Wanawake Waliotoka na ALIKIBA,utashangaa TANASHA na Dada wa DIAMOND(QUEEN DARLEEN) nao wamo.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 янв 2019
  • Please subscribe now on Our RUclips channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
    #middlesimba
    #WeAreEverywhere
    #alikiba
    #tanasha
    #Lulu
    #amina
    #Wolper
    #khadija
    #jokate
    #queendarleen
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 770

  • @shabanimarijani662
    @shabanimarijani662 5 лет назад +3

    Acha utoto mtangazaji pamoja na Ali kiba wako,unatangaza ushujaa wako Wa kuumuasi mwenyezi mungu au vip. Pole sana kwa kutangaza maasi na mwenyezi mungu hawaongozi watu madhwalimu.Rudi kwa mungu kwa kutubia na mwenyezi mungu anawapenda sana wenye kutubia.

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 5 лет назад +152

    Wote wamekula makombo ya Kanumba kama unakubali gonga like twende pamoja

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 5 лет назад +38

    wasanii jamani!bali mjuwe sio sifa ni kujijazia uchafu ndani ya damu

    • @kijolysahaly1323
      @kijolysahaly1323 4 года назад

      Tena bora yeye anaeficha hadiwatu wafichue ila huyo mond kilaanaetokanae mambo waaaa

  • @daudmtrasias4139
    @daudmtrasias4139 4 года назад +65

    Kama umeingia 2020 gonga like hapa

  • @DIweni
    @DIweni 5 лет назад +5

    Sema mm nampendaga wolper tena Sanaaa,salam zifike kwake au

  • @blandinadambala6887
    @blandinadambala6887 4 года назад +13

    😂queen&tanasha WIfi gonga like 2020

  • @butchaureprisioneiro5873
    @butchaureprisioneiro5873 5 лет назад +6

    Nzuri sana king Mo Faya 👉🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 5 лет назад +23

    Umefika kwa mweshimiwa ukapunguza kidogo sauti, King kiba nimemwelewa,

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 5 лет назад +408

    Kama una kubali Diamond alikuwa ana pitia Uchafu wa king Kiba basi gonga like ili twende sawa sawa 😆😆😆😆 # Diamond # hacha nichukuwe mimi 😆😆😆

  • @issamwajuhudy6026
    @issamwajuhudy6026 5 лет назад +23

    Dhen wanaongea ushubwaga kumbe wanakula makombo naistoshe hata madada zao walifagiliwa,huo siniujinga wa kiwango cha flyover kama unakubaliana nami gonga like...

    • @yohanamaulid9493
      @yohanamaulid9493 3 года назад

      Fry over imeingiaje hapo ?!We ni mjinga kweli kweli tena namba moja Duniani licheki lilivyo sasa utafikiri likinyago

    • @nyakuyengamatoke9816
      @nyakuyengamatoke9816 3 года назад

      We're jibixhoo ama nn

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +5

    DIAMOND AMEKULA MAKOMBO ETI SIMBA KING NI KING KWELI..🇰🇪🇨🇿

  • @aljunijohn5395
    @aljunijohn5395 4 года назад +4

    Mtangazaji umenifurahisha nahic wew in mc make unanikoshaa saaaana safi sana

  • @elijahpartz729
    @elijahpartz729 5 лет назад +7

    Yani weye kabomoya 🌉 namaneno Safi sana middle simba

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 5 лет назад +1

    MALAYA WAMEZIDI TANGANYIKA DUUU NDIO MAANA MAKUFULIKASEMA TANGAYIKA INASIFIKA NAMBARIVWANI KWA UMALAYA MOAKA WANATULETEYA ZANZIBARI NCHI YA KIISILAMU AIBU 👹👹👹👹👹👹🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇹🇿🇮🇱👀🇮🇱🇮🇱👀🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇹🇿🇹🇿🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇹🇿🇮🇱

  • @bennyasseralfred3811
    @bennyasseralfred3811 5 лет назад +21

    😀😀😁😁 eti sjui kama mjamzito umepotea ao umeyayuka kkiiii nilikua najipitia tuuu

  • @congofizi25K
    @congofizi25K 4 года назад +1

    Yes

  • @user-wk8sd2lq6c
    @user-wk8sd2lq6c 4 года назад +4

    No wonder alikiba hates diamond

  • @stivenjuma469
    @stivenjuma469 5 лет назад +82

    Namkubali king kiba

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 4 года назад +9

    Yaani binadamu wa leo kazi yetu kujisifia maovu tu

  • @princesszayada7088
    @princesszayada7088 3 года назад +2

    Hongera sana kaka

  • @daisyelly7952
    @daisyelly7952 5 лет назад +177

    So allykiba anakula simba anamaliziaa....hahahaaa

  • @mercianashilakho369
    @mercianashilakho369 5 лет назад +10

    Better alikiba than diamond

  • @rashidsalim370
    @rashidsalim370 5 лет назад +6

    Vipi utakwenda kuwa shahidi mpaka mpele ya mungu

  • @mustafaluziga5196
    @mustafaluziga5196 5 лет назад +11

    Mtangazaji unanifuraisha sana.ira ungetupa na lisiti ya mamaako

  • @ramadhansuluhuhassan7074
    @ramadhansuluhuhassan7074 5 лет назад +3

    Sio vizuri kuwaweka wenzenu uchi au na nyinyi media tuwatangaze wake zenu wamepakuliwa na vibosile gani.

  • @bandolaboy5053
    @bandolaboy5053 4 года назад +8

    King kb noma anapitia smba nae anchukua

    • @lestutaleo7220
      @lestutaleo7220 3 года назад

      Haina makombo Wala upya, wote wanakulaga makombo tuuuuupuuuu kwn yy ndo huwa anawabikil????

  • @allyramadhani8026
    @allyramadhani8026 5 лет назад +69

    Apo umelenga kwa tanasha wangap wanakubali

  • @deebrown7908
    @deebrown7908 5 лет назад +14

    Tunataka list yako nawew sio kutaja
    Vyamwenzako tu
    Tunataka yakwako wew

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 5 лет назад +8

    Shida yenu iko wapi kama mnakosa matangazo mtoke hapa

  • @fatumaseleman1579
    @fatumaseleman1579 4 года назад +1

    middle simba jamani my saute tu ❤✌

  • @wakanaishemalima7762
    @wakanaishemalima7762 4 года назад

    Uyo Amina wa kibambaya Bora tanasha kwa sura mzr

  • @mbondokambi8053
    @mbondokambi8053 5 лет назад +13

    Ww unataka kuachanisha ndoa za watu zilizofungwa na zinazotarijwa kufungwa

  • @leemassawe8968
    @leemassawe8968 5 лет назад +8

    Dah king noumaaa sanaa yebaaaaaaa
    King kapitia madem waqal af kimya kimya kwel ndomaana napendaga kufata nyayo zako nafanya kimya kimya mwisho wasiku bilioneaaaa😍😍😍😂😂😂

  • @amidawere9398
    @amidawere9398 3 года назад +1

    Kupenda msani Ni kujipotezea mda labda tu Ni sofa ya Kua Na msani but mapenzi ooooh

  • @sophiaslasslas2292
    @sophiaslasslas2292 5 лет назад +85

    Mondi anapenda kuonja shahawa zakiba

  • @musarotiken6935
    @musarotiken6935 5 лет назад +4

    middle simba nifuate hapa kenya nikupe list ya madem wa bongo nishawahi pita nao...Lulu nko naye saa hii

  • @chafumojangoyepangoulous4416
    @chafumojangoyepangoulous4416 5 лет назад +7

    Bro u are number one to surching background news for star's salut and big up we need to more about that peace men im Pangoulous Neverlous star from Burundi

  • @kalimai7666
    @kalimai7666 4 года назад +1

    Oooh I can see

  • @Magdalenaann
    @Magdalenaann 5 лет назад +12

    Acha nijifanye sjamwona wema
    Kila msanii mwenye umarufu lazma fununu ipo kua EX wake wema 🤔🤔

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +2

    Khadija mzuri mashallah

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman4664 5 лет назад +7

    Ati wasema kutafunwa, hatariii lakini salama

  • @lucymkirani9249
    @lucymkirani9249 4 года назад +8

    Nilijua juu acha mondi atafune makombo ya king kiba ndio maana hawaelewani😂😂😂😂😂

  • @salomemgongo8746
    @salomemgongo8746 4 года назад +1

    Hahaha kazi anayo mond kila anapopita kiba kashawai

  • @mombasagamer9056
    @mombasagamer9056 5 лет назад +4

    First

  • @averinamarco5808
    @averinamarco5808 5 лет назад +4

    Yaaaaahhhh!!! Nilikuwa nmekumiss sana mme wangu

  • @omarimfakimwinyikiongwe8146
    @omarimfakimwinyikiongwe8146 4 года назад +1

    haifai kama binadamu kutangaza siri zako za ndani ziwe za kheri au shari #BigUpKingKiba#

  • @paulsenclick2373
    @paulsenclick2373 4 года назад +1

    Background song is good....

  • @wemadoktarmichael6448
    @wemadoktarmichael6448 5 лет назад +31

    Yani Leo nimecheka mpka bac middle simba mpka daring nae unamwita mrembo mtu ambae hata kuvaa hajui pua kama tanuli halijui hata kupendeza lipolipo tu hata Ali kiba alipita tu kwa kupooza njaa

  • @ibrahimmartine9185
    @ibrahimmartine9185 5 лет назад +5

    Da! Aixe Alkba ni noma tena anaxir toxha

  • @rosemarysebea6683
    @rosemarysebea6683 3 года назад

    Alhamdulillah 2020stily we are here

  • @bashirumpalamba341
    @bashirumpalamba341 5 лет назад +2

    We jamaa team kiba kwan nan alietangaza kiba yupo na lulu kama c kiba mwenyewe acha unafiki

  • @maryhilder7083
    @maryhilder7083 5 лет назад +1

    Waaaaah tanasha ata ww

  • @magretyshoo7295
    @magretyshoo7295 5 лет назад +4

    Wema hajawahi kumwacha mwanaume salama😁😁😁

  • @lydiarichardson8866
    @lydiarichardson8866 4 года назад +4

    Diamond kwa nini unapenda kula mabakishishi ya alikiba

    • @lestutaleo7220
      @lestutaleo7220 3 года назад

      Yy kiba kala makombo ya Nan kwn huwa anawabikil???

  • @misalabadotto6251
    @misalabadotto6251 5 лет назад +134

    mondi anarudia makombo ya alikiba

  • @ashuhunamohamed7997
    @ashuhunamohamed7997 5 лет назад +8

    Nyimbo hiyo background inaitwje plz nambieniii

  • @khamismussa6308
    @khamismussa6308 5 лет назад +19

    Ulipofikia kw muheshimiwa joket hukusema katafunwa,umesema na yeye alikuwa kwenye mausiano kumbe ninuwoga 🤣🤣🤣,subiri list ya 3 kutoka kw konke konke master na ww utajwe coz dalil zinaonesha na ww huna marinda🤣🤣🤣🤣🤣

  • @christinaramadhan3885
    @christinaramadhan3885 5 лет назад +28

    Hahaha ww Dada wa mond sijaona urembo wake mbona Kama dume😂

    • @kijolysahaly1323
      @kijolysahaly1323 4 года назад

      Ndomana aliachwa bilasababu

    • @bintihassan6534
      @bintihassan6534 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nmechela km mazuri kwakweli ata mm naona dumejike uzuri hko wap hp ww mtangazaji mungu anakuona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 15 дней назад

      😂😂😂😂😂

  • @davidallen1261
    @davidallen1261 4 года назад

    Daaah n balaa uyo wolper kila star anajipigia tuu🤣🤣🤣 kwel n jamvi la mastar

  • @queen.christelle1
    @queen.christelle1 5 лет назад

    Mtagazaji pole sana bana kutukana sana hadi banafikia ku sema eti sijuwe useme kuhusu mama yako hii njo shida ya kua mtagazaji kama hayo unayo ogea ni ya kweli basi kaza ila kama ni ya uogo tafuta mlango wakupitia mana siku itakapo gundu lika haya unayo ya sema ni ya uogngo wata kusema vibaya na kukutukana na hawatakuamini tena ila mpuguzeni kutoa siri za wenzio mmezidi puguzeni

  • @putodybala458
    @putodybala458 4 года назад +1

    Noma sana.

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 5 лет назад +1

    Aibu Yani kubwabado mm Ali kina😀😀😀😀😀🔥🔥🔥mana mm Pia mrembo

  • @samsamm8794
    @samsamm8794 5 лет назад +1

    👑 mwenyewe

    • @afroowhizz8612
      @afroowhizz8612 5 лет назад +1

      Weka na yako acha Mambo ya kufatilia vya wengne unakela Sana wewe kaz2 umbea unanikela cana daah unataka kugombnixha ndoa za wa2 mungu akuhlumie

  • @kadfazamohamed9479
    @kadfazamohamed9479 4 года назад +2

    Weeeee Noma Sana🙄

  • @kitundujeremiah6072
    @kitundujeremiah6072 4 года назад

    Noma sana brother k

  • @wilbertthomas8357
    @wilbertthomas8357 3 года назад

    Daaaaah ilinipita hiii midle!..kwa ally kiba ni positive Ila kwa kijana wangu diamond inakuwa Negative 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤝

  • @prudenceowini8125
    @prudenceowini8125 5 лет назад +2

    Kwa kweli hii ni middle simba🤣🤣 u colllect all datas I like it👍

  • @lenathajamesthegirl4744
    @lenathajamesthegirl4744 5 лет назад

    dah Tanasha kweli ulishea na wifiako duh maumivu unamtia daimondi acha kudanga dada

  • @George-qy5vf
    @George-qy5vf 5 лет назад +1

    yeeee baba

  • @ladivaqween8630
    @ladivaqween8630 5 лет назад +31

    hiyo inajulikana kitambo mond hua anapitia makombo ya kiba

    • @piumagoha
      @piumagoha 4 года назад

      Aliyekwambia ina makombo nani?

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 3 года назад

      piumagoha mbona wamemsahau dada yake mond 😂😂😂

  • @isihakabakar2545
    @isihakabakar2545 3 года назад

    acha kuzngua middle hhhhaaaaaaaaaa duuuh adi tanasha

  • @divarechol8657
    @divarechol8657 5 лет назад +4

    Wambeaaa bwana hatulali mpaka pasomekee😁😁😁😁😁😁

  • @abdimoha6800
    @abdimoha6800 4 года назад

    Ali kiba ni King of bongo

  • @aishahassanikichuna4820
    @aishahassanikichuna4820 5 лет назад +2

    mi nikajua unasema demu alietolewa bikra na diamond kumbe waliopitiwa na KING aya nijuze ladha ya uwo ubuyu.

  • @aystv5998
    @aystv5998 5 лет назад +61

    Uwe shahidi mpk kesho akhera...halafu wewe unaweza kuwachisha mke.fisadi mkubwa.......

  • @user-sk2xr7yv3h
    @user-sk2xr7yv3h 5 лет назад +1

    Yoo natanasha ama Kweli😃😃😃

  • @zamaradharuni9606
    @zamaradharuni9606 4 года назад +2

    Haaaaa 🔥🔥🔥

  • @salamashabani7922
    @salamashabani7922 5 лет назад +26

    YANI MAJIZO IPO SIKU ATAJUTA SANA HAWA WASANII WANAOPENDA WATU MAALUFU NA WENYE PESA NI HATARI BORA MAJIZO ANGEOWA MWANAMKE MCHA MUNGU😏😏😏

  • @latifakhalfani5614
    @latifakhalfani5614 3 года назад

    Dah! Hatari sana

  • @angelamisango6981
    @angelamisango6981 5 лет назад +3

    Tanasha brought me here lol

  • @adamrajabu547
    @adamrajabu547 5 лет назад

    Daah broo naomba uniambie jina la huu wimbo

  • @franckmathias9196
    @franckmathias9196 5 лет назад +2

    Hakuna mtu asiyepitia makombo ya mwenzie hata kiba alipitia makombo ya wengine so hata we mtoa post hapo huyo demu au mkeo ulie nae ulikuta kaishapigwa mambo so inshot wahuni so watu wazuri Kama umenielewa gonga like twende sawaaa

  • @tvtv9581
    @tvtv9581 5 лет назад

    Uongo sana tanasha na kiba wapi hmmm kuaribu Jina ya watu

  • @swaggerswagger8414
    @swaggerswagger8414 4 года назад

    Aiseee middle wew n shidaaaaah tupe udambu udambuuuuu

  • @fantamohamedi8564
    @fantamohamedi8564 3 года назад +1

    Jamani walisema kiba hana tabia km za mond haya hao wanawake wote ni nyanya zake ogopa watu wakimya bora mond anaweka hadharani

  • @THEGOLDENVOICETV
    @THEGOLDENVOICETV 4 года назад

    Haaaaa 👑👑king kiba 👑👑👑👉👉👉

  • @stellahgreyss7310
    @stellahgreyss7310 4 года назад

    @middle simba.. The name and the singer of the background song please

  • @bondymusicbondy3068
    @bondymusicbondy3068 4 года назад

    Young bady

  • @maryamashmrei9999
    @maryamashmrei9999 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂darling pia mashallah nae kapigwa'kende

  • @user-ej7kl3lw5j
    @user-ej7kl3lw5j 4 года назад +1

    Sina mbavu mm duhi 2020 Kazi twajionea ss 😂😂😂😂😂

  • @sophiaslasslas2292
    @sophiaslasslas2292 5 лет назад +3

    Ok

  • @jacksonmapenzi5495
    @jacksonmapenzi5495 4 года назад +1

    Mtutajie wana wake walio tembea na ommy dimpoz nao,je ni kweli Mama diamond naye yupo ndani ?

  • @davidsonoriginal8969
    @davidsonoriginal8969 4 года назад +1

    Diamond anakula uchafu wa. Alikib

  • @newpowertzmchekeshaji5999
    @newpowertzmchekeshaji5999 5 лет назад

    Hahaaaaaaaa king noma kama new power tz

  • @abuuhilary4609
    @abuuhilary4609 3 года назад

    Napenda iyo back glound musc yako inanogesha stor sn

  • @aithamaitham9599
    @aithamaitham9599 5 лет назад +1

    Good

  • @membatz8248
    @membatz8248 3 года назад

    Kama unawatch 2021 gonga like

  • @irankundajoyce2462
    @irankundajoyce2462 5 лет назад +2

    Heheheh 🤣🤣🤣 panuweni paja mukwaju weja lol wengi wawo Ni Kiki

  • @averinamarco5808
    @averinamarco5808 5 лет назад +34

    Middle simba umenisahau mm nimepitiwa na Hamorapa😂😂😂😂😂

  • @asiasalum5673
    @asiasalum5673 5 лет назад

    Nice bro