Hamna kitu Hapo..unatangaza ama unaongea hakuna mpangilio wa maneno kwa kifupi ht kunyoosha sentensi ya kiswahili ikaeleweka huwezi..bro Rudi kajifunze.
Uyooo jamaaa kafata storry kutoka mitaani Maana Ana uwakika na asemayo Angewafata wausika kuwaojii nasio kukurupuka kuongea haya sasa jux kazaliwa 1889 uwooo mwaka hata sizani kama bibi yake kazaliwa
Hao wote hawajasomea fani ya Sanaa. Ni Chemical (udsm) na Makamua (Chuo cha Sanaa Bagamoyo) pekee ndio wasomi ktk fani wanazofanyia kazi. Hakuna msanii mwenye Ph. D kati ya hawa watu. Kijana huna taarifa za kutosha...
Yan sijui you tube wanazingatia kuruhusu mambo kama hizi kuwepo yan jamaa bonge la boya yan kiswahil tu imekua ngumu kupanga maneno imekua ngumi maoni yangi nenda shule ww kwanza
We mtangazaji Nenda kwanza kajipige msasa wa kutangaza alafu ndo uje utangaze, make unazingua sana Ati jux kazaliwa 1889..yaan kiufupi hujatulia matango poli mengi sana kwako
Muache unafik simumsomeshe awe kama hao binadamu mwapenda sifa badala ya kumsifia mungu kila Mtu na alichoandikiwa na mungu kuna wengine wasomi ila maendeleo zero kumbka aloishia la saba anaweza kukuzidi had wa chuo kikuu yote hayo kujiinua acha mungu ndo akuinue
Mmmh we na nae pongo kweli kwaiyo MTU wa miaka ya 80 ndo mzee je watu wa miaka ya 60 si ndo utawaona babu na bibi nawakati MTU wa miaka ya 80 anashea story na watu wa miaka ya 90 na wanaendana fresh tu
😂😂 aliyeskia jux kazaliwa 1889 gongA like hapa
Hi,
Mcheki chemikali, yupo kimasomo. Sugu, profesa jay,
Jamaa punguza uongo basi
Aty Vanessa Mzee
Aty jux kazaliwa 1889?!
Duuh that's too much
Mtangazaji naww unaongea ovyo ovyo Sana Kaka bila ata mpangilio daah kuchapia Sasa ndo usiseme🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vanessa mzee Ni Nan lakn jmn jux 1886 unachapia mno khaa
Kwahyo jux ana umri wa miaka 135 Kwa sasa duh! Kweli hatari, unazingua mtangazaji jaribu kua siriaz na unachokifanya
Hamna kitu Hapo..unatangaza ama unaongea hakuna mpangilio wa maneno kwa kifupi ht kunyoosha sentensi ya kiswahili ikaeleweka huwezi..bro Rudi kajifunze.
Go straight to the point....unakua na maelezo mengia aisee...but nakubali kaz zako
Mwamcheka daimond hakufika mbali lakini amewashinda hela kuliko hao wasomi kuwatajiri sikusoma pekeake
Hahahahahaha! Unakula kishako we jux amezaliwa 1889 hahahahahaha! Ananya Nini mpka sasa acha kutudanganya maeeee wweeeeeeeee
Uyu Presenter pia Hajasoma Vizuri,pia yeye hana Elimu sana.
hahaaaa
Kunaa hajaa ya kufanyaa tafitii zaidi kablaaa ya kuletaa habar kwa jamii ...kunaa taarifa nyingi hazipo sawaa
Vanessa Mzee na Babu Jux Shkamon Bibi na Babu 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂aliesikia et jux amezaliwa mwaka 1889 twende sawa 😂😂😂👐👐
Uyooo jamaaa kafata storry kutoka mitaani Maana Ana uwakika na asemayo Angewafata wausika kuwaojii nasio kukurupuka kuongea haya sasa jux kazaliwa 1889 uwooo mwaka hata sizani kama bibi yake kazaliwa
@@maulidimpindo6155 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpindo ,1889,mtangazaji ulikua. ni mkataba. Wa Heligoland. Treaty,amezaliwa. 1922
@@geradyamiry6875 😂😂😂😂😂👐👐👐👐👐
Niko apa🤣🤣🤣
Aseee brooo jux 1889 ctaki kuamni anamiakaa 131
Nikki mbishi, Black Rhino na Mh. SUGU aka mr.2
Elimu na Akili ni vitu viwili tofauti.
Na wala havifanani
Fact
Unaweza ukawa na elimu na usijue kuibadili elimu kuwa maisha safi,unaweza ukawa hujasoma ata darasa 1 lakini mambo yakawa mukide
Ww Wala haujui wasanii wasomi.eti niki wa 2 cpwaa ndie kichwa Kati ya hao.ulio wataja.
Illa kusema ukwelii mi sijakuelewaa mtangazajii alf cha kukushauri tafta kazi ingine ya kufanyaa
😁😁😁😁😁
Wanaelimu lakini anaewaongoza ana io elimu yao
Fid q , black Rino , Mlisho mpoto na utupe pia na elimu ya akina Chic benzi
ᴬᴸᴵᴱ ˢᴵᴷᴵᴬ ᴶᴵᴺᴬ ᴸᴬ ᵛᴬᴺᴱˢˢᴬ ᴹᶻᴱᴱ ᴳᴼᴺᴳᴬ ᴵᴵᴷᴱ ᴬᴾᴼ ᵀᵁˢᴱᴾᴱ
Ww ujui kuandika
Mm nmeckia alivyochapia badala aseme mdee kasema Mzee😹😹😹😹
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Vanessa mzee
Jamani hapo kwa mzee kanifulahisha Jaman haaaa😅😅😅😅😅
hahaaa kiba vs mondi ndo elimu za chini kabisa but hela imelala hapo heshima pesa
Kweli heshima pesa,shikamoo kelele tuu
Huo mwaka aliozaliwa jux wewe muongo sana huwezi kutudanganya cc
Kajux kameula bwana 🤣1889 binadam wa maajabu azeeki aingie kwenye rekod najivunia tz
😂😂😂
Mjomba unachapia Sana uwongo uache
kumbe jux ni zinjathropas na hamsemi🤣🤣🤣🤣
Diamond ,kasomea mademu school ,sababu mpaka hapo kwaela alizonazo asinge kosa elimu anaendekeza madamu tu
Safi sana bongo nasisi 2pojuu
Mtangazaji hujui kazi yako unameza meza mate kama mnywa gongo!
Wewe veep mtangazaj mbna manen meng sana asee3ee
Ndo maana wana hipop wanaimba maneno ya busara kumbe wengi wzmesoma👍👍👍👍
Mambo
Anachapia sana eee aseme jux kazaliwa 1889 eee
Jaman jucx ni mbabu wa Babu dadek
Kutangaza bado Rudi mazoezin
Izzo bizness moni central zone mo music
Nick hajapata PHD hua anaahirisha kila mwaka! Amegraduate masters tu
whuzu umemsahau moshi cooperative university
Vanessa mzee oyeeeee😄😄😄😃😃😃😃😂🤔
Mwamba a see jitahidi uweze kutangaza vizurii unazinguaaa
Kwataarifa yako wewe msomaji na mtazamaji ni kwamba jux amefikisha umri wa miaka 131 😂😂😂 huyu ndo binadamu Mzee zaidi kwa sasa😂😂😂😂 1889-2020
Uwongo mtupu
Leonard Simon 🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahhahahahahhahahahahhahahahaha
Hahaaaa!
Hahahahahaaaaaah
Kekekekeke nchi jirani ya Nairobi hatari
Jux kazaliwa mwaka 1/September/1889 ww jamaa unapotosha sahihisha aisee
Jux kazaliwa mwaka elfu MOJA MIA NANE 😂😂😂
hahahah
18..
Hatar
Jux kazaliwa mda mrefu sana hata Vita vya dunia vilikuwa Bado havijafikiriwa kwa hiyo tumpe heshima zake
😂😂😂😂😂
Aliyesikia vanesa mzee tujuane hapo
mimi hapa.... na Jux kuzaliwa 1889?? 😂😂😂
Wewe hujui kutangaza
Jux kuzaliwa kwake
Ila mzee baba ulimi wako unatereza xn punguza kula mrenda
😂😂😂
Professor jay
Vaness mzee
😂😂😂😂
Usanii ni talent
Nairobi nayo ni nchi 😂😂😂
Kaka una ji Uma Uma Sana hauna uhakika jiangalia mzee wang
Mimi sitaki kuongea sana ila hujui kupresent
Kweli kabisa jamaa anaboa saana, anaongea saana vitu vya nje ya point, video ya dkk 3 inakuwa na dkk 12.
Ety
How Jux kazaliwa 1889 How Mzee, Ndugu mtangazaji tuweke sawa hapo tafadhal
Unazngua jux alizaliwa 1889
Makala yako ni nzuri ila kwa wale wenzangu ambao utangazaji ni ni professional wameshakushtukia umezingua pakubwa
Duh jux kazaliwa 1889?? Hatari sana
Wenye hamjasoma jiwekeni comments zenu zenye feelings 🤣🤣🤣
Kusoma kwiyooo?unaweza usisome na mambo yakaenda kuliko huyo wa madiglii
Mungu wangu jux eti mtu wa morogoro na mtwara halafu kazaliwa 1889
Jamaa anachapia
Mtangazaji unaboa sana, mada nzuri ila unavyotangaza ndio hamna kitu
Mtangazaji anazingua..
Yaan ww mwenyewe hapo nahisi hujasoma
Na huna fani yeyote maana ata kupresent hujui
Sen wasanii kibao tu wamesoma nahisi haujafanya reseach vizur
Basi njoo utangaze boss nafasi ipo wazi
HAO WENYE ELIMU NDOGO NDIO WAMEWEKEZA KWA KIWANGO KIKUBWA NA KUAJIRI WA- TZ WENZAO, TUSIKARIRI SIFA YA ELIMU YA KWENYE MAKARATASI.
Jamani jux kazaliwa 1889 duh mtangazaji chenga 😄😄
Unazinguka sana acha kulembua
Jalibu kutafiti vizuli jux hana umli hio wa kuzaliwa 1889.mbona fala ivo acha kutudanganya
Hahaha aliyeckia jux kazaliwa mwaka 1889 alike hapa
Kakosea huyooo
1989
Kachapia saana watatu anasema wapili
😃😃😃😃😃😃kabisa 1889
Tongue error
Wewe mwenyewe unayesimulia nikilaza kweli!
umemsahau NANDY naye ni msanii ayekwenda while na anaelimu ya juu
Hahahaha saw 2me kuelewa vanesa mzee dah sema ume uwa san mwamba dah 1889 jux ume tixha san
Jux atakua vampaya aiwezekan 1889 hana ata mvii😂😂😂
Hahhahhhhaah mbavu zangu
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona hata mm sina
😁🤣🤣🤣🤣🤣kazi kwelikweli. Huyu Mtangazaji hajielewi kabisa, na wala hajui anachoongea..
Sauti yako inaudhi sana
Hao wote hawajasomea fani ya Sanaa. Ni Chemical (udsm) na Makamua (Chuo cha Sanaa Bagamoyo) pekee ndio wasomi ktk fani wanazofanyia kazi. Hakuna msanii mwenye Ph. D kati ya hawa watu. Kijana huna taarifa za kutosha...
Dominicus Makukula we wa songea
@@josephkomba3571 naam, za lelu mlongo!
Jamaa ni mwongo Sana eti hata kujua Kiingereza ni kusoma eti ,,,
Uongo xax
😆😆😆😆😆
loooooh ulivo muongo xaxa,jux kazaliwa 1889 khaaa!!!!!!!!we kiboko
Duuuh jux amezaliwa mwaka 1889 khaaa bongo sihami shobo kibao hadi unachapia
Mtangazaji umekunywa chai Kweli leo? maana una mix mambo balaa😁😁😁
kusom ni moj y kuek maleng kwenye maixh kuhx kityu flan are diamond anakipj but kawez kueka saw maixh yak
Haya huyo Mondi hajasoma lkn ndo tajiri klk hao wasomi
Mmmm mwaka 1889 hiyo vep😁😀😂😂😂🏃🏃🏃🏃
Jux kazaliwa 1884,, mpaka leo. Anaishi😆😆😆🤓
Jux kazaliwa 1889 🤓 Duh! Atakuwa BABU wa Taifa uyu
Yan sijui you tube wanazingatia kuruhusu mambo kama hizi kuwepo yan jamaa bonge la boya yan kiswahil tu imekua ngumu kupanga maneno imekua ngumi maoni yangi nenda shule ww kwanza
Soma kwanza comment yako uje upya
Ss na elimu zao kubwa mbona hata miziki yao haifanikiwi
mmm jux 1889 tengua broo n 1989
Naomba upate cheti ya udaku pia wewe hongera
We mtangazaji Nenda kwanza kajipige msasa wa kutangaza alafu ndo uje utangaze, make unazingua sana
Ati jux kazaliwa 1889..yaan kiufupi hujatulia matango poli mengi sana kwako
Hata mie kanichanganya sana hapo.
Mwaka aliozaliwa juma jux sio wa kizaz iki
Emmanuel Kajey 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
spark
Wa Tz why are you killing me with your comments😂😂😂😂😂
vanessa mzeee🙌🙌🙌
😂😂😂😂😂😂mecheka san
Jaman mi nacheka kwakwer anachapia huyu
Muache unafik simumsomeshe awe kama hao binadamu mwapenda sifa badala ya kumsifia mungu kila Mtu na alichoandikiwa na mungu kuna wengine wasomi ila maendeleo zero kumbka aloishia la saba anaweza kukuzidi had wa chuo kikuu yote hayo kujiinua acha mungu ndo akuinue
Duuh Juz anaumri sawa na Charlie Champlin na ni shabiki wa Vanesa mzee!!! Hahaha
Ipo siku utakuwa maaruf kazabuti na uipende Zaid kaz yako
kuwa makini we mtangazaji et jux kazaliwa 1889
😂😂😂
Alie ckia vanessa vannesa mzee tujuane jaman
Unatumia mda sana kutambulisha elim ya mtu. Tambulisha kwa kifupi
Kila mtu ale elimu yake basi tuone nani zaidi
Jux 1889 hii kumbe jamaa siwakarne hii..na bado anaonekana hajazeeka
Said Soud unazingua 1889
@@angelaugustino3341 amesema 1889
Said Soud 😅😅😅
Mmmh we na nae pongo kweli kwaiyo MTU wa miaka ya 80 ndo mzee je watu wa miaka ya 60 si ndo utawaona babu na bibi nawakati MTU wa miaka ya 80 anashea story na watu wa miaka ya 90 na wanaendana fresh tu
Nchi ja jirani Nairobi😂