K2ga - Hawataki (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Music Video by K2ga performing Hawataki (Official Release) (C)2020 exclusively licensed under Kings Music Records,The Music Video was shot in Dubai, Directed by Chui Chui.
    Stream/Download:linktr.ee/K2ga
    Listen to K2ga on Digital Streaming:
    Audiomack: audiomack.com/...
    Apple Music: / k2ga
    Boomplay:www.boomplay.c...
    RUclips: / k2gatz
    Spotify:open.spotify.c...
    Follow K2ga on Social media:
    Instagram: / k2ga_tz
    Facebook: / ​
    Audiomack:audiomack.com/...
    Twitter: / k2ga_
    +For More Information Booking K2GA:
    Contact:Kapastareal@gmail.com
    ©2020 Kings Music Records.All rights reserved.
    #K2ga #Hawataki

Комментарии • 3 тыс.

  • @Victor-ix4ml
    @Victor-ix4ml 4 года назад +46

    Daaaah jamaaa jiniazzzzz isee nipeni like za K2ga hapa team kibaaa kingsmusicforlife🔥🔥

  • @Chikkoh
    @Chikkoh 4 года назад +394

    Naomba like jamani KINGS MUSIC HAPA

  • @mbmussa_fashionstyle9824
    @mbmussa_fashionstyle9824 3 года назад +10

    Kama upo unatzama sahiz hii nyimb like hata 20 zinanitosha

  • @jeccaonline7755
    @jeccaonline7755 4 года назад +132

    K2g pumbavuuu nyimbo inaisha wakati mi bado natamani kusikiriza utam inaisha Kama ndo inaanza weweeee 😍😍😍😍😍😍 hongera Sana umeuaaaaaaaaaaaa

  • @mimokassim1887
    @mimokassim1887 4 года назад +42

    All the way from South Africa 🇿🇦 to Tanzania 🇹🇿 just for k2ga Nd king’s music like zenu please

  • @matambitvog8786
    @matambitvog8786 4 года назад +3

    Naona 1m jamani wangap waneona

  • @wanjaramafuru9186
    @wanjaramafuru9186 4 года назад +99

    Siku zote mtoto aliezaliwa kwenye ufalme, hata yeye pia ni mfalme.
    #Kingsmusicforever
    Kama nawe unamkubali #K2ga
    Acha likes 100+

  • @chidmabawa3278
    @chidmabawa3278 4 года назад +71

    Hii ngoma Dawa..
    Me kichwa kimepona...Kama unakubal gonga like Apa

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 4 года назад +38

    Kama mmegundua Ngoma za Karim 2ga Zinasikilizwa zaidi RUclips baada ya Kigagula Kutuondolea takataka pale ufalmeni 👑 💪 🔥

  • @giftkyando602
    @giftkyando602 4 года назад +58

    Xaizi anaeamini ni mwendo wa jiwe juu ya jiwe tujuane💣💣💥💥💥

  • @halimasulaimani9085
    @halimasulaimani9085 4 года назад +468

    Jamani mi sijawahi kupata like kw team KIBA🤴🤴🤴BONGE LA NGOMA SAUTI SASA💃❤❤❤❤

  • @amrimlundi8400
    @amrimlundi8400 4 года назад +190

    K2GA, Wewe unaitwa Kareem, uendelee kuwa Kareem kweli, usije ukawafuata wale machoko, walipumbazwa na KISIMI CHA DIVA.
    wazee wote wamepita mle, km ni njia basi hata majani hayawezi kuota mle!..... TEAM KIBA WOTE WAPO KWA AJILI YA KUKUPA SUPPORT ILI UFIKE MBALI MZEE MWENZANGU.
    TEAM GONGENI LIKES HAPO. ZIFIKE 1MIL.

  • @onlinetv9972
    @onlinetv9972 4 года назад +26

    oyooooooo kitaaaa kilikua kimenuna sasa nadha watu macho bwiiiii mara masikio eheeee kulikon
    oyaa team kiba tupa like hapa kama jamaaa anabamba kwenu

  • @saleheshekiao3657
    @saleheshekiao3657 4 года назад +169

    Bonge la wimbo .. like nyingi kwa wana dubai

  • @yunglintz4155
    @yunglintz4155 4 года назад +108

    Nitafurahi sana nikiona hii ngoma imefikisha 1M 🔥✊🏿🙏🏿

  • @chrisskibaking3943
    @chrisskibaking3943 4 года назад +28

    Yaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    Mimi hoiiiiiiiii
    Mziki tumeushika sasa

  • @priscaanthony1067
    @priscaanthony1067 4 года назад +15

    Weeeeeeeee mchizi wa uk🤗🤗🤗

  • @mwanzandaki786
    @mwanzandaki786 4 года назад +14

    Zimebaki 2.7K views Tuu.. tufikishe 1m kwny hki kichupa tunakwama wapi kings fans? Lets watch this hit again and again

  • @zanurathhans6409
    @zanurathhans6409 4 года назад +18

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥gonga like kama uko youtube

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 4 года назад +21

    Yani kama umeiskiza zaidi ya mara tano tujuane apo chini🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪

  • @wizkiba2307
    @wizkiba2307 4 года назад +118

    Kama una amini mchizi wa uk(k2ga)ndio star wa pili baada ya king kiba like na kushare twende sawa kwenye views 1millions by Wizkiba

  • @nathanjaphet873
    @nathanjaphet873 4 года назад +21

    Uuuwi dogo anakuja juu kuliko hata King mwenyewe K2ga ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 года назад +35

    Mapenzi shatashata
    Bonge LA ngoma, bonge LA kichupa

  • @kenyzach9124
    @kenyzach9124 4 года назад +2

    hii verse ya pili umekamia sana blaza🙌🏻🙌🏻

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 4 года назад +43

    Melody Zimeenda Shule🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @goshakinmusic6257
    @goshakinmusic6257 4 года назад +48

    K2ga fundiiiiiiiii ,,,like kama unamkubar jamaaa

  • @sabrahnibuka4387
    @sabrahnibuka4387 4 года назад +30

    Kwanza nakula kiapo nitaendelea kusaport team Kiba King's music daimaa

    • @dutchbhaya9391
      @dutchbhaya9391 4 года назад

      King music wrote wanajua

    • @yangascallgoal7764
      @yangascallgoal7764 4 года назад

      Ngoma kam hii unaweza kuidedicate kwa michepuko yako yooote na.ikaaacept mapenz yako kwao.af haichoshi aseeeeh unaweza ukaiacha ikaplay usik kucha

  • @dicksonherman1205
    @dicksonherman1205 4 года назад +62

    Kama unaiona kasi ya 5G ile kiba 2020 twende swawaaa kings music likess

  • @hassaninkoja284
    @hassaninkoja284 4 года назад +129

    K2ga wewe ni mtoto Mdogo sasa mbona umefanya balaaa zito hili da Valentin yangu itanyooka 👍👇

  • @davidgrantnashon7106
    @davidgrantnashon7106 4 года назад +5

    Naachaje kumkubali K2ga🎻 sweet Melodies zipo 𝕶𝖎𝖓𝖌𝖘

  • @mkijomutv9633
    @mkijomutv9633 4 года назад +22

    Daaaah aiseee yan hawa kings sasa mtauaaaa hil goma k2ga shoooow, like kwa fujoooo

  • @witnessmhamilawa2274
    @witnessmhamilawa2274 4 года назад +11

    Waooooooo nimekuwa wa kwanza Leo.......like kama zote kwa k2ga

  • @herlishClarity255
    @herlishClarity255 5 месяцев назад +33

    Anyone 2024❤

  • @sniperman5721
    @sniperman5721 4 года назад +13

    Hawataki valentine niwenaye
    Fanya kulike kama umeielewa hiyo ngoma @k2ga saluti bro upo vizuri

  • @twaha1091
    @twaha1091 4 года назад +393

    Team kiba hatnaga uchoyo na like kabisa.nipen hata 11tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @adamushabani7524
    @adamushabani7524 4 года назад +6

    Kings music haijawai feli ipo juu miaka buku jero RESPECT KINGS MUSIC, tunasubili kwa hamu isiyo kifani uzinduzi wa studio ya KINGS MUSIC, jamon like kwa king kiba

  • @rinusdaniel489
    @rinusdaniel489 4 года назад +86

    Melody kaliiii , Kama unakubali gonga like Kama zote

  • @dorahpaulin8012
    @dorahpaulin8012 4 года назад +37

    K2ga nomaa sana mdogo angu! Mie niko geita now unapigwa mpka magereza na vijijini bush!

  • @saidkibumba1901
    @saidkibumba1901 4 года назад +12

    Teamkiba wenzangu ngoma mbili za msanii wetu #K2GA kwasasa zimefikisha laki8nakitu,zimepiga hatuwa kubwa tutashindwaje kumalizia mkia mwezi huu tufike 1M,ikiwemo #Omukwano ya #Tommy nayo pia ilituwawe kwenye nafasi nzuri

  • @mudhihirmpinga6324
    @mudhihirmpinga6324 4 года назад +34

    Vzr saaana TEAM langu la nguvu mchizi wa UK
    Love me for song you

  • @thomaskabwali3856
    @thomaskabwali3856 4 года назад +63

    oyooo gonga like kama unaamin k2ga ndo msanii namba moja ukimtoa kiba

  • @kahnwizzy2458
    @kahnwizzy2458 4 года назад +7

    Bro siichok hii nyimbo hongera sana

  • @fungafungatv448
    @fungafungatv448 4 года назад +68

    Leo nimekuwa wakwanza weka like hapa tem kiba

  • @fungafungatv448
    @fungafungatv448 4 года назад +15

    K-2GA 🔥 🔥 unaweza bhan

  • @dannykiba474
    @dannykiba474 4 года назад +3

    Usiwasikize hao wapuuzi, wanakata matawi na mizizi niya yao ni kuharibu penzi🎶🎶

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 4 года назад +7

    Hiii hatakama huelewi kiswahili utaipenda kwa uimbaji huu😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥...music is the universal language.....💪💪

  • @georgepetermfalme4600
    @georgepetermfalme4600 4 года назад +71

    Watoto wa king of the world Gonga like zakushato sijawahi kupata 📢📢

  • @abdoueloihab2816
    @abdoueloihab2816 4 года назад +51

    Huyu ndo mwana wam falme ata kuwa mfame kama baba yake. Team kiba nipe likes hapa 😍ye baba

    • @januarymilly9546
      @januarymilly9546 4 года назад

      Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views

  • @ahmedjobs6453
    @ahmedjobs6453 4 года назад +19

    K2ga nakubali sana king music washa🔥🔥🔥

  • @loserianchristopher3296
    @loserianchristopher3296 4 года назад +18

    Hawataki asee nitamuimbia huyu demu wang mpya mpk Ashangae hizi mistari nimetoa wap mchizi wa UK. Nakukubali sana

  • @k24kipogo40
    @k24kipogo40 4 года назад +30

    wameniremove kweny group la k2ga ila siach kuview coz am k2ga funs for really king kiba dam

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 4 года назад +77

    afu video queen ni high quality Sana huyu,,, hapo ndo utaamini huyu jamaa yupo serious na mziki,,,, Kwan kuna anyebishaaaa!??

    • @hamisimkongo1543
      @hamisimkongo1543 4 года назад +1

      ni Legend huyu kwenye Video Vixen - Nelly Kamwelu

  • @ridhiwanmlawa1371
    @ridhiwanmlawa1371 4 года назад +70

    Valentine imesindikizwa na kijana wetu kutoka kings music K2GA ninoma ufalmeni raha tyu

  • @stgpharmacy6229
    @stgpharmacy6229 4 года назад +2

    Ila hili goma bana duh
    Ukiwa na furaha lina ukiwa na stress linaenda.. Kwenye huzuni lajiendeaa...uko singo halikatai ukona mtoto mkali sawaa

  • @nadhifumohamedi3576
    @nadhifumohamedi3576 4 года назад +31

    ❤❤❤❤❤❤ kwanza upo peke yako wa mimi

  • @johnjackson5660
    @johnjackson5660 4 года назад +23

    Up coming 👑 king
    Love nying kwako k2ga

  • @capetownmovies5491
    @capetownmovies5491 4 года назад +3

    Jamaa naomba nisaidie ivi uyu ki2ga alienda wapi yuko tz kwel

  • @ajabukatembo1254
    @ajabukatembo1254 4 года назад +9

    Hii inafaaa kutumia popote hasa siku kama ya leo .....kings music for life..

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana2871 4 года назад +39

    Ngoma imeturuya turi big-up sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮oyeeee

  • @omayaedward1590
    @omayaedward1590 4 года назад +7

    🔥🔥🔥hunawahi kosea bishow Wang like kam we teamkiba

  • @beautfultanzania2596
    @beautfultanzania2596 4 года назад +92

    Kings is for Good Music ....💪✊

  • @rashidymuzna1501
    @rashidymuzna1501 4 года назад +22

    Kama umelielewa kama mm gonga like mana zooootteeee🔥🔥🔥🔥

  • @robertmwakyusatztv9795
    @robertmwakyusatztv9795 4 года назад +3

    One million kwa K2ga

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 4 года назад +9

    Ngoma Kali Sana , K2ga huu ndio aina ya mziki unaotakiwa kufanya zile zouk achana nazo

    • @KhaleedBalala
      @KhaleedBalala 4 года назад

      Kelvin Emerson Steven Yes Umeongea Kikubwa Sana Mzee Anatakiwa Aimbe rnb

  • @bizzosniper4145
    @bizzosniper4145 4 года назад +94

    Daah mtoto wa nyoka ni nyoka tuuu haina Ubishi👐👐👐 Ngoma kaliiiii sana menload kaliii safiiii kabisaa

  • @benedictpatrickwilliam2758
    @benedictpatrickwilliam2758 4 года назад +30

    Ambao bado tunaendelea kuuangalia leo 18/06/2020 .....gonga like hapa

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 4 года назад +15

    Hatari Sana hiki kichupa piga kaziiiiii Brother 🙏 🙏🙏 🙏

  • @chrisskibaking3943
    @chrisskibaking3943 4 года назад +57

    Kama kuna U JUX flani hiviiiiiiii au nasikia Mimi tu?
    Twendeeeeeee Kings music hamjawahi kuniangusha

  • @amiamahamud6960
    @amiamahamud6960 4 года назад +3

    Bado kdg tupike million jaman twende sawa

  • @fungafungatv448
    @fungafungatv448 4 года назад +21

    Hii verse ya pili Ni 🔥 🔥🔥 🔥💪 💪💥👑 👑

  • @divadaqueen6558
    @divadaqueen6558 4 года назад +8

    Hii ngoma nilikuwa nayisubilia kwaham kubwa nzulisanaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️❤️♥️❤️

  • @RandyMwanaKin
    @RandyMwanaKin 4 года назад +55

    Wa Congo kutoka marekani 🇨🇩🇨🇬🇺🇸 tupoooo?
    #randykinamber

  • @badboetv4968
    @badboetv4968 4 года назад +15

    goma LA mwezi hili🔥🔥🔥

  • @escaladeokonkwo1048
    @escaladeokonkwo1048 4 года назад +31

    KingMusic Fo life

  • @youngkingbaddmankiller3006
    @youngkingbaddmankiller3006 4 года назад +4

    K2ga drop ingine bs bwana

  • @OffcialKp
    @OffcialKp 4 года назад +9

    Hawatakiiiii 🔥🔥🔥🔥

  • @msafilsaleheukvzr2626
    @msafilsaleheukvzr2626 4 года назад +145

    Hawataki nimeirudia mara mia yani jaman kings music tujuane kwenye like hapa

  • @Chida
    @Chida 4 года назад +34

    Kaza buti 2ga tuko pamoja sanaaaa ATUZIMI DATA CUZ IT'S SO hadi 1M ifike

  • @btsokotv1052
    @btsokotv1052 4 года назад +8

    Mxieeeeeew unyama unyama huku Konde kule K2ga

  • @husseinally7822
    @husseinally7822 4 года назад +35

    hawataki its all i can say....Team Kings Music tujuane tu.

  • @mutalemwaegid9620
    @mutalemwaegid9620 4 года назад +10

    15 to go k2ga kama k2ga leo tunakuzawadia 1m..☝🎶🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥🎻🎼

  • @mshambawainsta8099
    @mshambawainsta8099 4 года назад +12

    Ngoma ya moto sana mzee asante hii nazani mpenzi wangu ndo zawadi ntakayo mpatia

  • @silversindjalabakeni2533
    @silversindjalabakeni2533 4 года назад +15

    Wow good song good music mchizi wa uk 🎹🎻🔥🔥

  • @alejpapsyoh5876
    @alejpapsyoh5876 4 года назад +4

    Ningekuwa na hela ningefanya cover maana nasonga freshi sana na huu wimbo mashaallah. KEnyan

  • @jayelias1654
    @jayelias1654 4 года назад +76

    kings Kings Kings Kings Kings
    ✌my val song 🌹🌹🌺

  • @chilowechilowe8153
    @chilowechilowe8153 4 года назад +16

    Nakuelew sn mwamb k2ga

  • @allysaid6507
    @allysaid6507 4 года назад +2

    dah broo bonge lajimbo yani kings musique saivi natembea kifua mbele

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 4 года назад +17

    Verse Yakwanza imeniweza🔥🔥🔥

  • @saidimuhammadi2001
    @saidimuhammadi2001 4 года назад +26

    Bonge la ngoma umeuaaaa mzee
    Nacho furah unapit alimopit baba ako

  • @justineeljunior5757
    @justineeljunior5757 4 года назад +3

    ollaahh....piga kazi na kiba mwana

  • @bonifacebandasalimubanda3362
    @bonifacebandasalimubanda3362 4 года назад +19

    Tumeipokea ngoma na mikono wote miwili bro

  • @PassportBro4Life
    @PassportBro4Life 4 года назад +11

    Kenya hapo vipi 🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @issaalilacazet1100
    @issaalilacazet1100 4 года назад +3

    k2ga nawe hatariiiiiiiiii🎹🎹🎹🎹2⃣

  • @mangib52
    @mangib52 4 года назад +59

    Naomba like 100 fasta......

    • @ropezpeter3465
      @ropezpeter3465 4 года назад

      Nyimbo ya kuombea mkopo na uapewa bila libaa nakubaliiii

  • @GLOBALFIREONLINE
    @GLOBALFIREONLINE 4 года назад +22

    Safi sana k2ga... Nakubali kazi zako .... Team kiba forever 🌍

  • @nancyjohni3034
    @nancyjohni3034 4 года назад +11

    K2ga king 4 life

  • @musakhamis6906
    @musakhamis6906 4 года назад +20

    Hilivyoo anza unaweza sema ovyooo we jamaaa unajua sana ila apo ulipokuwa sasa

  • @hamiduibrahim3740
    @hamiduibrahim3740 4 года назад +55

    Du hiii ngoma mbona hatar saan like jaman kwa wale wapenz wa mzk mzr

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +85

    *Furaha yangu itakuwa juu zaidi siku hii ngoma na ile ya "UNANIONA" zikifikisha Views 1M+* 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Gonga like kama unasubiri hili tukii

  • @mwecmapesa3623
    @mwecmapesa3623 4 года назад +14

    We ni mnoma bro endelea kukazaaa