HAWA NDO WASANII WASOMI ZAIDI TZ! DIAMOND JE?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2019
  • #sirizabongo

Комментарии • 580

  • @gabialbin3
    @gabialbin3 2 года назад +7

    😂😂 aliyeskia jux kazaliwa 1889 gongA like hapa

  • @kassimalikahal9532
    @kassimalikahal9532 2 года назад +1

    Hi,
    Mcheki chemikali, yupo kimasomo. Sugu, profesa jay,

  • @mosesibrahim4197
    @mosesibrahim4197 4 года назад +6

    Jamaa punguza uongo basi
    Aty Vanessa Mzee
    Aty jux kazaliwa 1889?!
    Duuh that's too much

  • @jimmymbella4362
    @jimmymbella4362 4 года назад +6

    Mtangazaji naww unaongea ovyo ovyo Sana Kaka bila ata mpangilio daah kuchapia Sasa ndo usiseme🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nancymathias2332
    @nancymathias2332 4 года назад +4

    Vanessa mzee Ni Nan lakn jmn jux 1886 unachapia mno khaa

  • @user-tg5dr5xy1s
    @user-tg5dr5xy1s 2 месяца назад +1

    Kwahyo jux ana umri wa miaka 135 Kwa sasa duh! Kweli hatari, unazingua mtangazaji jaribu kua siriaz na unachokifanya

  • @nobertmarinus286
    @nobertmarinus286 4 года назад +7

    Hamna kitu Hapo..unatangaza ama unaongea hakuna mpangilio wa maneno kwa kifupi ht kunyoosha sentensi ya kiswahili ikaeleweka huwezi..bro Rudi kajifunze.

  • @mulahrashidy9047
    @mulahrashidy9047 4 года назад +3

    Go straight to the point....unakua na maelezo mengia aisee...but nakubali kaz zako

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 4 года назад +2

    Mwamcheka daimond hakufika mbali lakini amewashinda hela kuliko hao wasomi kuwatajiri sikusoma pekeake

  • @dwaynemnyama5791
    @dwaynemnyama5791 4 года назад +5

    Hahahahahaha! Unakula kishako we jux amezaliwa 1889 hahahahahaha! Ananya Nini mpka sasa acha kutudanganya maeeee wweeeeeeeee

  • @peteradonga7668
    @peteradonga7668 4 года назад +4

    Uyu Presenter pia Hajasoma Vizuri,pia yeye hana Elimu sana.

  • @eliamanimathayo8898
    @eliamanimathayo8898 4 года назад +2

    Kunaa hajaa ya kufanyaa tafitii zaidi kablaaa ya kuletaa habar kwa jamii ...kunaa taarifa nyingi hazipo sawaa

  • @NtakirutimanaFabrice-rn4yr
    @NtakirutimanaFabrice-rn4yr 4 месяца назад +1

    Vanessa Mzee na Babu Jux Shkamon Bibi na Babu 😂😂😂😂😂😂

  • @neemaelis3939
    @neemaelis3939 4 года назад +46

    😂😂😂😂😂😂aliesikia et jux amezaliwa mwaka 1889 twende sawa 😂😂😂👐👐

    • @maulidimpindo6155
      @maulidimpindo6155 4 года назад +1

      Uyooo jamaaa kafata storry kutoka mitaani Maana Ana uwakika na asemayo Angewafata wausika kuwaojii nasio kukurupuka kuongea haya sasa jux kazaliwa 1889 uwooo mwaka hata sizani kama bibi yake kazaliwa

    • @neemaelis3939
      @neemaelis3939 4 года назад

      @@maulidimpindo6155 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @geradyamiry6875
      @geradyamiry6875 4 года назад

      Mpindo ,1889,mtangazaji ulikua. ni mkataba. Wa Heligoland. Treaty,amezaliwa. 1922

    • @neemaelis3939
      @neemaelis3939 4 года назад

      @@geradyamiry6875 😂😂😂😂😂👐👐👐👐👐

    • @nzeyimanaabdallah131
      @nzeyimanaabdallah131 4 года назад +1

      Niko apa🤣🤣🤣

  • @nashally6485
    @nashally6485 4 года назад +2

    Aseee brooo jux 1889 ctaki kuamni anamiakaa 131

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 4 года назад +8

    Nikki mbishi, Black Rhino na Mh. SUGU aka mr.2

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад +36

    Elimu na Akili ni vitu viwili tofauti.

    • @vedastokeya3344
      @vedastokeya3344 3 года назад

      Na wala havifanani

    • @annieplacidia535
      @annieplacidia535 3 года назад

      Fact

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 3 года назад

      Unaweza ukawa na elimu na usijue kuibadili elimu kuwa maisha safi,unaweza ukawa hujasoma ata darasa 1 lakini mambo yakawa mukide

  • @salumabdallah2211
    @salumabdallah2211 4 года назад +3

    Ww Wala haujui wasanii wasomi.eti niki wa 2 cpwaa ndie kichwa Kati ya hao.ulio wataja.

  • @anasiamacha2543
    @anasiamacha2543 4 года назад +5

    Illa kusema ukwelii mi sijakuelewaa mtangazajii alf cha kukushauri tafta kazi ingine ya kufanyaa

  • @Jackhanstv
    @Jackhanstv 4 года назад +4

    Wanaelimu lakini anaewaongoza ana io elimu yao

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 4 года назад +6

    Fid q , black Rino , Mlisho mpoto na utupe pia na elimu ya akina Chic benzi

  • @Kibandulo
    @Kibandulo 4 года назад +137

    ᴬᴸᴵᴱ ˢᴵᴷᴵᴬ ᴶᴵᴺᴬ ᴸᴬ ᵛᴬᴺᴱˢˢᴬ ᴹᶻᴱᴱ ᴳᴼᴺᴳᴬ ᴵᴵᴷᴱ ᴬᴾᴼ ᵀᵁˢᴱᴾᴱ

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 года назад +4

    hahaaa kiba vs mondi ndo elimu za chini kabisa but hela imelala hapo heshima pesa

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 3 года назад

      Kweli heshima pesa,shikamoo kelele tuu

  • @zakayomarlow7776
    @zakayomarlow7776 4 года назад +2

    Huo mwaka aliozaliwa jux wewe muongo sana huwezi kutudanganya cc

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 года назад +4

    Kajux kameula bwana 🤣1889 binadam wa maajabu azeeki aingie kwenye rekod najivunia tz

  • @richardtemu9431
    @richardtemu9431 4 года назад +11

    Mjomba unachapia Sana uwongo uache

  • @ibrahimlupenza8954
    @ibrahimlupenza8954 3 месяца назад +1

    kumbe jux ni zinjathropas na hamsemi🤣🤣🤣🤣

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 года назад +14

    Diamond ,kasomea mademu school ,sababu mpaka hapo kwaela alizonazo asinge kosa elimu anaendekeza madamu tu

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 3 года назад +1

    Mtangazaji hujui kazi yako unameza meza mate kama mnywa gongo!

  • @Forevermoretz
    @Forevermoretz 4 года назад +4

    Wewe veep mtangazaj mbna manen meng sana asee3ee

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana380 4 года назад +6

    Ndo maana wana hipop wanaimba maneno ya busara kumbe wengi wzmesoma👍👍👍👍

  • @user-ps6tr7ef3y
    @user-ps6tr7ef3y 4 месяца назад +1

    Anachapia sana eee aseme jux kazaliwa 1889 eee

  • @rehemagala4957
    @rehemagala4957 4 года назад +3

    Jaman jucx ni mbabu wa Babu dadek

  • @mwamfise2314
    @mwamfise2314 4 года назад +4

    Kutangaza bado Rudi mazoezin

  • @joejamtukufu4299
    @joejamtukufu4299 4 года назад +12

    Izzo bizness moni central zone mo music

  • @edsonerasto3951
    @edsonerasto3951 4 года назад +5

    Nick hajapata PHD hua anaahirisha kila mwaka! Amegraduate masters tu

  • @jacksonpeter1595
    @jacksonpeter1595 3 года назад +3

    whuzu umemsahau moshi cooperative university

  • @middleplatnumz3629
    @middleplatnumz3629 4 года назад +11

    Vanessa mzee oyeeeee😄😄😄😃😃😃😃😂🤔

  • @emanuelmpiga3694
    @emanuelmpiga3694 4 года назад +2

    Mwamba a see jitahidi uweze kutangaza vizurii unazinguaaa

  • @leonardsimon2148
    @leonardsimon2148 4 года назад +12

    Kwataarifa yako wewe msomaji na mtazamaji ni kwamba jux amefikisha umri wa miaka 131 😂😂😂 huyu ndo binadamu Mzee zaidi kwa sasa😂😂😂😂 1889-2020

  • @maulidigadner304
    @maulidigadner304 4 года назад +8

    Kekekekeke nchi jirani ya Nairobi hatari

  • @erickmajula5425
    @erickmajula5425 4 года назад +1

    Jux kazaliwa mwaka 1/September/1889 ww jamaa unapotosha sahihisha aisee

  • @jumaamanandi4329
    @jumaamanandi4329 4 года назад +30

    Jux kazaliwa mwaka elfu MOJA MIA NANE 😂😂😂

  • @dicksonmrema8836
    @dicksonmrema8836 4 года назад +17

    Aliyesikia vanesa mzee tujuane hapo

    • @tmampesham.d4190
      @tmampesham.d4190 4 года назад +1

      mimi hapa.... na Jux kuzaliwa 1889?? 😂😂😂

  • @milleniyahmohamedy8787
    @milleniyahmohamedy8787 4 года назад +9

    Wewe hujui kutangaza

  • @noahbirigi8650
    @noahbirigi8650 4 года назад +3

    Jux kuzaliwa kwake

  • @paschalcosmas6093
    @paschalcosmas6093 4 года назад +8

    Ila mzee baba ulimi wako unatereza xn punguza kula mrenda

  • @angalikiyanajeanmariemerci4758
    @angalikiyanajeanmariemerci4758 Год назад +1

    Professor jay

  • @magrethgermanus1815
    @magrethgermanus1815 4 года назад +6

    Vaness mzee

  • @nyanganatasha7364
    @nyanganatasha7364 4 года назад +10

    Usanii ni talent

  • @christopherpaulrwehumbiza4244
    @christopherpaulrwehumbiza4244 4 года назад +4

    Nairobi nayo ni nchi 😂😂😂

  • @mathaniessaukibuti3660
    @mathaniessaukibuti3660 3 года назад

    Kaka una ji Uma Uma Sana hauna uhakika jiangalia mzee wang

  • @maswadigitaltv
    @maswadigitaltv 4 года назад +10

    Mimi sitaki kuongea sana ila hujui kupresent

    • @selemanmaganga6013
      @selemanmaganga6013 4 года назад

      Kweli kabisa jamaa anaboa saana, anaongea saana vitu vya nje ya point, video ya dkk 3 inakuwa na dkk 12.

    • @top3newsdaily.794
      @top3newsdaily.794 4 года назад

      Ety

  • @shigangamussa2967
    @shigangamussa2967 4 года назад +2

    How Jux kazaliwa 1889 How Mzee, Ndugu mtangazaji tuweke sawa hapo tafadhal

  • @allysimon2800
    @allysimon2800 4 года назад +8

    Unazngua jux alizaliwa 1889

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 4 года назад +9

    Makala yako ni nzuri ila kwa wale wenzangu ambao utangazaji ni ni professional wameshakushtukia umezingua pakubwa

  • @najmaabby5034
    @najmaabby5034 4 года назад +3

    Duh jux kazaliwa 1889?? Hatari sana

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 4 года назад +12

    Wenye hamjasoma jiwekeni comments zenu zenye feelings 🤣🤣🤣

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 3 года назад

      Kusoma kwiyooo?unaweza usisome na mambo yakaenda kuliko huyo wa madiglii

  • @rahimudanga2273
    @rahimudanga2273 4 года назад +2

    Mungu wangu jux eti mtu wa morogoro na mtwara halafu kazaliwa 1889

  • @youngloyclassic3173
    @youngloyclassic3173 4 года назад +7

    Jamaa anachapia

  • @saymarsaymar4654
    @saymarsaymar4654 4 года назад +2

    Mtangazaji unaboa sana, mada nzuri ila unavyotangaza ndio hamna kitu

  • @rosemarypeter9786
    @rosemarypeter9786 4 года назад +4

    Mtangazaji anazingua..

  • @emmanuelandrew9941
    @emmanuelandrew9941 4 года назад +2

    Yaan ww mwenyewe hapo nahisi hujasoma
    Na huna fani yeyote maana ata kupresent hujui
    Sen wasanii kibao tu wamesoma nahisi haujafanya reseach vizur

    • @Babaverah
      @Babaverah  4 года назад

      Basi njoo utangaze boss nafasi ipo wazi

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 4 года назад +8

    HAO WENYE ELIMU NDOGO NDIO WAMEWEKEZA KWA KIWANGO KIKUBWA NA KUAJIRI WA- TZ WENZAO, TUSIKARIRI SIFA YA ELIMU YA KWENYE MAKARATASI.

  • @yumna128
    @yumna128 4 года назад +1

    Jamani jux kazaliwa 1889 duh mtangazaji chenga 😄😄

  • @mbogambi0818
    @mbogambi0818 4 года назад +2

    Unazinguka sana acha kulembua

  • @jumaseif8321
    @jumaseif8321 4 года назад +1

    Jalibu kutafiti vizuli jux hana umli hio wa kuzaliwa 1889.mbona fala ivo acha kutudanganya

  • @gracemichael876
    @gracemichael876 4 года назад +71

    Hahaha aliyeckia jux kazaliwa mwaka 1889 alike hapa

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 4 года назад +2

    Wewe mwenyewe unayesimulia nikilaza kweli!

  • @adamunyeme7372
    @adamunyeme7372 3 года назад

    umemsahau NANDY naye ni msanii ayekwenda while na anaelimu ya juu

  • @cosmaspaul8427
    @cosmaspaul8427 4 года назад +1

    Hahahaha saw 2me kuelewa vanesa mzee dah sema ume uwa san mwamba dah 1889 jux ume tixha san

  • @cutedada3684
    @cutedada3684 4 года назад +5

    Jux atakua vampaya aiwezekan 1889 hana ata mvii😂😂😂

    • @ndayeshaban9648
      @ndayeshaban9648 4 года назад

      Hahhahhhhaah mbavu zangu

    • @millicentatieno9631
      @millicentatieno9631 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 mbona hata mm sina

    • @lucasmalomele7997
      @lucasmalomele7997 4 года назад

      😁🤣🤣🤣🤣🤣kazi kwelikweli. Huyu Mtangazaji hajielewi kabisa, na wala hajui anachoongea..

  • @julianamisasi8901
    @julianamisasi8901 4 года назад +6

    Sauti yako inaudhi sana

  • @lawabidingcitizen3427
    @lawabidingcitizen3427 4 года назад +4

    Hao wote hawajasomea fani ya Sanaa. Ni Chemical (udsm) na Makamua (Chuo cha Sanaa Bagamoyo) pekee ndio wasomi ktk fani wanazofanyia kazi. Hakuna msanii mwenye Ph. D kati ya hawa watu. Kijana huna taarifa za kutosha...

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 4 года назад +8

    Jamaa ni mwongo Sana eti hata kujua Kiingereza ni kusoma eti ,,,

  • @vaselisazephania1502
    @vaselisazephania1502 4 года назад +1

    loooooh ulivo muongo xaxa,jux kazaliwa 1889 khaaa!!!!!!!!we kiboko

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 2 года назад

    Duuuh jux amezaliwa mwaka 1889 khaaa bongo sihami shobo kibao hadi unachapia

  • @rabiarabiaiddi1791
    @rabiarabiaiddi1791 4 года назад +1

    Mtangazaji umekunywa chai Kweli leo? maana una mix mambo balaa😁😁😁

  • @zainabukhamis9709
    @zainabukhamis9709 2 года назад

    kusom ni moj y kuek maleng kwenye maixh kuhx kityu flan are diamond anakipj but kawez kueka saw maixh yak

  • @saidsoud5967
    @saidsoud5967 4 года назад +1

    Haya huyo Mondi hajasoma lkn ndo tajiri klk hao wasomi

  • @graceaddo5926
    @graceaddo5926 4 года назад +1

    Mmmm mwaka 1889 hiyo vep😁😀😂😂😂🏃🏃🏃🏃

  • @paulmayilla9670
    @paulmayilla9670 4 года назад +1

    Jux kazaliwa 1884,, mpaka leo. Anaishi😆😆😆🤓

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 4 года назад +3

    Jux kazaliwa 1889 🤓 Duh! Atakuwa BABU wa Taifa uyu

  • @emmanuelezekiel1659
    @emmanuelezekiel1659 4 года назад +3

    Yan sijui you tube wanazingatia kuruhusu mambo kama hizi kuwepo yan jamaa bonge la boya yan kiswahil tu imekua ngumu kupanga maneno imekua ngumi maoni yangi nenda shule ww kwanza

    • @Babaverah
      @Babaverah  4 года назад

      Soma kwanza comment yako uje upya

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba6742 4 года назад +2

    Ss na elimu zao kubwa mbona hata miziki yao haifanikiwi

  • @jastinmsigwa3889
    @jastinmsigwa3889 4 года назад +5

    mmm jux 1889 tengua broo n 1989

  • @alibahati1764
    @alibahati1764 4 года назад +1

    Naomba upate cheti ya udaku pia wewe hongera

  • @josephnkuba9735
    @josephnkuba9735 4 года назад +7

    We mtangazaji Nenda kwanza kajipige msasa wa kutangaza alafu ndo uje utangaze, make unazingua sana
    Ati jux kazaliwa 1889..yaan kiufupi hujatulia matango poli mengi sana kwako

  • @emmanuelkajey9057
    @emmanuelkajey9057 4 года назад +10

    Mwaka aliozaliwa juma jux sio wa kizaz iki

    • @Ashsultana
      @Ashsultana 4 года назад

      Emmanuel Kajey 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khajutzan4391
    @khajutzan4391 4 года назад +3

    spark

  • @editakivuti5887
    @editakivuti5887 4 года назад +8

    Wa Tz why are you killing me with your comments😂😂😂😂😂

  • @ahmadymuhina3100
    @ahmadymuhina3100 4 года назад +13

    vanessa mzeee🙌🙌🙌

    • @neemaelis3939
      @neemaelis3939 4 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂mecheka san

    • @ommytv9424
      @ommytv9424 4 года назад +1

      Jaman mi nacheka kwakwer anachapia huyu

  • @luwogatula9317
    @luwogatula9317 3 года назад +1

    Muache unafik simumsomeshe awe kama hao binadamu mwapenda sifa badala ya kumsifia mungu kila Mtu na alichoandikiwa na mungu kuna wengine wasomi ila maendeleo zero kumbka aloishia la saba anaweza kukuzidi had wa chuo kikuu yote hayo kujiinua acha mungu ndo akuinue

  • @moteswafwalu1655
    @moteswafwalu1655 4 года назад +2

    Duuh Juz anaumri sawa na Charlie Champlin na ni shabiki wa Vanesa mzee!!! Hahaha

    • @sholanjelu7692
      @sholanjelu7692 2 года назад

      Ipo siku utakuwa maaruf kazabuti na uipende Zaid kaz yako

  • @silverymarthin1388
    @silverymarthin1388 4 года назад +6

    kuwa makini we mtangazaji et jux kazaliwa 1889

  • @ommytv9424
    @ommytv9424 4 года назад +2

    Alie ckia vanessa vannesa mzee tujuane jaman

  • @Theophan-ds4jv
    @Theophan-ds4jv 4 месяца назад

    Unatumia mda sana kutambulisha elim ya mtu. Tambulisha kwa kifupi

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 4 года назад +3

    Kila mtu ale elimu yake basi tuone nani zaidi

  • @saidsoud5967
    @saidsoud5967 4 года назад +12

    Jux 1889 hii kumbe jamaa siwakarne hii..na bado anaonekana hajazeeka

    • @angelaugustino3341
      @angelaugustino3341 4 года назад

      Said Soud unazingua 1889

    • @saidsoud5967
      @saidsoud5967 4 года назад

      @@angelaugustino3341 amesema 1889

    • @annyrutty657
      @annyrutty657 4 года назад

      Said Soud 😅😅😅

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 3 года назад

      Mmmh we na nae pongo kweli kwaiyo MTU wa miaka ya 80 ndo mzee je watu wa miaka ya 60 si ndo utawaona babu na bibi nawakati MTU wa miaka ya 80 anashea story na watu wa miaka ya 90 na wanaendana fresh tu

  • @nancymathias2332
    @nancymathias2332 4 года назад +3

    Nchi ja jirani Nairobi😂