K2ga - Hawataki (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Music Video by K2ga performing Hawataki (Official Release) (C)2020 exclusively licensed under Kings Music Records,The Music Video was shot in Dubai, Directed by Chui Chui.
Stream/Download:linktr.ee/K2ga
Listen to K2ga on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/...
Apple Music: / k2ga
Boomplay:www.boomplay.c...
RUclips: / k2gatz
Spotify:open.spotify.c...
Follow K2ga on Social media:
Instagram: / k2ga_tz
Facebook: /
Audiomack:audiomack.com/...
Twitter: / k2ga_
+For More Information Booking K2GA:
Contact:Kapastareal@gmail.com
©2020 Kings Music Records.All rights reserved.
#K2ga #Hawataki
Daaaah jamaaa jiniazzzzz isee nipeni like za K2ga hapa team kibaaa kingsmusicforlife🔥🔥
Naomba like jamani KINGS MUSIC HAPA
T
Am a top
YAREDI CHIKO oooh my god....!!!! Wow
Kings
@@wilondjaatumbulu9266 yes we are here for the better
Kama upo unatzama sahiz hii nyimb like hata 20 zinanitosha
K2g pumbavuuu nyimbo inaisha wakati mi bado natamani kusikiriza utam inaisha Kama ndo inaanza weweeee 😍😍😍😍😍😍 hongera Sana umeuaaaaaaaaaaaa
Hahahaha
😂😂😂🤣
JECCA ONLINE yaani hio ndio style yakumpongeza😂😂😂
😂😂😂😂
🙏🙏
All the way from South Africa 🇿🇦 to Tanzania 🇹🇿 just for k2ga Nd king’s music like zenu please
Naona 1m jamani wangap waneona
Siku zote mtoto aliezaliwa kwenye ufalme, hata yeye pia ni mfalme.
#Kingsmusicforever
Kama nawe unamkubali #K2ga
Acha likes 100+
K2ga
Hii ngoma Dawa..
Me kichwa kimepona...Kama unakubal gonga like Apa
Kama mmegundua Ngoma za Karim 2ga Zinasikilizwa zaidi RUclips baada ya Kigagula Kutuondolea takataka pale ufalmeni 👑 💪 🔥
hhh yap
Xaizi anaeamini ni mwendo wa jiwe juu ya jiwe tujuane💣💣💥💥💥
Jamani mi sijawahi kupata like kw team KIBA🤴🤴🤴BONGE LA NGOMA SAUTI SASA💃❤❤❤❤
Nouma huyu dogo
@@seleshaban48 nouma na nusu😘
Halima Sulaimani ruclips.net/video/M5mQohSJALs/видео.html
Naomba jamani subscribe kwenye youtube channel yng tafadhal
iko pw
K2GA, Wewe unaitwa Kareem, uendelee kuwa Kareem kweli, usije ukawafuata wale machoko, walipumbazwa na KISIMI CHA DIVA.
wazee wote wamepita mle, km ni njia basi hata majani hayawezi kuota mle!..... TEAM KIBA WOTE WAPO KWA AJILI YA KUKUPA SUPPORT ILI UFIKE MBALI MZEE MWENZANGU.
TEAM GONGENI LIKES HAPO. ZIFIKE 1MIL.
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
Hakika yaaaan
😅😅😅😅😅😅😅 munguuu anakuona
Haaaaahaaahaha
Big up
oyooooooo kitaaaa kilikua kimenuna sasa nadha watu macho bwiiiii mara masikio eheeee kulikon
oyaa team kiba tupa like hapa kama jamaaa anabamba kwenu
Bonge la wimbo .. like nyingi kwa wana dubai
Nikopoa hapa
Zimefika
Kabisa
Nitafurahi sana nikiona hii ngoma imefikisha 1M 🔥✊🏿🙏🏿
hatimae imefika 1M
@@iserehabibu5641 yes ✅💯🔥
Sasa ipo zaid ya 1m
Tushapita
Yeeeeebaba
Yaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mimi hoiiiiiiiii
Mziki tumeushika sasa
Weeeeeeeee mchizi wa uk🤗🤗🤗
Zimebaki 2.7K views Tuu.. tufikishe 1m kwny hki kichupa tunakwama wapi kings fans? Lets watch this hit again and again
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥gonga like kama uko youtube
Yani kama umeiskiza zaidi ya mara tano tujuane apo chini🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪
Kama una amini mchizi wa uk(k2ga)ndio star wa pili baada ya king kiba like na kushare twende sawa kwenye views 1millions by Wizkiba
Sana yannnnn hatupingiiiii
@@amonicharles9714 bovine
Kabsa haipingw
Uuuwi dogo anakuja juu kuliko hata King mwenyewe K2ga ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King will always be a 👑 king
Mapenzi shatashata
Bonge LA ngoma, bonge LA kichupa
hii verse ya pili umekamia sana blaza🙌🏻🙌🏻
Melody Zimeenda Shule🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Balaa
🔥🔥🔥
K2ga fundiiiiiiiii ,,,like kama unamkubar jamaaa
Kwanza nakula kiapo nitaendelea kusaport team Kiba King's music daimaa
King music wrote wanajua
Ngoma kam hii unaweza kuidedicate kwa michepuko yako yooote na.ikaaacept mapenz yako kwao.af haichoshi aseeeeh unaweza ukaiacha ikaplay usik kucha
Kama unaiona kasi ya 5G ile kiba 2020 twende swawaaa kings music likess
K2ga wewe ni mtoto Mdogo sasa mbona umefanya balaaa zito hili da Valentin yangu itanyooka 👍👇
😂😂😂amekua Akili lakn
@@godlovegeorge2334 o
@@latifa-zv1li Latifa njoo WhatsApp bas
Naachaje kumkubali K2ga🎻 sweet Melodies zipo 𝕶𝖎𝖓𝖌𝖘
Daaaah aiseee yan hawa kings sasa mtauaaaa hil goma k2ga shoooow, like kwa fujoooo
Waooooooo nimekuwa wa kwanza Leo.......like kama zote kwa k2ga
Anyone 2024❤
All years 😢
❤
Hawataki valentine niwenaye
Fanya kulike kama umeielewa hiyo ngoma @k2ga saluti bro upo vizuri
Filan soomali
Team kiba hatnaga uchoyo na like kabisa.nipen hata 11tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umesema kweli
Sana umetisha
Hawataki lyrics ipo youtube 👉 ruclips.net/video/PIPP8PQSDuA/видео.html pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Nice
twaha 10 kabisa
Kings music haijawai feli ipo juu miaka buku jero RESPECT KINGS MUSIC, tunasubili kwa hamu isiyo kifani uzinduzi wa studio ya KINGS MUSIC, jamon like kwa king kiba
Melody kaliiii , Kama unakubali gonga like Kama zote
K2ga nomaa sana mdogo angu! Mie niko geita now unapigwa mpka magereza na vijijini bush!
Teamkiba wenzangu ngoma mbili za msanii wetu #K2GA kwasasa zimefikisha laki8nakitu,zimepiga hatuwa kubwa tutashindwaje kumalizia mkia mwezi huu tufike 1M,ikiwemo #Omukwano ya #Tommy nayo pia ilituwawe kwenye nafasi nzuri
kabixa inawezekana
Vzr saaana TEAM langu la nguvu mchizi wa UK
Love me for song you
oyooo gonga like kama unaamin k2ga ndo msanii namba moja ukimtoa kiba
Nakubali
Bro siichok hii nyimbo hongera sana
Atar k2ga
Kaka,wimbo,mtamu,kinoma,kiukweri
Leo nimekuwa wakwanza weka like hapa tem kiba
K-2GA 🔥 🔥 unaweza bhan
Usiwasikize hao wapuuzi, wanakata matawi na mizizi niya yao ni kuharibu penzi🎶🎶
Hiii hatakama huelewi kiswahili utaipenda kwa uimbaji huu😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥...music is the universal language.....💪💪
Watoto wa king of the world Gonga like zakushato sijawahi kupata 📢📢
Huyu ndo mwana wam falme ata kuwa mfame kama baba yake. Team kiba nipe likes hapa 😍ye baba
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
K2ga nakubali sana king music washa🔥🔥🔥
Hawataki asee nitamuimbia huyu demu wang mpya mpk Ashangae hizi mistari nimetoa wap mchizi wa UK. Nakukubali sana
wameniremove kweny group la k2ga ila siach kuview coz am k2ga funs for really king kiba dam
Pole
Ni moto
afu video queen ni high quality Sana huyu,,, hapo ndo utaamini huyu jamaa yupo serious na mziki,,,, Kwan kuna anyebishaaaa!??
ni Legend huyu kwenye Video Vixen - Nelly Kamwelu
Valentine imesindikizwa na kijana wetu kutoka kings music K2GA ninoma ufalmeni raha tyu
💪
Ila hili goma bana duh
Ukiwa na furaha lina ukiwa na stress linaenda.. Kwenye huzuni lajiendeaa...uko singo halikatai ukona mtoto mkali sawaa
❤❤❤❤❤❤ kwanza upo peke yako wa mimi
Nadhifu Mohamedi nuu
Up coming 👑 king
Love nying kwako k2ga
Jamaa naomba nisaidie ivi uyu ki2ga alienda wapi yuko tz kwel
alikuwa Dubai ila amesharudi
Hii inafaaa kutumia popote hasa siku kama ya leo .....kings music for life..
Ngoma imeturuya turi big-up sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮oyeeee
Richard Ngendakumana kutoka +257 tujuane
Nakubal mchiz wa UK fire
🔥🔥🔥hunawahi kosea bishow Wang like kam we teamkiba
Kings is for Good Music ....💪✊
It's true ma gys
Kama umelielewa kama mm gonga like mana zooootteeee🔥🔥🔥🔥
One million kwa K2ga
Ngoma Kali Sana , K2ga huu ndio aina ya mziki unaotakiwa kufanya zile zouk achana nazo
Kelvin Emerson Steven Yes Umeongea Kikubwa Sana Mzee Anatakiwa Aimbe rnb
Daah mtoto wa nyoka ni nyoka tuuu haina Ubishi👐👐👐 Ngoma kaliiiii sana menload kaliii safiiii kabisaa
Bizzo Sniper nakupenda Sana mbosso
melody
Nice song
Hiii ngoma kaliiiiiiiiii
K2ga unanikosha tupe kingine bas
Ambao bado tunaendelea kuuangalia leo 18/06/2020 .....gonga like hapa
Hatari Sana hiki kichupa piga kaziiiiii Brother 🙏 🙏🙏 🙏
Kama kuna U JUX flani hiviiiiiiii au nasikia Mimi tu?
Twendeeeeeee Kings music hamjawahi kuniangusha
Sipati picha kama angemshirikisha jux ingekuwa ni shida
🤣🤣💕💕💕Et ujux
Kweli
Ujux ujugu😆😆😆😆
@Khadija Khadija mambo?
Bado kdg tupike million jaman twende sawa
Hii verse ya pili Ni 🔥 🔥🔥 🔥💪 💪💥👑 👑
Hii ngoma nilikuwa nayisubilia kwaham kubwa nzulisanaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️❤️♥️❤️
Wa Congo kutoka marekani 🇨🇩🇨🇬🇺🇸 tupoooo?
#randykinamber
goma LA mwezi hili🔥🔥🔥
KingMusic Fo life
K2ga drop ingine bs bwana
2ipush ifike m1 Kwanza mzee
Uko vzr
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Hawatakiiiii 🔥🔥🔥🔥
Hawataki nimeirudia mara mia yani jaman kings music tujuane kwenye like hapa
Zabib😴😇😇😇😇😆😆😆
Nice
Wanaweza
Hingomasiyamchezo
Hichupasiyamchezo
Kaza buti 2ga tuko pamoja sanaaaa ATUZIMI DATA CUZ IT'S SO hadi 1M ifike
pamoja kaka
Mxieeeeeew unyama unyama huku Konde kule K2ga
hawataki its all i can say....Team Kings Music tujuane tu.
15 to go k2ga kama k2ga leo tunakuzawadia 1m..☝🎶🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥🎻🎼
Ngoma ya moto sana mzee asante hii nazani mpenzi wangu ndo zawadi ntakayo mpatia
Wow good song good music mchizi wa uk 🎹🎻🔥🔥
Ningekuwa na hela ningefanya cover maana nasonga freshi sana na huu wimbo mashaallah. KEnyan
kings Kings Kings Kings Kings
✌my val song 🌹🌹🌺
Nakuelew sn mwamb k2ga
dah broo bonge lajimbo yani kings musique saivi natembea kifua mbele
Verse Yakwanza imeniweza🔥🔥🔥
Bonge la ngoma umeuaaaa mzee
Nacho furah unapit alimopit baba ako
ollaahh....piga kazi na kiba mwana
Tumeipokea ngoma na mikono wote miwili bro
Kenya hapo vipi 🔥🔥🇰🇪🇰🇪
k2ga nawe hatariiiiiiiiii🎹🎹🎹🎹2⃣
Naomba like 100 fasta......
Nyimbo ya kuombea mkopo na uapewa bila libaa nakubaliiii
Safi sana k2ga... Nakubali kazi zako .... Team kiba forever 🌍
K2ga king 4 life
Hilivyoo anza unaweza sema ovyooo we jamaaa unajua sana ila apo ulipokuwa sasa
Alipo pana nn?
Du hiii ngoma mbona hatar saan like jaman kwa wale wapenz wa mzk mzr
Jembe zetu zipongezewe kabisa
*Furaha yangu itakuwa juu zaidi siku hii ngoma na ile ya "UNANIONA" zikifikisha Views 1M+* 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Gonga like kama unasubiri hili tukii
xote tutafurai sio wew tu na mda si mrefu zitafika
Zafika si mda mrefu
Kama kawa lazima zifikee
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
Tuziangile zote
We ni mnoma bro endelea kukazaaa