanzania nchi imerudi kwenye madudu atuzioni zile ziara zako ulizokuwa unazifanya kutatua kero za wananchi
Africa itabakia kuwa koloni la wazungu Kwa sababu ya viongozi wa shenzi wasiojali maskini wa nchini mwake
Hongera mama Samia piga kazi
Rais wetu kenya anatembea na air force one na Apache ch60 black hawk..ilhali shule hazina vioo😭😂🤣🤣🤣
Kila la kher mama yangu mh Rais wangu
Hongera Mama
Mama usisahau connection ❤
Safi Sana mama 🎉 mungu akupe maisha malefu
Hongera mama ,mitano tena.Naomba zawadi ya Tv.
Korea ziko 2 kusini na kaskazini jamani duh
Mama ni mwanaharakti sana.
Hivi kwanini tusifanye msafara mdogo kama huu hapa nyumbani badala ya magari mrengo wakati matajiri wanatumia gari 5 tu, ushauri tu
Mpk.raha mama hana baya usisahau zawadi ya cm
In Korea, mama atalete neema, labda 2090. Nchi zote zina matatizo y uchumi. Hizo hela za safari would build a Muhimbili in each village. Samia anakula nchi as if there is no tomorrow! Poleni
Hongera zako mama Allah akufanyie wepesi kila hatua yako unayopita
They couldn't find a better background song.
Anyang aseyoo. Othman imnida. Kimchi❤
Mama ww na father k Nani katembea sana
Mashaallah
Wabongo wapo huko
Yes TANZANIA NEEDS MONEY 💰✌️
Anatafuna pesa za nchi huy mama
NI PONGEZI SANA: ILA KUNA SWALI MOJA.
- KWA NINI ,VIONGOZI WA HUKO NCHI ZA NJE,HAWANA VITAMBI AU MWILI MZITO...ILA HUKU KWETU...DAAAH...NDIO BALAA...VITAMBI MBELE ,MBELE?
South Korea, North ni kiduku
Afrika yang'ang'aniwa tena, umoja wa nchi za Afrika na kujumlishwa kwa wananchi sio wanasiasa pekee litakua jambo muhimu sana mara hii, kuhakikishia Afrika yenyewe na watu wake inafaidi zaidi
hawa ndio marafiki,sio EU na USA
Sterling wa royal tour
Na ndan ya hyo ndege utakuta wako kumi tu,hv si garama kubwa Sana ndege kwenda na kurudi kutoka Korea?mm sjui ingekuwa pkpk Ningejua inatumia mafuta Kia's gan
Ulitaka aende kwa miguu😂😂
Dar korea ni lita lakimbili na nusu inachoma boeng lita moja sh elfu 3 piga hesabu mwnyewe
Unapokwenda nchi kama hizo kuna faida kubwa tutapata kuliko hata hizo gharama za mafuta.
Vizuri unanielewa na bajeti ya pikipiki so usisumbuke sana
Mbona kwa wenzetu akuna mambo mengi barabarani
Amepokelewa kijijini.😮
Mmmh ndege hii si ya raisi kwa nini kuwe na matumizi kama haya?
Mama wasalimie bts
nmekja kugunduwa akli za watanzania bado sanaa kodi zetu znatmka bila maana yoyote kaz yenu kmsfia tuu
Hamsamida mama
Nitumie form
background Music it show we are not serious
Nimeamini watu weupe wanambinu nyingi sana za kuliteka bara la afrika na kuwa mikononi mwao. Wanatumia kila mbinu za kuhakkkisha mwafrika anaingia kwenye 18 zao. Mambo haya kuyajua kiundani inahitaji hekima ya hali ya juu sana, nje ya hapo utaona kama hao watu wanahitaji sana kulikomboa bara la afrika , kumbe wanalao jambo.
Ulichoongea hakiendani na hili tukio,akili yako Iko timamu kweli wewe,mama kaenda Korea,na Korea sio weupe.hivi utapataje maendeleo ulisema ujitenge?
Una akili nyengine zaid ya hzi bro?
@@mkude ndo maana nikasema wenye akili pekee ndio wenye uwezo wa kuyajua haya,, wewe huna akili utayajuaje,, kwahiyo Korea inawatu weusi au? Kwahiyo Korea inakaliwa na waafrika? Akili huna wewe
Huelewi hata yanayoendelea,, kukuelimisha wewe ni kama nawapa mbwa chakula cha watoto,, kwahiyo baki na kile unachokifahamu
@@katwigayona8041 ok sawa wewe unaakili sanaa gombea urais tutakupigia kura.
Uzuri wa Raisi wa Tanzania anapoenda safari zake kimataifa hakodi ndege kama majirani Zetu Kenya 😂😂😂😂, Tuna ndege zetu
Dah africa tue na aibu jmn 🏌️na hii mikopo
Mmmmmmmm
Mama anaupiga mwingi huko Sasa mama kizmkaz
Hii Korea yawapi kaskazini au Kusini hamjasema
Korea ipi rais wetu kaenda
Korea kusini
Korea kusini!
Hiyo si inajulikana moja kwa moja kusini
NDO MAANA TUNASEMA TUNUNUE NDEGE YA RAIS HIVI NYIE MNAO PINGA HAMUON KAMA TUNATUMIA GHARAMA KUBWA KUJAZA MAFUTA HILO LINDEGE LOTE EM SELIKAL FANYEN MAAMUZI MSIWASIKILIZE HAO WAPINZAN WANAO PINGA SWALA HILI😢😢😢😢
Sasa ukienda na ndege kubwa hiv utaombaje msaada?
Acheni ujinga nyie tatizo sisi tumekalia kuwazia misaada tu kama vile walemavu wakati tungejipanga tungeweza kujitegemea vyema kabisa Burkina Faso wanatushindaje kwa mfano ?ni aibu kubwa alafu inaabidi tubadilike Kila siku tunawazia mikopo uchwara tu sisi Wana ccm inabidi tubadilike Ili kuliponya taifa Mimi siungi mkono hata kidogo upumbavu wa kuwazia misaada hasa u
Inayotolewa na nchi za mashoga Hawa daa Korea kusini hakuna kitu mhe nenda Korea kaskazini msidanganywe eti wale masikini sio kweli
Wanunue ndege kwaajri gan
Hivi akupata ajali huyu samia!!
Samia don’t sale out country
Wandugu wa kenya mukuje mujifunz uchumi hapa kwa Samia na hauzi roho zetu hahahah
Korea gani? Kaskazini au
Kusini
Kusini
Kaskazini haingilik kizembe
Hii Korea hipi ya kingjomping
Sio ya kim we ya kim haingiliki kizembe mtata
kafata nn uko Sasa sisi uku tinateseka na sukari😂😂
malikia wa anga
Historia inaonyesha kuwa Kikwete alifanya ziara hiyo nchini Korea na akafanikiwa kupewa mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Mloganzira na daraja la Tanzanite!
Mawazo ya mikopo ni mfu, tuwaze kodi. Mikopo ni kodi za wengine
Pumbavu tanganyika inaweza bila mikopo
@@majaliwabwitonde6900. Sidhani unachokiongea kama umekitafakari kwa kina ndugu yangu!
MAMA NAOMNA NIKUONE
Imepemdeza
Acheni I Shamba nyie mnaopinga rais kutumia ndege kubwa nyie Mnajua faida italayopatikana katika ziara hii? Acheni kumfanya kiongozi Hana akili nyie
🚮
Hope wakenya wataiona hii filamu.
Niaibu kwenda na ndege kubwa kama hii halafu unaenda kupiga ukware
congratulations mom y2
Watoto wa mafisadi wanashangilia tu.
Aaah!mama jamaanh!nakupenda mama