K2ga - Rangi Rangi (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 19 июн 2022
- Music Video by K2ga performing “Rangi Rangi'' is a swahili word that means Beautiful Colours, Rangi Rangi is A love Song that has a Beautiful message About how Someone Shows Appreciation to his/her Loved one on how he/she great their relationship has been!! It's a message to the world how love is a good thing to People in love. I Hope you enjoy this tune with your loved Onez.
Stream/Download Click here:linktr.ee/K2ga
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
Listen to K2ga on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/K2ga
Apple Music: / k2ga
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / k2gatz
Spotify:open.spotify.com/artist/1Tg2I...
Follow K2ga on Social Media:
Instagram: / k2ga_tz
Facebook: / k2gatz
Audiomack:audiomack.com/k2ga
Twitter: / k2ga_
+For More Information Booking K2ga:
Manager:Rehemanxl@gmail.com
Contact Digital:Kapastareal@gmail.com
©2022 Kings Music Records.All rights reserved.
#K2ga #RangiRangi - Видеоклипы
Mwamba kutoka King's uvumilivu unalipa aiseee nimekubali mwana wa UK Team Kiba raha sana. Hio verse yapili ungempa Kingkiba mamaaaaaaaaaaaaaaaa
Mziki mtàmu sana nimerudia zaidi ya mara10 nakupenda sana k2ga wangu love u from Dubai
Rangi rang ipo poa sana kitu haichuji yani nimoto sana ❤️♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mapenzi yetu ya rangi rangi yanapendeza sana 🌹🌹🌹
Daaaaaah tendo lakumchezesha uyo baby mama lime vibe mno
Hapa nilipo mabonge woooooote wameweka bundle kukusifu kwamba umewapa moyo kwamba kumbe na wao nimuimu kwenye hii dunia yetu big up sana
Sanaaaaaaa ,kika video mamodal
Duh hatari
Kadri mda unavyozidi kwenda nazidi kuona uziri wa wimbo❤️🔥🔥🔥🙌
nilizan npo pekeangu 😅🙌👍
Ngoma ina melody tamu sna big up K2ga niméisikiliza kama mara kumi na hainichoshi
Mziki mzuri siku zote unaishi na hauchoshi kusikiliza Hongera Upcoming King 🤴 we really like,appreciate and enjoy your music keep it up.
Nyota inang'aa K2ga wetu🎶👑kila kona ngoma inayopigwa ni RangiRangi...hongera hii ni hatua kubwa kwako💪🔥🎶💙
Endelea kuachia ngoma nyingine zaidi🎶🔥
#RangiRangi
#K2ga
#KingsMusicForLife
tunaisubili kwa ham hii rangi rangi 😋😋😋
Kazi nzuri zinapatikana hapa king's ni poa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yoooo
Good song respect @ k2ga eagle tz one love # Team kiba Africa 🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nani mwingine amenotice K2GA anasauti kama ya ALIKIBA
Ukisikiliza Lisabela ndo kiba mtupu😅
Nilidhani Kiba.. Sauti tamu
Kidogo ziendane..AliKiba akiimba anasaut tam zaid. Thou K2ga nae anasaut nzuri.
Tega sikio kwa wote ndio utanielewa...LisaBela ndio zilifanana saut kabisa nadhan inategemea na wimbo pia🔥👑💙
Me
Walaii😂😂😂
K2GA Mchizi wa UK nimepata message kutoka kwa video vixen,,, tuwapende walivyo umbwa! Si lazma watuonyeshe uchi wao,✌️❤️❤️ 🇰🇪🇰🇪✅😎
Ijayo fanya na mimi kembamba sana 😂😂😂😂😂
Ijayooo. Anichukue na mim
@@sistermery4581 ha haa
@@sistermery4581 heeeeee 🤔🤔🤔
@@masanjaabasi8970 😅😅😂✅🇰🇪
Noma noma ngoma kali bado ina ita ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kings
Kibonge kimedamshi💯💪💪💪
LEVELS BABAAAAAAAA🔥🔥🔥🔥🔥
Msanii wa mwanzo kuwafanya vibonge kujiamini. I love this a lot.
K2GA ongera sana 🇨🇩so hot , tumeona kazi imeanza , king music likolo
Mpenzi nikinge nabaridi maana àkizidi halimbayaaa nice 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ki2ga, ki2ga, ki2ga, kituuuuugaaaaa, aiseeeee we mnyma zaid ya wote, hupend kiki wala skendo unapenda ngoma nzur zitufikie cc mashabiki, salute brow
Oyooooo gomaaa la duniaaaa linakuja oyooooo
K2ga the special artist to me good song and good job
Daima huna nyimbo mbaya
ila unajua mashabiki zako nini tunahitaji!!!!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Usione nanawiri usione na nona😋wooooow🔥🔥🔥
#41 on Trending Kenya 🇰🇪✅💯
Let's gooooo K2GA 🔥🔥🔥
Kashika nyama na mfupa, kaapa ntazikwa nae
Mapenz ya raha kuch kuch hotaee
Na mapenz anayonipa m sjaona kama yee
Couple yetu imenoga.........🔥🔥
Hii verse inani-murder🎶👑💙🔥💪
hii ngoma kali sana..basi tu
Oya goma la kwenda mwanangu kaz kaz💯💥👌
Love katuwakilisha sisi vibonge wenzie maana ni nadra kumkuta kibonge video vixn😂😂😂😂❤
😂😂
Tatizo wanaume wasasa mnaangalia muonekano na Sio aman ya moyo haya angalia mwenzenu k2ga ana enjoy tu 🥰😂
Wallah
Ewaaaaaaaaaah halaaaaaaaaa 😂😂😂
Kabisa Vixen katisha sana yeye na K2GA Chemistry yao iko charming sna
Ndio iyo sasa😅😅😅😅
Bomba sana kings miusc ❤️❤️ ❤️❤️ nice 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nilivyo muona to LOVE akiwa vixen I just had to subscribe nampenda sana huyo binti
For sure I really love this girl, Love wa Juakali. When I see her am just found my self in a smile. Nampenda sana yaani, nikimuona dah anayemchukia aisee akafanye chekup ya akili
Nampenda huyu Dada anajikubali kweli.... 💕
Sana tyu
kwa mtuu mwenye kumuamini mungu lazima ujikubali maan yeye ndo anaumba
@@asiadjuma8012 kabisa
Natamani nimtag❤💯🌹
Umetisha sana mkuuuuuuuuuuuu
Alikiba tafadhali achilia huyu kijana atoe nyimbo mara kwa mara huyu ni mnyama na nusu.. Fungulia huyu uone show watakavyo vurugwa.. Labda juu wewe ni king anaogopa kukuambia mengi.. Mimi kwa niaba yake k2ga tafadhili king kiba sukuma huyu kijana mwaka mmoja tu unamtosha yeye kutisa na utashanga matokea hakuna saize yake. Anapendwa sana huyu dogo huku njee na watu, , vitu ndio vinachelewa kuja pliz king sukumu huyu dogo.. # alikiba #kings music #k24ga # alikiba my number 1 artist
♥️♥️♥️🫵🇹🇿🇨🇩🇺🇸 haya si ndo mambo sasa ✍️♥️🔥
Hili ni bonge moja la ngoma 🔥 💖 ❤ 😍
K2ga umeua ile kinoma numependa sana idea ya video
Big love from KENYA mombasani.k2ga wallahi my favorite artist.mzukaa kamanda wangu nakuaminia.hainakufeli.BADI MAKKA MJAMBERE WARD KISAUNI FITNESS.
[K]Kiba²ga moto sana gotea kiba love frm Nyake a.k.a Kenya 👍👍🇰🇪🇰🇪
Love ❤️ kwa ubora 🔥🔥
Nxur sana sana nataman kuchek kila muda
My all time artist K2GA
.sauti jamani yanimaliza💋 we love you from Kenya
Mziki mnzuriiii sana unajuwa mwenyenzimungu ayiifugiliee safariyako 💯💯💯🙏🙏🙏💪💪💪
Jamani we mtoto alikutoa wapi kiba maana sio kwaufundi huu💥💥💥👑👑👑
Love kama love umeweza saan kibonge wetu wa jua kali 🔥🔥🔥🔥🔥❤️
mapenzi matam 💞 napenda sana kazi ya Kings
Nakubal sana k2ga mchiz wa uk moto sana. 💥💥💥
Noma sana hiii ya moto sana kings miusc ❤️ nice 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaah mm pia ntakuwa vixen sasa
Oyooooo goma laja goma laja
Hapana chezea mrithi wa king hongera mtto wa king 👑👏👏👏
Nyimbo kali sana @k2ga
Bora na sisi mabonge tumepewa njia na mwangaz kuwa n sisi tup hap dunian baby mama❤❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wewe nimwanaume kwenye Musica wa ki Africa,
Bravo mon chère artiste ,je compte sur vous
bravissimo
Mfalme wa baadae
Nimeicheki nimelike hadi nimeona enyewe hi ngoma ni kali sana weza sana #Gistoff
Kings music ina wa artists wazuri sana wote ma handsome .
🔥🔥🔥sana bro kaz safi rangi rangi 🇰🇪🇰🇪 nakutambua
Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼proud of all kings music
Haya haya kings miusc kazi kazi iendelee nawakubali sana ni 🔥🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 pa1 sana
Aisee ktga uko vizuli king mnaujuzi mapepe tunawachia hao wapiga kelele
Mi kwake yeye am in love 🔥🔥🔥
Fundi bhana uyoh mrisi wa kiba nakukubali sana brand yangu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma nzuri sana
Ivi tuga unatuonaje ss wakutudangany kabisa
From the audio to the video 🔥🔥🔥🔥5 on treading in South Africa 🇿🇦
🔥🎶💕
👍💕👍🤝🤝
6ty ruclips.net/video/HLqvhu8vj98/видео.html
Kaliiiiiii tu xana keep it up k 2 ga
Let get it moving he's great🥰🥰🥰🥰🥰
🤴mwana mfalme 🔥🔥🔥 mchiz wa uk #k2ga
Wimbo ni mzuri sanaaas unamaadili pia mtu unauwezo wa kutazama na mtu mwenye rika lolote pia tunawasapote wenzetu kama hao nao wanaona fahari na faraja na baraka zinazidi NAKUPENDA SANA K2G 😜😜
Kijana uko sawa sana...goma moja wazimu sana yani hadi linapagawisha🔥🔥🔥💪💪💪
The chemistry between the artist and the vixen is top notch , i love it😍😍😍🤗
This song must have 2 million viewers plus by the end of this year . Trust me 🔥 k2ga big up and amazing work, 👏 🙌 salute
hii ngoma huchoki kuitazama
Watching from Kenya and i love K2ga tz's voice and the video is beautiful 😍😍😍 the Vixen is a goddess !!!!❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥😏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
As a fashion Designer, naweza kusema Nguo zimekaa hongera brother pia wimbo umeimbwa na muimbaji.
Mungu akupiganie wewe dogo unapambana kaz nzur sana
Mambo nimoto huku ngoma kali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika k2ga ume jua kutu frahisha hii ngoma ilitakiwa uitoe mwisho wa mwaka ilikua ya kufungia mwaka wadaku lazima wa kimbie 🏃♂️🏃♀️🇹🇿💪🙏🙏
Wow mchizi wa UK good music and good sound kwapamoja sana creativity 🔥🔥👌🔊🎧🎶
Ananifraisha huyu dada anajikubari sana safi sana
Huu wimbo nimeurudia zaidi ya mara 100
K2GA jamani ume nipagawisha brother. King's Music 5g💥💥 lite forever
Lemme be honest the art 🖼 of this content its making to repeat more than 5 times at a go 🔥🔥you are making me to have a reason to be happy ❤️🇰🇪we love you from kenya 🇰🇪🇰🇪
ruclips.net/video/dSfJfOd_uTo/видео.html Surely
❤️❤️❤️💯 I've been smiling all through mpaka song ikaisha
i have been listening since 6am to 8 na naenda joob ss
Salute from mz
Niatareeeee Sanaa matam napewa vitamu 💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
K2ga umetoa mpya,nimempenda hii dizsini yako,Iwe mfano Kwa wengine,kwamba hata wane wanafaa kuwa video vix
ONE LOVE BRO💪
Oyoooo song of the nation gonna be doped soon let's go guys
Good 💓💓🔥🔥🔥🔥🔥
Dah ni vile maisha ynaenda mbela nyuma nyuma mbele Kaz niipendayoo hi ya kuimba ata niimbe siku 5 cchokiiii💖💖💖💖💖💖
King music 4life 🔥🔥🔥❤
😁🥂🌹🇰🇪🙏🙏🙏... Nameipenda Mashallah😁🌹🙏... Video vixen ameweza... At list umeleta kitu tafuti kinyume na matarijio yetu mafans na watazamaji... BigUp K2GA. Kings 4 life!🙏🥂🇰🇪🇰🇪🇰🇪💞
🤣🤣🤣🤣
@@irenefredius7622 q
Tanzania on 🔥🔥🔥 as K2GA IS! Likes kwake please.
You never disappoint K2ga I love your songs.cant get enough of this.....""uwezo wa Karima ntadumu nae..."
Courage je congolais et j'écoute ça c'est une belle chanson ❤️🔥🇨🇩🇨🇩
Future king of bongo fleva🔥🔥🔥all the way from 🇰🇪🇰🇪
I hope he will visit Kenya to market these jam course I can wait to meet him
Hongera k2ga nyimbo imeenda hii
🥰🥰🥰🥰🥰🎸🎤🎧 ni safi sana ❤❤
LEVELS BABAAAAAAAAAAAA🔥🔥🔥🔥